ASKOFU GWAJIMA AMLIPUA TENA MAKONDA AWAMU YA PILI LEO 12/03/2017
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 มี.ค. 2017
- Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time
Kweli Askofu umetufaa sana kwaajili y'a uhimarishaji wa imani yetu piya umetufunza kuwa mashujaa wa imani Mungu wetu akubariki daima. Ni mwinjilisti SHERIA BALOLA toka DRC
Acha maneno mshukuru sa Jpm kupata ubunge
Kanisa linakusubiri ubungo acha kujifanya Mungu mtu
Mwache Makondaaaaa
Baba mbaliki mchungaji wangu mpe nguvu atuvushe kwenye janga hili
good Gwajima , asizingue simamia haki asee, nakukubali sana
Asante Sana
Hakuna awezaye kuwatumikia ma Bwana wawili chagua upande moja ijulikane mana tumekuchoka
Siyo vizuri bishop
safi gwajima aoneshe vyeti
Aimeeennn
nakuja kukulipua na mimi nakuja Tanzania
sasa hakuna ibada ni bashite tu jamani kazi tunayo
preach pastor Gwajiiii he is going to resign in Jesus name
yeah atoe vyeti
sema baba
Hii. Historian n kungun mno tumekoma
ukweli usemwa
hatari sana aisee
gwajima nimekupali anauza madawa yakipanda anasema vizivyo heleweka akiona asikiliki anaongea visivyo heleweka gwajima hayo sio maubiri mungu anakuona kwaujinga wako wemzee mjinga sana 🇨🇩🇨🇩👍🇨🇩🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Gwajima wape dawa waisome namba
Piga UWA kambisa
🤝🤝
aimeeennnnn
nampa pole bwana bwashite alikula maharage ya wapi huyo
Ile treni ikuwapigi
Mbona mara tano
Jembe
kama yesu alivyosema siitajisadaka natakarehema bac vyet vyamakonda kwakua vinarehema kwanyonge vitaish
Kwe imekuwa sembe
bashite toa vyeti
single touch double
Warida Haridi hahahahahaha double manifestation
We acha si Wa mchezomchezo
Warida Haridi
manifestation heheheee,,,,,ufiche Jambo gani kwa Simba wa Yuda lo!!!!!
Tusingekujua kumbe ndivyo ulivyo umeacha kz ukafanya kz ulituhumiwa tu km wengine mbona unalipuka yote hayo unazidi kusafisha nyota ya Makonda na ww unachafua madhabahu yako na co ya Mungu.Pole.ungeiga mfano wa Eliona Kimaro Muulize Mungu kwa nini kakuletea hayo majaribu usipambane na Makonda unakosea sn ha ha ha haaaaaaa kakutikisa sana tumekukua hanna kitu hapo.
mtizame vile uliamini ukitaja yvet makonda atafukuzwa biashara itapona kama walivyoamini babuzako mafarisayo kumpeleka mzinifu kwayesu
macho ya bwana ni makali mwanadamu akimbie wapi ajifiche na USO Wa bwana
Mashine ya kusaga na kukoboa
Duuuuuuuuu
Ok
mmmh!
kanisa ni mahali pa ibada cio mkutano wa kisiasa wahubilie watu wokovu wa kweli na Sio miipasho tafuta mkutano uongelee mipasho
wee acha bashite afundishwe yaani bashite ni zaidi ya yesu??? jana nilikuepo kanisani kwa gwajima na tulijifunza neno la mungu lenye kichwa cha somo MUNGU pamoja na wanadamu.
kolomije@
Unalolote wewe muuza madawa ya kulevya utapata shida ya kuongea unavyojua labda laisi atakusapoti akusapoti ng'o makonda piga kazi kwani tunajua ngwajima anatumwa na wauza madawa
Muache makonda afanye kazi ya Mungu kwa kuwazuia watu kuuza madawa ya kulevya mana hata Mungu hapendi nawewe muhubilie shetani atakulipa sawa sawa na matendo yako lumi 6:23
Wewe ni wakala wa kuzimu na huwezi kishindani na Mtumishi wa Mungu
ww navyeti vyako orijino endelea kufanya ushetan
iz gwajima politician or pastor?
politician confirmed in 2020
@@cyvonmramba he is a pastor
yaani unajua tokea zamani vyet vyamakonda ukavifanya kinga yako yamadawa yakulevya ulaaniwe mwisho wako uwe mbaya
Acha apewe vyake ww
@@finiasamos4916 zilipendwa
gwajima unamwamudu MUNGU wa aina Gani???? hvi y unakubali kutoa kisasiii je wewe mbasha au pengo akikufanyia ksasi utasikiaje???? unachafua kanisa acha kuwa na Kama mtu wa mataifa
M
Haisee umefufua kitu kizuti watu wasiandamane kuhusu rais waandamane kuhusu makonda
ahahaaaaaaaa bashite ukiwa mmbea uwe na kumbukumbu
usijibaraguze ww mnafiki unaunga unapiga kelele ili tukuogope ulaaniwe kwakuleta kesi yamtoto wadalasa lanne
jeny yusuph mambo
MKALI IBRAHIM WOLOLO YAYE ASHALALAA poa waloloniaje?
Falsafa yako ni kali mzee wewe
Huna jipya wewe
We ndo auna jipy
ww gwajima bikoba yamafarisayo ndio ikutiayo kiburi kumbe makonda aliferi dalasa lanne mtu wadalasa lanne anamiaka mingap?
jeny yusuph hi Jenny
Baada y hapo kunamaisha mengne...
Gwajima kama kawaida yako unaendelea kuifanya vema kazi ya Shetani na wajinga wasio na akili wanaamini unasema maneno ya Mungu. Kama wewe ni Mtumishi wa Mungu, unafufua wafu, kwa nini hukujaribu hata kumfufua mama yako Mzazi? Mwizi tapeli Mkubwa wewe
Lynda John apo kanisani au
Gwajima Haeleweki ni upande gani make ye atakuaje askofu anaepiga kelele na kuongea watu kila cku? Atachomwa mara mbili ajiangalie,,yan jamaa sitakiga hata kumuona yan
macho ya bwana ni makali mwanadamu akimbie wapi ajifiche na USO Wa bwana
huyu Gwajima kavurugwa, sion kama kuna anachokiongea, ni mnafiki tu! asituletee hizo polojo zake, analiaibisha kanisa la Kristo, mambo gan anayaongea ndan ya kanisa!!!!!, ama kweli awa ndo manabii wa uwongo. Mungu afanye kaz yake juu ya mtu
David Liundi yani anatuacha watu njia panda nimwana siasa au mchungaji.asamehe tu inamaana hayo ndiyo mahubili kila siku
David Liundi kanisa lako liko Wapi nabii wa kweli!!! Kazi hii huwezi kuizuia!!