KUNA MTU ANATUMIA NYOTA YAKO PART 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.พ. 2014

ความคิดเห็น • 137

  • @user-cl3he4ps5e
    @user-cl3he4ps5e 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana.We love you so much Bishop.May God bless you

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini2044 ปีที่แล้ว +1

    Amina Kubwa! Naomba nyota yangu na ya mume wangu zilizo ibiwa na maadui wetu zirudishwe Kwa Damu Ya Mwana Kondoo Kristo Yesu.

  • @davidmidunga7690
    @davidmidunga7690 4 ปีที่แล้ว +1

    mtumishi wamungu,naitaji maombi yako ili nipate kurudishiwa nyota yangu yakazi nayandoa.nimeoa zaidi yawanawake watano nakila ninayefunga naye ndoa.hutoekatu baada yakazi yangu kuharibika.nimachungu sana kwakua wanapoondoka,hunibebea kila kitu kwanyumba.hadinina sasa ninaishi maisha ya kuchanganyikiwa.ninayo imani yote yanaenda kuisha kwa jina la yesu

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 3 ปีที่แล้ว +2

    kwa ufafanuzi wa mambo uko vizuri baba, hadi last adoptor anaelewa unachotaka kuelezea

  • @francismalera7863
    @francismalera7863 4 ปีที่แล้ว +6

    Baba Gwajima Wanirudishie Nyota Yangu Leo Kwa Jina La Yesu Mimi Ni Mama Jamani Bwana Yesu Nitetee na Watoto Wangu

    • @marynduta9378
      @marynduta9378 4 ปีที่แล้ว

      Kwell mmi ni Mary kutoka Kenya nairundi kwa jina la yesu

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

      Amina Francis wajina Wa baba yangu kumbe ngwajima uyo kiboko nilikuwa namsikia wanamsifia

  • @user-dx4xi8xn5j
    @user-dx4xi8xn5j 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji kuna mtu huniambia kila wakati nimpee nyota yangu na mimi huku maisha yangu haendelei tangu nimjue yeye .Maombi yangu kupitia Nabii wa Mungu naomba nyota yangu ikaweze kurudi katika jina la yesu.

  • @neemasemkuyu2999
    @neemasemkuyu2999 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe Sana baba angu, Asante kwa neno linalohuisha mifupa mikavu

  • @rogatienmubyula2513
    @rogatienmubyula2513 ปีที่แล้ว +1

    Bwana Yesu Kristo aiangaze nyota yangu iwavute walio wengi kunijia.
    Amen

  • @isaiahtui1539
    @isaiahtui1539 2 ปีที่แล้ว +2

    2021 watching

  • @teresamokeira4042
    @teresamokeira4042 ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi, Mungu akuongezee nguvu ya kuokoa na kuwaondoa toka mikono ya wachawi

  • @janemuthoni7307
    @janemuthoni7307 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nilipewa urembo Sana lakini nyota ya ndoa anty yangu na uncle yangu waliimba lakini kutoka Leo nyota yangu itarudi katika Jina LA yesu kristo 🙏🙏

  • @gracependo4438
    @gracependo4438 5 ปีที่แล้ว +3

    🤦‍♀️😀!!EXCELENCE BABA ASKOFU GWAJIMA KUNA WATU WAMEZALIWA NA NYOTA KUTOKA KWA MUNGU ☝️🎁!!NIMESHUHUDIA HII !!KTK LIFE YANGU KTK UTABIRI WA KUJIRUDIA!! NA WATUMISHI MBALIMBALI TANGU NIKIWA BINTI NIMEBARIKIWA KAMA MALKIA WA MBINGUNI 🎁☝️⭐️LAKINI WATU AMBAOWAMEKUWA WAKIJARIBU KUROGA NYOTA ⭐️☝️🎁YANGU WAMEKUWA WAKI CATCH WILD 😜😨!!KUCHSNGANYIKIWA AKILI 😨!! 🤦‍♀️😀🙏GOD HEAVEN NETWORK IS NOT AVAILABLE!!TO AMAZING GRACE DAUGHTER OF GOD ☝️💃💪

  • @nadegeotshudi8376
    @nadegeotshudi8376 ปีที่แล้ว +3

    Mutumishi wa Mungu unisamehe kuna siku nili kuhukumu nikizani kama nawewe una tumiya nguvu za ngiza kama wengine kumbi nili njidanganya nilipo kuona una fanya mukutano na mwengine Mutumishi wa Mungu baye nina juwa amemuasha Mungu akifanya kazi na shetani basi nilipo waona wote muki tumika pamonja nikakuhukumu nawewe bila kukuombeya niulize Mungu. Ila sasa nimesha juwa ukweli kuku husu wewe kama ni Mutumishi wa Mungu wa kweli nakuomba unisamehe na Mungu wambinguni ani samehe

    • @masterkeymwakalanje536
      @masterkeymwakalanje536 9 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi nilikuwa simuamini huyu gwajima ila hivi sasa namwamini

    • @user-ir6en4hn8x
      @user-ir6en4hn8x 8 หลายเดือนก่อน

      Ubarikiwe na BWANA, Mungu wa mbinguni Akusamehe bure.

    • @Patience.67
      @Patience.67 3 หลายเดือนก่อน

      He is a true man of God

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wakristo nao ni wacawi wanajificha kwenye kanisani kwa siri. Hiyo ni w kweli Mchungaji

  • @kapendabdm4777
    @kapendabdm4777 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana prophète nimesikiavi zurisana amen

  • @nginamugwe846
    @nginamugwe846 4 หลายเดือนก่อน

    Nyota yangu njoooo kwa jina la YESU Njoooooo

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri Askofu

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nataka nyota yangu lrudi kwa jina la yesu

  • @jescalucas8744
    @jescalucas8744 6 ปีที่แล้ว +2

    baba asante nimekuelewa na ninakufatilia sana naomba unikumbuke kwenye maombi mke wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa majano anaishiwa damu mara kwa mara baba sema neno tu atakuwa sawa anaitwa jeska Lucas

  • @mecktemba8937
    @mecktemba8937 5 ปีที่แล้ว +5

    Baba unanibariki sana,... Unanifafanulia neno linaniingia kwenye mishipa ya ufahamu wa moyo

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc 9 หลายเดือนก่อน

    Warudishe nyota yangu naza watoto wangu kwa jina la yesu

  • @masterkeymwakalanje536
    @masterkeymwakalanje536 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli mchungaji wangu nakupenda sana

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Sisi tulikuwa tunasoma na Daniel yeye alikuwa anaongoza, tu a kafaulu paka akaja fanya Kazi bank

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 2 ปีที่แล้ว +1

    Since Day# One Gwajima# ahsanteh.🙏🏿

  • @annajustine5104
    @annajustine5104 4 ปีที่แล้ว +2

    Bishop natamani sana uje huku Arusha kwenye viwanja vy Relini

  • @gracependo4438
    @gracependo4438 5 ปีที่แล้ว +3

    🤦‍♀️😀💪💪💪💪..LET THE TRUTH MADE EVERYONE FREE!!WAMBIE UKWERI BABA GWAJIMA!!

  • @hezekiajacob6903
    @hezekiajacob6903 ปีที่แล้ว +1

    May God bless bishop J.Gwajima.

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 9 หลายเดือนก่อน

    Ameeeen,baba umechaguliwa Kwa kazi hii maalum

  • @emmahmunyao158
    @emmahmunyao158 6 ปีที่แล้ว +3

    Amen Baba Gwajima I get you loud and clear and my star is coming back to me from where it had been taken in Jesus mighty name

    • @annmukai1367
      @annmukai1367 5 ปีที่แล้ว

      Amen amen baba gwajima, nashukuru mungu nyota yaku imerudi kwa jina la yesu

    • @lydiamakenge5613
      @lydiamakenge5613 ปีที่แล้ว

      Mungu afungue nyota yangu amen warudishe uwezo niliopewa namungu

  • @pereskisimba4312
    @pereskisimba4312 ปีที่แล้ว +1

    Asante kabisa mchungaji kwa hilo🙏

  • @davidmidunga7690
    @davidmidunga7690 4 ปีที่แล้ว +2

    shetani hana mamlaka.yesu nipiganie nipatekurejeshewa nyota yangu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 8 หลายเดือนก่อน

    Nyota yangu iludi kirahisi kwa jina la yesu

  • @annienanjala8593
    @annienanjala8593 6 ปีที่แล้ว +2

    ubarikiwe mchungaji umenifunza mambo yenye sikuwa, laana za familia, kuvunja laana za udogo, kanisa langu, huwa wanasema hakuna uchawi, lkn Mimi najua kuna uchawi, aki mungu akubariki sana, nko Nairobi

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndio somo linaniusu mimi kachukuwa kwel nyota yangu mtu live kachukuwa Maji ya mikono yangu kaogea roho imeniuma

  • @berthachacky797
    @berthachacky797 6 ปีที่แล้ว +4

    ahsante sana Kwa somo zuri,barikiwa Sanaa mtoto wa Mungu.

  • @sharifatabook4697
    @sharifatabook4697 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu nikumbuke hii kifungo ya zamaaani Mungu aishikie maombi yangu

  • @AlexisCongera-so4mi
    @AlexisCongera-so4mi 8 หลายเดือนก่อน

    Bwana wangu Yesu Kristo aiangaze nyota yangu na wanaoitafuta wakauriwe mbari

  • @beatricemwamini2044
    @beatricemwamini2044 ปีที่แล้ว +1

    Amen.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndio wengine safar tu Mara America Mara china

  • @jemaaloyce8096
    @jemaaloyce8096 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 2 ปีที่แล้ว +1

    Gwajima# My Father...!!!@" Really loving you"🙏🏿

  • @veronicamsigwa5046
    @veronicamsigwa5046 2 ปีที่แล้ว +1

    Napoke nyota yangu kulud kwajina LA yesu nabalikiwa saan naitwa vero kutoka buza naitaj msaada wako zaid

  • @rithersospeterkati7957
    @rithersospeterkati7957 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Baba.

  • @alicegatumu5362
    @alicegatumu5362 2 ปีที่แล้ว +1

    Nauniombe meno inauma

  • @mektridadeogratias7512
    @mektridadeogratias7512 4 ปีที่แล้ว +2

    Nyota yangu ludi kwa jina la yesu

  • @ashrafhashim1882
    @ashrafhashim1882 4 ปีที่แล้ว +1

    mim Niko na matatizo,hayo cna raha nilikua mwislamu nikawa mkristo maneno pia Yana Nipa moyo

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi arusha tumekumisi jamani

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ameeeen ameeen

  • @mfalmekingaluvik3535
    @mfalmekingaluvik3535 6 ปีที่แล้ว +4

    Surely God has given unto you a revelation that uncontestable in all dimension and without it, I would have lived and died in ignorance.
    May the Lord God continue to use you and bless you mightily.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba ngwajima watu wanakupenda sana

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka yangu na yeye walimchukulia angekuwa mbal

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 ปีที่แล้ว +7

    Naitaka nyota yangu kwa Jina la yesu Amen

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu nikumbuke mwanao

  • @edinahkemuntomainya6551
    @edinahkemuntomainya6551 2 ปีที่แล้ว +1

    Nyota yangu itarudi Leo kwa jina la yesu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimeibiwa majuzi sijui kama itakuwa wameanza kuitumia

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Yupo hapa, baba kaja Leo alioniibia

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 ปีที่แล้ว

    Masharki ya Kati watu wake ndo walikuwa wanaongoza kwa maasi na ndo maaana mitume wengi walitokea huko

  • @radsonkarithkagwa8206
    @radsonkarithkagwa8206 4 ปีที่แล้ว +1

    Pastor live long.

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Shangaz zangu hivyo hivyo wana nyota ya kutafuta, pesa

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Namba Zako mchungaj

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndio utawala, pia kwentu ipo ndugu zetu wengi viongoz paka agostino Ramazan na maaskofu wapo John Ramazan wengi. Nyota ya uomgoz hata mimi ninayo

  • @vailethsamwel883
    @vailethsamwel883 4 ปีที่แล้ว +2

    mbeya unakuja lini jamani

  • @tumainipallangyo776
    @tumainipallangyo776 5 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe baba

  • @jossyngumbi1916
    @jossyngumbi1916 4 ปีที่แล้ว +2

    Nyota yangu imeonekana kwa jina la Jesu Ameeen asante Baba Barikiwa

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe nowa ndo nuu

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 9 หลายเดือนก่อน +1

    Namfuata huko huko alipo

  • @emanuelandronicus2574
    @emanuelandronicus2574 2 ปีที่แล้ว +1

    Somo hili ni sensitive sana baba nakuelewa sana na umeniponya sana kwa somo hili

  • @francismalera7863
    @francismalera7863 4 ปีที่แล้ว +1

    Wapigwe huko huko!!!!!!! kwa Jina la Yesu

  • @annmukai1367
    @annmukai1367 5 ปีที่แล้ว

    Asnte mtumishi wa mungu,niombea Sana kwitu Kuna laana waichana atuolewi Mimi kabisa najua ni nyota lakini imeimbiwa na mama mkumwa

  • @alicegatumu5362
    @alicegatumu5362 2 ปีที่แล้ว

    Miombee nirikuwa nakasi na sai Sina kitu nauombee mtoto ana fugana kivua niombee nivate fesa

  • @sureboyofficial6473
    @sureboyofficial6473 2 ปีที่แล้ว +1

    BASI WAZUNGU WANACHUKUA NYOTA ZETU

  • @festoerasto5673
    @festoerasto5673 5 ปีที่แล้ว +4

    Kama kila mtu ana nyota yake ni kwanini ,mtu asitumie ile ya kwake kufanikiwa ,

    • @goodneighbour1280
      @goodneighbour1280 11 หลายเดือนก่อน

      Kuna watu wanataka nyota za elimu ila hawanq

  • @petrowaya9749
    @petrowaya9749 8 ปีที่แล้ว +3

    be blessed alot

  • @EllyJacksonAkyoo-op7jc
    @EllyJacksonAkyoo-op7jc 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ameeeeeeeeen

  • @lazaruskevo3599
    @lazaruskevo3599 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameen Ameen Halleluuuyha

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Ndio mimi napendwa kila napoenda, na nasaidiwa yani nilipewa nyota kali sana uyo Aliyeiba ameona

  • @lynnfavour4335
    @lynnfavour4335 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen Bishop asante kwa fundisho nzuri ila nitarudishaje nyota yangu maana nimefanya kazi kwa mda mrefu lakini sijafanya maendeleo na pesa napokea lakini zapotea tu sioni jinsi zinatumika naomba maombi yako

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 7 ปีที่แล้ว +3

    Amen Dady that true God bless you! I am blessing too.

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 ปีที่แล้ว +1

    Neno linaingia Hadi kwenye damu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 8 หลายเดือนก่อน

    Ameeeeniii baba

  • @farajakiula4162
    @farajakiula4162 2 ปีที่แล้ว

    Amina amina

  • @chalesnguyaine9991
    @chalesnguyaine9991 4 ปีที่แล้ว +1

    Kakobe ndo anapinga nyota mikufu

  • @erickkabila2615
    @erickkabila2615 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji mimi na kufuata hapa Congo RDC nataka namba ya ko ili nipate kukupigiya ubarikiwe

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Na ni mchapa kazi mimi na kaka yangu

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndio akil ya darasan haviusian wanasemaga, hivyo

  • @helenotieno8483
    @helenotieno8483 3 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Ndio kila mtu Ana nyota yake nalijuwa hilo wanasemaga hivyo

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 4 ปีที่แล้ว +2

    Ameeeen

  • @kamakiapeter7815
    @kamakiapeter7815 5 ปีที่แล้ว +1

    mazito haya. hayaeleweki haya. kama kukalia chapati za mapenzi

  • @prospermlelwa849
    @prospermlelwa849 ปีที่แล้ว +1

    Moyo wangu Kwa dhati naomba emwenyezi mpe gwajima nafasi ya urais,amen

  • @JOHN-ut6ej
    @JOHN-ut6ej 4 ปีที่แล้ว +2

    I mean

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwel mchungaj nimeligunduwa hilo uku kutokana na mazingira nilipo muda sijaenda kanisan na ndo mana nilikuwa nataka Kuja, na biblia

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz 8 หลายเดือนก่อน

    na wewe mtumishi nyota yako ni ya utumishi achana na mambo ya siasa ya una una karama ya utumishi

  • @preciouslissahparis1352
    @preciouslissahparis1352 9 หลายเดือนก่อน

    Mchawi haruki leo

  • @Patience.67
    @Patience.67 3 หลายเดือนก่อน

    Asante baba

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Ni kwel kipawa wanaita

  • @JOHN-ut6ej
    @JOHN-ut6ej 4 ปีที่แล้ว +1

    aleluya

  • @hatamimnimempendabulejaman1596
    @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

    Watu ni wengi

  • @gracebwora2899
    @gracebwora2899 5 ปีที่แล้ว +3

    Warudishe nyota yangu na ya watoto warudishe katika jina la yesu

  • @alexnoah348
    @alexnoah348 5 ปีที่แล้ว +1

    Amina