MCHIZI ANAPOTEZA DILI LA DOLLAR MILLION 1 KIZEMBE SANA | BLOOM BOYS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2024
- ⚠️CREDITS:
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Movie name : BLOOM BOYS
Genre : Drama,Thriller
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - บันเทิง
konka anataka mumuandikie maon yenu ,,,maon yenu ndo yatamfanya alete vitu kali kila siku nyie mmekazana wakwanza wakwanza nipeni like zangu mnakeraAaaa,,,,hata ck akikosea jamb mtakAzana na like
Wana kera😢
Ni Ukweli kabisa wanakela
sana wana kela
WakwAnza mm naomba like
@konkaaaa mzeee wa mizigo ya hatari sana🎉gonga like kama unamkubali weka like
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥❤❤🙌🙌
Duuuuh ni dakika 27 tu watu kibaoooo duuuh kweliii kama unamkubalii Konka gonga like hapa ❤
Mimi kama young bee nakupenda sana mshikaji wangu unaua soko la muvi kwa wanaotafusiri full movi kwaiyo kaa makini 🙏✅
Kwanzaa ngoma inaanziaa chumbanii😂😂😂
sijawahi kuwa wa kwanza 😢. naomba like 10
Nimekuwa wa 3 LIKE 10 jamaniii tunainjoi tuuu asante mwamba ✌️✌️✌️✌️✌️
❤❤
Hlw
Mambo
@@MuhammadRamadhan-kz7ow poa tuu
@@MuhammadRamadhan-kz7ow hello
Huuu unyama ni noma nakukubal mwwnang unajua 🙌🏻🙌🏻
Me naomba uwe unatoa kila Ciku jmn una Tukataaa sana
Konka mzee wa unyamaa🤝🤝
jamani nzuri sanaa hongera tupo pamoja bro ❤❤❤
Lile demu lililomgonga litakuwa limemuibia 😂😂 konkaa 🔥
Nimecheka kinoma amezingua😁
Iko sawa iyi broh unyama uko fresh 👏💪
Akamlaza chini akaanza Kumküna😅 iyo kuna sasa😅😅
Konka Mzee wa kukinukisha big up saan unyama umekaa poa
Mpo fasta mno ila big up
Oya🔥🔥
unyama upo vizuri na umejua kutuelezea vizuriii.. kazi nzuri
Heeeeeh umeuzaa kiwanja changuu 😂😂😂
Iko Sawa kabisa hiyo hongerani kwa kazi nizuri mnayo fanya
Awa wanawakee Awaaaaa
Nimewahi leo naombeni like zen wapendwa pls❤❤❤❤
Mwanangu upo vizuri sana kwenye hii kazi. Lakini ushauri wangu usituletee movies za Nigeria nyingi. Fanya kutuletea na movies from Hollywood mzee zipo kibao tu mbona watu tunataka tusikie mzee
Movie za HOLLYWOOD zinachangamoto sana
@@e7bits_tz changamoto gn kk
konka kama konka... haya sasa twende sambamba ....mi nasoma comment tu..... like zangu mnipe
Mzigo hatar sana nakubali sana kazi zako
Umetisha Sana mzgo.wa kwenda kabisa
konka nakubali kazi zako xema movie za Nigeria ume achia nying xan kwaiy kam inawezekan achia na Indian movie😅😅😅
Aaaaah uko vizuri kaka toa nyingine nying
Unajua na unajua tena🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimependa ety akaanza kumkuna ila we jamaa 😂😂
Konkaa mzee tunakupenda sana form🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Maraaa eeeeeeeh. yaanii konka unajua mpk unaa keraa 🙌🙌
Nikupe tu mauaa yako kilasiku unazidi kuwa bora hongera sana 🎉❤🎉
Niunyama sana nakukubali kwakutupa andisi kali sana
WE MI NDO WA KWANZ APA PITIENI WOOTE APA🙏
Like ilistaihili kwangu nimeangaliha hii 16:20
kwanzaaaaaaa
Mzeee unatisha sanaaaaaaaa❤❤
Unyama ni mwing🔥🔥 cjawahi kukupinga Kaka
Wamwisho Leo like bas 🎉
M wapili kutoka mwisho n unyamaa😅😅😅
Noma sana mzeee 👍👍
Iko powah bro....😊
Unyamaaaaa mwingiii❤❤❤
Aahhh jmn huwa utuangushiii kaka angu blessed sn
Konka sio powa unajua 🎉🎉🎉🎉😊😊😊
Konkaaa unajua ❤❤❤
Movies zako nzuri sana
Powa Sana👍👍👍
1❤ konka
Unyama KONKAAAA🔥🔥🔥🔥🔥💯
Dude lipoa kaka 🙌🏾🔥🔥
Naomb kujua usahihi wa kumimina wine plz nifahamisheni 😂❤😂
Our E7bits❤
Ao soko huru jomba 😂😂😂😂 🙌
Fireeeee
Kali nzuri konka
Kaka naona umepania mzeee mawe kila siku... 🫡💪💪
Makin sana kaka
😹😹😹….. imenibidi nicheke ety “eeh nenda kaitoe hiyo mimba”….
KONNKAAA🔥🔥🔥
🎉konka iko poah
Yaani mtu hata hajaangalia anawaza kuwa wakwanza
Mikuno is typing 😂😂
Kooooooonkaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas e7biiiiiiiiiiitiiiiiiiisßsssss
Umetisha mzee 🔥🔥🔥
Kazi nzurii 🔥
Izkonka wanaman🎉
Izkonkaaaaaa
Wa mwisho Mimi Leo naomben like zenu
Wakati mwengine kujitoafaham kwawatu tunaowapenda😂😂😂
Wakwanza nimewai from 🇦🇪
Konka unawezaaa baba
umetisha sana
Konkaaaaa🎉🎉🎉🎉❤
Wakwanza mimi jmn😂😂aya naomba mlike
Niya moto 🔥🔥🇨🇩
Nakubali kazi yako broo
Wa mia 🎉🎉
Broo upo vzr sana
Konka .....chuma n ya Moto sna
Unyama uko vyema sanaaaaaaaa🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
Kazi nzuri sana
Daah unajuwa kaka
Umetisha konka
Nimeipendaaaa
Wapiliii🎉🎉❤
Hili la leo Bovu sana 🔥
Unyama uko mwaaa❤❤❤
Oy konka unachelewesha mizigo sawa ulisha tuambia sababu ila kama utaweza zisivuke siku mbili basi au tukupe likizo ya mwezi mzima we jichimbie andaa mizigo full then iweke sikejo babu utuwaishie utamu.au tujue kabisa ratiba yako ya kuachia mizigo Sio ivi mzee
Nimeweka kazi mbili mpya kwenye channel yangu ndo ya E7max
Wa kwanza Leo sitaki like
Jikaze kaka kuna jamaaa naupiga mwingi huku jikaze sana
Wewe naye umetuchanganya dozii si amekufa na huyo ni dozii au tosini
Nakubali sana 7
Unyama kama wote
Dqah nomaa mkalii
Iko vizuri sana hiyo
Iko sawa
I love your recps broo