TAMAA ZA KUPATA PESA NA MADARAKA ZINAHARIBU MAISHA YAO | AFAMEFUNA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 เม.ย. 2024
- JIAJIRI KWA TSH LAKI MOJA NA NUSU TU (150,000)
1. UONGEZE KIPATO CHAKO.
2.ANZISHA BIASHARA KWA MUDA WAKO WA ZIADA.
3.WEWE NI MUELEWA NA UNAPENDA KUJIFUNZA JUU YA KUANZA BIASHARA HASA KWENYE UPANDE WA AFYA.
4. AU KUINUA TU UCHUMI WAKO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE
●SASA KAMPUNI YETU INAPANUA WIGO WA SOKO LAKE HAPA JIJINI
●HIVO TUNATAFUTA WATU AMBAO WAPO CHANYA WANATAKA KUONGEZA KIPATO CHAO NA KUANZA BIASHARA
●NI NINI TUNAFANYA?, TUNATUMIA MFUMO WA USAMBAZAJI WA BIDHAA UNAOMPA MTU NAFASI YA KUKUZA KIPATO CHAKE, KAMA NI WEWE AU UNAMFAHAMU MTU AMBAE ANAHITAJI KUKUA KIUCHUMI BASI USISITE KUTUTAFUTA
FIKA OFISINI
-Dar es salaam, Ilala Boma
-Dodoma,majengo independence square
-Arusha,Mega comple
PIGA SIMU NAMBA - 0758665268
Au tutafute kwenye mitandao ya kijamii @biashara inalipa
⚠️DIRECTOR:- KAYODE KASUM
Movie name : AFAMEFUNA
Genre : Drama
Year : 2024
Follow us :-
Instagram- e7bits?igsh...
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram- izkonka?igs...
Tiktok- tiktok.com/@izkonka - บันเทิง
Asante kwa kuja hapa, Enjoy….!❤
Bro naomba toa recap ya movie inaitwa DRISHYAM aisee bonge la story
We zera nataka niwe wakwanza kuangalia muvi nifanyejee???😊
Uwakika 🎉
Maryam uwe unaenda gheto kwa zee la kutune before hajatupia mzigo huku #youtube. 😂
@@Maryam-lc7xw1dy5t turn on notifications Bell 🔔 utakuwa wa kwanza kupata taarifa punde tu pindi video mpya inapo postiwa 😊
Leo nimeotea kwakwanza naombeni like zangu wapenz❤
❤
Maranyingi ending zinakua mbaya Ila hii Imeishia vizuri sana
Wakwanza apa nipeni like zangu
Unyama we ni nomaaaaa!!!!!.... Izkonkaaaaaaa
We jamaa UNAJUA kuchagua movie Kali zenye mafunzo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 E7bit forever ❤❤❤
Duuuh binge la story hili Amaka nae pisi kariiii😂🎉😂🎉
Unajua sana kwenye recap, kwan radio na TV hazikuoni
Huyo Afande kumbe yupo 🔥🔥🔥
AFAMEFUMA MNYAMA SANA MITANO TENA🖐🖐🤣🤣.
Dah jamani 2ache masiala uyu mwamba anajua🎉🎉
Mwanangu sasa hivi ndio naelewa kwanini huwa unachelewa ku drop mzigo na hata ukishauleta unaenda mbali kulikoni na hawa wadananda wantoa kazi kila baada ya masaa 3. Umenikumbusha mbali sana . Kanayo O kanayo watoto wa 2000 hawawezi nielewa
Unajua mpk unakela jamaa angu❤❤
Kaka, unajua🎉 yaan unaaaangalia movie mpk roho inapenda, uwe unatoa Kama is kaka🎉
Siku izi una chelewa sana kutowa movie sijuwi umekuwaje
Mapemaaa leoooo🎉🎉 naomben likes❤
Mipinduko is typing 😂😂😂
Unavineno fulaniii iviii vyakufurahisha
❤❤nachanganyikiwag na hzi movie akiii
Jman na me mgeni nipen like
Tangu nimeanza kufwatilia huu ukurasa hii ndio muvi bora kwangu❤
E7 inabidi unipe tuzo haiwezekani kila siku Niwe wakwanza konka❤
Paul, but afan ana moyo true love never Dead
Usiwe unatucgelewwshea sana bas nazipenda sana hz
Wa kwanza mimi leo nipeni likes zangu
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu....🔥🔥❤❤🙌🙌
Story inatuhusu sanaa sisi wafanya biashara I like it
Kaka ww unajuaa sanaaah baba salut
Story nzur ila usijelewe kutoa jmn😢
IKO VERY SMART SANA vraiment
TJR PHILANTHROPE FROM RDCONGO UVIRA 🇨🇩 NOUS SOMMES ENSEMBLE VRAIMENT
Like Kwa bitzs bhn❤❤
Kama utamua nyani kwa sababu ya hela,pesa zitaisha nyani atabaki😂😂😂😂
Kaz nzuri ubarikiwe
Kuna funzo hapa, kuna wale watu wanakuwaga wana connection ya mtu then anakuwa anakutishia uwe unampa hela la sivyo ataisambaza kwa watu... Basi ndugu yangu usirogwe ukajaa huo mtego maana atakugeuza wew ndio shamba lake la kuvuna hela na siku ukisema huna bado ataivujisha tu hiyo connection kwa watu na ukute ushampaga hela nyingi sana huko nyuma. 😂
Huyu jamaaa anajua sana
Kazi nzuri kaka
More love more life guy KONNNNKA ❤😂❤ BY
Kaka unasimulia vizur 😊😊
Nilimiss hii voice 😝
Leo nimewahi nimekuwa wa 41 asante mwamba tunainjoi tuuu unajua sana kutufurahisha mwamba ❤❤❤
bongeee mojaaa la move
Bado kdg tu ufike 100k upate silver award
Daah movie Kali sana aisee
nikiwa kama mwn family wa E7 na E7 max hamna baya wakuu 🙌🙌
Afamefuna ndo mwenye makosa😢
Sautiii tuuu❤❤❤
Sahv unenda vzr. ❤❤❤ Mungu akupe afya njema
Unyama xana zee la ku tun zee la town ❤🥰
Asante sana❤❤
Unajuwa sana
Dah hii noma sana kuna namna inagusa sana hisia
Wa Nigeria 🇳🇬, wametuacha mbali sana
Broo thank you so much kwa movie
Nomaaa hii
Wa kwanza jamn
Wahi kutoa broo wenginetunaboeka sana
Asante tamu kwel
Wakwanza leo
Hii kitu ni noma
Kaka we wamoto mzee, hongera!
❤❤❤❤❤ Asante
uko vizur broo ❤
Salute sana bro
Hakika mwamba uko vizuri
Huu unyama asikwambie mtu mzee wangu..
paul kazengua
Wa kwanza leo naomba like zangu
Bless kak
Aise n bonge la movie aise kaka
Mmh hili noma sana. 🔥🔥🔥
Dah kal bro🎉
Mapema sana
Unyama huo 😂😂😂
Kazi nzurii 🤗🤗🤗🤗
My brother @e7bits_tz
Always nasubir notification ya unyama
Hujawahi kuniangushaa byee🖐️👍🤣
Mungu abariki kazi za mikoni yako kaka yangu
Mufanya biashala ndo anaielewa ❤burundi 🇧🇮
Jaman nikitazama hiz ki2 huwa nasahu shida zangu zote😂😂
We ndo mwenye makosa unachelewesha sna bhn😢😢
😅😅😅😅😅😅
@@faidhamarwa2458😂😂🙈
We ndo konkaaaaaa vitu amazing xanaaaa
We jamaa ni nomaaaaa Kwa cmulizi
Asante dj
Nmesikiliza movie nying hat e7bits Ila hii imeua
❤
Unatisha Sana mwanangu❤
Really 🎉
Nkali afemefuna unyama mwingi
kipajii hchoo kk👏👏
🔥🔥🔥
Nice
Wow❤
Wakwanza
Konkaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌
Napenda sana kukufatilia
Ishimaaa kwako♥️♥️♥️
Afamesia unyama
Huu unyama konka
Tuletee movie inao itwa MISSING,
Iko pow