JAMAA ANAPITIA MAISHA YA MATESO NA MAUMIVU JE ATATOBOA?| IG3(2023)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- ⚠️CREDITS
Watch Full movie on : PRIME VIDEO
Movie name : IG3 TH3 OIL M3RCH4NT
Genre : Drama
Year : 2023
Follow us :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@e7bits
Follow KONKA on Social :-
Instagram-www.instagram....
Tiktok- tiktok.com/@izkonka
Kiukweli leo siku yangu ilikuwa ngumu sana sana sana yani nashindwa kuelezea😢 lakini hii move imenifanya nikumbuke kwamba MUNGU YUPO NA ANANIONA🙏 MUNGU WANGU WA MBINGUNI NAOMBA NA KUWAOMBEA WOTE WANAO PITIA CHANGAMOTO YOYOTE ILE KESHO YETU IWEKAWE YA NEEMA NABARAKA NYINGI KUPITIA WEWE
(AMINA)🙏
AMINA🙏🥂
Wa kwanza kulike Toka Tanzania gonga like kama tupo pamoja na @izkonkaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🔥🔥🔥
💯
Kama unawachukia madingi wanaotelekeza familia gonga like hapa,,,,,
Mm wakwanza Leo naomba like kama pongezi🎉🎉🎉
Wakwanza please likew🎉😂kula chuma hyo kama team ya 7 bit gonga like hapa
🙌🥂
Kama Una mkubali 7bits like hapa
Sio lazma
j@@ElmarceloViera Kwendaaaa
Daah hii move imenikumbusha mbali san tumepamban San na mama tumehangaika wee amefaliki ndo tunaanza kupata nafuu ya maisha akiwa hayup na tulipanga kumfanya afrahi maisha lakin hayupo ten daah inauma san😢😢😢😢
Pole sana
😢😢
@@kudrakondo9424 Asante kaka
Pole sana nimungu pekee nd anae panga Haina haja ya kuhuzunika yote nayote mshukuru mungu2
Uyu jamaa kafanana na madebe sana😂😂😂
Ramadhani karim wapenzi humu ndani asante mwamba❤️❤️❤️ tunainjoi tuuu ila leo nimechelewa 😢
Asante pia
Hi
@@NgonyaniGift hi to
@@NgonyaniGift hi to
oya respect kwenu, kuna jamaa wanafanya lakini sio kama nyie your the best.
Wa kwanza mimi nipeni like zangu jaman
Bado mungu ni mwema t mwamini ❤
Nipeni like zangu wa kwanza comment
Ya Leo muvi ya Moto kishenzi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sijapenda mama kufa kabla ajala matunda ya mwanae
mwanamke anaweza fnya ukafanikiwa na mwanamke uyo uyo anaweza kukuta umefnikiwa kama ana akili ya maisha unaweza ukafilisika pia
Uko sw bos ila sio kwa sas mana wascha wa sasa mhhhh niatali
Wa kwanzaaaaaa leooooo naomba like zangu jamanii😂😂😂
Mbona kama Kuna watu wanafanya recover kwenye Kaz Yako alafu Wana haribu kisenge an
Unajua sana hatuwezi kupata mtu anae simulia story vizuri Kama ivi
Daaah jamaa hiyo muvi naona kama nimetengenezewa mimi 😢😢
Nzuri san hongera Dj wetu
Kama unamkubari bashiru like apa 😂
😂
Kila nikitak kuwa wakwanza wp nipeni ata like 5 bc wanangu wa 7bits
Chukua🙌
👊
Nakubali sana now sinahaja yakwenda kuchukua movie za hawa wanaotafsili ujinga movie hata hawaijui wao wanaongea vitu ambayo havipo kabisa
My real life with my hubby hiz stor zipo kwenye maisha halis kabsaaaa siyo move tu
❤❤❤❤ sana
Dah wamenitaja jina tangu Asante sana kak
He Mungu nakuomba sku moja uninyanyue kivingne kabisa amen
Namkubali🎉🎉🎉
Wakwanza like zangu jaman
Haya like zangu leo❤
mwisho wa siku tunafunzwa kujua ndoto ya kutoboa huwa inakuwa ndogo na unaweza usiichukulie poa ila ukiizingatia huwa na maono makubwa
Hatimae na mm leo ni WA kwanza any way kazi nzuri❤
🙌
Ww jmaaa upo vzur sana htr dah
7bits uko poa kinoma Yan 😍😍
Mwamba unajua sanaaa
Unyama Konka🔥🔥🔥🔥
Hatari
Stor Kali sana 🔥🔥
Nazikubal sana kaz zako broo. ALLAH akuzidishie kipaj chako. ❤❤❤ konkaaa. 🎉🎉🎉🎉
Aamina🙏
Wakwanza 🤚🤚
Hii niya moto 🔥🔥🔥 sana ,wa kwanza leo jamani naomba like zangu 🙏🇨🇩
Chukua
Asante sana kaka 🙏
Weee hizi fanta zachupa ya kigae zilikuwa tamu sanaa hizii
😂😂😂😂bashiru sio kwahiyo huyoo mimi kabisa
😂
Yani Jina rangu kabisa ila Sema nakukubali sana kaka na utalatibu wa kujiunga upoje
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nipeni laiki zangu nimekuw wakwanza
Kama unamwelewa Mrs ayinke gonga like 😢😢😢😢
Turn on notifications bell🌚
🔔🔥
Kama unakubali iizi zaki Nigeria like
🥂
We msenge Ndo unajua
Jman huy mwengine ana kaa madebe lidai😂
Wow❤❤❤
Nzuri Sana sema mtoto atujamuona
Daah! Nimechelew❤❤❤❤❤
Izkonka unatisha sanaaaaaaaaaa
Bro umenikosha kabs man istory imenigus kbs ❤❤❤
Nakubali boss wng
Kama unamkubal konka gonga like aendelee kuleta vitu oug👍
🙌🙌🙌
❤❤❤
Noma Sanaa
🙌
Bashiru AKA #MA
DEBE
Nace❤❤
WA 2 LEO NAOMBEN LIKE ZANGU 🤲🤲🤲
🙌
Mungu akubariki Sana mzee babaa pia ukoepushe na maadui zako. Maana wengi tunaburudika kwa kipaji chako
Broo Kuna movie inaitwa the capture naomba uifanyie mchakato,, lakni iko poaaa sana
Okay okay
Napenda sana7bits sikosagi kabisa ❤
Bless up
Leo nimekuwa wakwanza kucoment
Bro wenoma eshimazako waspapee ❤❤
Me wa kwanza jmn kuangalia
🙌🙌🙌
ASante
Bashiru ana jichoo😂😂
Daah hi kali sana bro
Dah broo kipaj ch saut unach
konkaa
7bits poa
Mpaka machozi yani😢
Nimependa hizi story zinafundisha
Sanaa❤
I love it 🥰 ❤❤
Never give up on your dreams.
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuuu🔥🔥🔥❤🙌
Wa kwanza 🎉
huna bayaa E7bits 🔥👏
Asante sana
You mama abarikiwr saana kwa maamuzi yake yako kubwa
Nimejifunza saana hii move
Kaka tufanyie recap ya movies za moris sam plz
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas
Lkn Bashiru n mzee 😂😂
Dakika 10 comment 64 views 616 watu mpo faster jmn...😂❤nawapenda xn team E 7bit wenzangu
Nawapenda pia
@@e7bits_tz unaweza tuletea movie ya what happened to monday..nmeiona kule kwa e7bit max xema cjaenjoy amepooza
Nkubali kaz hun baya❤🎉 congratulations 😊
Nice
E7bits unajua kka
Niko wa kwanza naomba like zangu🎉🎉🎉🎉🎉
Chukua🙌
🔥🔥🔥
Wakwanzaaa my likes 😊😊
We unajua unajua sana broo
Nakubali sn kazi Yako bro❤❤❤
daaa watu mpo vizur
Unyama mwingi kaka
Grinding imekushinda kumalizia
Kwa hyo hujui kama imeisha😂
@@e7bits_tz mie sijui ndiomaan nimesema hivyo sijui naipataje
Ingia kwenye channel, kipengele cha video utaiona…
🎉🎉🎉
Aaiseh konka anajuaaaa aiseh
❤
Nashkur sana