BAKARI SHINGO NA JERRY SILAHA WALIVYO KUTANA LEO KWENYE UTATA WA ARDHI YA BAKARI SHINGO💔NA💔SERIKAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 33

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi nzuri waziri wetu. Naomba ufanye hivyohivyo tanzania nzima ili tupate pesa halmashauri.

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mueshimiwa Silaa na kupenda sana
    Mueshimiwa Raisi Samia suluu
    Amechagua jembe

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 8 หลายเดือนก่อน +1

    Alha akufanyieni wepesi inshallah
    Kwenye uongozi wako

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 2 หลายเดือนก่อน

    Kwer nimeamini shule nayo hinasaidia mana shingo hana lopoka tu maskini😅😅hata hanaloliongea hamna

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa ni jamba ziìiì

  • @libeberu
    @libeberu 2 หลายเดือนก่อน

    Kwenye hapa Mwanasheria Jerry Slaa, alinyooshwa na bwana shingo

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni Bwege anajiamini nini si Mkamtie Isanga Dodoma akachezee Kifungo...Bwege tu

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 5 หลายเดือนก่อน +1

    Helimu nikitu muhim yaani huyu jamaa anaropoka tu kama mwenye haki kweli huyu ndo shingo ngumu mwenyewe

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 2 หลายเดือนก่อน

      Hana akili timamu mdomana

  • @upendokibuga1434
    @upendokibuga1434 7 หลายเดือนก่อน

    MH.WAZIRI PITA TENA MAPINGA UTAPELI NA MATAPELI WA ARDHI NI MKUBWA

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 หลายเดือนก่อน

    Waziri Slaa njoo Mikocheni B barabara watu wanajenga na kuziba wanawekea alama ya kubomoa wanafuta na kupaka rangi tunapita na gari hata moja kwa shida ndivyo walivyo na k
    Viburi hawa wanaotoa hongo. Njoo Mikocheni B Ushindi street kuliko na kanida la wasabato.

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo jamaa jeuri sana😅

  • @amaniashery7762
    @amaniashery7762 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tapeli jeuri

  • @absalomnamoyo7176
    @absalomnamoyo7176 7 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu anaongea bila heshima na adabu

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 7 หลายเดือนก่อน

    Much know

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 5 หลายเดือนก่อน

    FIDDA HUSSEIN NI FISADI PAPA WA NYUMBA ZA WATU

  • @chogaissa1619
    @chogaissa1619 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani kumwita kunagharimu shingapi! Hapo Kuna kitu ndo maana wafanyabiashara wenxie wanampigia makofi mnalazinisha nnn

    • @kitomondo
      @kitomondo 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂 Hamna kitu hapo. Umiliki wa ardhi siyo siri. Umiliki wa ardhi ni public record.

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 7 หลายเดือนก่อน

      Hao siyo wafanyaBiashara wenzie hao ni Kikundi chake alichokiandaa kinamsaidia kupiga Pesa..Mambo mengine muwe mnayang'amua on time

    • @user-ln5ci9mz8u
      @user-ln5ci9mz8u หลายเดือนก่อน

      Sema jamaa ata Kam ana haki ila anaongea sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 หลายเดือนก่อน

    Hqwa wakisha toa rushwa kwa wruhusa ya kufanya biashara isivyo halali . Ndiyo sababu wanakuwa jeuri kiasi hicho.

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu jama nihatari sana kama mtu wakawaida anakuuwa

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 7 หลายเดือนก่อน

      Umeonaeee anakuua kweli kauzu mbishi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 7 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wengi hapa Dar wengine wanauza nyumba mara hata kumi. Na bado wanakuwa wababe na kwa kwa sababu tu wanauwezo wa pesa za kuwaonga kokote sasa ununuwe nyumba kukabidhi inakuwa matatizo kama hayo mikokononi mwa wajanja wa Dar.

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 7 หลายเดือนก่อน

    Mbona hili jambo si kubwa la wazir kuacha kazi za msingi hili no jambo la kumwita ofisin then mwisho kutoa uamuzi

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Mzee huyoooo ni tapel ndo maana maneno mengiiiiiiii n ujuaji mwigiiiiii sukuma ndani huyo mtu

  • @gabynation5406
    @gabynation5406 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tatzo lake anaongea sana

    • @nyiqatonyiqa7114
      @nyiqatonyiqa7114 2 หลายเดือนก่อน

      Hata wee umekerwa kaa mie hapa 😢😢😢

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 7 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa uko makini, huyo ni MTOTO WA MJINI TAPELI MZOEFU anaongea kama chiriku ondoka naye Tapeli huyu

    • @user-qh2bx5em6j
      @user-qh2bx5em6j 2 หลายเดือนก่อน

      Hana adabu anaongea na Waziri kama vile anaongea na muhuni mwenzake

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee hazimtoshi aki😂😂😅