WAZIRI SILAA AINGILIA KATI JENGO LA BAKWATA LILILOPORWA, LAGEUZWA KUWA DANGURO, KATIBU MKUU AONGEA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Silaa amefanya ziara le Jan 18,2024 ya kukagua jengo linalodaiwa ni mali ya Bakwata
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    TH-cam: / @babdeomiladu

ความคิดเห็น • 56

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 8 หลายเดือนก่อน +3

    Nyinyi bakwata mnashangaza sana, mnachokifanya hata hakijulikana, poleni sana

  • @AbdallaBakar-u3z
    @AbdallaBakar-u3z 7 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri upo vizuri sana okoa mali za watu

  • @allymnyenye8109
    @allymnyenye8109 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa ushauri wangu namuomba Mama Ampe ulinzi mkubwa Muheshimiwa manake kwa akili na upeo wa kawaida tu ipo mijitu itatumwa kumdhuru

  • @bakarishekigenda731
    @bakarishekigenda731 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hiisasa nzuri hatahukukwetu maeneo mengi ya bakwata yamehodhiwa na viongozi wasio waadilifu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 8 หลายเดือนก่อน +3

    ,taasisi zilizo Chini ya bakwata zinadhulumu Sana waislam kuihujumu serikali

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 6 หลายเดือนก่อน

    Nimeangalia hili waislam tumshukuru mungu ndiye hakim

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 8 หลายเดือนก่อน +1

    Bakwata majizi mitupu,
    Waporaji za ummah,
    Eti leo nao wameporwa eneo😅😅😅

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน

    Huhu Waziri kila siku yuko Site sidhani kama ana kaa ofisini. Big up Waziri Sla.

  • @ZaidSeifSuleiman-q9w
    @ZaidSeifSuleiman-q9w 8 หลายเดือนก่อน +2

    Bakwata kazi yao nikula mali za wakf na kuuza mali zao

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi ndio harakati sasa za kuleta maendeleo kwa waislam. INSHAALLAH ALLAH awaongoze vyema.

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 8 หลายเดือนก่อน

      Maendeleo ya uislamu hayapatikani kwa kuhozi mali za wakfu, uislam unajengwa kwa IMANI NA MATENDO MEMA. Hayo ndio maendeleo ndani ya uislam. Uislam ni chombo SALAMA . Vinginevyo ni kumuudhi Allah ambaye mjuzi asiye danganyika.

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@ismailsoud3634 Soma dini uache kuwa zuzu na mjinga na kukariri mambo, Wewe unajua maana ya wakfu? Au kurejesha kilicho tolewa wakfu haifai? Kwaio Wewe ulitaka waendelee kulifanya jengo hilo dangulo? Kurudisha kilicho ibwa au tapeliwa haifai? Au Wewe ulitakaje kwa mfano yani!?

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      @@ismailsoud3634 Uislam halisia lazima apinge udhalimu ,Wizi, utapeli na kusimamia misingi yake na ndio maana wanarejesha kilicho tapeliwa, Hakuna taasi iliyoanzishwa na binadamu iliyokamilika na wala huwezi wapata watu walio kwenye taasisi hizo wakawa wakamilifu, Kama binadamu tunamapungufu na madhaifu mengi,Na hata taasisi zetu pia zina madhaifu na mapungufu mengi, Taasisi isiyo na mapungufu wala madhaifu ni ile ilio anzishwa na MUNGU mwenyewe sio binadamu. Kama huna mapungufu au madhaifu wakupe uongozi Wa waislam uongoze tuone wema wako.

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 หลายเดือนก่อน +3

    Wanakudanganya hao malizote wamepena wenyewe kwenyewe

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 8 หลายเดือนก่อน

      Ndio walipenaa kindezi sasa imekula kwao litarudi

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 5 หลายเดือนก่อน

    Samia sijui alifkiria nini kumteuwa slaa kwenye hii wizara maana anaimudu sana

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 6 หลายเดือนก่อน

    Hilo Bakwata lenyewe mtihani mkubwaa kwa waislamu wa Tanzania

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 7 หลายเดือนก่อน +1

    BAkwata Wao ndio wana shirikiana na Matapeli kutapeli Mbona RC Hawana Hayo kwanini? Waotu

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad617 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nita furai mkaenda Na markazi chang'ombe kiwanja chetu

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas4197 6 หลายเดือนก่อน

    Kuna eneo kubwa sana pale Chang'ombe Dar, hata Sheikh Ponda Issa Ponda aliwahi kusema mali nyingi sana za waislam zimehodhiwa na viongozi wa bakwata, na nyumba za WAQFU nyingi tu zimeuzwa ama kutumiwa visivo halali.
    Tena kama Dar ni maeneo mengi sana hawa viongozi wa bakwata njaa sana

  • @feisalboy6702
    @feisalboy6702 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ht wakirudishiwa wanayauza ht magufuli aliwahi kuwaambia haya bakwata

  • @mohamedmhina6
    @mohamedmhina6 6 หลายเดือนก่อน

    Ni waziri anaeupiga mwingi
    Laminitis waziri kuna siri gani na shati nyeupe

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun9694 7 หลายเดือนก่อน +2

    NGOMA INOGILE, JE MALI ZOTE ZA WAISLAM TANZANIA ZITARUDI? TUNAOMBA FUPA LA CHAN’GOMBE LIWEKWE WAZI”.

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 6 หลายเดือนก่อน

      Pale ndio kimbembe sasa

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 7 หลายเดือนก่อน

    Allah awape afya njooni na singida ilongero waislam tumetapeliwa shule ambae tulijengewa kwa msaada wa mfti wa kwanza wa Tanzania baadaya mufti kufariki aliekua ktb wake akajakuibinafsisha ikawa ya familia yake na habari hizi ofisiya mufti sasa inahabari lakini imenyamza haija chukua hatua yeyote,,

  • @alimaulid9543
    @alimaulid9543 6 หลายเดือนก่อน

    Ndo maana bakwata watu wengi hawaikubali kutokana mambo yao

  • @Mkonkotolyo
    @Mkonkotolyo 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani hizi simu za kutoka China zipigwe marufuku zina kelele saana

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 8 หลายเดือนก่อน

    15:55 kama hii ya Ansar NI kitega uchumi cha kikundi kinachojiita baradha wadhamini haiwasaidii waislam na kumdhulumu mjane mayatima na kumfungulia kesi ya uvamizi pamoja kudhulumu watashinda wao kwakuwa mjane ni mnyote hana wansema wazi wao wenye tanga 😊

  • @banihashim5347
    @banihashim5347 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nuhu mruma na mufti wako ni wezi watupu, ushahidi tunao waislam

    • @yusuflittanda2949
      @yusuflittanda2949 8 หลายเดือนก่อน

      Toa ushahidi ili tujue sote ndugu yangu kwa wema na amani tujenge inshaAllah

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 6 หลายเดือนก่อน

      Mmmh

  • @MwinyiChanz
    @MwinyiChanz 8 หลายเดือนก่อน +1

    BAKWATA Mataperi Wameuza Mali Nyingi Za Waislam

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 8 หลายเดือนก่อน

      Hata mbinguni hawatajiki vizuri.

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 6 หลายเดือนก่อน

    Eti mali yauma wapen wauze hao bakwata

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 7 หลายเดือนก่อน

    Mnaficha nani anaemiliki hiyo nyumba sasa ? Kati ya hao hao, wakfu wa nyumba hiyo hawakupewa Bakwata, ilikuwa kwa taasisi nyingine, serikali ndio iliwapa Bakwata. Hapo kulikuwa na wapangaji na walikuwa wanalipa kodi. Baadae wakaondolewa wakampa mtu mmoja, wanamjua. Wajanja wengi Bakwata.

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 8 หลายเดือนก่อน +1

    Msimtapeli alie uziwa mmeuza wenye we mnadai wenyewe.

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 6 หลายเดือนก่อน

      Alieuziwa nyumba ya WAQFU nae mwehu tu, unanunuaje mali za taasisi vichochoroni?
      Hiyo imekula kwake

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 7 หลายเดือนก่อน

    hao bakwata ni vibaka wezi watupu shenzi hao

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 8 หลายเดือนก่อน

    Bakwata ni wale wale😢

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo2464 7 หลายเดือนก่อน

    Bakwata ndio wakulaumiwa

  • @AllyHamran
    @AllyHamran 7 หลายเดือนก่อน

    Nchi ina mabeberu hii kisha vilemba vikubwa mbele ya kibla.

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 7 หลายเดือนก่อน

    Mahakama vipi Tena? Kuna haja ya kuwa na Mahakama kweli? Itabidi tutafute chombo mbadala was hizi Mahakama, Hizi Mahakama ndizo zimetufikisha hapa tulipo sasa! Mawaziri sasa wamekuwa Mahakimuu,

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga4348 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa waziri ww nnaiman utayaweka sawa

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 7 หลายเดือนก่อน

    AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA BAKWATA.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 8 หลายเดือนก่อน

    Wakfu

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 8 หลายเดือนก่อน +3

    Acha usanii wewe hao bakawta walopita nanyinyi wa sasa munatofauti gani?

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 8 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo waziache zizidi kuporwa na zitumike vibaya kwa kufanywa madangulo kama hivi au vipi?!

    • @swalehemrombo9301
      @swalehemrombo9301 8 หลายเดือนก่อน

      ...watu wengine hawajiwlewi kakaa​@@rayisadesigns2646

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      Wewe jinga Sana Kabisa

    • @HAMZADADI-y9p
      @HAMZADADI-y9p 8 หลายเดือนก่อน

      Kazi inapofanyika ki uwazi kama hv ,na kuonekana ktk vyombo vya habari ni kuwapongeza viongozi wote kwani ni ushahidi na vizazi kwa vizazi vyetu vijavyo,HONGERENI BAKWATA HONGERENI SERIKALI,

    • @abdullahmasakata170
      @abdullahmasakata170 8 หลายเดือนก่อน

      Upewe wewe uongoze ulie msafi na mtakatifu na usie msanii.

  • @RichardAugustino
    @RichardAugustino 6 หลายเดือนก่อน

    Hv huyu waziri ana shati moja tu?? Maana kila siku ni hilo hilo tu

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 6 หลายเดือนก่อน

      Mpe msaada

    • @zubeiramlanzi2480
      @zubeiramlanzi2480 6 หลายเดือนก่อน

      Anayo mengi na yote yanafanana ata akibadilisha we utaona ni kama lile lile

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 6 หลายเดือนก่อน

      @@zubeiramlanzi2480 lkn hata hvy yy yamuhusu nini maisha ya mtu Jmn