WAZIRI SILAA AINGILIA KATI JENGO LA BAKWATA LILILOPORWA, LAGEUZWA KUWA DANGURO, KATIBU MKUU AONGEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Silaa amefanya ziara le Jan 18,2024 ya kukagua jengo linalodaiwa ni mali ya Bakwata
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
TH-cam: / @babdeomiladu
Nyinyi bakwata mnashangaza sana, mnachokifanya hata hakijulikana, poleni sana
Waziri upo vizuri sana okoa mali za watu
Kwa ushauri wangu namuomba Mama Ampe ulinzi mkubwa Muheshimiwa manake kwa akili na upeo wa kawaida tu ipo mijitu itatumwa kumdhuru
Hiisasa nzuri hatahukukwetu maeneo mengi ya bakwata yamehodhiwa na viongozi wasio waadilifu
,taasisi zilizo Chini ya bakwata zinadhulumu Sana waislam kuihujumu serikali
Nimeangalia hili waislam tumshukuru mungu ndiye hakim
Bakwata majizi mitupu,
Waporaji za ummah,
Eti leo nao wameporwa eneo😅😅😅
Huhu Waziri kila siku yuko Site sidhani kama ana kaa ofisini. Big up Waziri Sla.
Bakwata kazi yao nikula mali za wakf na kuuza mali zao
Hizi ndio harakati sasa za kuleta maendeleo kwa waislam. INSHAALLAH ALLAH awaongoze vyema.
Maendeleo ya uislamu hayapatikani kwa kuhozi mali za wakfu, uislam unajengwa kwa IMANI NA MATENDO MEMA. Hayo ndio maendeleo ndani ya uislam. Uislam ni chombo SALAMA . Vinginevyo ni kumuudhi Allah ambaye mjuzi asiye danganyika.
@@ismailsoud3634 Soma dini uache kuwa zuzu na mjinga na kukariri mambo, Wewe unajua maana ya wakfu? Au kurejesha kilicho tolewa wakfu haifai? Kwaio Wewe ulitaka waendelee kulifanya jengo hilo dangulo? Kurudisha kilicho ibwa au tapeliwa haifai? Au Wewe ulitakaje kwa mfano yani!?
@@ismailsoud3634 Uislam halisia lazima apinge udhalimu ,Wizi, utapeli na kusimamia misingi yake na ndio maana wanarejesha kilicho tapeliwa, Hakuna taasi iliyoanzishwa na binadamu iliyokamilika na wala huwezi wapata watu walio kwenye taasisi hizo wakawa wakamilifu, Kama binadamu tunamapungufu na madhaifu mengi,Na hata taasisi zetu pia zina madhaifu na mapungufu mengi, Taasisi isiyo na mapungufu wala madhaifu ni ile ilio anzishwa na MUNGU mwenyewe sio binadamu. Kama huna mapungufu au madhaifu wakupe uongozi Wa waislam uongoze tuone wema wako.
Wanakudanganya hao malizote wamepena wenyewe kwenyewe
Ndio walipenaa kindezi sasa imekula kwao litarudi
Samia sijui alifkiria nini kumteuwa slaa kwenye hii wizara maana anaimudu sana
Hilo Bakwata lenyewe mtihani mkubwaa kwa waislamu wa Tanzania
BAkwata Wao ndio wana shirikiana na Matapeli kutapeli Mbona RC Hawana Hayo kwanini? Waotu
Mimi nita furai mkaenda Na markazi chang'ombe kiwanja chetu
Kuna eneo kubwa sana pale Chang'ombe Dar, hata Sheikh Ponda Issa Ponda aliwahi kusema mali nyingi sana za waislam zimehodhiwa na viongozi wa bakwata, na nyumba za WAQFU nyingi tu zimeuzwa ama kutumiwa visivo halali.
Tena kama Dar ni maeneo mengi sana hawa viongozi wa bakwata njaa sana
Tatizo ht wakirudishiwa wanayauza ht magufuli aliwahi kuwaambia haya bakwata
Ni waziri anaeupiga mwingi
Laminitis waziri kuna siri gani na shati nyeupe
NGOMA INOGILE, JE MALI ZOTE ZA WAISLAM TANZANIA ZITARUDI? TUNAOMBA FUPA LA CHAN’GOMBE LIWEKWE WAZI”.
Pale ndio kimbembe sasa
Allah awape afya njooni na singida ilongero waislam tumetapeliwa shule ambae tulijengewa kwa msaada wa mfti wa kwanza wa Tanzania baadaya mufti kufariki aliekua ktb wake akajakuibinafsisha ikawa ya familia yake na habari hizi ofisiya mufti sasa inahabari lakini imenyamza haija chukua hatua yeyote,,
Ndo maana bakwata watu wengi hawaikubali kutokana mambo yao
Jamani hizi simu za kutoka China zipigwe marufuku zina kelele saana
15:55 kama hii ya Ansar NI kitega uchumi cha kikundi kinachojiita baradha wadhamini haiwasaidii waislam na kumdhulumu mjane mayatima na kumfungulia kesi ya uvamizi pamoja kudhulumu watashinda wao kwakuwa mjane ni mnyote hana wansema wazi wao wenye tanga 😊
Wewe nuhu mruma na mufti wako ni wezi watupu, ushahidi tunao waislam
Toa ushahidi ili tujue sote ndugu yangu kwa wema na amani tujenge inshaAllah
Mmmh
BAKWATA Mataperi Wameuza Mali Nyingi Za Waislam
Hata mbinguni hawatajiki vizuri.
Eti mali yauma wapen wauze hao bakwata
Mnaficha nani anaemiliki hiyo nyumba sasa ? Kati ya hao hao, wakfu wa nyumba hiyo hawakupewa Bakwata, ilikuwa kwa taasisi nyingine, serikali ndio iliwapa Bakwata. Hapo kulikuwa na wapangaji na walikuwa wanalipa kodi. Baadae wakaondolewa wakampa mtu mmoja, wanamjua. Wajanja wengi Bakwata.
Msimtapeli alie uziwa mmeuza wenye we mnadai wenyewe.
Alieuziwa nyumba ya WAQFU nae mwehu tu, unanunuaje mali za taasisi vichochoroni?
Hiyo imekula kwake
hao bakwata ni vibaka wezi watupu shenzi hao
Bakwata ni wale wale😢
Bakwata ndio wakulaumiwa
Nchi ina mabeberu hii kisha vilemba vikubwa mbele ya kibla.
Mahakama vipi Tena? Kuna haja ya kuwa na Mahakama kweli? Itabidi tutafute chombo mbadala was hizi Mahakama, Hizi Mahakama ndizo zimetufikisha hapa tulipo sasa! Mawaziri sasa wamekuwa Mahakimuu,
Kwa waziri ww nnaiman utayaweka sawa
AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA BAKWATA.
Wakfu
Acha usanii wewe hao bakawta walopita nanyinyi wa sasa munatofauti gani?
Kwa hiyo waziache zizidi kuporwa na zitumike vibaya kwa kufanywa madangulo kama hivi au vipi?!
...watu wengine hawajiwlewi kakaa@@rayisadesigns2646
Wewe jinga Sana Kabisa
Kazi inapofanyika ki uwazi kama hv ,na kuonekana ktk vyombo vya habari ni kuwapongeza viongozi wote kwani ni ushahidi na vizazi kwa vizazi vyetu vijavyo,HONGERENI BAKWATA HONGERENI SERIKALI,
Upewe wewe uongoze ulie msafi na mtakatifu na usie msanii.
Hv huyu waziri ana shati moja tu?? Maana kila siku ni hilo hilo tu
Mpe msaada
Anayo mengi na yote yanafanana ata akibadilisha we utaona ni kama lile lile
@@zubeiramlanzi2480 lkn hata hvy yy yamuhusu nini maisha ya mtu Jmn