MAGUFULI - "JANUARY MAKAMBA ALINITUKANA, KANIOMBA MSAMAHA, NIMEMSAMEHE"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- MAGUFULI - "JANUARY MAKAMBA ALINITUKANA, KANIOMBA MSAMAHA, NIMEMSAMEHE"
Rais Dkt John Magufuli, leo Septemba 04, amehudhuria mkutano wa mashauriano wa mwaka wa AQRB, CRB, ERB na wadau wote wa sekta ya ujenzi nchini...
Mkutano huo umeitishwa na Waziri mwenyeji wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano, Isack Kamwelwe, pamoja na viongozi wengine wa serikali.
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Rais wangu, ninavyokupenda......anajua Mungu.
Uishi miaka mingi sana na akubariki sana sana
🙉 nikiangalia kiukweli uwezo unao na nguvu unayo na umeumia kwa kukutukana kwao lakini umewasamehe iyo ni ishara ya uchamungu,n'a Mungu muumba mbingu na Ardhi ndio mwenye malipo mazuri kwako Rais wangu , amesema tusamehe,tumshukuru,na tusimkufuru,Mungu akujaalie subira zaidi ya hiyo ulioionyesha Allahumma Amiin
dah JPM wewe ni bora sana Mungu akupokee huko uliko ukawaongoze malaika wa mbinguni Tunakupenda sana JPM
Kiongozi wa Viongozi. Anaitwa JPM. Mungu akulinde wewe na Wa Tz wote. Amina. Amina. Amina
Mwenyezimungu akuulaani kwa kuua makampuni na biashara pamoja na utaliii
Mungu akubariki sanaa kwa Rais wetu kwa moyo wa msamaha, ciku zote mti wenye matunda hupigwa mawe Mungu akuongoze kila hatua unayoiendea aweke ulinzi juu yako.
Safi sana mheshimiwa rais huo ndio moyo wa mungu, mungu akutunze
Alimtukana raisi na leo hii mama amemchagua awe wazir wa nishat, so sad kwa kwel
Rip Magufuli😭🙏🙏🙏
Aki ww Mungu akubariki
Hongera Mh Rais kwa kuwa na Hofu ya Mungu
Uliwasamehe mashetani na majoka hukuwajua waliomba msamaha wa uongo wanafki sana
Nakupenda mno Maguful
kalale nae CHATO tutajua kama kweli, mkale marungu ya moto pamoja
Wewe rais wangu usiposamehe umeweka ukuta kati yako na Mungu .asante sana Kwa kusamehe. Mlio omba msahaha hongera sana (obedience is a key ) Mungu amewasamehe pia Kwa hili .hats sisi watz tumesamehe na kusahau Amen Amen
Nakushukuru Raisi wangu kwa uamuzi huu wa utengamano katika Taifa. Tunapaswa kuponyesha si kutonesha. Hakika Vijana hawa ni " YOUNG LEADERSHIP MATERIAL", isingekuwa busara kuweka mbele visasi na hivyo kuzuia michango yao chanya kwa nchi yetu inayohitaji mbereko imara kutuingiza katika usasa. Vipaji hivi vitumike kikamilifu hata katika mazingira yakukubali kutokukubaliana. Mheshimiwa Raisi niseme nini basi isipokuwa neno la kimiujiza yaani ASANTE na Mungu akulinde kwa mabawa yake kimwili, kifikra na kiroho. Amina.
Mhh,ww uliwasamehe Ila wao wametoa uhai wako
RIP MH JPM MWENDO UMEUMALIZA IMANI UMEILINDA NAAMINI HUKO ULIKO UNAONA WANAFIKI WAKO LIVE
Jamani JPM duh upumzike kwa Amani Amna namna
Aiseee hii imenifanya tena machozi yanitoke.
Uongozi jalala, samehe 7x70 babaangu.
God bless you like it
R.I.P MZEE WETU JPM
Kiukweli Jpm kilasiku r.i.p roho yako ikumbukwe Tz
Allah akuweke pema, panapo stahili, kiongozi wetu.
Allah? wewe mzima? tokea lini kafiri akaingizwa peponi? mwache ale moto kile upande wake
Wewe mkuu unajua bado tuna wanasiasa ktk Ccm wanafiki sana, ila Mungu akubariki
laisi Wang nakuk Bali sana kama ningekutan naww mungu akujalie laisi wangu kweli ww uliletw na mungu mengu akujalie Bab
Mtu wa Mungu husamehe Naimani Mungu amekuweka mahali unapostahili
R.I.P mwamba JPM
Well done JPM
Kisha wakazunguka na kukudhuru mzee ... Rest easy
Nimekumbuka hii voice,atari sn
bado namuuliza MUNGU maswal yangu kwamba kwann umeruhusu hili kwa mtumishi wako John magufuli alale mapema..ila napata majibu ya kwamba MUNGU anakusud lake juu ya hilo japo imetuumiza wengi
Ulitimiza wajobu WAKO MALIPO ANAYO MUNGU AONAYE SIRINI NA ANAYEYAJUA YOTE YA MBELE YETU
Utakumbukwa zaidi ukifa ndo destuli yetu kumsifu marehem haswa wanaokupinga ila Mora akupe uhai mreeeeeeeeeeeeeeefu
Ulitabiri abdallah mkomwa.
Pole mheshimiwa endelea kuwa mstahimilivu wasamehe wote mpaka ambao hawajaomba msamaha
Hapo ndo ulipokosea baba hao ndo wamekufelisha kabisa uliwasamehe ila wao waliendelea na makosa hayo hayo
Kama kweli mungu alikuita kwa mapenzi yake basi RIN JPM LAKIN KAMA SIVYO BASI KIVULI CHAKO KITEMBEE NA WATU WENGI
Kusamehe ni dawa,hongera mh
uliwindwa bila kujua baba!!
Leo hii kapewa wizara ya nishart
🤣🤣🤣🤣
Mh ulipo wasamee ndio wakawa wachungu kabisaa kwako kuna watu hawakuubwa kusamehewa ni kama ibilisi alipofukuzwa edeni baba tujajuta ulivyo wasamee IN SHALAH MUNGU AJILIPE KWA WALIYO MUUA JPM IN SHALA TUNAUMIA KUKUPOTEZA BABA
Pamoja na kuwa samehe lakini😭😭😭😭
Ongera magufuli
Hapa ndipo nakukubali zaidi
Christian president
Wouldn't unleash the evil.... very nice...
Wangebeba janga la ukoo....
Well done Mr. President!
Viva!
Raisi unakifua sana, tenda wema Mungu atakulipa na Atakulinda na maadui zako wote! Ameni!
JPM tunakupenda walishazoea kuchota umewazuia wanakutukana tupo pamoja na ww
Hakika Mungu mkali,kuchukuwa katikati ya kukupenda kaacha madonda makubwa hayaponi haraka,buriyani Rafiki yàngu,Nakukumbuka Sana,nakuombea Mno hakuna siku imepita bila kukutaja,
Zetu dua ,wanyama na ndege wote tunalia kwa kukuombea dua maanaJPM alikuwa walii aliyetumwa na mungu atuonyeshe haki na usawa wa kuishi .Ewe mwenyezimungu pokea dua zetu .amin
Leo hii amepewa uwaziri at kweli?
RIP JPM
sasa nape vpi ww umezamilia kumtukana na kinana wako mungu anawaona kumtukana rais
ULIWASAMEHE BABA LAKINI WAO NDO NYOKA VICHWA 7 ,JPM TUTAENDELEA KUMKUMBUKA DAIMA JPM
aisee RAISI WETU ANA MOYO WA AJABU KWELI, NI MUNGU BABA NDANI YAKE SIO KITU RAHISI, MUNGU AKUONGOZE NA KUKUPA MAISHA HAYA, NAKUPENDA BABA MAGUFULI
Ninakupenda Rais wangu MUNGU akulinde
Rip
Ila kama waliomba msamaha bila microphone na wakasamehewa bila microphone pia leo kwa mtazamo wang haikuhitaji microphone na ndio tabia ya msamaha mm nnavyojua
Ila rais hajawataja majina yao huo ni umbea wa mwandixhi wa hbr
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
January makamba walimtukana Rais lkn magufuli alimsamehe baada ya kuwasamehe wakamuua mtu aliyewasamehe walipomaliza kumuua wakafanya part
Aziza Kila Nafsi ltaonja mauti.tunaogopa kutangulia. Hata wao lko cku watakufa
@@kajembekajembe4393 hilo nalo neno
Bado nayaishi maneno yako kiongozi
Huyo Magufuli alikuwa dikteta. Alistahili alichokipata. Kilichomtuma kudokoa maongezi ya watu ni nini. Mwana kulitafuta mwana kulipata
Mtu anafikia kutukana matusi rais halaaf unamchagua awe wazir kwel???
Mheshimiwa Rais kitu ninachokuomba ni kuhusu suala la mafao kwa wale ambao tulikuwa tunafanya kazi za mikataba, pengine mtu kaacha kulingana na masilai kuwa madogo
na kuamua kuchukua mafao yake kwa ajili ya kujiajiri mwenyewe,PSSSF wanasema kulingana na sheria iliopitishwa mpaka miaka 55,Baba hio ela itakuja kuwa na thamani gani
na wanaposema mpaka miaka 55 wao ndio Mungu,Mungu ndie ajuaye salio letu hapa duniani na si mwanadamu,tusaidie kwa hili watengue hio sheria kandamizi inatuumiza tena
sana.
Walikuomba msamaha wa uwongo
Umewasameha lakini hutowasahau
Muheshimiwa ulikosea sana wema umekuponza ungetumia vyombovyako kuwamaliza kabla hawajakumaliza wewe cndoulikuwa raisi?sasa umetuachiliza ukiwa wtz wote
Ujumbe wakweli magu wewe ni shupavu ulikuwa jembe
Hivi idd amini alikuwa anisamehe, Hebu weken vitabu vya kumbukumbu
Hu9oo