Baada ya kuuliza ni kwanini tukitoa vitu zanzibar kuleta bara tunavilipia kodi anauliza mambo ya mavazi angeruhusu text au sim wasikilizaji waulize maswali
Barua ya sheha huwa inahitajika kama mtu anayesafiri kutoka Zanzibar kuja bara anasafirisha vitu na anasema sio kwaajili ya biashara bali ni vitu alivyokuwa akitumia kule anarejesha bara. Barua hiyo ya kutoka kwa sheha ni kwaajili ya kuthibitisha kwamba anamfahamu mkazi huyo na pia kuthibitisha kwamba vile vitu vilikuwa ni vya matumizi ya nyumbani na si kwaajili ya biashara.
Ukishindwa kumuuliza mtu maswali ya msingi kutokana na nafasi ya mtu alonayo unakuwa umewakosesha watu haki yao yakujua.Mtangazaji hukujipanga vzr na ulikuwa unazungumza sentensi ndefu inayopoteza mwelekeo wa swali.
uwezo wake na wizara aliyopewa zamana kuhisimamia ni ndogo cn alistahili apewe wizara amabyo ni kubwa au inayotazamwa zaid yuko vizur katik kutumia Elimu aliyonayo
Yes January I think you will be the best leader of our country usikate tamaa unaposhambuliwa na mahasimu wako
Heshima yako Muheshimiwa Jan.upo vizuri nimeipenda hekima yako kisiasa.Mungu akuzidishe.
Huyu jamaa ni bonge la kiongozi tatizo alikutana na watangazaji vilaza sana
Thank you Temidayo for a good question
mheshimiwa January nimekuelewa sn aisee
Bro una utulivu wa hali ya juu sana unastahili kuwa kiongozi
Baba makamba nakuona umbuje
Baada ya kuuliza ni kwanini tukitoa vitu zanzibar kuleta bara tunavilipia kodi anauliza mambo ya mavazi angeruhusu text au sim wasikilizaji waulize maswali
Kiongoziborasana ww makamba
Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac
Kweli uyu mtangazaji amechemsha sana mana maswali anayo muuliza mhe ayasisimui na hayaeleweki nafikili hajajipanga
Ndo utaratibu wao bana msiwe mnapenda kuuliza maswali yasiyo na misingi
Kila jambo halikosi kelele liwe baya au zuri
Dah huyu mtangazaji sasa, mbona anachanganya madesa! Mara mazingira, mara mavazi, mara chakula! Taabu kweli kweli!
Barua ya sheha huwa inahitajika kama mtu anayesafiri kutoka Zanzibar kuja bara anasafirisha vitu na anasema sio kwaajili ya biashara bali ni vitu alivyokuwa akitumia kule anarejesha bara. Barua hiyo ya kutoka kwa sheha ni kwaajili ya kuthibitisha kwamba anamfahamu mkazi huyo na pia kuthibitisha kwamba vile vitu vilikuwa ni vya matumizi ya nyumbani na si kwaajili ya biashara.
Ukishindwa kumuuliza mtu maswali ya msingi kutokana na nafasi ya mtu alonayo unakuwa umewakosesha watu haki yao yakujua.Mtangazaji hukujipanga vzr na ulikuwa unazungumza sentensi ndefu inayopoteza mwelekeo wa swali.
dah mtangazaji zero Ana uliza maswali bila kiji jibu kichwani
Unajielewa makamba. Continue maintaining low profile brother.
Watanga ndio zetu🤣
uwezo wake na wizara aliyopewa zamana kuhisimamia ni ndogo cn alistahili apewe wizara amabyo ni kubwa au inayotazamwa zaid yuko vizur katik kutumia Elimu aliyonayo
Watu walikuwa Miungu watu miaka ile.Wanaingiza magari ovyo ovyo na kuhonga wanawake na kuyaendesha hata miaka bila hata kuweka plate tag.
katarina william kwel
Jilinde na ujitunze kwa neema za ALLAH 2025 ni wewe tu hamna namna
mwaka 2025 my president
huyu babu sijawahi kumuona nywele
Huyu mtangazaji ametumwa nini aache ujinga basi
Duuuuu
mtangazaji kafeli hata nenda kijijini utaona kuhusu mavazi, muheshimu kakujibu hata ajatumia akili nyingi, shem of mtangazaji
fettylishes hassan hey
Watangazaji Hamna swaga kabisa ulizeni maswali yamsingi bac