MIPANGO YA KUMPIGIA MAMA KAMPENI. MSIWAUZE WAUMINI WENU.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 15

  • @victorrobert7797
    @victorrobert7797 28 วันที่ผ่านมา +3

    Ubarikiwe mtumishi kwa kusema kweli ,washindwe kwa Jina la Yesu

  • @antoniaemmanuel6754
    @antoniaemmanuel6754 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 27 วันที่ผ่านมา

    Ameeni ikiwa mungu atasikia kulia kwetu na na jeuri ya wates wetu yeye mwenyewe atashuka kutoka mbinguni na kuusimika utukufu wake ..

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 27 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana mtumishi, ulitabiri kwamba, tarehe 11, saa 11, mwezi wa 11, mwaka wa 2024 kuna kitu kitatokea mimi sikukiona hicho kitu. ukipewa maono kaa KIMYA
    ombea. ukisema sana upande wa pili hutenda sana. mambo haya uyasemayo yalikuwepo na yataendelea kuwaepo mpaka mwenyedunia yake atakaposhuka. sisi tunaolijua neno tukae kimya na tuombe sana. MUNGU ATAIPONYA TANGANYIKA YETU. AMEN.

    • @hudumayakristo
      @hudumayakristo  27 วันที่ผ่านมา

      @@mwambaimara1950 bwana yesu akusaidie kukufungue macho..wewe huoni yanayotokea kuanzia tarehe hiyo na mwezi wote huu wa 11 wewe huyaoni

    • @annabyekwaso-wt7oi
      @annabyekwaso-wt7oi 27 วันที่ผ่านมา

      Huko sahii sisi kazi yetu ni maombi twawezasaidiwa km nyakati za Nuhu,kuingilia nchi sio kazi yetu,maana ht wakati wa Makonda alisema eti wakuu wako kwenye hofu nikadhani kafa,inabidi kuzipima roho pia ,pia yy anasema ni mwl sasa unabii unaofisi yake,kuna kuona na kunyamaza ili uombe tu ,nimengi tunayaona lkn tuko magotini tukiomba tuu.

    • @LodvolaLameck-jl5vs
      @LodvolaLameck-jl5vs 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@annabyekwaso-wt7oi Biblia haisemi vyote ni vya kuombea vingine ni vya kusema

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 27 วันที่ผ่านมา

    Mungu akafanye kama alivyo kusudia ameee

  • @josephmusagasa
    @josephmusagasa 26 วันที่ผ่านมา

    Unaeleweka vema sana. Watanzania kamateni na shikilieni hiyo

  • @richardmende
    @richardmende 27 วันที่ผ่านมา

    Noted ❤

  • @Leocadia-w1v
    @Leocadia-w1v 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kampeni 🥱

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna shekehe Arusha amepewa na makonda range Rover sport makonda akasema imetoka Kwa mama sasa je unadhani uyo shekehe anaweza kumkemea Samia akifanya mabaya ?? Ulionyeshwa yametimia mtumishi

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 27 วันที่ผ่านมา

    Mm

  • @knight6757
    @knight6757 28 วันที่ผ่านมา

    🇹🇿😪

  • @antoniaemmanuel6754
    @antoniaemmanuel6754 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde