nimejifunza sana katik neno hili kumbe yote ninayoyapitia kwa sasa ni sababu ya uzembe wa kuomba kuna wakt nimekuw siombi ipasavyo naomba Mungu anisaidie nisimame katk maombi kama zamani
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa MungAsante kwa maombi yako.Nimeshambuliwa na magonjwa mpaka mimekata tamaa nimepoteza nguvu ya maombi,Naomba uniombee nirejee Tena.
Hakika maombi ni dawa. Asante pastor kwa maombi yako. Namuona Mungu. Amina.
Napokea uponyaji wa kiroho kwa jina la yesu naomba nguvu wa maombi mungu wangu 😢😭🧎♀️🙌🙏💥💯👩👧👦
Amen Amen mchungaji napokea uponyaji kwa jina la yesu amen roho ya maombi Eee mungu wangu naomba nisaindie
Asante sana Mungu kwa kumwinua Mtumishi Godwin nakuona Mungu kupitia maombi yake
Amen naomba niinuke kiimani nmeshuka mno nisamehe Mungu wangu😢
Amen since I started following u thing have been easy pastor God bless u
Amen mumgu nikinde usiku huu karibu bwan keakitanda karibu na malaika wako nakwalika mungu wangu 🙏🙏
Ee baba kupitia maombi aya naomba uyapokee maombi yetu na tupokee majibu,ameen
Amen nimepokea kwa jina la yesu kristo aliye hai🙏
Amen mtumishi wa mungu kwakweli nimebarikiwa nawe
Napokea ulinzi mimi,mume wangu na watoto wangu katika jina la lesu,ee bwana yesu naomba utuamshe saa nane usiku kwa ability ya maombi ya usiku
Asante Mungu akubariki, naomba niombee niweze kufanikiwa ktk maisha nimepitia magumu kwa kipindi kirefu sana
Ee mwenyez mungu naomba unijalie kibali cha kuiona siku ya kesho amina
Amen Acha mungu atu funike kwa damu ya mwanawe yesu
Ameen Mungu nakuomba utulinde tulale.salama
Mungu akubariki sana pastor hakika unaniinua kiimani kupitia maombi haya.
Amena mtumishi Wangu
Amen Amen 🔥🔥🙏🙏 napokea ulinzi wa mungu baba kwa jina la yesu krosto Amen 🙌🙌🙏🙏
Amen kweli mtumishi wa Mungu bila maombi nishida sana 🙏🙏🙏
Amina barikiwa san mtume
Mungu ni mwema ❤❤
Mungu nirudishie moyo wa kuomba siku zote za maisha yangu naona mambo yangu yanataka kwenda mlama ee MUNGU kasimame na me..
Amen mungu nirinde usikuu huu waleo
Yesu naomba nguvu ya kuomba na nijibiwe maombi yangu yote Ameeen🙏🙏🙏🙏
Nashukuru kwa maombi .yako pastor Godwin.
Amina mtumishi ubarikiwe
Amen Amen, mungu ni mwema
Amen barikiwa pastor 🙏🙏🙏
Ameen mtumishi naon nimekuwa mdhaifu San kuomba hakik naikataa hii Hali kwa neema ya mungu imeshindwa
Ameen Mungu utulinde Ucku huu ubarikiwe Baba mtumishi wa Mungu Ameen🙏🙏
Ubalikie mtumishi wa mungu
Amina ubarikiwe mtumishi
Amen Amen 🙏🙏 asante baba mtumishi kwa maombi yako 🙌🙌
Napokea ulinzi katika usiku huyu amen 🔥🔥
Ee mungu nisaidie nipate shauku ya maombi ya kumiminika moyoni mwangu uwe pamoja nami
Amen, mungu naomba nipe nguvu ya kuomba
Amina tuombe mtumishi
Amen baba muchungaji na ubarikiwe sana🙏
Naomba Mungu unipe nguvu ya maombi.Nakataa uzito wa kuomba katika Jina La Yesu.
Napokea neema ya kukombolewa kwa jina la Yesu
Amen 🙏 na Mungu aniguse kw ilo
Amina pasta mungu akubariki saaaana
Amina Ubarikiwe sana mtumishi umenitoa mbali namuona mkono wa Mungu Sasa kupitia maombi Yako
Amen barikiwa saana Shalom
Nakataa uzito kwa jina la Yesu, nipe nguvu ya maombi muda wote. Nawaombea watoto wangu wakujue Mungu.
Mungu naomba unisaidie niweze kuomba Kila siku nimekuwa mdhaifu Sana 🙏🙏🙏
Amen 🙏 Mungu tuonakuomba utulinde katika ucku huu 🙏
Amen ubarikiwe Sana mtumishi MUNGU akulinde na akubariki sana
mungu niponye nilinde swasaw na mapenzi yako
Amen Mungu akubariki
Kwa kwelu maombi yako mtumishi yananisaidia sana sana najiona napata mabadiliko
❤barikiwa mtumish
Barikiwa sana mtumishi wa Mwenyezi Mungu, barikiwa sana
nimejifunza sana katik neno hili kumbe yote ninayoyapitia kwa sasa ni sababu ya uzembe wa kuomba kuna wakt nimekuw siombi ipasavyo naomba Mungu anisaidie nisimame katk maombi kama zamani
Amen yesu nisaidie nipate nguvu ya maombi
Naomba nguvu ya maombi ya saa tita za usiku 🙌🙌🙏🙏🧎♀️🧎♀️😭😭🤦♀️🙋🙇♀️🙇♀️
Amina kubwa mwana wa mungu.
Mungu akubariki sana sana amina
Bwana yesu naomba ni zingire kwa nguvu moto na damu ya yesu
Asante kwa maombi mazuri
Asante pastor maombi ni nguzo ya imani Mungu akubariki sana
Asante sana Yesu Kristo mwokonzi wangu
Amen 🙏 🙏 🙏 be blessed 🙌
Amina mtumishi Mungu akupiganie zaidi ya hapo
Mungu naomba utulinde mim pamoja na familia yangu
Mungu naomba nirudishie nguvu ya kuomb amen
Amina mtumishi❤❤❤
Mungu nirudishie nguvu ya maombi
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi wa MungAsante kwa maombi yako.Nimeshambuliwa na magonjwa mpaka mimekata tamaa nimepoteza nguvu ya maombi,Naomba uniombee nirejee Tena.
Amen
Amen asate mungu akubariki sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Maombi ni dawa God bless you 🙏🙏
Amina mungu akubarki pia ❤️ n uniombee wtoi wngu wazazi wnguuu n kaz yang nione mafanikio
Amen Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Maombi ni dawa God bless you pastor
Amen Amen haleluya
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Aaamina mtumishi 🙏
Amina mtumishi mungu nifungue nipone tumbo
Amina mtumishi
Ameni mungu. Naomba. Unirejeshe. Nguvu. Zakuombs
Mungu naomba unipe nguvu ya maombi yaliyochukuluwa na maadui zangu niondolee uzito wa kushindwa kuomba amina
Asantee pastor
Amen barikiwa sana
Maombi haya yamenipa uzima nashukuru sana mntumishi
Amina mtumishi🙏
Bwana yesu naomba utzingire na mwanangu maisha na mwanangu utuzingile kwa damu ya yesu ameni
Amen mtumish naomba niweze kuomba tena
AMEN UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
Ameeen Ameeen muchungaji
Bwana yesu naomba unizingire na mwanangu maisha na mwanangu kwa damu ya yesu
Amen umenitia nguvu baba nipo moshi
Amina sanaa mtumishi maombi ni dawa
Naomba unisaidie nipate kusimama katika maombi,maanake nimekua mdhaifu saana
Barikiwa sana pst
❤
Amen Baba
Amen amen amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen
Mungu uwe ktk family yangu tuyashinde yote maovu.Uwalinde wtt wngu ktk yote ya ulimwengu huu
Amen 🙏🙏 Asante baba🔥🔥
@jak Roho ya maombi iwajaze watoto wangu na wajukuu wangu katika Jina la Yesuna roho ya rehema kutoka kwa Bwana