Fatma Karume: Kuna tofauti Jinsi Watanganyika na Wazanzibari Wanavyojitambulisha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 เม.ย. 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Hongera sana Dada Fatma huo ni ukweli usiopingika.
Mzanzibari forever!
Kweli wataganyika hawataki kuitwa wataganyika
Dada Yangu Fatma umesema maneno ya haki tupu, Mungu akubariki,
❤❤❤ Asante maneno mazuri Leo. Aunty Fatma
Wazanzibari hawautaki Muungano ccm inalazimisha Muungano udumu, Muungano hauna faida kwa Zanzibar. Ccm inalazimisha, huu ni Ukoloni Tanganyika kuitawala Zanzibar.
Thank u mom hatutaki hasa muungano na wao better tujiunge na wauganda c wanafiki na tutafaidika na oil field sote na KATERERO pia
Yes, you and lissu both of you, you are right 👍
Shangaz hongera point zako nimezikubali tena wafahamishe uzr wafahamu sisi mbona jamaa zetu hatuna ubaya nao tunawapenda ila wao ukwel baadh ya wengine wanataka sisi tugombane shangaz hongera mungu akupe umr mrefu hebu pata 100 kwanza
WATANGANYIKA NI VICHWA MCHUNGWA, YAANI HAWAJIELEWI KAMA MISUKULE🤣🤣🤣👀
Wazanzibar kama , mnataka kubaki Wazanzibar, sepeni tuu, hatuwataki
Kwan yiny anae kutakeni nan
Kwani nani anawataka nyie😅
huku zanzibar kuna watanganyika wengi sana wasisepe ila waishi kwa utatibu tu
Hamtutaki wakati kujiiita watanganyika hamuwezi
@@abubakarshamuhuni3894haya basi jiiteni wazanzibar,hivi utengano utawasaidia nini?hivi mmewahi waza,kabla ya kuja wakoloni huku je tuliishaje?
Mimi ni Mtanzania kutoka Tanganyika. Watanganyika hatuna mioyo ya ubaguzi kinachokibaliwa kwa pamoja mioyo yetu inakuwa pamoja hivyo ,huo uzanzibar kwenye mioyo yenu ndo ubaguzi halisia.
Kila Wananchi ana haki ya kujivunia kwenye Nchi yake. Ukisafiri ndio utajuwa wewe ni nani kwenye Nchi za watu.
@@awatifalghanim1106 point yako inasimamia wapi ?
Shangaz hongera kwel hatutaki zanzibar wetu waimeze duuh point zako ww umebobea ktk kaz yako mwanasheria
Miss Fatuma Kama Vile Watanganyika Walivyokua Wamejisahau Utanganyika Wao Na Hata Zanzibar Ilijisahau Ya Kwamba Haitambuliki Kimataifa(Haina Kiti Katika Umoja Wa Mataifa).Inatambulika Kama Nchi Tu Kwa Maneno.Hivyo Tanganyika Idai Tanganyika Ndani Ya Tanzania Na Zanzibar Idai Zanzibar Ndani Ya United Nation.Ili Tuongee Lugha Moja.
kichekesho cha mwaka icho,usipate tabu kuhusu zanzibar,cha msingi rejesheni tanganyika yenu
Tatizo lenu watanganyika ni kuwa hamjui historia wala kinachoendelea, nyie mnaabudu pombe na kiti moto tu, ngono na ngoma ndio maana unaandika ujinga.
Umeonga, na maneno yako ni mazima sana
ingekua ni muungano kweli basi ni sawa ila huu ni ukoloni wa tanganyika kuidhibiti zbar na kufaidi matunda ya zabar na wazanzibari hatukubali asilan
wacha ubwege wewe
Matunda gani hayo ambayo tanganyika inapata
@@abbtsa3060 asojua mana usimpe maana utamtukana nyinyi mnakusanya kodi kwetu ila sisi hatukusanyi kodi kwenu hilo ni moja tu yapo mengi
Acha kukurupuka ww km kweli mnatupenda mbn mpk leo mmezuia mafuta tusichimbe mbn nyinyi mmechimba gesi
@@mussakhamis5201 wacha fitna na yale makampuni yanayochimba kule deep sea ni ya nani? sio yameruhusiwa na hussein mwinyi? soma wewe sio unakurupuka tu?Samia sasa hivi rais ina maana hilo nalo hajaliona? kuagiza kuchimba anaogopa? kuna mtu anamuogopa wakati yeye ni rais? rudi kwenu Pemba wewe
Hongera mama waeleze hao kwamba Zanzibar ni nchi na Tanzania ni Muungano tu
Kwa Nini hawa wazaliwa Wana wasemea watu na hawa waliosemwa wazanzibara walianzishwa kwa makosa muungano wapo wanawazazi wanajuwa wasiojuwa wazaz awasemee pia waasisi mmoja alisema moja hatujasikia aseme ajuavyo amani muhimu sana mipaka mipaka walipewa waizraeli tu duniani
Love u Fatma K
Hoja yake ni KWAMBA sisi watanganyika hatujitambui halafu wao wazanzibar wanajitambua... Kama ni Moja ya part ya Tz kwanini muuze ardhi yetu ya Tanganyika. Kiukweli Bora huu muungano uvunjike tu
nani kauza ardhi ya tanganyika?
Tatizo nyie watanganyika mnajifanya mna akili sana mnajua zaidi kumbe hamna kitu.
Shangazi Fatuma au bi Feety punguza makeke bby😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅😅😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤
Mimi nadhani kwa Sasa basi tunaweza kuuungana na Nchi nyengine kama Morocco 🇲🇦 au Somalia 🇸🇴 ndio nchi Zito mingi za kuungana. 🤣🤣🤣🤣
Hamfahamu lugha ya Kiswahili mpaka leo miaka 60 hamjuwi mko wapi Kwenye Muungano 😂😂😂 mnataka wa Morocco na Somali wasofahamu lugha yenu😂😂😂 heeee lakini waarabu watajuwa kufanya Muungano wa haki.
Mkianza ubaguzi unaweza kukuta Mzee KARUME alikuwa MNYASA! Mimi ngoja nipite tu kwangu mimi uvunjike usivunjike sioni TOFAUTI!
Muongo fatma karume sis wazanzibar hatutaki mungano
bwege wewe unamwakilisha nani? jiwakilishe nafsi ako usiseme sisi sema mimi
Sasa ayo ni mawazo yake usimwite muuungo mpe tu ni upi msimamo wako katika hilii
@@user-et9vf2ro2k🤣🤣🤣🤣 kumbe kamwiita muungano 🤣🤣🤣🤣 na sio bwege 🤣🤣🤣🤣 umejua kunichekesha 🤣🤣🤣🤣🤣
@@d15355ww cio mzanzibar tafta ulipochomokea
Usitumie neno" sisi". Wewe una agenda nyingine. Wengi twapendelea kuwapo Zanzibar na Tanganyika na serikali ya Tanzania. Jumla 3.
Maneno ya kweli kabisa
Hikma unazaliwa nayo. Shes correct 100% wengine ni roho mbaya na wabaguzi.lissu hafai anachochea watu wasio kuwa na uelewa wa juu
Umeongea, na maneno yako ni mazima sana
Weye ndio dada na ni dada mzalendo wa Zanzibar na unajua historia ya Zanzibar
Alafu sisi wazanzibari hatutaki muungano unatubana bora uvunjike na tuwe majirani wema
Mimi sioni umuhimu wa muungano ila kama kunamtu anaujua umuhimu basi naomba hayo madini maana mm ninachokiona niujanja ujanja .
Huwezi kujitambulisha kama mtanganyika bila uwepo wa serikali ya Tanganyika. Kizazi baada ya muungano hawawezi ku appreciate jina Tanganyika vinginevyo ianzishwe serikali ya Tanganyika.
Unazungumza uzuri kabisa dada
Inafikilisha kuona wa zanzibar wanaanza kutetea mpaka haki za watanganyika kwamba eti wadai tanganyika yao kumbe watanganyika walishatambua tanganyika ni jina la kikolon bali tanzania ni ni zao la mawazo yetu tukiwa hulu afrika tuvunje mipaka ya ukoloni tutaendelea
Muongo jina la Tanganyika si la kikoloni ni jina lenu limetungwa na wanapigania uhuru wa nchi yenu. Mjerumani aliita nchi yenu German East African Company. Company.
Hayo si mawazo ya wananchi kwa vile zaidi ya asili mia 99 ya wananchi hawakupewa fursa ya kujieleza juu ya muungano wala hawakuwa na habari ya muungano
Hivi mnaonaje wazanzibar na watanganyika tuungane pamoja tushinikize haka kamjumuiko kavunjweee?? Maaana mi nikiangalia wanao taka haka kamjumuiko ni wachache saana , raia wenge wa Tanganyika hawakataki haka kamjumuiko!!😂 Ila wale wachumia matumbo wanaofaidi wanalazimisha haka kamjumuiko kaendelee kuwepo . Oya wazanzibar tuungane basi kuvunja haka kamjumuikoo😂
Basi uvunjike tu
Kama ni mbinafsi hata upewe dunianzima utaona haitoshi utataka na pepo yote upewe ww ndio chanzo cha uasi
Watanganyika hawawezi kujiita watanganyika kwa sababu serikali ya Tanganyika haipo. Kila taifa hujitambulisha kwa serikali yao.
Selikari tatu ndiyo suluhisho kila nchi itamkwe kwa utaifa wake, hakuna hasie hitaji utaifa wake tu, kama zanzibar ni nchi yenye mamlaka yake, basi tunataka tangangika yenye mamlaka yake, kisha iwepo tanzania yenye mamlaka pande zote na iliishapendekezwa kwenye muundo wa katiba mpya tatizo liko wapi?, zimeundwa tume mara mbili zikiongzwa na watu makini kabisa, na mapendekezo yakatolewa kwanini hayatekelezwi, suruhisho ni katiba mpya tu, tunakwama wapi? Tuache porojo tuunde katiba mpya iliyopendekezwa basi.
Kufanyike referendum. Kura ya maoni wananchi waamue wanachotaka. Kama upande mmoja ukasema hawataki muungano basi naiwe hivyo.
Referundum gani tena zaidi ya rasmu ya Warioba?
Sisi wazanzibar hatutak mungano kila mtu kwao ,
sema mimi mpemba sitaki muungano halafu rudi kwenu chake chake hapa kwetu hatukutaki sio kwenu hapa unguja
Kila mmoja akiwa na serekali yake ndio ushavunjika huoo😂😂
@@mshiraziahmad9633 wana hila hawa wapemba wameuandama muungano sababu wameona ndio kitu pekee kinachowazuia wastawale wao, muungano ukivunjika maana yake ukija uchaguzi wakishindwa kihalali hawatakubali watafanya mapinduzi na sababu kutakuwa hakuna jeshi la JWTZ kuwazuia watafaulu tu,elewa kuwa wamefanikiwa kupenyeza watu kila pahala nchi lengo lao kuu ni kuuwa muungano tu.
@@d15355tena🥱
Una@@d15355 wew vp pimbi last ccm inakuuma
Hapo kaona kama kaongea vya maana kumbe mavi mavi tu
Tanganyika ni nchi yao ilaa iloo jina Lao wenyewe hawalitaki basi wajiite wanyasa mana hawawez kujiita Watanzania maana hiloo ni koti la Munganoo nje ya Mungano hakuna Tanzania..Mimi Mzanzibar nipo ndani ya Tanzania na Watanganyika Nyie Ni watanganyika Mupo ndani Ya Tanzania
Well say, lakini je uliwahi kumshauri baba ako ambe alikua anauwezo wa kutekeleza hayo mawazo yako, mana kama kosa basi alifanya babu Yako, in away your dad was supposed to clean up that mess which was created by you grandpa. Therefore, it's 'better to zip up on union matters, bcoz you a part of it so must take a full punch on your face.
Jambo lakujitambuwa halihitaji karume ni nyny wenyew
Unajikuta msomi kumkosoa mtu kwa makosa ya wazazi wake 😂😂 acha uboya
Wazanzibari tunashindwa kufahamu kwanini watanganyika hawaitaki tanganyika yao wamengangania Tanzania na kuukana utanganyika , Wazanzibari wazawa hatuutaki hata kuusikia mungano ukiona mzanzibari anataka muungano huyo ni mhamiaji huo ndio ukweli
waunguja hapa tunautaka we mzawa lakini asili yako pemba muungano huu ukivunjika tunafuata kuvunja kati yetu sisi wa unguja na nyie mrudi kwenu pemba hatuwataki
@@d15355unagombania ardhi wakati ukifa ata sehemu ya kuzikwa ni ndogo
@@d15355muunguja wa wapi wewe? Zanzibar kwa pamoja hatutaki muungano. Sijui kama si mbongo wewe unajidai uzanzibar .
Ni kweli kabisa tuwe wakweli hakuna upendo wa dhati Kati ya wapemba na waunguja , wazanzibar wakiunguja na wazanzibar Wikipemba kila mmoja anamtazama mwenziwe kwa Macho ya kiaina ila tunapowakataa watanganyika ndo hujifanya tupo wa moja ila ki haki lillah ukweli twaujua, vijana wakipemba hukatazwa kuoa waunguja na waunguja hukatwaza kuoana na wapemba ila ikija kisiasa twasema sie waunguja kila mzanzibar kwa nafsi yake nje ya siasa anajua hilo, mtu ka huyu Fatma karume tuongee kilillah wapemba wangapi humuona si katika wanawake wakizanzibar Hana silka wala madhehebi yakiislam , tuwe wakweli sawa watanganyika yawezekana hatuwataki ila baina ya mpemba na muunguja tunapendana kidhati au twawa wamoja inapotokea kuwapinga watanganyika.
@@FahadAbubakari hiyo ni kweli hatupendani na mtego wao binafsi nimeshaujua we ukiona adui yako anakusisitizia kitu usizani anakupenda hivyo,jua anakupeleka uingie kwenye 18 zake akumalize,hawa wapemba walikuja na kila hila ya kwanza waliambiana wazae sana ili watuzidi wingi waunguja,baada ya kuzidi wakaona bado kinachowazuia wasitawale ni muungano endapo utaondoka watashinda kwa kula kutokana a wingi na wasiposhinda watapindua sababu jeshi la JWTZ halitakuwepo watachukua tu nchi kama kanali bakar wa anjuan kirahisi sababu kwenye vikosi vyote wapo wamejipenyeza hatutawaweza, na wakishaanza kutawala itakuwa ni zamu yetu sisi kulia wapemba wanatutawla na watuambia nyie mlitutawala miaka mingapi? 60? wacha na sisi tutawale hadi ifike hiyo 60, itakuwa imekula kwetu
Ila sasa huo uzanzibar usaidie muondokane na ufukara sasa,sio muishie kujisifu kuwa sie wazanzibar
Muungano ni mzigo, hauna maana yeyote
Haya bas niwaombe nyie wanzanzibar tuungane tuvunjee aka kamuingano hata sisi watanganyika hatukataki
Tatizo kubwa la africa ni ubinafsi tunamsifia nyelele hatuyaishi ya nyelele nyelele alikua hana mipaka kwenye akiliyake alikua na ubinadamu
Wazanzibar wote wasenge tu, hatuwataki
Usiseme ivo
Don't Punic
Usisahau msenge ndo anae kuwongozeni
Hhhhhhhhh bro Acha matusi mungu hapendi
Na bado,subiri 2025
Kumbe msenge mtamu ndo mana mna mng'an'gania hamjielewi mkiitwa watanga nyika mna kasirika
Kwahio Tanzania si nchi bali ni Muungano si ndo manaake? Kwamba hakuna nchi duniani inayoitwa Tanzania?
Imefika hatua huu muungano uvunjwe kila mtu abaki kwake!!! Kwa kawaida huu muungano watanganyika hatufaidi chochote kutoka zanzibar ila tuna fear factor za kijinga ambazo ni za kiusalama
Niko dar ila naomba nambazake
Mi natafuta fursa za kimaendeleo bana! Mungano hata haunishuhulishi, na km Mtu Hutaki mungano si Utulie kwenu! Penye asili Yako! Mungano waachie Serikali
Kwanini muungano uvunjike ila kufanyike marekebisho tu wafuate Kstiba ya Warioba tuondoe mzozo
Ubinafsi tu wenzetu bora watawaliwe na mwarabu na wasipewe chochte ila sio kuungana na watanganyika
Sisi Sio wenzenu wezio ni Watanganyika 😂😂😂
Ila wasitawaliwe na watanganyika
Muungano una tugawa nyie wazanzibar mna nchi yenu na watanganyika pia tunataka tanganyika yetu! Serikali yetu na mamlaka yetu kamili!
Dada Fatma usemi kweli wewe uhutaki na wengi wazanzibar hawataki muungano kabisa ili mradi sote atujielewi tumeungana kwa sababu gani? Mambo mengi ya msingi yanayowafanya jamii kuungana wazanzibar hata moja hakuna mnalolitaka na sisi watanganyika we are easy people huwa atuujadili muungano. Huu muungano upo prolonged due to external power could be kanisa or anything else na hauwezi kuvunjika huu muungano you zanzibarian your to conservative that why hakuna mzanzibar anayejitambulisha kama ni mtanzania hakuna anayejuwa faida za muungano
Kinacho wasumbuwa ni ubinafsi WA utawala lakini umoja huwa unanguvu mkiwa peke yenu mtaoigwa kama mbwa Koko mpo malioni moja
Watanganyika hamjitambui TU ila siwalaumunmana ndivyo mulivyo aminishwa kuwa nyny ni watazania
Qatar wapo Milion Moja na wako pekeyao na wanaishi vizuri tyuu 😂😂😂
Ni hiyo milion moja nyie mpo laki 2 jumla yetu sisi ni laki 8 tu
@@jakuvuai1428 rudi kwenu wete wewe hatukutaki huku usitusemee semea nafsi yako
@@jakuvuai1428 Hahaha 🤣🤣 akili yako ndio unapofikisha hapo ?? Kwahiyo uko kazuramimba upo ukahesabiwa wewe na familia yako kuwa wazanzibar??🤣🤣🤣
Wazanzibar wanaogopa umeme utazimika kwao
Kwan munatoa bure umeme 😄
@@OmerSuley-gl7go kumbe hujui.
Watauziwa
asilimia 70 tumezaliwa Ndani ya Tanzania
Huwezi Kua mtanzania km hujatokea kwny moja kati ya hizi
Tanganyika
Zanzibar
Sasa km ww umezaliwa na Tanzania sw ila ss tunatambulika km wazanzibar
@@mussakhamis5201 @mussakhamis5201 we ndio hujielewi unaishi kwa kivuli dunia inakua kijiji we unakaa una jikumbatia mwenyewe ushamba na umasikini wa akili
Have u ever ask urself that y Zanzibar has their own government but Tanganyika has no government but there is government of Tanzania the truth is Zanzibar has no power to do things on their own ur dependency u depend everything from Tanzania such as military and etc ata president of Zanzibar Tanganyika ndio tunaamua uyo president wa Zanzibar ajakulia uko Zanzibar marehemu Mzee mwinyi asili yake ni mkuranga
Yeah we know this why you have to find your country
@@user-gd2xj3xd1b your country is called WETE know that plz
Watanganyika hawajitambui. Hawajui historia wala hawana uzalendo na uchungu na nchi yao. Ndiyo maana wazanzibari milioni 1 wanawatawala watanganyika mpaka kwenye level ya wilaya ambayo siyo sehemu ya mambo ya muungano.
mimi sina mpango na tanganyika mimi ni mtanzania
Hujielewi ww
@mussakhamis5201 we ndio hujielewi kaa unaishi kwa kivuli endelea kuishi dunia inakua kijiji we unakaa una jikumbatia mwenyewe ushamba na umasikini wa akili
@@cineplus-tv255😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 nimeipenda hiyo 😅😅😅😅😅😅
Wazenji mnajichanganya sana,kwa kuifanya zanzibar kuwa nchi,siku watanganyika wakiamua kuidai Tanganyika yao kama mnavyotaka mtajuta,zitakuwa nchi mbili maana yake kuja Tanganyika mtatumia passport,mambo ya kumiliki Aridh Tanganyika itakuwa mwisho,mkumbuke nchi yenu ni ndogo,hayo mafuta yaliyowafanya mbadilishe katiba na kuitambua zanzibar kama nchi,mjue magari ya solar na umeme yanakuja kwa kasi,mnazaana,baada ya miaka 200 ijayo mtakosa pa kukaa,eneo litakuwa dogo,tabia nchi inaongeza maji baharini eneo linazidi kupungua,sasa nawashauri .mapema kubalini serikali moja ambayo kila mwana nchi atakuwa na haki sawa baada ya miaka 50,tukiwa nchi moja hatajulikana mtanganyika wala mzanzibar wote tutakuwa watanzania,na hiyo itakuwa bora kwenu.
Lini utataka utanganyika WAKO sisi watanganyika tunalala
Tutapambania muungano mpaka mwisho acheni ujinga wa kugombanisha WaTz
Utapambana na nafsi yako kwanzaa
Nilikuchukia b4 but now unanipa raha zinazonizidi
Laanatullah fatma karume
laana babako kwanza
@@d15355 we tunakujua so mzanzibar na ndio man huna uchungu na uchafu unaokuj kufanywa Zanzibar na watanganyiak na ndio man unawakingia kifua
Hunauwezo wakumlaani laana mwenyejutoa ni mungu tu
@@user-gd2xj3xd1b umesoma ukaona anaetoa laana ni mungu? Lete dalili
Vp teena tunaalaaniana
Zanzibar siyo nchi. Rejea Montevideo Convention on the Right and Duty of State.
WATU WENYE AKILI TIMAMU ,IWE NI WAZANZIBAR AU WATANGANYIKA HAWASHUGHULISHWI NA HAYA MAMBO YA MUUNGANO ,WANAOSUMBULIWA NA UTANGANYIKA NA UZANZIBAR NI WATU WANATAMAA NA MADARAKA ,USITUGIMBANISHE KWA TAMAA ZENUUU
Wewe huna uzalendooo
ETI Mimi mtz WAKATI uliyeungana nae hakutaki tunalazimisha muungano
Acheni habari ya uzanzibar na utanganyika wote ni watanzania na tuwe na rais mmoja tu
Mfumo uwe tunautaka wazanzibar
Uzanzibari wetu ni muhimu sana kuliko utanzania (muungano)
@@user-gd2xj3xd1b sema upemba wetu ni muhimu kuliko muungano usitusemee sote halafu pemba ni pemba ujue sio zanzibar
Na wewe acha kuwa bin adam
Kuwa mnyama. Wazanzibari hawataki chama cha bara ccm.
Umeonga, na maneno yako ni mazima sana
MUUNGANO HUU UKIFA WAPEMBA wote na chama chenu cha ACT hatuwataki nanyinyi muondoke mrudi kwenu mkafanye siasa huko hapa hatuwataki sababu nyie na sisi hatujaungana mmejileta tu huku.
Tatizo lenu wengi munahisi wazanzibar kuja bara na wabara kuja Zanzibar kumeanza baada ya Muungano , Rudi mukasome muache mihemko, watu kabla ya Muungano wanaishi na kufanya biashara za kwenda na kurudi
@@nouraynaasheikhunkabir3749 kasome wewe muungano ukifa na nyinyi mrudi kwenu pemba hapa unguja ndio zanzibar pemba sio ni umasikini tu uliowakimbiza kwenu kuja huku sisi na nyie hatujaungana mujiandae ukivunjika huu muungano hamna chenu rudini kwenu WETE
@@d15355 basi apo ndio unajiona umekomet jambo la maana kabisa eee🤣🤣🤣, acha makasiriko pambana na njaa yako, ulivokua na umasikini na njaa unahisi kwamba wakirudi kwao hizo nyumba na maduka utamiliki wewe ?? 😂😂😂Yaani huna kazi Wala pakukaa unatishia ukivunjika murudi kwenu , Upate kugombania maduka na nyumba zao ??
@@nouraynaasheikhunkabir3749 sio kwao hapa wana kwao walipanda boti wakaja huku,wao na sisi katu hatuivi chungu moja,muungano ukivunjika watataka watutawale wao sio sisi tutawale na kitu ambacho hatutakubali kutawaliwa na wao,muungano ndio unaofanya sisi na wao vita visizuke tukibaki wenyewe hapa nchi haikaliki kwa vurugu bora wakazifanyie kwao WETE hizo vurugu sio hapa
@@nouraynaasheikhunkabir3749kweli hawa viumbe wana ubinafsi wa hali ya juu 😅😅😅😅😅
Zanzibar imebaki kama symbol tu kwenye muungano na tanganyika ilishakufa Taifa ni moja linaitwa Tanzania,,,na hivyo ni visiwa viko chini ysa Tanzania,,maana visiwa vya unguja na pemba sio Nchi tena kamili,,,pigeni kelele sana mbona habari ndio hiyo......
Unajidanganya na acha kuongea icho kitu
Siku wazanzibar watakaposema wamechoka na muungano ntakuja kujuta watanganyika cz zanzibar kbl ya uhuru ilikua ni nchi tena inayotambulika km nchi
Ss nyie jichanganyeni muone km tanganyika itasimama
Ww Huna nchi ukiulizwa nchi yako ni ipi unasema muungano asili yako huitaki
@@FeisalDoctor-wr8ws Nchi yangu ni Tanzania na Asili ni Muafrika
@@ambokileasheengai1140 kumb ata nchi yako huijui tanzania hio ni jamhuri ya muungano ww nchi yako huijui mfano muungano ukivunjika utasema nchi yako ni ipi.
@@FeisalDoctor-wr8ws si mpeleke hoja bungeni na muache unafiki kama hamtaki ndoa,,,,,,ya kudumu hiyo hamtoki