EXCLUSIVE: FID Q: SITAKI UTAJIRI MIMI/ HELA SIO KITU NATAFUTA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Msaani wangu wa Muda wotee, Fid q
mziki mzuli ,tuna support,aijalishi ni nani anatokea wapi ,umeongea mada mkuu
Ila hii media ina studio kali sana asee muonekano mzuli sana
❤ielewe mitaa
Namkubari sanaa FID Q fundi wa hip hapu
Sija muona anayoweza kama uyu kubanda vaver Tanzania 1 love my brother
King Fareed respect
Crown 🔥🔥🔥🔥
Studio kali sana mzg safi
Nakubali Sana mzee mbuzi 👑👊
Music na mtu anasema siyo vizuri. Média sote tz ndo hivo
Kib is back 🎉🎉❤❤😂😂
Hizo back vocal zinaboa studio kurekebisha📌
Fid q very concious rapper
BIG UP 👊💪
Fid nimependa iyo idea onja onja na ao watoto ni big project brother....There is something to do with it...Tanzania ni kubwa..na connection zipo...Peperusha Bendera...Ielewe mitaa
Ebwana planet bongo kwa sasa ipo crawn
Sana mafanikio noma sana ... Sichoki kuisikiliza kwa sababu ina vipengere vingi ambavyo vinampa nguvu yule mtu aliye kata tamaa na kujikuta hapati support kwa kile anacho kifanya
MZEE 🐐🔥🔥🔥
100%hip-hop
G.O.T Fid q
King himself, Rock city native
Alaf wew mdada unakuaga na akili sana mungu akutangulie ufikie ndoto zako
Hip-hop icon ngosha
🔥🔥🔥🔥
Alaf muulize fid Q anatoa lini albam na je anaweza fanya kolabo na dizasta vina?
Fid Q nataman siku 1 unafanye nyimbo na eminem
Kama unamkubali ngosha gonga like
Nakubali fid q
Uyu dada mbona anafanana na yule wa east Africa 😎
Naomba siku fid aki ludi tena crown naomba mnisaidie kuuliza show ile ya cheusi tv imefikia wapi na tulikuwana pata radha ya mziki wa upcoming.
Oa kama fid Q sijamuona bongo uyu jamaa jini😮
Hivi kwanini hamna top 100 Tanzania kwenye Apple Music, last time ilikuwa 2021 . Tunahitaji kujiweka sawa kwenye hii mitandao officially ili kuwezesha hayo malengo.
Crown Digital hizi video mziwekee artwork Kwa maneno Ili mtu akiona video tu akisoma artwork avutiwe kuview, kuweni wabunifu Ili tuzidi kutambaa na crown yetu
Mbaka hapo umekul kushiba mana umekul vingi
Kwaiyo tuseme Kingkiba kaamua Kuifilisi East Africa radio 📻 mazima, 🤔🤔
unyama fid + crown
Mzee mbuzi weeee
Fid q msanii mwenye busara sana
goat
✌️
Fid wemkali
Sound ya background iko juu sana sijui kama kuna mtu inamtatiza kama vile nimeskia
Masikiyo yako ndo tatizo. Tafuta daktari mapema 😂😂😂😂
@@rizikiempire9033😂😂😂
Aminiy Mzee 👉
Usivae hiyo hereni nimbaya bana
Ngosha kwenye Uborawake
😢😢😮😮❤
Anko fid hiyo miwani km supa men
Kama we ni Unampenda king kiba njoo Tuchati
Mia
King 🔥🔥
Fidiiii
Ngosha
I just pass by as a walker
Kubanda
Fd kapungua mwili yaan amekonda vp aliugua au laaah
Nakuona kiberiti
Ukubww