UKIMALIZA TENDO LA NDOA TU USIFANYE MAMBO HAYA | NIHATARI SANA | YATAKULETEA MADHARA | SHEIKH OTHMAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 105

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว +23

    Asalaam aleykum Athuman Michael Allah akulinde na wachawi na mashetwani kakangu. Mie kupenda sababu zangu ni kwamba huna uchoyo wa elimu

  • @HabibaHared
    @HabibaHared ปีที่แล้ว

    Mashaallah mola akuzidishiye elmu na akuhifathi

  • @rajabramadan1226
    @rajabramadan1226 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah MwenyeziMungu akuzdishie elm

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 ปีที่แล้ว +16

    Shukran shekhe othman. Napenda sana saut yako shekhe, inanifanya nielewe somo kwa urahisi wallah. Allah akulipe kheri kwa darsa lako in shaa Allah

    • @ابولاناالشبيلي
      @ابولاناالشبيلي 3 ปีที่แล้ว

      شكرن يا أستاذ وبركAllah akujaalie pepo inshaAllah kw elimu yako.

    • @maryamabdulrahman8226
      @maryamabdulrahman8226 2 ปีที่แล้ว

      Swauti wardi hahaha...wanawake jamani haya,,,Allah amlipe kheri sheikh wetu

  • @عايشه-ر8و
    @عايشه-ر8و 2 ปีที่แล้ว +1

    Mola akupe umri mtefu sheikh

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 3 ปีที่แล้ว +7

    Shukran sana sheik Jazakka Allahu kher.Niliahidi moyo wangu hdi nikuone au tuwasiluane In Sha Allah Mola akupe umri uzidi kuokia umma wake Muhamma( S. A. W)🙏.

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd ปีที่แล้ว +1

    Asalam aleikum shekhe MashaAllah tabarakllah darsa nzuri Sana MashaAllah ila mmi nipo na mmangu asumbuliwa na presha hadi hupoteza fahamu je yawezekana kupata dawa

  • @ayshmem9924
    @ayshmem9924 3 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa Allah shukrni sana Shekhe Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuelimisha waislam in Shaa Allah

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 3 ปีที่แล้ว +6

    Shukran shehe wetu kwakutufunza yenye faida ktk maisha haya ya duniani

  • @SahaToto-q6r
    @SahaToto-q6r 4 หลายเดือนก่อน

    Takkbrrrr

  • @Hinduhamza
    @Hinduhamza 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana wewe ni mkarimu

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 11 หลายเดือนก่อน

    Shukran JazakaahAllah kherah ❤ ila ss wa Saudia tunazipataje

  • @biassnachindoro4549
    @biassnachindoro4549 2 ปีที่แล้ว

    Asalamu alykum. Naitwa biassna nasumbuliwa sana nagadzi yamikono sana shekhe

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed8301 2 ปีที่แล้ว

    Mashaa llah Allah bariik fii Allah akulipe kwa darsa tunaelimika Sana

  • @UmmiyLugome
    @UmmiyLugome ปีที่แล้ว

    Alla akuongoze

  • @shamymhmazan7778
    @shamymhmazan7778 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah shukran Allah akuzidishie umri mrefu azidi kukufungulia na tiba zingine Mashallah shukran

  • @AmissiDeo-p1s
    @AmissiDeo-p1s ปีที่แล้ว

    Asalam mwalaikum warahmatullay wabarakatuhu shekh mimi nilianguka chooni ila namshukuru Allah mpaka sasa Niko Salma Japo nimebaki mlemavu wamguu natembeya n'a magongo naomba nambayasimu maana nipo mbali shekh

  • @HalimaSaid-w2j
    @HalimaSaid-w2j ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @ismailmustafa2649
    @ismailmustafa2649 3 ปีที่แล้ว

    Sheh, shukran kwa ilimu hiyo muhimu illa kwa BAHATI mbaya sisi huku tuko mbali na hatuna uwezo kukufikiya kwani hapa hatujaona wajuzi kama nyinyi maradhi nimengi mmoja wapo Niko nakijana myaka takriban 28 alikumbwa jinni kaafir upenda sana ka chooni ,hana chochote anachopenda illa kulala Paso sijapata usaidizi {maalim Ismail mustafa Hoima Uganda

  • @farhatbates9302
    @farhatbates9302 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa allahu, tabarakah allahu,hasbiya allahu, Allah amuhifandi shekh wetu,amin

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah.Allah.akulipe.kila.la kheri.inshallah

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah shukran Sana sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri

  • @UwinezaLydie
    @UwinezaLydie 5 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh shukran shekh Nina ndugu yangu amepooza miguu iyo dawa ataipata jee

  • @zabibumusa9605
    @zabibumusa9605 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah shekhe allah akupe umri mlefu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Sana ata mimi nampendaga

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 3 ปีที่แล้ว +1

    Jazakalah khaira

  • @mkomoremkomore-hy3xj
    @mkomoremkomore-hy3xj ปีที่แล้ว

    Vzr

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah sheikh

  • @lilianomamo9210
    @lilianomamo9210 3 ปีที่แล้ว +10

    Hata sisi wakristo tuko hapa

  • @mohamedelzobery7194
    @mohamedelzobery7194 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh

  • @aminamganga4991
    @aminamganga4991 3 ปีที่แล้ว

    Shkrn shekhe

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 3 ปีที่แล้ว

    Shukuran baraqa Allah fiq

  • @MejumaaHamadi
    @MejumaaHamadi 2 หลายเดือนก่อน

    Asalaam aleikum.nitazipataje izo dawa za stroke tafadhali nipo Mombasa kenya

  • @naomikatope8458
    @naomikatope8458 3 ปีที่แล้ว

    Allah akulipe kheri Kwa darsa lako

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 3 ปีที่แล้ว +4

    Allh akupe miaka mingi shehe utibu watu wengi

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 3 ปีที่แล้ว +1

    Maashallah 💖

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah💕

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 2 ปีที่แล้ว

    Mashalah amina

  • @chikujuma9228
    @chikujuma9228 2 ปีที่แล้ว

    Shukuran shekhe

  • @shanihamimu5288
    @shanihamimu5288 3 ปีที่แล้ว

    Allha.akupe.umri.mrefu

  • @wemaabdalla-qb8yl
    @wemaabdalla-qb8yl ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @billibnli8844
    @billibnli8844 3 ปีที่แล้ว

    mashaAllah,niko kenya na nilikuwa nataka dua uniombe jia zangu zifunguke inshaAllah na mi nitakukumbuka.

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd ปีที่แล้ว

    MashaAllah tabarakllah Allah akuzidishie ukarimu uliokuwanao na Allah akuzidishie elimu uzidi kutufunza inshaAllah dawa pesa ngapi ya kenya

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim2773 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah sisi wengine tuko mbali kweli

  • @fatumanuribrahim7627
    @fatumanuribrahim7627 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah sheikh Osman Allah akupe umri mrefu uendelee kutufunza dawa ni Hela ngapi

  • @aminamichael5023
    @aminamichael5023 3 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah Allah akupe mda mrefu

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786 7 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba hizo dawa mulete zaidi za Kenya kwanzia Nairobi ,kisumu Busia bungoma etc asante

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 3 ปีที่แล้ว

    maa shaa Allah

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @mwanakomboomary7609
    @mwanakomboomary7609 3 ปีที่แล้ว

    Assalamu Alykum kunamtu ananiambia kila binadamu anajini je sheikh nikweli

  • @zaynabjaabir1791
    @zaynabjaabir1791 2 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh hauna dawa ya matatizo
    ya uzaz kwa akina mama

  • @AshaHamisi-jz5mk
    @AshaHamisi-jz5mk ปีที่แล้ว

    Shkh samahn m nna mtt wa miaka mitatu ila anatatz upnde wa kulia umepooz wte hlo tatz alikuw nalo toka alipo kuw na miez sita je hzo daw zinawez kumsaidia?

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh

  • @aisha-t5o3e
    @aisha-t5o3e ปีที่แล้ว +1

    Asalam alleykum shekhe nilikuwa nauliza maana ya neno ijama Mimi sijui maana yake

    • @EshaMohamed-c8j
      @EshaMohamed-c8j 10 หลายเดือนก่อน

      Hijama nikutolewa damu mbovu wengine huchanjwa na kijembe Kisha damu ikavutwa kwa pembe but cku hizi Kuna mashini zakufanyia hijama

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 3 ปีที่แล้ว +1

    👍

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalah

  • @salamabakar5288
    @salamabakar5288 ปีที่แล้ว

    Assalm alykum kwema shekh ugetoa number yko maana Kuna maswalii tunataka kuliZa Kwa Siri tukupte mwenyewe

  • @zaitunibunu8769
    @zaitunibunu8769 3 ปีที่แล้ว +5

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu, sukran kwa kutuelimisha lakini Niko na shwahili ni hivi umesema tusiingie chooni kichwa wazi je kama unataka kuonga tuna fanya vipi kichwa? Shukran.

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaani wakati unapingia chooni tu unajifunika lakini ukianza kuoga au haja nyengine unajifinua haimaaninishi muda wote ujifunike kichwa

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf3535 3 ปีที่แล้ว +1

    Asalaamu alaikum doctor Nina dada yangu alipata tatizo la kutoweza kuongea hafla maneno hayafahamiki ni Zaid ya mwaka wa Tano Sasa maneno hayatoki vizuri hafahamiki akiongea..Naomba unifahamishe naipata vip hiyo dawa. Nipo Zanzibar

  • @salmakarim933
    @salmakarim933 ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum nnaomba namba ya sim ya WhatsApp

  • @faridabakari7730
    @faridabakari7730 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio wengi waliodondoka chooni walipata matatizo makubwa ata mama alisema

  • @husseinashol8111
    @husseinashol8111 2 ปีที่แล้ว

    Assalam Aleykum Sheikh, Niko hapo Kwa HULQUUM napataje? Niko Kenya

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 2 ปีที่แล้ว

    Sheikh hio dawa ya ulcers nihela ngapi.. mm mwili unamaumivu sana na mgongo mpaka shingo..nachili ya tumbo

  • @neemamsabaha8791
    @neemamsabaha8791 3 ปีที่แล้ว

    Umefanana sana na husen Kato wa tanga

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 3 ปีที่แล้ว

    Ahsant

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 3 ปีที่แล้ว

    Aslm Aleikum warramatullahi,nitazipata vp hizo dawa?Bbake rafiki yangu yupo na ugonjwa wa kiharusi

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 2 ปีที่แล้ว

    aalamalaykum shekh naumia sana nipo hapa dar lkn nasindwa kuonana na wewr alla akuhifadd na kunijalua mie tizk ya halaln nije kuktana na wewe

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 ปีที่แล้ว

    Janjajanja nyingi imaan imepotea

  • @Tatafati-uk8vy
    @Tatafati-uk8vy ปีที่แล้ว

    Minakitupa hicho chombo😢

  • @رحيمة-ش7ه
    @رحيمة-ش7ه ปีที่แล้ว

    Yaani ngekua karibu ngechkua iyo dawa..mana nkilala usiku paja lafa ganzi na mkono pia yani uwa sielewi Janga gani

  • @jolierazia2432
    @jolierazia2432 3 ปีที่แล้ว +1

    Assalam aleikum warhatulah wabarakatuh....kwani sheikh kaowa?

    • @salumusimba9236
      @salumusimba9236 3 ปีที่แล้ว

      Uyu shekhe kaowa na anawake 2 sjui km kaongeza wengne

  • @AshaRamadhan-et8ph
    @AshaRamadhan-et8ph 8 หลายเดือนก่อน

    Wap inapaikana

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 ปีที่แล้ว +1

    Watu niwagonjwa Sheikh lakini inakuja kwa matibabu yanayo mpendeza Allah niyale yameamlishwa na Allah ni Yale alio yatumia bwana Mtume Mohammad rasulullah?

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 3 ปีที่แล้ว +2

    Caption ni tofauti na kilichozungumzwa

    • @khamisoothman5294
      @khamisoothman5294 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuwa na subra ktk kusikiliza mpaka mwisho,hicho kilichoandikwa ni moja ya maudhui yalioelezwa ktk clip hii

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx ปีที่แล้ว

    Nitapata wapi hayo mafuta Niko lamu

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx ปีที่แล้ว

    Waitumiaje hiyo dawa mwalimu

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 3 ปีที่แล้ว

    N shilingi ngapi hijama

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim2773 3 ปีที่แล้ว

    Mimi yangu inapanda

  • @aishandwata2207
    @aishandwata2207 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi ndio napotenza hela kila siku mamani.

  • @wahidaabdallah1610
    @wahidaabdallah1610 2 ปีที่แล้ว

    Kwa nini shelh huna ndevu

  • @mjajukiyahya2790
    @mjajukiyahya2790 3 ปีที่แล้ว +2

    Uwe unataja na bei zake kuepusha janjajanja

    • @khamisoothman5294
      @khamisoothman5294 3 ปีที่แล้ว

      Unaweza kumpigia simu kupitia number hizo kuuliza

  • @BathulBathul-ep1iu
    @BathulBathul-ep1iu 3 หลายเดือนก่อน

    Hijama ni nini ????

  • @husseinhcube1310
    @husseinhcube1310 9 หลายเดือนก่อน

    Hijama ni nn ? Shekhe

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 3 ปีที่แล้ว

    Waliowahi kutumia dawa tunaomba watoe feedback

  • @SamiaSaidi-v5b
    @SamiaSaidi-v5b 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @Rahma-cj7wi
    @Rahma-cj7wi 2 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @faridabakari7730
    @faridabakari7730 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah