Naam Shekhe wangu niko nawe makini kabisa, Allaah akurehemu na akuzidishie mazuri huko Donge kaburini uliko, na akusamehe kila kasoro iliotokea kwako wakati wa uhai wako, Shekhe wetu Tuna kupenda sana Wallaahi
Allah subbhanal wathaAllah akusamehe na akupanulie kaburi lako na akutamkishe kauli thabiti akupe kitabu chako kwa mkono wa kuume insha umetatangulia na bado tuna kukumbuka kwa mawaisha yako ya kutuelumisha.
Nimejifunza 😢mingi ila duuuh waislamu muna penda wake 😮sana. Na mtume wenu alikua na wake 9😂😂😂 Ila mafunjo hii ina nivutia. Eti muta enda peponi na wake zenu e😂😂 hiyo kali kweli. 🎉
Assalam alaykum . Napenda kutoa wasia kwako wewe ulotengeneza picha hii nakuhusia usiweke picha ya wanawake walio uchi nikimaanisha mwanamke hata usowake ni uchi na ni fitna . Hatakama maudhui inawahusu wanawake nakuhusia kwa ajili ya Allah na kujikurubisha kwake . NB : uso na viganja vya mwanamke huwa vinaruhusiwa kuwa wazi akiwa anaswali tena pakiwa hakuna mwanaume anaeweza kumuowa . Akiwepo basi anatakiwa pia afunike sura yake .
Kasimu Mafuta ANASEMA,huyu jamaa alikua amepotea, Kasimu Mafuta amemsilimisha dakika za mwisho za uhai wake.Mawahabi ni watu wana matatizo makubwa Sana,ati huyo amepotea,alie muongofu ni Kasimu Mafuta na kundi lake,;+Halafu nauliza; Nyinyi Mawahabi mnaomuombea MSAMAHA huyu jamaa,;Si mnasema; DUA ni haramu?
Kaa darasani ndio utoe hoja. Hakuna mtu anayesema dua ni haramu, unapaswa kuwa na ufahamu wa kinachozungumzwa sio ushabiki. Tahadhari sana kuongea ushabiki badala dini
Masha Allah. Allah atujaalie tuwe miongoni mwa waja wema watakaokua peponi pamoja na Mtume Mohammad (S.A.W).
Masha Allah Allah akurahamu shekhe wtu
MashaaAllah kipenzi chetu Allah amsamehe makosa yake na amjaaalie awe ktk waja wema wa peponi pamoja na Alhabiby mtume Muhammad (s.a w)
Allahumma amiin
Amiin
Allah mma Aamiin ya rabby
Amiin
Sheikh Nasoor Bacho Allah akulipe sadaqatull jaareha...na akurehemu inxhaa Allah 😢
Inshaallah M/Mungu amuweke pahala pema peponi Amiin
Naam Shekhe wangu niko nawe makini kabisa, Allaah akurehemu na akuzidishie mazuri huko Donge kaburini uliko, na akusamehe kila kasoro iliotokea kwako wakati wa uhai wako, Shekhe wetu Tuna kupenda sana Wallaahi
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Allahumma AMIIN YAA RABBIL A'ALAMIIN
Allahumma amiin
Ameen tumma ameen 😢
Aamiiin
Allah amrehemu sh Nassor Bachu na wazazi wetu wote waliotangulia. AMIIN
^MWENYEZIMNGU¬ALLAH{SUBHAANAHUU WATAALA}^ Amrehemu Na Ampe 'JANNATUL FIRDAUS' Shekhe Wetu, AAMEEN!!!
Ewe Allah mjaalie sheikh wetu maisha mema akhera
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Amini
Masha Allah shekh mungu akulipe Jannaatu firdaus..shekh ukombelezahaki ila huku umetuachiya kijanawako ulivyokuwa ww ndivyo alivyo mwanao hakika umeleya kijanawako ktk maadili memasana..yaani mumefanan hadisauti Masha Allah
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Uhakik
Allah akujalie pepo firdaus amin
Allah akuondolee adhabu za kabri na makazi yako yawe peponi
🤲🏽🤲🏽
Jazaka Allah kheir
Allah amrehem amtiliye nuru ndani la kabur lake ampee pepo ya firdaus
Amiin hili jambo pekee ni kubwa shekh wangu umetufumbua macho wengi Allah akurahamu sana ww na familiar yko na wa waislamu wote
Ya Allah mnusuru shekhe wetu na adhabu ya kabri
Allah nakuomba umsamehe makosa yake na umjalie miongoni mwa watu wa peponi
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Allahumma amiin
Allah akurahamu shekhe nasoro bacho umetuachia kazi nzuri sna
Allah ampunguzie adhabu za kaburi na amaze mahara peponi amiin
Mungu akuweke mahali pema pepon ,
Aamin
Allah subbhanal wathaAllah akusamehe na akupanulie kaburi lako na akutamkishe kauli thabiti akupe kitabu chako kwa mkono wa kuume insha umetatangulia na bado tuna kukumbuka kwa mawaisha yako ya kutuelumisha.
Masha Allah JazzakaAllahu khayra sheikh
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Alhamdulillah, hakika hatukuumbwa isipokua kujaribiwa hayo ni moja ya majaribu.
Mwenyezi Mungu akuondolee mchanga wa macho, upumzike kwa amani
Shukuran kwa darisa nzuri Mola akuhifadh Dunia na akhera
Shukran allah amuraze mahali pema
Mashaalah
MAY ALLAH SWT GIVE HIM THE HIGHEST JANAATUL FRIDAUS AMIN ALLAHU MAAMIN YA RWABUL ALAMIN
Masha Allah jazakala qeir ustad kwa hiyo elimu
MAY ALLAH AZZA WAJJAL GRANT HIM THE HIGHEST RANK IN JANNAHT FIRDOUS
ALLAHUMA AMEEN
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Allahumma Amen
Amini
Aamin aamina aamina
ALLAH amghufirie dhambi zake na ampe jannatul Firdaus.
Allahuma Amin
Allaah akusamehe mkosa yko na akupe nur ktk kabur lko shekhe wetu
جزاك الله خيرا،اللهم اغفر له
Mashallah Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu amiin
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Masha Allah Asante Shekh wetu kwa Elim bora
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
KUMBE N TAMU ALLAH AMUEREMU SHEIKH NASSORO
Mwenyez mungu ampandishe pepo ya firdaus amiin
رحمه الله وغفر له
Masha allah
Allah amrehem
Masha ALLAH tabaarakallah اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك
Allah akurehem shekhe wetu amiin 🤲
Allah akupe wepesi na atakupa inshaAllah
Wallahi vijana hebu igeni basi taaluma za sheikh mmekalia kutukanana mitandaoni jamani
Mashallah bonito allahamduliaih graças allah
Allah amrehem sheikh wetu Nassor Bachu
الله يغفر له ويرحمه ويسكنه فسيح جناته
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Amiyn
@@ghulamyassintv4825 juma omari maulidi
Allah akupembadara maana 2nasoma darasa zako
mashalla mungo aku zidishie rekema
Allah akupe wepesi
Allah akurehemu
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Aamiin ya Rabb
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Tunakukumbuka sheikh
Mwenye mungu amrehemu shekh
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Shukran Allah awe nawe
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ ananguruma bado
Mashahallah Allahu aqbar
Allahumma ghfirlahum warhamhum waskanahum filjannah
Allah atuwezeshe tuoe tustiriane ila ubachela mtihan 😢
Alhamdullilah
Mashallah
Allah hua haongei uwongo niukwel mtupu
yupii sawaa sahihi
Allahul mustaan
Allah unaharisto
Subhanallah
Yarrab mpe nuru kwenye kabri lake kama alivyo toa nuru duniani kwa kwakuwakumbusha mambo ya Kheir
Yanachu shawa kwatink
Huyu ostadhi yuko na upeo mkubwa sana wa kuongea nakuongea kwake ukiskiza utadhani anachokisema unakiona live
Kweli kabisaaa nakuunga mkono nampenda mm huyu uhis kama hajafa
Innalilah wainnalilah lajuun
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
Nimejifunza 😢mingi ila duuuh waislamu muna penda wake 😮sana. Na mtume wenu alikua na wake 9😂😂😂
Ila mafunjo hii ina nivutia. Eti muta enda peponi na wake zenu e😂😂 hiyo kali kweli. 🎉
Huu ujinga wa kuweka sura za wanawake katika hii mmepata wapi.
Kweli kabisa maneno yako
Aamin
Ấllwah âmsamehe kwa makosa yake
Upumbavu umezidi. Zungumza sayansi.
Assalam alaykum . Napenda kutoa wasia kwako wewe ulotengeneza picha hii nakuhusia usiweke picha ya wanawake walio uchi nikimaanisha mwanamke hata usowake ni uchi na ni fitna . Hatakama maudhui inawahusu wanawake nakuhusia kwa ajili ya Allah na kujikurubisha kwake .
NB : uso na viganja vya mwanamke huwa vinaruhusiwa kuwa wazi akiwa anaswali tena pakiwa hakuna mwanaume anaeweza kumuowa . Akiwepo basi anatakiwa pia afunike sura yake .
Masha Allah, Allah akurehem sheikh wetu akuingize kwenye Pepo ya Firdaus Ameen
Amiin
musil iraq wazinifu hawana salama mawe to death na popote panapoendelea na jihad
Y
Asma mados
th-cam.com/video/kmAtmUmDOjg/w-d-xo.html
☝️☝️ Guzalink kwa Faida yako
Mashallah mungu mjazie kheir sheihk wtu
Kasimu Mafuta ANASEMA,huyu jamaa alikua amepotea, Kasimu Mafuta amemsilimisha dakika za mwisho za uhai wake.Mawahabi ni watu wana matatizo makubwa Sana,ati huyo amepotea,alie muongofu ni Kasimu Mafuta na kundi lake,;+Halafu nauliza; Nyinyi Mawahabi mnaomuombea MSAMAHA huyu jamaa,;Si mnasema; DUA ni haramu?
Allah Akusamehe kwani hujui unachokiongea jitahidi kusoma Alhy
Umejawa na chuki za kisufy
Mola awe pamoja nawe pepon amen 🙏
Kaa darasani ndio utoe hoja.
Hakuna mtu anayesema dua ni haramu, unapaswa kuwa na ufahamu wa kinachozungumzwa sio ushabiki. Tahadhari sana kuongea ushabiki badala dini
Allah akurehemu