SHABIKI WA YANGA ABANANISHWA ASHINDWA KUJIBU MASWALI HAYA KUTOKA KWA SHABIKI WA SIMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- Mashabiki wa soka nchini Tanzania @allyyanga pamoja na @mzeewasalute wamefanya mahojiano na Mpenja TV, na kutambiana kuhusiana na usajili uliofanywa na vilabu vyao huku wakidai kila mmoja anamatumaini na timu yake.
Wenye SIMBA yetu tumelud tena dalili mputa na wengine tumelud SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂😂
Mtu asieenda uwanjani kwa buku anawezaje kuwa na hoja??
MZEE wa Saluti Simba na Mazembe nani bora Africa
Jibu swali
Mwana Yanga Hana Point Anabwatuka Tuu Ilimradi Aonekane Kwenye Camera
point zake utazielewa siku za mbeleni😅
Makoro hamna mafanikio
Hivi mpeja mnaoji kupata views tu au huyo nao masaluti heti shabiki wampira au shabiki😂maandazi
Dogo france badae uje bandan co kwa kuhoji huko
Tatizo la mashabiki wa yanga huwa awajuagi kuongelea mpira wao huwa ni wabwatukaji awaongeagi point honahapo mtu anashindwa kujieleza anahikalia kupiga mziki wameacha kutembea na magazeti kama wahuza chapati leo wameamia kwenye viredio kama wahuzadawa za mbu.
Kuandika Kiswahili fasaha tu kumekushinda, sasa huo mpira unaohitaji akili utauweza kweli.
kwasababu hawajaenda shule japo madarasa matatu wameishia jangwani kuvuta bangi ndyo maana
Dampu fc
Bado hujajibu ww makoro