DIDA na JUMA LOKOLE Wampa NENO ZUCHU UNAOLEWA na DIAMOND WAWAJIBU WANAZENGO KUHUSU SHEPU YAKE.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Zuchu ni mwanamke tosha kwa Diamond 🤌👌she is very humble na age yake ni mwanamke ambaye atamheshimu Diamond na family yake.hawo wengine wakikua ma slay queen wangemsumbua sana Diamond.may God guide them🙌
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html mtoto wa kizanzibar
Amen
Mwanamke ni tabia sio uzuri wala rangi wala shape beuty ya mwanamke ni natural sio ya kununua Zuchu nakukubali habibti ! Naseeb hapo umefika !
Zuchu love u always ❤
Shepu ya Zuchu ni nzuri sana internationally. Hayo mashepu makubwa ni ya wabongo wanaoyashobokea. Shepu ya Zuchu nice clean natural and beautiful.
Just say that she's cheap to maintain unlike he's past relationships. Be sharp 🤣
Kabisa yani body yenye class
Infact with a flat tummy, that lady is beautiful.
Napenda hiyo couple aki🇰🇪
Dida dida kiuno kama bomba la pikipiki😁😁😁🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤
Zuchu anamfaa diamond 💎💍 nawapenda mno🇸🇦
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Mimi Sina shape ila Nina mvuto wa moyo,same to zuchu she is very prayerful I love the spirit in him🇸🇦
Spirit in him au siyo
@@rahelimuhehe7068 in her sorry typing error 🤣
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
@@MtotowaButere www.youtube.com/@lindashagala9767 nipende pia jameni @penda
Alafu ya mashepu makubwa ni bongo tu but international hayana soko
Nampenda Zuchu ana adabu sana hana kelele❤Mungu amsimamie🙏
💞
Kwani lazima zuchu awe na matako? Wazugu wanapenda shape ya zuchu zuchu ni mrembo sana diamond anampenda hivyo hivyo🇰🇪🇰🇪❤️
Yaani umesema kweli
Hapo chachaaaaa ! Wata blend chupa mwaka huu.
Umenena ndugu hao wana wivu sana kwa zuchu na mondi kashapenda
Yani wabongo washamba wanafikiria kila mwanaume anapenda matako, wakati wazungu akiona demu kama zuchu ndo wanapenda hatari
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Naninavyo mupenda zuchu mie hengera mama zuu
I just love zuchu wanaomchamba Wacha waskie uchungu waende labour wakazae mnampenda I love you zuchu
Acheni unafikii niye siku diamond atamkata Zuchu mutakuja kumtukana Zuchu niyee niyeee wabayaaaaa
Yes hiyo ndo tuingojea in shaa Allah karibuni ZANZIBAR
Mbona zuchu mzuriiii😘🇴🇲❤️
Zuchu yupo sawa kimapenzi hata urembo na shape
Wacha aoleww na simba
Inshaallah harusi njema yenye kheir na Baraka iwe ya kudumu
Gatoto 🔥 🔥🔥 adabu kama yote hakana mambo mengi 🥰
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
🤣🤣🤣 Dadida na Juma...Mbona munani furahishaaà ??..🤣💃💃...ZUCHU MY DAUGHTER..I'm proud for you...wayyoyoyo ! Wayyooooooooooooooo!!!...💃💃💃💑👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
@@MtotowaButere Hapo chacha
I love this, it's true 😍😍😘👌👏👏
Nafurahi Sana Kwa maneno yenu
Allah awahifadhi
Nakuomba dida rokore nyie mungu awaweke mjee tuone mtaongea nini
Jumalokole Ajipendekeza alinde Unga" wake🤔🤣🤣🤣🤣
Yaani maneno mliyoongea ni mazuri, mabint siku hizi hawajui kumjali mume akiwa na ela wanataka kuchezea ela za mwanaume lakini Zuchu anajua kumuendo mume ajitapi ndio maana wametulia mond na Zuchu.
sio wazungu binafsi mie naipenda shep yake zuchu
Yaani sijuwi niseme Nini Hawa watu wamendezana shep wanajamba sana unene shepu siyo dili❤
Hizo story sijui diamond yuwaowa umezisema sana sio Leo 😄 🤣 😂 😆 soon tutasikia tu wameachana
Tunasubiri Harusi lnshaallah
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
In shallah Allah ipo kwa njia
Sio kila mzanzibar anajua kupika mi nimekutana na wengine hawajui hata kukanda andazi nimewafunza mie mbara semeni tu kila shetan ana mbuyu wake hao ndio hapo diamond ndio alipokuwa anapata bac kaamua kutulia
Imekuwa kashfa wanasahau yakusema yapo mengi tu ila kila ukitaka kutamka kuna udugu wa huko unakuhusu unaamua kukausha tu.watu wanavuka kuja kukamatia dyudyu za kibara huku na vilio kwikwikwi.wapiiii
@@bahiyalumelezy3016 umeona ee na hata hawana sifa hizi uchafu wachagu wanaosha mavi ya watoto kwenye masink ya mavyombo yani hapana ingekua nimemuona mmoja kweli lkn nimendq zenji nimekuta hayo mabalaa ukiuliza eti wanakuambia c mtoto kwani kuna shida gani kwani mtoto anakunya nini salama nilikua napita tu wala ckuwa mkaaji siku mbili tu niliona wiki
Juma jamni unayaweza😄😄
Mtoto mahaba th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Allah amfanyie wepes zuhura
Je vous félicite tout les deux suchu tu mérite le bonheur les jaloux vont maigrir hhhh jamani
Ni kweli wanaume matajiri duniani hawapendi wanawake wanene wanataka vimodo mtu awe anapiga gym.
Jamani wekeni akiba ya maneno mana nasiku litamukuta mtakuja kumtukana apo apo nakumbuka tanacha ilikuwa ivo ivo 😏😏
Wanavyomsifia utadhani kashaolewa 😂😂😂, nothing new here, hao waliopita walisifiwa hivyohivyo, walipostiwa hivohivo, Hadi ndoa ifungwe ndio tutaona kuna maajabu.
Saiv atuangalii shape tunaangalia akili ya mwanamke
At last you hv said itt well, coz umepita na warembo wengi but kumbe Chaka lako ni Zuchu 😆 it's time now to settle down, mradi tu usisahau watoto wako ndio hazina yako. All the best diamond chatting frm Qatar
👏🏼👏🏼👏🏼
@@matildamati9222 that's true
Na kutakiya Kula laa....KHEIR MY SON...👏🏼👏🏼👏🏼
Kumbe akili yako ina afya nzuri
Leo mmeongea ukweli
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Ayiyiyiiiiiiiiiiiiii zuuuuchuuuuuuuu wetuuuu
Hongera zake lakini akumbuke kuna exipire date
😝😝😝😝😝😝😝🤣🤣I love Tanzania juma eeeeh 🇰🇪
Mwanzo tuu huooo weeee tusubirie waoane heeeeeee ndoa Dida ndoaaaaaa tamuuu lakini uvumilie uchungu wake yetu macho na ubake wa sikio 😀😀
Zuchu na diamond nikama Koffi na Cindy le cœur akuna siku bata acahanaka kwasabu wana pata fahida .
Kila la kheri tuna watakia InshaAllah 🙏
Toutes mes félicitations pour tout les deux ils sont CANONS ❤️❤️😍
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Jamani
@@MtotowaButere ,🤣🤣
Use
Mawaridi bado hajaekewa akiekewa patalika na majina ya wazenji atakufa mtu mwaka huu♥️
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Mambo ni moto kwa mond na zuchu
Kwa hiyo zuchu analala na diamond? Kama mkewe? Huu uislam ni upi wanofata wao? This is too much wao ni wasanii wanaonekana sana. Kuliko wasokua na majina
Uzuli wa mwanamke sio ulembo ni tabia (ila kizazi chetu hatulijui hilo ndo tunapofeli hapo kwa zuchu sawa yule amelelewa kiafrika zaidi
Yes jumaaaaa you can for see just like prophecy diamond will marry zuchi but the day he'll hurt her it will be the end ...
Mm nitakuja kuwaita mbwa hapo hapo studio subiri tu nyie jiachieni tu na maneno yenu mnae mpa uhakika atakuja kuwaangusha ipo siku
Yan nmependa na naxem zuchu ringa n shepu yko hio n yko ya halali cyo ya kubandika hao wengine wote n zakubandika wasikutishe hao dada angu nakupenda zuchu hooooee
Heshima ya mtu na future aliyonayo havihusiani na muonekano
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Dida waambie bhana mapenzi ayapo ivyo kuwaacha akin zari aina maan zuchu ataachwa mi nawakubali sana zuchu namond wanapendeza san
ZUCHU A GAGNÉ PARCE QU'ELLE EST SOUMISE À DIAMOND ELLE NE SORT JAMAIS SEULE GYM TRAVAIL (MUSIQUE) FIDÈLE RESPECTUEUSE ET PUIS ELLE EST MUSULMANE PRATIQUANTE...
Vérité, Zuchu est très très humble elle n est pas fausse rien qu a voir quand ils sont ensemble Diamond est épanoui avec Zuchu elle lui fait vivre aussi une vie simple pas trop artificielle et elle l écoute beaucoup.
kweli shepu c chochote ingekuwa shepu inawapeleka kwenye ndoa bac wenye matako wasingeachwa 😄🤣😂😆😄
MY AFRICAN GIRL ZUCHUU
Na wazanzibar nasikia wanatunza sana mbele ukute mond kakuta mbele sild ila.nyuma kisado sio shida zao
Kwani wale wauza mikundu kule sinza ni wazanzibar???
@@sultansallah8772 🤣🤣🤣🤣
Wambea nyieeee😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Mbona kizuu kizuri tu.kizuri Cha wastan kinapendeza
Mashaallah
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Zuchu nagapenda jamani diamond weka ndani gatoto hako
Jamani zuchu kafundwa hakafundika,jamani somo yake ni mmanyema,anaitwa nyota waziri anajua huyo,daimond hawezi kupindua hapo.
Yaan nawapenda mpk nawapenda tena
Nawapenda wotee
Maneno hayo hata kwenye kanga yapo Kama muoaji Amuoe sasa sio mpaka iyo sambusa ilegee
Sie tuna subiri ndoa tu ,mutuace sie ,pete iko wapi
We shall see
Mmekubaliana zuchu ana shep ndio ukwe
Sie huyu Lokole alosema Zuchu sie, haolewi na mengi - jamani dunia hii!!!
Kabisaaa
Lokole Pepo utaisikia...wasafi eti!.. mutafute watu wa rika lenu mnaoendana nao!....juma ww.. hahahaha 🤣😂
Ikaeni ukoo niye umbwa mume Baki na kinyango wenu Zuchu nyamazane niye umbwa nn hao haiii mtakuja kumtukana Zuchu bi Khadija Gani uyo Temboo 😥😥😥😥😥😥😥😥
lokole miyeyusho sana 😂😂😂🙌🙌🙌
Komwe ka tunda ya ubuyu 😆😆😆 dida ww na juma mviboko 🥰🥰🥰🥰🥰🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zari pia mlisema alimkamata diamond nanfamilia sasa kikowap
Umbea tu km wa Mpoki
Ndowa ingekuwa dili uyo dida zimemshinda ndowa ngapi kabla ujamjaji mtu jitazame mwenyewe kwaza
Ndoa ndo furaha
Zaanzibar hatoki faraweeerr
Hahahahaha WAZANZIBARI njooni huku Hahahahaha nakipenda kisiwa changu ZANZIBAR
Tupo ndugu yangu hayo ndio mambo yetu wanzenji
Anatutia aibu hata kukomenti, Wazanzibari kidini, kimila na desturi hatuhamii kwa mwanamme kabla ya ndoa, Zuchu Mzanzibari lakini ana tabia za Kitanganyika labda kama alifanya ndoa ya siri.
@@salma0000 nikweli hulka yake ya kibara hasa subhana llah yani hapo kwao watu hushinda na makanga marefu ukipita ila yeye sijui anakwama wapi utamuona jukwaani na vichupi
@@shaphaina9941 mamaake ndio Mzanzibari lakini yeye ni M'bara tu huyo.
@@salma0000 wabara hawafai eeeh?haya salaam zao kina mauzinde bachan na wote huko tufunike kombe tu kwanza.dyudyu zao zinafaa na kunoga?haya ni mazungumzo baada ya khabar tu kila jiji lina utaalam wake na maadil yake mazuri na mabaya.
Mdomo koma yatawashinda
Jumaaaaaaa"Jumaaaaaaa"""mnafiki huyuuuuuuuuuu🤣🤣🤣🤣
Yana mwisho
So she’s just like domestic servants who do some extra chores like …and so on 😂
th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html Mtoto wa kizanzibar
Jealous
Acha makasiriko
Hawa wanafiq iko siku hapa hapa kwenye hii studio ya uchafuni watakuja kumkana zuchu kama walivyo wakana kina tanasha,hamisa na zari iko siku iko siku iko siku !!!
Utajijua
Juma kweli maneno yako
Tutawaita mbwa mmekaa palee😂
Juma wembea Hadija namwanae wawe makini nahiyi familia, mnanza hivo hivo kupamba badae mnanza kuwachafua ma ex wa daimond, familia mbaya nyie 😏😏
chep nini mimi naona zuchu hana ubaya hizo chep nginjanginja utuluki watajijua
Eeh Dida unaonekana una malani sana 🤣🤣 eti Kombe kama tunda ya ubuyu.
Jaman Juma lokole ankula ,na Dida umekazia hapo shepu kama bomba 😟
Hahaha nimecheka kama falaa wazanzibar wezangu mpoo humu harusi tunayo au porojoo tu za mwajuma na da khadija
Ndugu ,isikushitue porojo tu izo
🤣🤣🤣🤣
Kwaiyo zuchu kaamia kwa simba kabisa haya ss yetu macho tunawaombea kira la kher lakini msijimalize maneno akija kuachwa juma ww ndo wakwaza kumtoa kasoro wote mama dangote alikuwa akiwapo kina zari kina tanasha mpaka kuzaliwa tarehe moja na tanasha lakini wapi
Tuombeaneni KHEIR..
Umeongea ukweli tuombeane kheri
Tumuombee duwa za kher mtoto wa watu aolewe inshaallah.ila ubara na uzanzibari ni rubbish.watu ni walewale na mambo ni yaleyale tu kawaida tusikashfiane kibwege humu.
Jamani ila nyie wambea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ww muongo juma mpumbavu yoote woongo basi zuchu ni shangingi ahee ataolewa na Diamond ana mtumiyaa
Umeonaeeee
Nyie watu hatari penda Juma lokole
😂😂😂😂😂😂😂huuuuu machawa wenye degreee zao
Mtoto wa kizanzibar th-cam.com/video/5pLchOtsrtg/w-d-xo.html
Sisi huku ulaya ukiwa na mtako huna soko la wanaume
❤
Daimond ni jini na chakula cha jini chano.na chano ni zuchu nisinia lililo enea miwa tele mkate wa kumimina tende kavu zitele zuchu kaenea mwacheni dai lile ndio pumziki allah alilo mjalia.
Kipenda roho ula nyama mbichi
wanafiki wakubwa hata kwa Tanasha mulisema mtoto mbichi mtu ondoleye
Mm nawapenda nyie watu
Juma wewe ni mnafiki na huy dida,