DIDA ATOA KAULI NZITO, AMCHAMBA JUMALOKOLE -" WEWE na KAJALA MNAHARIBU PAULA, JUMA WEWE ni MNAFIKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 พ.ค. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 404

  • @teddytemu331
    @teddytemu331 ปีที่แล้ว +35

    Leo Dida nimekupendaaaaa ❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌷🌷🌷🌷💐chukua mau yako

  • @teddytemu331
    @teddytemu331 ปีที่แล้ว +56

    Leo Dada Dida umeongea Kama mzazi tena kwa uchungu hongera mnoo Samir ana mama hongera kwako nimependa mnooo kwa kumwambia kajala ukweli

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 ปีที่แล้ว

      Nikwer mama bora ila dida kakosea kumsema kajala leo huyo dida sio kama kajala na Paula ni wageni kwake toka anakuwa ana mjua basi sasa unge mkanya akiwa mbichi kwa sasa mmechelewa .temea mate chini una SAMIA ww ss watu wata anza kufatilia mambo ya samia siku Mange ata kapo lipua ya mwanao usije mfata Rimutusi .unge msema kajala pembeni sio kwenye midia ss hapo kwa kajala mmechelewa sana kwa ushauri kwa Ss Mkunjeni mapema Mtoto wenu Tiffa Dangote.asije kuwa kama Paula.Mwacheni Paula huyo mkubwa mwenzetu.Muwahi Tiffa Dangote

    • @mwanahamisimfyule2014
      @mwanahamisimfyule2014 ปีที่แล้ว

      Dida nimekupenda anauza mtoto uyo amna kaz wanajizalilisha uyo dada juma nae anapenda ela kuliko utu

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 ปีที่แล้ว +54

    Didaa is a real mother

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 ปีที่แล้ว +19

    Dida ni bonge la mama yaan Samira ana mama anayejielewa maashallah ❤

  • @keranynsabimana785
    @keranynsabimana785 ปีที่แล้ว +53

    Dida leo nimekupenda bureee mpenzi❤

    • @Judy_Cheru1663
      @Judy_Cheru1663 ปีที่แล้ว +1

      Nampendeeeee😂😂😂kachamba visawasawa eti ngoja dada. Jumalokole😂😂😂😂

    • @BerthaLongino-jq4vf
      @BerthaLongino-jq4vf ปีที่แล้ว

      Leo kanifurahisha dida

    • @judyjudy3513
      @judyjudy3513 ปีที่แล้ว

      Umehonae mi ndo usiseme

    • @judyjudy3513
      @judyjudy3513 ปีที่แล้ว

      Dida Sema usihogope

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 ปีที่แล้ว +16

    Dida wewe ni mama bora napenda unavyomlea mwanao anaupendo anaheshima toka mtoto...nampenda sana Samira beauty ❤

  • @hosnakamees5454
    @hosnakamees5454 ปีที่แล้ว +15

    Aweee dida Nakupenda dada ❤❤❤🙏🙏maneno yame nyoooka

  • @elizabethseni08-sj8ps
    @elizabethseni08-sj8ps ปีที่แล้ว +3

    Waoooooo!!!!!! Dida ww ni mama Bora nakupenda Sana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 ปีที่แล้ว +14

    Dida, na idrisa leo nimewapenda bure❤😂

  • @yusraedward7736
    @yusraedward7736 ปีที่แล้ว +13

    Dida umeniwezea mpenz ❤❤

  • @user-zb6qu7og4n
    @user-zb6qu7og4n ปีที่แล้ว +5

    Asante dida ongea kama mama

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu4299 ปีที่แล้ว +8

    Dida ni mama bora mashallah nimekupenda dada ❤❤❤

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e ปีที่แล้ว +4

    Dida apewe ulinzi haraka❤❤umeongea kweli dada angu

  • @mimah2498
    @mimah2498 ปีที่แล้ว +4

    Didah ww n mama Bora mungu akujalie kila l kheir juma kashapotea uyo kazana mama didah twakupenda sis paulah n mmke wamepotea

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen ปีที่แล้ว +14

    Asanteeee Didaa Bakora imewachapa kweli kweli Juma limekushukaaaa😏🤪kajala hana mfano mzuri kwa kina single mama 🗣️🗣️🗣️🗣️🙆🏽‍♀️🎥🎥🎥🎥

  • @winfridakaaya2758
    @winfridakaaya2758 ปีที่แล้ว +13

    Dida umeongea point dada more love❤❤❤❤

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 ปีที่แล้ว +12

    Kweli dida unasema.

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 ปีที่แล้ว +7

    Huyu Juma mjinga tuu. Dida I love you sooo much

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 ปีที่แล้ว +13

    Dida na idrisa mmenifurahisha leo mko sawa kabisa juma lokole hafai

  • @mariapaul8914
    @mariapaul8914 ปีที่แล้ว +6

    Dida Kweli wewe ni mama Kwa Kweli juma anampotosha mtoto wa mwenzake yaani sijaelewa juma ni pesa au nini mpaka anampotosha hivi. Dida safi wewe ni mama

  • @asiaasmail5115
    @asiaasmail5115 ปีที่แล้ว +24

    Djuma nimnafki sana kaja ni ibwa ya mama ana malezi mshezi sana mtoto mdogo unamfanya kilamsani atembeye namwanawo afu unamsapoti ibwa ya mwanamke

    • @debramsanga8379
      @debramsanga8379 ปีที่แล้ว

      Kwani Paula ni mtoto ...no please leave Kajala alone time Paula alikuwa under age...Ray alilala korokoroni...
      ..Sahi amejuwa different between maize and Beans...

  • @user-zb6qu7og4n
    @user-zb6qu7og4n ปีที่แล้ว +16

    Family ya wapumbavu kajala nimama mjinga sana

  • @vincej9275
    @vincej9275 ปีที่แล้ว +26

    Juma Lokole ni mnafiki, sasa ndio unapenda Kajala lakini alipokua na Harmonize, alikua mbaya sana tena mjinga. Such a hypocrite.

  • @aminaomy8139
    @aminaomy8139 ปีที่แล้ว +1

    Congratulations Dida ... Wewe Ni mzazi umeongea Kwa uchunguu wa dhati leoooo

  • @ZaituniRashidi-ry9vz
    @ZaituniRashidi-ry9vz ปีที่แล้ว +7

    Dida ni msema ukwel Dida ni Good mama jmn lkn kajala ni kahaba na ndio mtt karith coz anajiharibia carlea mwenyew yaan mama ana sifa chafu mtt kwann asiwe changudoa mwachen tu mtt afate njia 😢

  • @rajabungowo3306
    @rajabungowo3306 ปีที่แล้ว +3

    Dada umeongea vizuri san nimekupnda sana.uyo mama ajielew kabisaaa!

  • @lilianmengere29
    @lilianmengere29 ปีที่แล้ว +7

    Nimegundua kitu kimoja juma lokole ana ubongo kama wa bata🙂

  • @winnifridaashery4449
    @winnifridaashery4449 ปีที่แล้ว +8

    Ila Juma wewe unamuharibu mtt wa watu na Kajala anakuangalia looooh,mwanaume mzima una mambo ya hovyo.Unatia aibu sana aise

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 ปีที่แล้ว +3

    Dida umeongea point sana 🇰🇪🇰🇪❤️

  • @floraundisa3688
    @floraundisa3688 ปีที่แล้ว +10

    Silali juu yenyu jameni,nikiwa hapa Nairobi 🇰🇪🇰🇪

  • @khadijahamisi6558
    @khadijahamisi6558 ปีที่แล้ว +1

    Dida nakupend bule🥰😍❤waambie ukweli wao👌👌

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 10 หลายเดือนก่อน

    Juma mjinga ww dida safi sna respect sna❤❤❤

  • @yohmariepask8076
    @yohmariepask8076 ปีที่แล้ว +15

    Dida hongera mom uko sawa kabisa juma mnafkii kasha aibika lkn hakomi kila siku chefuuu😂😂

    • @azizaidd1998
      @azizaidd1998 ปีที่แล้ว

      Yaan huyu juma hamnazo 😢😢😢 alafu huyu paula sahivi ndoanamuona rayvanny ni mfupi jamana

  • @bahatikabasele7962
    @bahatikabasele7962 ปีที่แล้ว +1

    Juma mnafiki indeed. U're the best Dida

  • @violethkalinga2980
    @violethkalinga2980 ปีที่แล้ว +1

    Dida for the first time umeongea kama mama big up❤

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 ปีที่แล้ว +2

    Dida km Dida .....umesema vyema ❤

  • @lydiahboyani1021
    @lydiahboyani1021 ปีที่แล้ว +3

    Dida mama wa hekima❤❤❤❤

  • @wivinendagano
    @wivinendagano ปีที่แล้ว

    Hongera dada d'Ida MUNGU akuzidi kuku wezesha mashauri mema kwako acha huyo djuma lokole mjinga huyo mimi ni mkongo ninaishi congo dada dida nataka namba yako hongera tana dada dida

  • @zahraally2797
    @zahraally2797 ปีที่แล้ว

    Dida wallah Nakupendaa dada yangu umeongeaa vemaa sanaa

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 ปีที่แล้ว +19

    Dida uko mzazi kabisa paulla angekuwa basi mtoto wako ungemnyohoshaa kabisa

  • @khadijarajabu3690
    @khadijarajabu3690 ปีที่แล้ว +1

    Dida umeongea kitu chenyewe kabisa❤❤❤ juma ajielew uyu

  • @beatriceraphael6025
    @beatriceraphael6025 ปีที่แล้ว +3

    My lovely ccy Dida she's so smart nyie kudaadeki

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 10 หลายเดือนก่อน

    Juma leo umepatikana. Dida umeni furahisha, kwakweli. ❤

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 ปีที่แล้ว

    Huyo juma na kajala ni mtu na mke mwenzake waoish nyumba moja na kupendana knafk😢😢all in all Dida your so good mother ❤

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 ปีที่แล้ว

    Asante sna Dida shaibu leo umeongea ukweli kbs na kuongea kma mama mzazi nakupenda bure Mungu akutunzie kizazi cako kiongoke🥰

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 ปีที่แล้ว

    Juma WEWE MNafk dida respect 🔥🙌🤝🤝❤️❤️🥰

  • @violaat7249
    @violaat7249 ปีที่แล้ว +1

    Didah wawoooooo bora mwaya

  • @aminachilindima-cr6fv
    @aminachilindima-cr6fv ปีที่แล้ว +8

    Dida uko sahihi kajala hajitambui kuna Leo kuna kesho dunia tunapita hii

  • @gracewayanga7509
    @gracewayanga7509 ปีที่แล้ว

    Dada Dida Asante sana

  • @mwanaishakihulunga3539
    @mwanaishakihulunga3539 ปีที่แล้ว +2

    Dida uko vzr sana hongera Kwa kumpa juma ukwel mtt asikupande kichwani bwana sio malezi bwana habali ndio hyo

  • @sultankisoma5547
    @sultankisoma5547 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah didaa unasema ukwel mpaka raha❤😊

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 ปีที่แล้ว +6

    Yaan juma alichosema esma kweli ww ufungiwe hata kwenye tv hizi juma anakuuza vibaya tena hadharan na mama ako akili zake nusu anaona poa tu realty show na maisha ya kusemwa kila kona duuh

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 ปีที่แล้ว +1

    Dida ❤❤❤❤ nakupenda msute na kajala,

  • @salmahoperi9783
    @salmahoperi9783 ปีที่แล้ว +3

    Dida Mungu atakubaliki hayo ndio malezi ya mama kwa mtoto juma unatupigia kelele

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 ปีที่แล้ว +2

    Asante dida❤

  • @teclakagai754
    @teclakagai754 ปีที่แล้ว

    Jameni apo hua noma sana kwanza juma na dida weuh😂😂😂😂...l lov you guys from kenya❤

  • @violetmulya
    @violetmulya ปีที่แล้ว

    Huyu mwanadada anafaa zawadi dida umegonga ndipo❤❤❤❤❤

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jamanni Paula kajala ravnnyn anamupenda zana tagu kitabo anamupenda Paula kajala ♥️♥️😀😀

  • @user-zb6qu7og4n
    @user-zb6qu7og4n ปีที่แล้ว +12

    Dida kunywa soda nakuja kulipa juma ana iaribu ile familia

  • @hhmmmm6523
    @hhmmmm6523 ปีที่แล้ว

    Dida reo unawongea ukweri sana ❤❤❤❤

  • @omsfjb1035
    @omsfjb1035 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubal dida abint ❤❤❤

  • @lydi791
    @lydi791 ปีที่แล้ว

    Dida wewe nimuzazi Bora👌👌❤

  • @michelinesifa3502
    @michelinesifa3502 ปีที่แล้ว

    Asante Dida

  • @sashamotana3490
    @sashamotana3490 9 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda dada dida

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus5990 ปีที่แล้ว +1

    Dida umeongea Point saaaaaana Big up sis, uyu Juma mpuuzi tu

  • @mwasumadinga2110
    @mwasumadinga2110 ปีที่แล้ว

    Umeongea Kama mama dida hongera dada❤❤

  • @salalaomary5737
    @salalaomary5737 ปีที่แล้ว

    Didaaaaaaa hongera mama❤

  • @user-cb5jm3zh6o
    @user-cb5jm3zh6o ปีที่แล้ว +1

    Dida ww ni mama l recepct you my dear huyo mama yke Paula yupo kibiashara hajali juu ya mwanawe mzazi hayupo hivyo tena mtoto wake wapekee anamfanya hivyo kweli na huyo lokole yupo kimaslahi tuu wala hana mapenzi nao hta kidogo anashojali ni maslahi ttuu mungu mpe Macho aone

  • @aysharashid1049
    @aysharashid1049 ปีที่แล้ว +3

    Kajaia kuwa makini sana na Juma, mnaibishwa sana

  • @djladiva1206
    @djladiva1206 ปีที่แล้ว +1

    Dida love u sis. Nipo canada ila nawa fatilia sana ❤❤❤❤❤

  • @tesondalu5819
    @tesondalu5819 ปีที่แล้ว

    Asante dida

  • @siphifahashimu9723
    @siphifahashimu9723 ปีที่แล้ว +6

    Hongeeraaa Dida na IDRISA Allah awasimamie vizaz vyenu

  • @khairathchigalika7014
    @khairathchigalika7014 ปีที่แล้ว

    Dida dida dida shikamoo nakupenda.

  • @sikudhanidd3710
    @sikudhanidd3710 ปีที่แล้ว

    Dida umeongea maneno kuntu kama yawati milioni❤ uyo juma ana ajualo uyo afai kuitwa ata baba

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 ปีที่แล้ว

    Dida mama bora congratulation

  • @unileverldsengineering9541
    @unileverldsengineering9541 ปีที่แล้ว

    Dida ni mama...juma lokole njaa Kali

  • @suzanalyapita-sm2ze
    @suzanalyapita-sm2ze ปีที่แล้ว +1

    Dida, Dida, Dida, , , , ❤️💖

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 ปีที่แล้ว

    Asante Dada Dida, kwel tupu umeyaongea

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 ปีที่แล้ว +1

    VANIBOY Chui anamupenda. Paul VANIBOY anamupenda ♥️♥️♥️🙏

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 ปีที่แล้ว +3

    Dida❤

  • @OrestaPaulosi
    @OrestaPaulosi ปีที่แล้ว

    Yaani Leo dida nimependa sana

  • @user-rj3sp3bu1c
    @user-rj3sp3bu1c ปีที่แล้ว +19

    Dida nakupenda sana uko mukwelii kabisa

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 ปีที่แล้ว +2

    Kweli dida uyo locale katushoshaaaa

  • @niahussein5387
    @niahussein5387 ปีที่แล้ว

    Dida super woman ❤❤🎉

  • @ashudahiza7871
    @ashudahiza7871 ปีที่แล้ว

    Love you dada Dida

  • @dontdeborah8878
    @dontdeborah8878 ปีที่แล้ว

    Dida leo nmekupenda sanaaa ww ni mama kabisaaa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 ปีที่แล้ว +3

    Fayma ni mzuri mara miakuliko Paula

  • @hamzabob1486
    @hamzabob1486 ปีที่แล้ว

    Jamani shoga uyo anazingua sana dida mchane

  • @annnekesa7977
    @annnekesa7977 ปีที่แล้ว +1

    Juma hana lolote, unapenda umbea sana , i wish mungu angekuumba mwanamke , mzima ovyooooooo

  • @scollaedward4631
    @scollaedward4631 ปีที่แล้ว +1

    Nampenda sana fahma♥️

  • @franciscar7153
    @franciscar7153 ปีที่แล้ว +1

    Yes dida upo sahihi kabisaaa,na juma lokole acha ubwakini mfyuuu

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 ปีที่แล้ว

    Dida na babu idi mmesema vizuri.

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 ปีที่แล้ว

    Love you dida fact point

  • @bellazara6448
    @bellazara6448 ปีที่แล้ว +2

    Dida Leo unasema kweli kajali skia dida anasema

  • @birorichantal3610
    @birorichantal3610 ปีที่แล้ว +1

    Dida ❤

  • @fridahsammy6853
    @fridahsammy6853 ปีที่แล้ว

    Dida keep it up

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy ปีที่แล้ว +3

    kitu kimoja tu najiuliza, rayvan kwa nn alienda huko? hata km alipigiwa cmu alishindwa kukataa? shida anayo pia huyo rayvann bado anamtaka paula, hivyo fay akae kwa kutulia

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 ปีที่แล้ว

    Safi sana dida

  • @user-qo5gj9um4p
    @user-qo5gj9um4p ปีที่แล้ว

    Ndio kabisa sana dada

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 ปีที่แล้ว +3

    Hivi Hawa ni wanaume kweli😢😢😢😢