KHADIJA KOPA Afunguka kuhusu ndoa ya Zuchu na Diamond kuwa hakuna ndoa wala ndoano pale!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ย. 2022

ความคิดเห็น • 92

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 ปีที่แล้ว +9

    Ndoa tunayo bi hadija hata kwa mtutu wa bunduki, mimi kama shabiki wa diamond platnams kindaki ndaki nitamfungisha diamond platnams ndoa na zuchu maana napenda mno kumuona mondi na zuchu wakiwa pamoja walai nawapenda mno 🥰💯

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 8 หลายเดือนก่อน

      Weeeee mama weweee au wewe bibi lizeee mpaka limechacha!!! Daah hata lichupi lako kubwaaaa limejaaa uharoooo na utoko wakizeeee weweee!!! Daah lizee kibibi ajuza bado umo tuuu!! Na toto lako linafirwa maviii!!! Linatombwa na kunyonya mboro mbwa weweee!!! Kuna sanda mbwa weweeee!!! Utanuka mbwa weweee!!! Utawekwa pamba panic,mdomoni,masikioni,mkunduni na kwenye kuma na mkundu mbwa weweeeeeeee!!!

  • @rehemasimba1265
    @rehemasimba1265 ปีที่แล้ว +18

    Jamani mashallah Leyla ametulia safi wakubwa wakiongea mdogo lazima uwe kimya, pongezi kwa mzee Yusuf umepata mke.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 ปีที่แล้ว

      Mi namtaka bi sabaha kama ana chura

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 ปีที่แล้ว +4

    Hapo umesema kopa,kujitunza ni safi sana.

  • @Dhahira16
    @Dhahira16 ปีที่แล้ว +2

    1983 taaa sijazaliwa 😃😃 Sabah mama bado unaita kwa kweli ww ni mrembo 😘mashaallah 👌

  • @mamuhassan3415
    @mamuhassan3415 ปีที่แล้ว +6

    Mama anajihisi vibaya ila hana la kufanya ty

  • @user-vo3ly5kh2y
    @user-vo3ly5kh2y 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli tupu kujilinda ndio urembo na siri ya kuwa kijana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 ปีที่แล้ว +1

    Masha allaah nawapenda kweli hamzeeki❤️❤️

  • @jenifalema81
    @jenifalema81 ปีที่แล้ว +8

    Nampenda cn Khadija kopa

  • @umranim5854
    @umranim5854 ปีที่แล้ว +2

    Inna Lilah waina ilehi rajuun turudi Kwa mola wetu mlezi na wote ni waislam subhanallah

  • @mebakarimasudi532
    @mebakarimasudi532 ปีที่แล้ว +5

    Nampenda Layla mstaarabu

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah,mm sina mengi ya kuongea nawapenda sana watching nikiwa Saudiarabia from kenya

  • @khadijakinyala9407
    @khadijakinyala9407 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂😂😂seklepa eti duuuuu!?? ,waaallah nami ngoja nizidi kujitunza

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 ปีที่แล้ว +23

    Mama zangu mshaa go age acheni kujisifu ujinga rudini kwa Allah narudia tena turudini kwa mola wety mlezi hakika sisi ni wake na kwakwe tutarejea
    Acheni mambo ya dunia wala pesa haitokaa itoshe, Bas muoneeni Allah haya mana na yeye anawaonea haya kuwaandikia dhambi kutokana na umri subhanallah, turudini kwa Allah turudini kwa Allah kwani yy ni mkali wa kuadhibu

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 ปีที่แล้ว +3

      Naam watubu hawa vizee. Malaika wa Mauti hayupo mbali sana na sisi.

    • @rukiamaliyo1898
      @rukiamaliyo1898 ปีที่แล้ว

      Naam Dada,Watu wampangia ataoa kila madam wanaemuona naye,bt kinachofanyika ni Uzinzi wa kusaka Umaarufu wala C Zaidi!

  • @halimaomari2370
    @halimaomari2370 ปีที่แล้ว +6

    Hahahahahhha hakuna ndoa hakuna ukwaju hahahaha mama kiboko huyu

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 ปีที่แล้ว +6

    Hakuna ndoa ni zinaa tu na kwenda mbele

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 ปีที่แล้ว

      Hakuna ndoa wala ukwaju 😂

  • @mwanatumunjira1167
    @mwanatumunjira1167 ปีที่แล้ว

    Nayapenda haya mambo ya pwani mm......jaman c mnichukue niwe hapo tu nikirusha roho tu

  • @zamzamahmed1870
    @zamzamahmed1870 ปีที่แล้ว +2

    Mtualike na sisi jamani.....

  • @saudashani5981
    @saudashani5981 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda sana mama zangu

  • @lydiakemuntookindo7254
    @lydiakemuntookindo7254 ปีที่แล้ว +2

    Good content❣️❣️❣️❣️

  • @mwanamwinyimwakinalo177
    @mwanamwinyimwakinalo177 ปีที่แล้ว +2

    Kabisa, nambo ya mwambao mambio ya uswaz raha bila karaha, najivunia kua mcoast 🇰🇪

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 ปีที่แล้ว +7

    Mashaallah 🥰

  • @SofiaWasofia
    @SofiaWasofia ปีที่แล้ว

    Mashallah ❤

  • @khadizauyoupandewawakinaha5883
    @khadizauyoupandewawakinaha5883 ปีที่แล้ว +1

    Maanshallah khadidja kopa nakupenda sana mungu akupe umri mrefu

  • @hayfaswaleh8048
    @hayfaswaleh8048 ปีที่แล้ว

    Bii khadija nakupinga bi malika hakutoka kenya atoka somaliya

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 10 หลายเดือนก่อน

    Hii😢😮

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah nimewapenda nawapenda wote

  • @lydiakemuntookindo7254
    @lydiakemuntookindo7254 ปีที่แล้ว +2

    Waswahiii kweli😅😅😅

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 ปีที่แล้ว +8

    Ni kweli bi khadija ulivyosema mwanamke akijitunza hazeeki sio kutumiwa na kila mtu..... hawana kwenda uturuki kufanya surgery km wengine tunaowasifia

    • @jan6703
      @jan6703 ปีที่แล้ว +2

      Wamejitunza wapi watu wamenenepa is madam ya Michelin. Wote hao chakula kimewaharibu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 ปีที่แล้ว

      Msisifu ujinga wamezeeka kupita kiasi hao, Hamjawaona live bila ya makeup!

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 ปีที่แล้ว

      Simnaona hapo hata hzo makeup hazikai zinawakataa?

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 ปีที่แล้ว

    Mmetishaaa hahaha
    Mtangazaj sakina 😂😍

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023 ปีที่แล้ว +3

    Hawa kina mama nawapenda sana "east African melody" nimewasikia tangu utotoni

  • @lauraineniyomwungere2673
    @lauraineniyomwungere2673 ปีที่แล้ว +4

    Zuchu mtoto wako Ana mambo mmmmm

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda hawa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 หลายเดือนก่อน

    Ila.hadija.kopa mtoto.huyo.anachezewa.sana.zuchu.heeee

  • @fuadshell5188
    @fuadshell5188 ปีที่แล้ว +1

    True

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว +1

    Hii

  • @rachelmbeyu4385
    @rachelmbeyu4385 ปีที่แล้ว +1

    Mama Michael

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 ปีที่แล้ว +7

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna ndoa hakuna ukwaju jamaniiii

  • @abuubakarkichimbo9957
    @abuubakarkichimbo9957 ปีที่แล้ว +2

    Sasa Hadi hayo macho uyakodoe hivo

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 ปีที่แล้ว

    Jamani hamna anaetaka uzee yn hao wahenga wanasifiwa wanaona kweli jmn

  • @beautysalma4054
    @beautysalma4054 ปีที่แล้ว +1

    Kila Mtoto na Babake wajitunza nn hapo 😂Amkeni mkafanye mazoezi wavivu nyie

  • @CxzvFcdx
    @CxzvFcdx 2 หลายเดือนก่อน

    Munamidomo kweli

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 4 หลายเดือนก่อน

    Mond atakuja ainuke na nyota.nyingine kwanza amalize kumvalisha mipepo.zuchu atawalushia wengine ataibuka na binti mwingine mpaka amalize idadi.waliyompangia kuzimu wamama wanawake daa.hatuelewi.tunapelekwa kuzimu bila.hata kupenda wasichana watanzania mapenzipenzi yenu hayo wanaume wamepewa.hela na mafreemason wawalete.kuzimu

  • @teresamaro9549
    @teresamaro9549 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda hawa Top 3 yng ya wanawake wa shoka wa Taarab

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki7543 ปีที่แล้ว +1

    Hapo hakuna ndoa

  • @rukiamaliyo1898
    @rukiamaliyo1898 ปีที่แล้ว +1

    Mondi aoe Nani?Acheni kuzungumza Coz hamjui anachowazia,Nasibu alipanga kuowa wangapi na Wote hajaoa? Mabinti Wenyewe kujipendekeza kwake tuu?Muacheni Mtoto wa Ma.Dangote ajinafas kwa raha Zake.

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge ปีที่แล้ว

    Mwajisifu law taarabu maskini hamjui mnatafuta adhabu yakaburini

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 ปีที่แล้ว +6

    Mama kopa mtoto tuna wasiwasi huendwa anatafunwa lakini!!!

  • @ashasaddiq7093
    @ashasaddiq7093 ปีที่แล้ว

    Onomatopoeia

  • @asslihifadhi2862
    @asslihifadhi2862 ปีที่แล้ว +2

    Zouria nafahamo asifaje moina n'a Diamond si elle fait du bébé se fini l'amour avec lui.

  • @robertsadika1779
    @robertsadika1779 ปีที่แล้ว +1

    Mdomo nyumba ya maneno 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saidasaid5855
    @saidasaid5855 ปีที่แล้ว +1

    Ilo tanasha litafanyika wapi na lini

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 ปีที่แล้ว

    Njoo umuone mzee anaeteseka na dawa za kulevya

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 ปีที่แล้ว

    Skreppp hhhh

  • @sidikatoi1334
    @sidikatoi1334 ปีที่แล้ว +1

    Misha ngingi

  • @nemamwachepha1545
    @nemamwachepha1545 ปีที่แล้ว +2

    Santaa kabisa mdomo nyumba ya maneno

  • @ashasaddiq7093
    @ashasaddiq7093 ปีที่แล้ว

    Mm na ww

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 ปีที่แล้ว +6

    Bi sabah akatiza umbea mbona😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Akioa tu anafilisika

  • @ashasaddiq7093
    @ashasaddiq7093 ปีที่แล้ว

    Asnte

  • @user-wx4zd5ch9e
    @user-wx4zd5ch9e ปีที่แล้ว

    Swadakta

  • @manirambonahawa3798
    @manirambonahawa3798 ปีที่แล้ว

    Iwongo tumevjpka hawowi ki frimasoni hayikubali mondo ahawowi acheni uwongo wandowa hakina

  • @soinda87
    @soinda87 ปีที่แล้ว

    This life 😂😂🤣. Wish I can love myself like this .

  • @nyarkindubay5454
    @nyarkindubay5454 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbe swaba hatari hivi

  • @asaa3219
    @asaa3219 ปีที่แล้ว +1

    Ya MUNGU mengi,,,,mama alisema yeyé Ali zaa wenzake walikunya,,,,,Sisi yetu macho

  • @ladysalma7893
    @ladysalma7893 ปีที่แล้ว

    Mukome🤪🤪🤪🤪

  • @lauraineniyomwungere2673
    @lauraineniyomwungere2673 ปีที่แล้ว +3

    Bii kopa mtoto wako Ana ndoa isikatae

  • @liliansamson674
    @liliansamson674 ปีที่แล้ว +1

    Waswahili si watu wazuri

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 ปีที่แล้ว

    Khadija kopa we ushakuwa screpa pia nyota huna tumia ya zuchu,pia kati ya wote waliopo hapo hadija nyamaza tu umechoka na hiyo lipstik kama unataka kumnyonya mtu damu😀heheheee utachekesha hata walonuna mtaani

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 ปีที่แล้ว +2

      Wivu

    • @salomeakinyi8525
      @salomeakinyi8525 ปีที่แล้ว

      Mbona wivi jameni

    • @Zahrazahra-ue7bp
      @Zahrazahra-ue7bp ปีที่แล้ว

      Kavuma tangu zaman uyo zuchu kaanza juzi iyo hasadi urio nayo kupata kwa mwenzio kunakutoa jasho

    • @Zahrazahra-ue7bp
      @Zahrazahra-ue7bp ปีที่แล้ว +1

      Wanatafutwa wachawi wengine wapo mitandaoni kazi yao kurudisha nyuma maendereo ya watu

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 ปีที่แล้ว +1

    Somu huyu anamipasho eti umealikwa 😃😃😃

  • @ummimohamed2148
    @ummimohamed2148 ปีที่แล้ว

    Hongereni kipindi rasmin

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 ปีที่แล้ว

    Kutana nao live wamezeeka make-up zinawastiri