DIAMOND PLATNUMZ ASHINDWA KUJIZUIA KWA ZUCHU AMTAMBULISHA kama MKE WAKE/HUYU ZUCHU MUACHENI TU..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nampenda Zuchu sana Hana mashauzi so simple gal .
Allhamdullillah kwa caple hii Diamond na Zuchu kitu roho inapenda👍🙏🗣️🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
Mbona zari anamchamba zuch eti yeye ni mke WA daimondi
Hee mungu bless my favorite couple 💑
Naipenda mno couple ya diamond na zuchu mpaka naumwa, chemistry zao zinaendana mno walai mungu ayalinde mapenzi! yao mpaka pumzi! zao za mwisho inshallah!
Amiyn 🙏🙏
Jaman mtume kasema fichen uchumba tangazen ndooooaaa juma na dida mtasababisha mwenzenu asiolewe jaman atarogwa zuchu wangu jmn jmn jmn juuuuuuuuumaaaaaa dooooooomoooo ilooooooo uuuuuwiiiiii
Upo sahh dada ang😀😀😀
Hawezi kuorogwa. Bwana harusi. Lazma. Ipite
Mansh Allah ilanawaped
Anafunga mchicha na mafuta yake ya Nazi 🤣🤣🤣🤣 mashallhhh daimondi anaswali zuchu Alla akulipe 🙏🥰🥰🥰
Nimeipenda iyi couplé zuchu❤️diamond platnumz Simba
Nawapenda nawaombea muoneni
Jaman jump na dida mnanikela iyo midomo yen mnahalibu mamb khaaa
Diamond huyo mtoto wa watu ni binti mdogo sana tunakuomba usimharibie mtoto maisha yake utamchukiza Mungu
Mdogo wapi? Mwaka ujao Zuchu turns 30 years old!
Mtoto mdogo yupo kwa mama yake ananyonya. Zuchu mtuzima, mkubwa na azusa na mkubwa mwenziwe, eti mdogo kakojoe ukale wachie wakubwa wafanye mambo yao, huna macho vaa miwani. Huoni hata sauti huwezi kuifafånua
Zuchu mtoto 😂😂😂😂
Kabisa
Zuchu na diamond ❤❤❤
Zuchu Nampenda
Wazanzibari hoyeeeee
Nice couple❤️❤️❤️❤️❤️❤️Mondi alikuwa chura na sasa atulie Zuhura
Yangu 👀 na nnawaombea dua🤲🙏mambo yawe safi tu isijekua mwisho kama wale wale
Mwaka huu team zuchu tumejipanga👌afe kipa afe beki sisi tutabakia kuwa waamuzi 💪
Jamani msituoneshe hayo tunataka harusi
Allah awafanyie wepesi dai na zuchu wafunge ndoa i sha allah.maana dah kijanawetu anae peperusha bendera ya tz kwa mziki wake.kazinii kazizini jamani sasa imetosha owaa.
Wawooooo.wifiiy.❤nakupendaaaaaa.sana
Kwa hiyo unaswali na kumuomba mungu kesho unarudia kuvaa kichupi kwa hiyo mungu Kawa Babu yenu Mungu anakwambia usiache kuswali kwa ajili ya dhambi but acha dhambi Ili umrudie MUNGU
Beautiful couple 💑
didaaaa haaaa nimeipenda iyooo
Wanamuogopa kuchambwa na mmama Michel jamani😂😂
Diamond Alikuwa anamuita wema Mke wake!!!
Ata mimi ni mke wa diamond alaa 🤣🤣
Zuhura ♥️♥️
Nawapenda mond with zuchu❤️
Juma lokole mjinga eti akija uku yoyoyoyeyooo lkn anafanya ibada daimomdi 🤣🤣🤣🤣
Jaman tunataka haruuuusiiiiiiiiii
Shikamoo juma
kama niti zuchu ajentina na kama mchezaji daimondi ni mes.lazima achukue kombe zenji alilete bara.daimond shikilia baba allah kakupa utake nini dai donda ulie?kula raha owa baba wambea walekee kibla watubu.
Mamaangu Adina kopa kma mnakumbuka dida na juma alisema Kia diamond anatafuta na ataupat sasa mjue mkiskia marashi ya karafuu mjue si karafuu Tu na mafusho
Juma Lokole na umbea😂😂😂
La heli
Kila siku barua eti kesho mara mwakani🙄🙄🙄🙄
Dida ???????🤣🤣🤣🥰🥰🥰
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kijana alikuwa anaelekea uzeeni
Wamefichaaaaaa sasa yamewashinda, kweli penzi ni kikohozi
Siyo kiki hiyo
Anasali masha ache kurusha maziwa na kuvaa uchi
Salaa gani jamani kwa nywele zile
😀😀😀
tukubali tukatae kila shetani na buyule.daimond nishetan na buyule ni zuchu.mtakaa kupiga ombea mtasimama zuchu na daimond daimond na zuchu mpaka ndoani.allah akipanga lake keshalipanga.wakupangua hakunaaaa.kula raha mke ndio huyo dai shikilia babaaa.
Anatowa ulimi kama nyoka kashezi hawk wana kusifiwa zuchu
Kutufanyiya hayo montessori ni kudhalilisha familiya zenu
Nyie nao anaswali anaswali mbona hawafungi ndoa wanazini? Dai anajua analotafuta hapo
Nawpend Zuch Na Diamond
Mondi usisahawu aliye kuwa mbali vizuri amekuwa kuwa imeka hiyo umbeya wenu
Kwaiyo juma nae wifi yake zuchu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁
Tokeni zenu uko swala na rasta wapi
Inawezekana,,,,,,rasta ni nywele yake OG,,,,udhu unaingia,,,,,,,rasta ambayo haiingi udhu ni ile ya kubandika,,,,,,,,kwa hiyo swala na rasta OG ni sawa,,,,,muhimu zinaingia maji,,,,,,binafsi nina rasta ndefuuu zina miaka 13 sasa,,,,naswali kila kipindi,,,Alhamdulilah
@@shaisoho9033 na hayo madenda mitandaoni? Siko kwenye dini bali maadili si Sawa ukizingatia wao ni vioo vya jamii.
@@shaisoho9033 Kwa mwanamme haruhusiwi kusuka iwe Rasta au nini hio ni sawa na kujifananisha na Binti kwahio ni haramu udhu hauingii, na wanaume wanaoeka Rasta wanatumia sjui gel ambayo imehusishwa na alcohol katika utengenezaji kwaivo ushu hauingii na Binti ikiwa ni Rasta ya kuongeza haifai ikiwa ni ya nywele yake ndio sahihi
Cha ajabu nini
TUNAEEEEEEEEEEH
Same
Naomben muwaliko t jaman kwa wifi yangu zuchu nawaomb niwep t maana nataman abadilika nasibu awe na zuchu t
Alisema Tanasha mke wake
Dida😂😂Juma unaendaga south wewe
Haowi mtu