MZEE AMVURUGA DC SABAYA - ''Mimi Sio DC Wa Maboksi''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 มี.ค. 2019
  • MZEE AMVURUGA DC SABAYA - ''Mimi Sio DC Wa Maboksi''
    Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameendelea na ziara yake katika Kijiji cha Kawaya na Kusikiliza kero za wanakijiji hao.
    Katika kusikiliza kero hizo, DC Sabaya, ameagiza kuundwa kwa tume itakayosikiliza malalamiko ya wanakijiji cha kawaya wanao mlalamikia mzee mmoja anayefahamika kwa jina la Kimani kwa kuwadhurumu wananchi mashamba yao.
    #DCSABAYA
    www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
    globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

ความคิดเห็น • 106

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi Ipo Ndugu... Leo Sabaya upo kizuizini.

  • @ggmaths9636
    @ggmaths9636 5 ปีที่แล้ว +2

    Sometimes unaweza kuletewa jambo ukajazwa maneno halafu wewe kama kiongozi ukaenda kama ulivyoelezwa, unakosea suluhu pekee be passion, cool down don't hurry to find solution, while huna enough background,hapo suluhu itafeli, so hapa alipo tengeneza tume ndo atlest ataweza pata ideas kutatua, Then atakuwa amejiondowa kwenye lawama ambazo hazikuwa za msingi.

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว +1

    Jmn Mungu akubariki bwana DC. Hata mimi ninakuombea katika jina la Yesu Kristo..amen.

  • @abitykaria5655
    @abitykaria5655 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Dc Mungu amlinde namkubali sana maamuzi yake ni ya haki much bless to him

  • @teshadismas8352
    @teshadismas8352 5 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mzee BUSARA ZINAHITAJIKA SANA KWENYE SOLVE YA MIGOGORO

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 5 ปีที่แล้ว +7

    Baada ya mzee kuuliza swali la msingi na kuonyesha confidence DC amepata busara ya kusolve huo mgogoro cos mwanzoni alikuwa anasolve vibaya

    • @emmanuelndahan1421
      @emmanuelndahan1421 4 ปีที่แล้ว

      reward yesse kumbe na ww umeliona hilo sometimes hua wanakulupuka hawa, anasema unanifundisha kaz

  • @frankmushi8736
    @frankmushi8736 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee kamtuliza sabaya Mimi sitingishiki Safi Sana..

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo6521 5 ปีที่แล้ว +1

    DC much salute...keep it up

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Wote waliokua wanamshangilia sabaya ni wahuni kwa MTU mwenye skill uwezi kumshangilia tapeli muhuni mkubwa kiasi kikubwa hivyo

  • @georgegerald7975
    @georgegerald7975 5 ปีที่แล้ว +1

    Noma sanaa

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 ปีที่แล้ว +1

    Mung akubariki na akurinde na kila shal umejitolea km bba yetu maguful

  • @dicksonulotu9717
    @dicksonulotu9717 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee safi sana,sabaya ulikuwa umeanza vibaya bahati nzr Mzee akawa ngangari

  • @britonngale6644
    @britonngale6644 4 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 ปีที่แล้ว

    Jamani

  • @fadhilisawe434
    @fadhilisawe434 4 ปีที่แล้ว

    waziri mwenye dhamana pia ashirikishwe

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 ปีที่แล้ว +4

    Mzee yupi sawa na huyu mkuu wa wilaya hana nidhamu kwa wazee shenzi wewe

  • @ericamwangomo6883
    @ericamwangomo6883 4 ปีที่แล้ว

    Mzee kampa safi sana hata kama shamba kweli mzee sio lake ila Dc alianza vibaya

  • @rishadimuhammad3238
    @rishadimuhammad3238 4 ปีที่แล้ว +1

    Dc gawanya haki usilalie upande mmoja kwa sababu ya kushangiliwa

  • @kulwaluge1710
    @kulwaluge1710 3 ปีที่แล้ว

    Leo thamani yako haioni Kani pole Sana sabaya

  • @israeleliah7163
    @israeleliah7163 2 ปีที่แล้ว

    Cheki ulipo weka kofia ulikua unajiona boss sana

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 ปีที่แล้ว +6

    Confidence kwa mzee

    • @myovelajoseph4730
      @myovelajoseph4730 5 ปีที่แล้ว

      Katisha mzee

    • @lucyshula5669
      @lucyshula5669 5 ปีที่แล้ว

      Nimecheka Sina mbavu yaani hawa wazee ...ukitaka hati nawe nipe yako kwanza haha sheria sio lazima ukabokue chuo...

    • @faustinmarko3472
      @faustinmarko3472 4 ปีที่แล้ว

      Dic kuwa mpole utajikuta umelala juu ya bati hahaha kazi unayo

    • @rahmaramadhan9773
      @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว

      Siamini Leo wamemvua uongozi ama kweli mungu a tupe macho yatatu Aamin 😢

  • @rewaatesh4877
    @rewaatesh4877 5 ปีที่แล้ว +2

    DC ana ufahamu mdogo sana kuhusu utatuzi wa migogoro

  • @mussawilliam2954
    @mussawilliam2954 5 ปีที่แล้ว +4

    DC ananyoa kihuni kweli.

  • @geraldrenatus2996
    @geraldrenatus2996 4 ปีที่แล้ว

    Unafanya kaz vizr ila hekima ya mazungumzo kwa wazee n vzr sana

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 4 ปีที่แล้ว

    Wazee mpo

  • @godfreymlay7895
    @godfreymlay7895 2 ปีที่แล้ว

    Leo sasa ndy umekuwa DC wa matope kabisa

  • @makongoronyerere2595
    @makongoronyerere2595 3 ปีที่แล้ว

    Hyo mliye kuw mnampgia vigere here kashaa olewa juz,

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 ปีที่แล้ว +4

    Matatizo ya ardhi ni mengi.right kama Ma DC wote na Ma RC wangekuwa wanafanya namna hii.migogoro ingeisha.
    Hongera RC . Makonda kwa ubunifu huu

  • @najmarushda4390
    @najmarushda4390 4 ปีที่แล้ว +3

    Hatakama ni DC hapo kumnyooshea kidole mzee umekosea kijana mwezangu

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo ni katika maelezo, wala hakumaanisha kumnyooshea kidole mzee.

    • @hassanjuma3982
      @hassanjuma3982 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuna Kaz haziitaji kumwangalia mtu uson DC yuko alright Sana, DC anahekima sana japo umri Ni mdogo ,ngoja nikupe kisa chenye kufanana kidogo enzi suleman bin daudi huyu nabii alipewa hekima ya pekee ila siku moja alipata kesi ya mtoto Yan wa mama wawili wanagombania mtoto mmoja Kila mama anasema wake ila ukweli mmoja katika Mama wale alikuwa mwiz wa mtoto yule ,kwa hekima ya suleman akasema hivi mtoto huyu achukuliwe akatwe vipande vipande viwli ili Kila mmoja apate kiwili wili Cha mtoto yule basi mama wakweli akasema Ni bora nimuachie na mama yule mwiz akasema Ni awawe na akatwe vpande Kila mtu apate je ww ungeweza kupata kujua mtoto yule Ni wanani ila yeye alijua kwa majibu tu yaa wanamama hao mwenye alipewa mtoto na akakosa na mwiz alijulikana kiulaisi tu DC yupo sawa ongeza ufikili wako sorrry

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      Nimeshtuka sana sawa na babayangu

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

      @@hassanjuma3982 haviendani

  • @kekemagori4732
    @kekemagori4732 5 ปีที่แล้ว

    Kimani duuu

  • @khasimgange4213
    @khasimgange4213 3 ปีที่แล้ว

    Mwisho umefikaa

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 2 ปีที่แล้ว

    Mlimuombea

  • @azizalivingston1954
    @azizalivingston1954 3 ปีที่แล้ว

    DC uko makinisana hongera kwautendaji wako wakazi

  • @kagamedimaria4787
    @kagamedimaria4787 3 ปีที่แล้ว +1

    Kimani kimani,nimekuita mara ngapi

  • @barakamweta9958
    @barakamweta9958 4 ปีที่แล้ว

    Safi mkuu sabaya, yani Raisi umechaguwa kweli, happi, sabaya, makonda, Hawa ni viongozi Raisi, wengine wamelala. Watoe, weka Kama Hawa.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 ปีที่แล้ว

    SAFI SANA MUNGU AWASIMAMIE MTEKELEZE ILANI YA CHAMA KIUKWELI UKWELI SAFI ASANTE SANA MH RAIS KWA KUWATEUA VIONGOZI WAZALENDO.

    • @josephmugala1970
      @josephmugala1970 ปีที่แล้ว

      Yuko kutekeleza gelezani ,
      mungu Analipa kuanzia hapahapa Duniani.

  • @hassanjuma3982
    @hassanjuma3982 3 ปีที่แล้ว

    Kheshima kwake DC anafaa kuigwa

  • @amanestomihi2599
    @amanestomihi2599 2 ปีที่แล้ว

    Hili jambazi lilijikuta sana

  • @rashidibukuku7982
    @rashidibukuku7982 ปีที่แล้ว

    Unasifa ww

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 3 ปีที่แล้ว

    Sabaya kumbe una laana

  • @piusthobias880
    @piusthobias880 3 ปีที่แล้ว

    Siku zote wamama ni bendera fata upepo Sasa wanashangilia nn hapo

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 4 ปีที่แล้ว

    Nilidhani mahakama zetu ndio zingelisolve hii migogoro ya ardhii kumbe na wakuu wa wilaya nao ni mahakama!!!!!!!

  • @mwanaherihalfan3356
    @mwanaherihalfan3356 3 ปีที่แล้ว

    Mamlaka za juu zisizichukulie tuhuma za DC huyu kijuujuu bali zifanye upembuzi yakinifu. Nahisi na masuala ya kisiasa yamo

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha9041 5 ปีที่แล้ว

    DC njoo biharamulo naona were nizaidi ya ma DC wote tz

  • @urbanstranger8840
    @urbanstranger8840 4 ปีที่แล้ว

    huyu kimani ni kikuyu ya central Kenya

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 3 ปีที่แล้ว

    Sabaya amaonewa kwa ajili sera za CCM anzifata kuwasaidia wanyonge hiyo mayo imekuwa Lisa jammmmmani Haruna hata Haya!!!!!?!??????

  • @aminanoor5637
    @aminanoor5637 4 ปีที่แล้ว

    nampenda uyu mbaba

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 ปีที่แล้ว +1

    We DC ni mpuuzi, Sasa maana ya kumwambia kwamba ww sio DC wa maboksi ulikuwa na maana kwamba Huyo mzee Hana akili au? Acha dharau dogo kazi zenyewe zakubebwa hizo zisikufanye ujione mwamba. Jaribu kutenganisha mihemko na busara.

  • @rozzymosses2601
    @rozzymosses2601 4 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa anakosa heshima kabisaa huyo ni kma baba

  • @ngurumanmwita8554
    @ngurumanmwita8554 4 ปีที่แล้ว

    Tanzania bhana!!

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 4 ปีที่แล้ว

    ILA MADARAKA YAKIENDANA NA UMRI HUWA INANOGA SANA.

    • @rozinkinda1607
      @rozinkinda1607 3 ปีที่แล้ว

      Kama makonda unafaa sana kikazi

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 3 ปีที่แล้ว

    Cheki lilivyopinda maguu anajiona yeye ndio basi haya mama kafanya yake sasa

  • @josephmalema7782
    @josephmalema7782 3 ปีที่แล้ว

    Miungu watu hao

  • @JesseAkabwogi
    @JesseAkabwogi 4 ปีที่แล้ว

    Lazima Hawa watu wasaliwe na kulindwa dada

  • @Kenny-ht1fj
    @Kenny-ht1fj 3 ปีที่แล้ว

    Huyu DC atari

  • @bonytito9380
    @bonytito9380 4 ปีที่แล้ว

    Dc nyoa kiheshima basi hicho kiduku km mwimba singeli

  • @moha9043
    @moha9043 4 ปีที่แล้ว

    RCA kuwa mpole

  • @edwardsemwenda2807
    @edwardsemwenda2807 4 ปีที่แล้ว

    Hawa DC uzalendo ukuu wa mkoa unakuja kwake

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 4 ปีที่แล้ว

    Watu hawaogopi kudhulumu watu daaa

  • @erickkagisa3470
    @erickkagisa3470 4 ปีที่แล้ว

    sasa nyie hakna mama mnashangilia nini mama zangu?

  • @ngurumanmwita8554
    @ngurumanmwita8554 4 ปีที่แล้ว +1

    Njia pekee ni mahakama c Dc,make sheria na hak ni mahakaman!.

  • @midoseneta4780
    @midoseneta4780 5 ปีที่แล้ว

    babu ako na comfidec... mnataha hati kutoka kwa mzee mzee nae anataka hati kutoka kwa bibi mambo yameiva..

  • @michaelgamba6698
    @michaelgamba6698 4 ปีที่แล้ว

    Tunatak wachapakaz kama nyie magufuli hakukosea

  • @khadijanasoro6510
    @khadijanasoro6510 5 ปีที่แล้ว +4

    Hata km uongozi sio kumnyooshea Mzee mzima kidole km mtoto mdogo

    • @simonmkodya3936
      @simonmkodya3936 4 ปีที่แล้ว

      Wezee kwao hawapo wla milayao sjui haifaham kuwa mzee kampita umli palefu nimjukuu wake

    • @emanuelmwanga4
      @emanuelmwanga4 4 ปีที่แล้ว

      Duh jamaa anapenda. Kiki wamasai nao duh kwa kufuata upepo wamejaliwa wameletewa Masai mwenzao akili zao zinafanana na DC wao

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 5 ปีที่แล้ว

    Duuu huyo Kimani kiboko....."nyoko yake"

    • @amosmabula918
      @amosmabula918 5 ปีที่แล้ว +1

      Watanzania bado tunafikra za kiutumwa. Mzee yupo sawa

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 ปีที่แล้ว

      amos mabula ,kijiji kizima kumlalamikia MTU mmoja,ujue huyo jamaa ni shidaaa hapo

    • @ernestlaiza1176
      @ernestlaiza1176 ปีที่แล้ว

      Wacha afungwe maana ana madharau sana kwa wazee

  • @massoudsalum2038
    @massoudsalum2038 5 ปีที่แล้ว

    Huyo mzee ni mtu mzima tena babu yako sio baba yako et unanifundisha kufanya kazi hayo ni madaka tu tujaribu kuwa na hekima mbona jpm sijaona hata mahali pamoja anongea kama nyinyi wasaidizi wake

    • @simonmkodya3936
      @simonmkodya3936 4 ปีที่แล้ว

      Massoud Salum busala hakuna hapo

    • @rosariosumbane9112
      @rosariosumbane9112 4 ปีที่แล้ว

      Mzee nae hana busara yule Mzee ni mjinga ila kazeeka ni mjinga Mzee

  • @yomapavijadinu1804
    @yomapavijadinu1804 4 ปีที่แล้ว

    Halafu acha kunyoa kihuni bwana.

    • @micamathew6433
      @micamathew6433 4 ปีที่แล้ว

      Vp ww hunyoagi kihuni?? Hahahaaa

  • @stanleyshoo3543
    @stanleyshoo3543 3 ปีที่แล้ว

    Nikweli baba yeye aonyeshe yakwake

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 11 หลายเดือนก่อน

    sabaya kilaza sana mzee kauliza swali la msingi
    yeye anatumia nguvu tunaongozwa domant sanaa

  • @mbwanaaqaz5006
    @mbwanaaqaz5006 4 ปีที่แล้ว

    Huyu DC anafanya Kazi kama mimi aangalii mtu usoni piga kaz bro dar tunakusubiri uchukue mkoa

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 4 ปีที่แล้ว

    Mkuu unafanya kaz vzr lkn swala la kukosa busara kwa wazee ni ukosefu wa nidhamu kumnyooshea mzee kidole hivyo cyo pouwa vitu vingine inabidi uogope

  • @mtwamvuyekule3349
    @mtwamvuyekule3349 4 ปีที่แล้ว

    Kijana ni kijana tu mzee lukuvi anasolve kwa hekima kubwa kubwa lkn jamaa Hana hekima kabisa huwezi kuongea na mzee kwa jeuri hiyo

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    Sasa vitu vinaanza kufire back
    Haya mambo ya macamera haya watu wataanza kumbuka soon...

  • @akshaydavid159
    @akshaydavid159 3 ปีที่แล้ว

    We DC ni mpuuzi, Sasa maana ya kumwambia kwamba ww sio DC wa maboksi ulikuwa na maana kwamba Huyo mzee Hana akili au? Acha dharau dogo kazi zenyewe zakubebwa hizo zisikufanye ujione mwamba. Jaribu kutenganisha mihemko na busara.