DC Sabaya alivyoondoka na waliokula MILIONI 126 "mmekula mafichoni"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya ameondoka na watuhumiwa watano wa chama cha ushirika cha USWAA baada yakubainika kula milion 127 za chama hicho baada yakuletewa malalamiko huku akiwataka viongozi hao kulipa fedha hizo
Kamsifie tena boya wewe
Walizichukua mafichoni ,watazilipa hadharani.sawasaw!!!
Mackin khery kufa Mackini kuliko dhulma.
piga kaz sabaya
UNAJISIFU KUWA MASKINI(UNYONGE)IVI KUMBE UMASKINI NI SIFA?
YAANI UNAFUNDISHA NN WANANCHI?
HUYO NDO ANAYEONGOZA NJIA AKIWA ANAKATISHA TAMAA WANANCHI JE TUTAFIKA?
kwa uelewa wangu mdogo huyo dada anakosa hata mbele za mungu yeye alitii mamlaka ya waliojuu yake so pambana na hao mh kwsb wapo
sawa ila angejiuzulu au angelipeleka swala hilo juu zaid
Huyu huyu sabaya aliyeokoa pesa kwa mafisadi Leo hii a nateseka gerezani na kulia kweli Mungu wewe ni muweza Baba sabaya awe huru kuanzia sasa
aliyeshuka au aliye maskini ni huyo muuza mtumba au sabaya asiyekuwa hata na mifuko gerezani, ety ukoo wa wanyonge na makofi yakulazimishana
Ubarikiwe sana mh sabaya natamani sana uje na mbeya huku watu wanyooke
aisee mpaka namuonea huruma dada wa watu
Kk ole sabaya, kwl ww n bg boss, naona mikono mfukoni haipungui! 😎😇😱,hebu huyo dada muangalieni kwa jcho la pili kulingana na maelezo yake, sukuma ndani mapapa/ waliokuwa wakimuagiza!! 😇😷😞
Anatokea mjinga mmoja kwenye mkutano anamsifia mtu kwa kusema fisiem oyee kwan umeckia huo ni mkutano wa chama? Na kama ulikua wa chama kwann hamkuitana kijani wenyewe?
Sabaya jaman ni mtu ambay mungu amekushusha mlikuwaga wap jaman Mungu akubark mungu akutolee vkwazo vyote
Cheka sana yakimkuta jirani Omba yasikukute.
u
kama unakula jasho LA watu kwa kweli usijisumbue kuomba yasikukute yakukute tuu na mungu haskii maombi ya wazdhulumaji
@@davidulenje1264 sawa kabisa
Wanyonge tupo oman tunateseka
Allah atakusimamia
خالد الشقصي ndg ivi uko vp wanawatesa sana warabu
mnafata nn oman ndugu zangu, kila siku mnapata taarifa za ushenzi wa waarabu lakin hamkomi... tulieni nyumbani ndugu zangu
Up sehm gn mpnz
Mnamjaza upepo atawanyoosha kweli
Jamani leo yupo ndani tena.
Kweli anatetea wanyonge
Mbunge yupo dar
Yani wakikosa kukosoa wanamtizama mambo madooogo eti katia mkono mfukoni.mada hii ni muhimu achilia mbali hata angepiga magoti kunyenyekea. Lakini angalieni hoja ya msingi hapa!!FEDHA ZA UMMA
Ilikuaga noma sana
SUBSCRIBE SASA WASAFI FM ILI KUONA WASAFI FESTIVAL BOFYA LINK 👉👇th-cam.com/channels/lfVNHbf228e8RGdC1wmCng.html
Jamani kuna mtu ana namba ya mkuu wa wilaya ya hai
Unyonge Ni laana
Makofi yanalazimishwa???!!
Yaani ni shida
Yani popote ulipo kaka kunywa soda lipa mwenyewe
Huyu mkuu wa wilaya naye ni CHUMA
..Jafo akukute na issue kama hiyo utakoma!
Haya ndiyo yaliyomufunga Sabaya. Watetezi wa wanyonge. Watetezi wote wa wanyonge leo ndiyo wanawindwa.
Mbunge anapanga maandamano huko Dar
Duuuuuuh pigeni makofi
Dah maskini Dada wa watu
kama sasa watendaji wanashindana katika kuchapa kazi...nahisi tunaanza muelewa uelekeo wa Magufuli....enzi hizo mkuu wa wilaya unamsikia kwenye maafa akikusanya rambi rambi
😁😁😁😂😂😂😂😂
Dada kaongea ukweli
Wilaya zipo 30 tz wangepatikana akina olesabaya 30 mambo yangekua mazuri.
Sukuma ndani
Eee walimtafuta asiyejua kitu chochote ili awe ana sign
Lkn wangefikiri jinsi alivyofanya kazi kuwasaidi wananchi wangemfunga hata mwaka tu
Tunapochagua kiongoz lazima tuchunguze vizuri ole sabaya mbona katili hana hekima busara maarifa yupo unafikikir anavuta bangi naomba akapimwi akili
30 jela
Rais samia huyu ole sabaya asirudi kweny uongozi kbs kbs
Safi sana wakuu wa wilaya nilikua sijawahi kuwasikia yani sasa ivi kweli asante magufuli
Mimi sikomu Tanzania 🇹🇿 alakini nashukuru sana kwa kazi nzuri munayo ifanya kwa raiya wenu hata sisi tuna ichi yetu ila tunatamani selekali la Tanzania 🇹🇿 kabisa Mungu abariki Tanzania
Uyo kasema ukweli tafuta wale wakubwa ndio waliokula iyo pesa
mlikula kifichon mtalipa adharannn pigen2 makofii safii sana sabayaa👏👏👏
Nahicho cha ccm hoye kimetoka wapi
nani yupo hapa bada ya huyu sabaya kutiwa mikononi mwa police na yy
Eti Sokoine hii nchi ilipitia kipindi Cha vituko sana
Wanyonge nn
Maendeleo yatakuja kama yote Tz maana kila kiongozi anajitahidi kupiga kazi ili asitumbuliwe .tumbua2 imesaidia viongozi kuamka na kufanya kazi
Umenenepa bro c kipindi hicho nakubeba na toyo daah kweli maisha propaganda piga tuko pamoja sana my brother
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃watazitapika sasa
wanaolaumu kua hapo c mahakmn kabla ujajiuliza ivo jua kua hii awamu ya 5 jmn jmn acha wenye TH-cam tufrai self
Sabaya angechaguliwa kuwa Mbunge na kutetea haki ya Wanyonge
nakuombea kazi njema huwa nakufuatilia xana lkn ww ni jembe ,,mm naomba uhamiswe uje wilaya ya kilindi kuna vitu vinavyo wakere watu bla kupata majbu
Fekelea mbali wote
Fyekelea mbali mzee baba
Nyie viongozi mmerogwa na nani...mnataka kuwaanisha watanzania kwamba umaskini ni sifa....
Sasa namuelewa huyu mkuu wawilaya uteuzi nisahihi huu
Kweli wewe unafanyakaz kama sokoine
Kweli huyo mzee kacheka kinafiki
😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅nimecheka kifala pigeni makofi 😂😂
Pia wewe utastyle up sababu huwezi kuongea mbele ya wanainchi mikono ikiwa kwa mifuko tabia gani hiyo sasa
Mmmm
Ingekuwa kweri mbona mungu angeibariki zaidi tanzania ila ukweri munaujuwa wenyewe
Kweli kabisa sokoine amezaliwa tena
duuh uko vizuri dc sabaya
Sabayaaaa amelalaaa yoooooh
SAFI SANA BIG UP MKUU WAWILAYA CHAPA KAZI MSAIDIENI RAIS WETU MCHAPA KAZI
Hii awamu haifai mlizoea kupiga! .Na aliepiga asali isimpate hapa ni moto
mh sabaya kwahili natamani ungekua wilaya ya korogwe kuna watu wametuzulumu tumetapeliwa mpaka laki tatu mpaka Leo hatujapewa mikopo hiyo
Kazi kafanya nzuri kama ni mikono kuweka mfukoni atajirekebisha tu kikubwa nidhamu ya kazi na pamoja nawananchi
Pesa za Tanzania nje nje hakuna njia nzuri za control
Funga. hao. majambazi. sana. '''''''
Sioni chamaana zaidi ya siasa tuu ya ccm ,
Diwani fala
Hata kama ninyi ni watawala kuongea na watu umeweka mikono mfukono ni KWAMBA hukufunzwa vzuri,unawalazimisha kupga makofi?
Eliniko nniko
Kuweka mikono mfukon
Haipunguzi taaruma na elimu
Alio nayo wewe siulikimbia umande hahaha
Nakutania tu bwana!!!
safi San naomba muangaliye huyu dada
eliniko mniko kabisa yan duh!!
Kumbe DC sabaya Masai
Rc amekukataza tabia za kuweka weka ndan kila mala we vp ww?!!
jamaniii nakupenda mkuu was wilayaa
Kama ilikua una kubali washakutia ktk shimo hao
Wanyonge gan gan mbona sehem nyingine mnawanyanyasa hao mnaowata wanyonge
Hiii serikhali alooooo.....chumaaa sanaa tunawaombeaa sanaa....
Wanyooshe hao
Apelekwe Mahakamani sio kuhukumu MTU huna uhakika
Safi dc.simama imara na Mungu atakupigania
Mbunge afanye izo kaxi?
nimecheka huyo aliyesema wanyonge wako oman .ndg hujachelewa muombe Mungu wako akurudishe kwenu haraka
😅😅oman hakuna wanyonge bali wachapa kaz
Nimempenda sana uyo dada amekuwa mkweli
Piga tu makofi
Hongera Dc
mbunge wa jimbo hilo ni nani??
Msameheni jmn kasema ukweli
Awataje waliopo nyuma ya pazia.
Shukurani sana kwa kukutetea wetu Mungu akubariki sana
Inaelekea kuna kausiasa hapo.
unajuwa vyeo vya kupewa busara mara nyingi zero kujiona mungu mtu sema ajakutana na aliyepida
Afadhali. Umsifie. Mnyama fungo. Kuliko. Kumsifu. Tundulisu. Fungo. Anaakili. Mzuri. Angalia. Akili. Ya fungo.mfano. fungo. Anaeishi. Tandale. akitembelea. Tandika. Hawezi.akachafua. mazingira. Kule tandika. Akiwa. Na haja kubwa ndogo. Nilazima. Atafanya. Kila njia.arudi harakasana. Hata kwakukatiza. Shughuli. Muhimu. Arudi. Kwao. Tandale. Ili. Aweze. Kujisaidia. Sehemu. Maalum. Aliyo jipangia. Fungo bwana. staarabu. Sasa. Nduguyetu. Lisu. Anashindwa. Kuelewa. Kama. Unauchafu. Sii urudi. ukaumwage. Kwako. Kwanini. Uchafue. Mazingira. huko. Marekani. Na kwingineko. wakati. Unajuwa. Unakituo. Chako. Cha kunyea. Mavi. Unakwenda. Kunyea. Kwenye. Miji. Ya wazungu. Unachafua. Mazingira. anakushinda. Fungo fungo. Anaejuwa. Wapi. Pakuachia. Uchafu. Wake. Hata akimtembelea. Rafikiyake. tandika. Atarudi. Kwao tandale. Kunya. Nahuko. Kwao. Hachafii. Mazingira hovyo. Nilazima.afikiee sehemu yake aliyojiwekea. Sasa bwana. Antipaki. Lisu. Unaambiwa. Rudi kwenu. Ukashirikiyane vyombo vya dola. Ili upate. Mustakabali. Wa tatizo. Lako. Wewe unambwela mbwela. Tu huko ulaya. Tafadhali. Ujuwe hata. Wanyama wanahikima. Msome fungotungo. Uchafu. Wake haendi. Kuusambaza. Kwenye. Msitu. Wa wenzie. Anajua. Na wao. Wana maviyao. Yananuka. Kama yakwake. Au zaidi ya kwake. Sasa. Lisu. hatujasikia. Kama. Unavyo. Sema wewe. Mwenyewe. Unamkosoa. Raisi. Hukosoi. Taifa. Sisi tusiye. Soma hatukuelewi. wewe. Rudi. Kwenu.ujeulalamike. namalizia. Kwakuwa. Humjui myama. Fungo fungo. Njoo. Kwetu. Huku. Tutakuambia. Habari ya mnyama. Fungo. Anasifa. Kibao. Za hekima. zake. Fungo. Kwa mpunga. Usiseme. Ukimpika mtamu. Hata. Ukimuunga. Kwa nazi na nyanya. Anassifa. Nyanya. Anazishikilia. Mwenyewe mkononi. Hicho kibwagizo. Cha watu wa. Kusini. Tafakari.
mbunge hakamati watu ww
Aiseeh Huyu dada unasahau awamu ya ngap looooh
njoo handeni uwaokoe wanyonge wa kabuku
naomba maana ya unyonge
Hii kauli ya wanyonge itabidi ipigwe marufuku
🙄😁Kama wewe ni Tajiri jitoe kwenye unyonge acha sisi tuendelee naunyonge wetu 😂😂
We2 nimasai tunakumbuka sokoine
Dada anaziwa huyo akienda jela atakuwa chakula cha Mkuu wa gereza
Abdulatif Said 🤣🤣