ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

GB 64 AFUNGUKA KINACHOENDELEA SIMBA MISRI KWENYE PRE SEASON, USAJILI ELIE MPANZU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2024
  • Simba

ความคิดเห็น • 57

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x 23 วันที่ผ่านมา

    Safi sana GB 64 unafanya jambo la muhimu na lenye tija katika club ya Simba be blessed

  • @albamwanja4304
    @albamwanja4304 28 วันที่ผ่านมา +4

    Kama timu Ina commitment na spirit ya kupambana then chemistry ni suala la muda tuu. Simba inaweza kufanya makubwa msimu ujao

  • @user-pf4vx5yx1q
    @user-pf4vx5yx1q 27 วันที่ผ่านมา +1

    Kazi na umri sadi sana

  • @augustinobongo9962
    @augustinobongo9962 28 วันที่ผ่านมา +2

    Gb 64 nakukubali Sana, eti kazi na umri...carbon 14 itatumika kupima umri wa timu ya NSSF😂😂😂

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 27 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 nakukubali sana mchezaji anayejua mpira hahitaji muunganiko

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m 28 วันที่ผ่านมา +1

    And their bodies streamlined to the pitch so as to enhance contest

  • @vituslawa6366
    @vituslawa6366 22 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwam anajua mambo na ni kweli simba hii wengi tutajiuliza huu mpira wa simba ni nchi ya wapi

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    Mpanzu lini anapewa welcom

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 26 วันที่ผ่านมา

    GB nakukubali sanaa 😂😂😂 kazi na umri

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r 27 วันที่ผ่านมา

    GB64 umetisha bro❤

  • @DadeSaide-qr7ti
    @DadeSaide-qr7ti 28 วันที่ผ่านมา

    Nakukubari kaka

  • @dechmusi1661
    @dechmusi1661 28 วันที่ผ่านมา +2

    Uje na mwanza siyo tu kwa huko Dar

    • @Salum-ij6mg
      @Salum-ij6mg 28 วันที่ผ่านมา

      Tunakuja

  • @TunuAdam-gc9rc
    @TunuAdam-gc9rc 27 วันที่ผ่านมา

    Naipataj kadi ya simba jmn

  • @AllyHussein-so1hr
    @AllyHussein-so1hr 27 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa anafit kuwa semaji

  • @jumasaid9340
    @jumasaid9340 26 วันที่ผ่านมา

    Kwa huku Zanzibar tunazipata vipi

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 26 วันที่ผ่านมา

    Tunaomba viongozi wampe hata miezi 6 au acheze league ya ndani tu kuliko kumuacha tutakutia

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u 27 วันที่ผ่านมา

    nakubar kaka

  • @lautz8377
    @lautz8377 26 วันที่ผ่านมา

    Uyu jamaa awe msemaji

  • @KingMbaz0-p8u
    @KingMbaz0-p8u 18 วันที่ผ่านมา

    Yani we sio gb 64 tu naisi ni gb 1000 mana ni mtu mwanye pwent kubwa sana

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 28 วันที่ผ่านมา

    Kramo asiondoke ni mchezaji mzuri Sana Kwa sasa kapona

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 26 วันที่ผ่านมา

    Shs 10,000/-? Mcheze majaribio na taxi drivers😂

  • @kazyn9554
    @kazyn9554 27 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂saw tutakutana kwenye derby jimalizen tu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 28 วันที่ผ่านมา

    sio kama yule benchika yeye mpira unachezwa anakaa tu kwenye dumu

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo 26 วันที่ผ่านมา

    Kramo asiachwe wanasimba lindeni sana wachezaji kramo alikuja mzima tu mvumilieni atatupa kitu mpeni hata miezi 6 dirisha dogo kama hatafaa basi aachwe

  • @RaphaelNdameze
    @RaphaelNdameze 26 วันที่ผ่านมา

    Nikuone wapi GB 64 nimetafuta kadi muda mrefu

  • @EliasMikidad
    @EliasMikidad 25 วันที่ผ่านมา

    Wanachokiangalia simba ni ubora wa mchezaji na si tim wanazotoka ziko nafasi ya yanga wamemchukua chama simba ipo nafasi ya yangapi?

  • @MwinyjumaRamadhani
    @MwinyjumaRamadhani 28 วันที่ผ่านมา

    Kwaio fei Azam wamegoma kumuuza?

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 28 วันที่ผ่านมา

    Simba yetu mpk ubao hatuiachi hata iweje tutazikwa nato

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 27 วันที่ผ่านมา

    Wewew nahakiri yako unataka aweje? Wachezaji wapya anataka awasemeje mechi bado kuanza acha ajenge team Simba nguvu mojaaa

  • @YasinSadick
    @YasinSadick 27 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 mm nakuita Gb 125 salut kwako mwamba

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa 28 วันที่ผ่านมา

    Gb,64 Nina kukubalisana ila wachezaji wetu walindwe hatahuko misiri wafanyiwe kisomo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 28 วันที่ผ่านมา

    wachezaji wa utoporo hawafundishiki tena umri ni Mkubwa

  • @christopherngereri76
    @christopherngereri76 28 วันที่ผ่านมา

    G.b 64....weka namba hapa tukujie in box Kwa maelekezo namna ya kujiunga

  • @FlavianEdson
    @FlavianEdson 28 วันที่ผ่านมา +1

    Tupe taarifa ticket lini

    • @Zenampande
      @Zenampande 28 วันที่ผ่านมา

      Ticket walisema zitaanza kuuzwa wiki mbili kabla ya Simba dey

  • @desuretvonline255
    @desuretvonline255 27 วันที่ผ่านมา

    NFCC😂😂😂

  • @mohsinrajab7350
    @mohsinrajab7350 28 วันที่ผ่านมา

    Kwani simba imesajili timu au imessajili mchezaji watu wanaangalia mchezaji anayefanya vzr ktk timu jifunze kujua jinsi ya kusajili sio unabwabwaja tu

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu sahiz anapiga hela hakuna kitu tena😂😂

    • @ambwenemwamwimbe153
      @ambwenemwamwimbe153 27 วันที่ผ่านมา

      Kapige naww

    • @jumafarid8861
      @jumafarid8861 26 วันที่ผ่านมา

      Ww unafnya nn hapa duniani piga hela naww allaaah

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv 28 วันที่ผ่านมา

    😂😂 kwamba weka kunyavu gb 64

  • @frankshirima4029
    @frankshirima4029 28 วันที่ผ่านมา

    We jamaa ulisema chama akienda yanga unahamia azam bp tena huku mkuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdoulkarenzo3138
    @abdoulkarenzo3138 28 วันที่ผ่านมา +4

    Uyu GB 64 Umesha geuzwa naona umeshalambishwa tu pesa sio ule GB 64 tuliozoweya kbs kwasababu simba bado kbs hayijawa na kikisi cha kupambana na Yanga ni danganya toto msimbazi kwasababu akuna mchezaji oliyosajiliwa aliyetoka timu yakwanza amo ya pili katika ligi yao

    • @willieymesh7823
      @willieymesh7823 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kwan wachezaji wazuri wanatakiwa watoke team yakwanza na yapili😂😂

    • @abdoulkarenzo3138
      @abdoulkarenzo3138 28 วันที่ผ่านมา

      Kimfano umealikwa ulaya kucheza champions league wanakwambia uchukuwe wachezaji wanaweza kukufaa katika michezahiyo kati ya Geita gold na Ruvushouting amo yanga na azama tuuu kama umataka kufika mbali mu ayo mashi dano utachukuwa wachezaji wapi kati izo nafasi mbili?

    • @willieymesh7823
      @willieymesh7823 28 วันที่ผ่านมา

      @@abdoulkarenzo3138chama katokaa team iliyoshika nafasi ya ngap🙄

    • @abdoulkarenzo3138
      @abdoulkarenzo3138 28 วันที่ผ่านมา

      @@willieymesh7823
      Na dube katoka kwenyetimu iko nafasi yangapi na simba mbovu ni ya iyimya michache imepita kabla ya icho kipindi simba sc ilikua tishiyo tanzania so wachezaji wapilio sajiliwa yanga wafiliye na perfomance ya timu zao ,
      Wachezaji wa simba wote wachunguze vzr mtu mwenyewe alitoka mu timu ya tatu katika league yao ni uyo mzambia tuu wangine na fasi 8, 7 ... wangine timu zao zimeshuka daraja.
      Simba sc inakazi kubwa yakufanya zidi ya kupambana na yanga

    • @harunachinja7801
      @harunachinja7801 28 วันที่ผ่านมา

      Chama baleke, duka ambuya sijui boka hao wote timu walizotoka zimemaliza nafasi ya ngapi?? Mbwiga wewe​@@abdoulkarenzo3138