ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ต่อไป
เล่นอัตโนมัติ
GB 64 AIBUKIA SAKATA LA STRIKER MPYA SIMBA, KUNA WATU WATAKULA MKONO MSIMU HUUNgwale Sports HD
มุมมอง 34K
MZEE WA UTOPOLO YANGA HATUWEZI KUFUNGWA NA WATOTO WA UNDER 20, HII NDIO YANGANgwale Sports HD
มุมมอง 18K
I Built 5 Secret Rooms In A PlayGround You’d Never FINDSpriteDer SPD
มุมมอง 2.1M
4EVE - คิดคิด ( Let me know ) | Official M/V4EVE
มุมมอง 940K
ตำนานของ Herobrine!!? #minecraft #พี่เก้า #มายคราฟMTR Mysterios
มุมมอง 326K
แกล้งตาย ปลอมตัวเป็นศพ😱💀(เนียนจัด555+)Roblox Murders mystery 2สุดหล่อแห่งบ่อนํ้ามัน XD
มุมมอง 113K
NYAMI: USAJILI WA STRIKER MPYA WA SIMBA ABUBEKER NASSIR UTAKUA SAJILI BORA SANANgwale Sports HD
มุมมอง 28K
BABA YANGU KIPOFU Full episode /25/ #loveBabaJoan
มุมมอง 274K
MBWADUKE: DUH! YANGA HII BALAA/ SIKIA JINSI ILIVYOWAUA SIMBA KIBABE/ MAXI, PACOME...Mbwaduke Stats
มุมมอง 50K
GB 64 AMUWASHIA MOTO HAJI MANARA, KAULI YAKE INADHIRISHA YEYE NI SIMBA DAMU DAMUNgwale Sports HD
มุมมอง 27K
SIMBA WASHINDA KESI YA LAWI ASILIMIA 90 WAJUMBE WA COASTAL UNION HALI JOTOMaximum Tv Online
มุมมอง 19K
ยุบพรรคก้าวไกล ยุคการเมืองเลอะเทอะ l STORY LIVE EP.41 (HIGHLIGHT)Spring News
มุมมอง 308K
"โค้ชเช" ดีใจคว้าเหรียญทองได้ในฐานะคนไทยชื่นชมน้องเทนนิสใจสู้ ลั่นคนไทยทำได้แล้ว #โอลิมปิก2024Thairath Sport
มุมมอง 181K
Arsenal vs Bayer Leverkusen 4-1 Extended Highlights & Goals - Friendly 2024Fut Elite
มุมมอง 740K
Safi sana GB 64 unafanya jambo la muhimu na lenye tija katika club ya Simba be blessed
Kama timu Ina commitment na spirit ya kupambana then chemistry ni suala la muda tuu. Simba inaweza kufanya makubwa msimu ujao
Kazi na umri sadi sana
Gb 64 nakukubali Sana, eti kazi na umri...carbon 14 itatumika kupima umri wa timu ya NSSF😂😂😂
Gb 64 nakukubali sana mchezaji anayejua mpira hahitaji muunganiko
And their bodies streamlined to the pitch so as to enhance contest
Huyu mwam anajua mambo na ni kweli simba hii wengi tutajiuliza huu mpira wa simba ni nchi ya wapi
Mpanzu lini anapewa welcom
GB nakukubali sanaa 😂😂😂 kazi na umri
GB64 umetisha bro❤
Nakukubari kaka
Uje na mwanza siyo tu kwa huko Dar
Tunakuja
Naipataj kadi ya simba jmn
Huyu jamaa anafit kuwa semaji
Kwa huku Zanzibar tunazipata vipi
Tunaomba viongozi wampe hata miezi 6 au acheze league ya ndani tu kuliko kumuacha tutakutia
nakubar kaka
Uyu jamaa awe msemaji
Yani we sio gb 64 tu naisi ni gb 1000 mana ni mtu mwanye pwent kubwa sana
Kramo asiondoke ni mchezaji mzuri Sana Kwa sasa kapona
Shs 10,000/-? Mcheze majaribio na taxi drivers😂
😂😂😂saw tutakutana kwenye derby jimalizen tu
sio kama yule benchika yeye mpira unachezwa anakaa tu kwenye dumu
Kramo asiachwe wanasimba lindeni sana wachezaji kramo alikuja mzima tu mvumilieni atatupa kitu mpeni hata miezi 6 dirisha dogo kama hatafaa basi aachwe
Nikuone wapi GB 64 nimetafuta kadi muda mrefu
Wanachokiangalia simba ni ubora wa mchezaji na si tim wanazotoka ziko nafasi ya yanga wamemchukua chama simba ipo nafasi ya yangapi?
Kwaio fei Azam wamegoma kumuuza?
Simba yetu mpk ubao hatuiachi hata iweje tutazikwa nato
Wewew nahakiri yako unataka aweje? Wachezaji wapya anataka awasemeje mechi bado kuanza acha ajenge team Simba nguvu mojaaa
Gb 64 mm nakuita Gb 125 salut kwako mwamba
Gb,64 Nina kukubalisana ila wachezaji wetu walindwe hatahuko misiri wafanyiwe kisomo
wachezaji wa utoporo hawafundishiki tena umri ni Mkubwa
G.b 64....weka namba hapa tukujie in box Kwa maelekezo namna ya kujiunga
Gb 64
+255678682963
Tupe taarifa ticket lini
Ticket walisema zitaanza kuuzwa wiki mbili kabla ya Simba dey
NFCC😂😂😂
Kwani simba imesajili timu au imessajili mchezaji watu wanaangalia mchezaji anayefanya vzr ktk timu jifunze kujua jinsi ya kusajili sio unabwabwaja tu
Niwivu tu
Huyu sahiz anapiga hela hakuna kitu tena😂😂
Kapige naww
Ww unafnya nn hapa duniani piga hela naww allaaah
😂😂 kwamba weka kunyavu gb 64
We jamaa ulisema chama akienda yanga unahamia azam bp tena huku mkuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uyu GB 64 Umesha geuzwa naona umeshalambishwa tu pesa sio ule GB 64 tuliozoweya kbs kwasababu simba bado kbs hayijawa na kikisi cha kupambana na Yanga ni danganya toto msimbazi kwasababu akuna mchezaji oliyosajiliwa aliyetoka timu yakwanza amo ya pili katika ligi yao
Kwan wachezaji wazuri wanatakiwa watoke team yakwanza na yapili😂😂
Kimfano umealikwa ulaya kucheza champions league wanakwambia uchukuwe wachezaji wanaweza kukufaa katika michezahiyo kati ya Geita gold na Ruvushouting amo yanga na azama tuuu kama umataka kufika mbali mu ayo mashi dano utachukuwa wachezaji wapi kati izo nafasi mbili?
@@abdoulkarenzo3138chama katokaa team iliyoshika nafasi ya ngap🙄
@@willieymesh7823
Na dube katoka kwenyetimu iko nafasi yangapi na simba mbovu ni ya iyimya michache imepita kabla ya icho kipindi simba sc ilikua tishiyo tanzania so wachezaji wapilio sajiliwa yanga wafiliye na perfomance ya timu zao ,
Wachezaji wa simba wote wachunguze vzr mtu mwenyewe alitoka mu timu ya tatu katika league yao ni uyo mzambia tuu wangine na fasi 8, 7 ... wangine timu zao zimeshuka daraja.
Simba sc inakazi kubwa yakufanya zidi ya kupambana na yanga
Chama baleke, duka ambuya sijui boka hao wote timu walizotoka zimemaliza nafasi ya ngapi?? Mbwiga wewe@@abdoulkarenzo3138