ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Dula nawewe unaongozwa Sana na hisia na mimud..badilika kila siku msamaha watu watakupuuzia..acha utoto
Huyu mtt ana shukrani, majizo kamsaidia sana. Ila umaarufu ndo unamsumbua.
Nilimkubali majizo sana maneno yote dulla aliyo zungumza majizo hakumjibu huo ndio kujitambua
Njaa ina desturi ya kummdondokea adui yako 😂😂😂😂
That’s right, njaa mbaya sana
😆😆🤣🤣 nimecheka San Na hii comment😄😄😄🎥
💯👏
Mama yangu aliwahi kuniambia Njaa huwa ina desturi ya kukuuliza ni sehemu gani hupapendi kutume huko? Njaa mbaya sana, usiombe Mungu akupitishe kwenye njaa,
Kama umegundua kosa Mungu akubariki!!!! Ila jifunze kuwaheshimu watu sababu kunasiku itakugarimu sana.
Kweli hunashukurani kama rubi majizo pole bangi inawasumbua mkiwa nahela Hela mia unaona milioni
Uyo dullah anaongeyaga sana tena anajiamini n'a Hana limite amuombe na mzungu wa zailisa
Maskini Hana Msimamo
Haswwaaa😂
Mi ndiyo maana nikisha vutaga,stop ya kwanza hua ni chooni nakojoa then kitandani😢
Chizii
UGALI JAMN UNATOKA MBALI NAOMBA TUMSAMEHE JAMN PLEASE & PLEASE
Dula mjinga sn anajifanya ana hasira kumbe ni mshamba 2 apotezewe na media zote wamuache na utoto wake
Sina cha kukoment;
Ndo uaachage kukurupuka kabla ya kuandika shwain,bdo billnas utamwangukia piah😂😂😂😂😂😂
MUNGU FUNDI 😂😂😂😂
Boss hanuniwii
Watu wengi wa Dar wanaona kuropoka ni ujanja, shida yao ni elimu na uelewa mdogo
Masikini mna nn
Huyu Nisha mwona,,, ana shida kichwan mwake...
😂😂😂😂
Nyimbo haziendi
unasimamia haki haraf huna msimamo
choko ww dull au unaliwa
NJAA + USWAHILI + HAKUNA ELIMU = KUSHNEIIIII 🤣🤣🤣
😂😂😂
Alijua Ameyamaliza hapa Duniani?Aache kuigiza na kuleta vichekesho apambane na hali yake
Tajiri hanuniwi 🤣🤣🤣🤣
Bangi kitu chengine😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Jifunze uvumilivu brother kuropoka sio poa
Ndiyo mana Dotto magari alimwambia anajichubua Hadi meno,kila media unaugomvi nao
Nyimbo mpya inakuja inaitwa "Naomba unisamehe*"😂
Kanakurupuka kila mara
Thezea ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dula nawewe unaongozwa Sana na hisia na mimud..badilika kila siku msamaha watu watakupuuzia..acha utoto
Huyu mtt ana shukrani, majizo kamsaidia sana. Ila umaarufu ndo unamsumbua.
Nilimkubali majizo sana maneno yote dulla aliyo zungumza majizo hakumjibu huo ndio kujitambua
Njaa ina desturi ya kummdondokea adui yako 😂😂😂😂
That’s right, njaa mbaya sana
😆😆🤣🤣 nimecheka San Na hii comment😄😄😄🎥
💯👏
Mama yangu aliwahi kuniambia Njaa huwa ina desturi ya kukuuliza ni sehemu gani hupapendi kutume huko? Njaa mbaya sana, usiombe Mungu akupitishe kwenye njaa,
Kama umegundua kosa Mungu akubariki!!!! Ila jifunze kuwaheshimu watu sababu kunasiku itakugarimu sana.
Kweli hunashukurani kama rubi majizo pole bangi inawasumbua mkiwa nahela Hela mia unaona milioni
Uyo dullah anaongeyaga sana tena anajiamini n'a Hana limite amuombe na mzungu wa zailisa
Maskini Hana Msimamo
Haswwaaa😂
Mi ndiyo maana nikisha vutaga,stop ya kwanza hua ni chooni nakojoa then kitandani😢
Chizii
UGALI JAMN UNATOKA MBALI NAOMBA TUMSAMEHE JAMN PLEASE & PLEASE
Dula mjinga sn anajifanya ana hasira kumbe ni mshamba 2 apotezewe na media zote wamuache na utoto wake
Sina cha kukoment;
Ndo uaachage kukurupuka kabla ya kuandika shwain,bdo billnas utamwangukia piah😂😂😂😂😂😂
MUNGU FUNDI 😂😂😂😂
Boss hanuniwii
Watu wengi wa Dar wanaona kuropoka ni ujanja, shida yao ni elimu na uelewa mdogo
Masikini mna nn
Huyu Nisha mwona,,, ana shida kichwan mwake...
😂😂😂😂
Nyimbo haziendi
unasimamia haki haraf huna msimamo
choko ww dull au unaliwa
NJAA + USWAHILI + HAKUNA ELIMU = KUSHNEIIIII 🤣🤣🤣
😂😂😂
Alijua Ameyamaliza hapa Duniani?
Aache kuigiza na kuleta vichekesho apambane na hali yake
Tajiri hanuniwi 🤣🤣🤣🤣
Bangi kitu chengine😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Jifunze uvumilivu brother kuropoka sio poa
Chizii
😂😂😂😂
Ndiyo mana Dotto magari alimwambia anajichubua Hadi meno,kila media unaugomvi nao
Nyimbo mpya inakuja inaitwa "Naomba unisamehe*"😂
Kanakurupuka kila mara
Thezea ww😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂