Shimo linaloaminika ni ‘LANGO LA KUZIMU’: Linatisha na kuwaka MOTO usiozimika kwa miaka ‘53’ sasa

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 92

  • @mustafatsomba6178
    @mustafatsomba6178 3 หลายเดือนก่อน +8

    SKY you're the best presenter ever of this century. Much love from D.R.Congo. We’re really getting informed about so many happenings of the whole world thanks to you. May God bless you! All the best for you the CEO of SNS.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona4107 3 หลายเดือนก่อน +21

    Maaajabu ya mungu hayooooo jamani tumuombe mungu usiku na mchana 🎉🎉🎉🎉

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 หลายเดือนก่อน +34

    ALLAH NI MKUBWA SANA NA ANAISHARA ZILIZOWAZI KWA WAJA WAKE

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 3 หลายเดือนก่อน +5

    Ninachojua huo moto ndio salama zaidi kuliko hiyo gesi, moto unawaka tu hapo ila gesi athari ingeonekana kwa binadamu

  • @mwishehe
    @mwishehe 3 หลายเดือนก่อน +3

    kama chanzo ni uchimbaji wa gas hakuna haja ya kutengeneza mazingira ya kuwa na hofu kias cha kutoa majina kama hata, bali tukiri tu wote kwa pamoja ya kwamba hili nalo ni alama ya uweza wake mungu

  • @obeidgalib1878
    @obeidgalib1878 3 หลายเดือนก่อน +5

    hio ni volkano

    • @erickmillanei4346
      @erickmillanei4346 3 หลายเดือนก่อน

      Tuambie Volcano Gani Inawaka Miaka 50 bila kupumzika

  • @madjidfine4295
    @madjidfine4295 3 หลายเดือนก่อน

    Nakubal sana kka tunakuamini sanaaa pande zote

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 หลายเดือนก่อน +2

    Makala nsuri sana kaka bundala unatisha una baya kutoka donhom nairobi

    • @belitomanuel6240
      @belitomanuel6240 3 หลายเดือนก่อน

      Bongo fister ni huntum was Kwanza kuleta Makala Ayo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@belitomanuel6240sijaelewa

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen 3 หลายเดือนก่อน

    Ni maajabu ya dunia MUNGU ni mkubwa😢

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 3 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani mpaka tufike mbinguni tumechomeka balaa eeee Muumba mbinguni na nchi tusamehe zambi zetu.siwezi kutembelea hata kidogo nikichomeka mifupa yangu no way 🙏🏾🙏🏾

  • @BIGSTAROGTZ
    @BIGSTAROGTZ 3 หลายเดือนก่อน +1

    Watu uwa wanakibilia like sana sijui ninini😂😂😂😂

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 หลายเดือนก่อน

      Unaomba kijanja like 😏😏😏

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mvua amna

    • @TwahirAbdalla
      @TwahirAbdalla 3 หลายเดือนก่อน

      Nimekukubali🎉

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 3 หลายเดือนก่อน

    Dunia hii mh

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 3 หลายเดือนก่อน

    Dunia ina mambo ya ajabu sn

  • @mundhirothman9842
    @mundhirothman9842 3 หลายเดือนก่อน

    Watie 2 maji ya kutoshaaa utazima huo au wawape kazi fire kitaeleweka

  • @steveanthon5523
    @steveanthon5523 3 หลายเดือนก่อน +3

    Alishukaje chini kufanya uchunguzi! aliwezaje kuingia kwenye shimo la moto bila kuunguwa? hapo Sky umeniacha njia panda, shimo lenye moto wa kutisha mtu anaingiaje kuingia kufanya uchunguzi na asiweze kuunguwa?

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  3 หลายเดือนก่อน +7

      Alikuwa amevaa nguo za kuzuia asiathirike na moto kama ambavyo kwenye picha anaonekana

    • @Zuu673
      @Zuu673 3 หลายเดือนก่อน

      Ndomana wakasema pa ajabu😂😂😂

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 หลายเดือนก่อน +2

      Huwa kuna nguo za kuzuia moto kabisa... Hata hapa Tanzania zipo zinatumika pale hospital ya mloganzila

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂 jmn huon picha

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wenzetu wako mbal kk

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 3 หลายเดือนก่อน

    Kuzimu hapawaki moto kuzimu wanaishi watu na majini

  • @StevenPeter-ov7pj
    @StevenPeter-ov7pj 3 หลายเดือนก่อน

    Mh

  • @venasmlega6727
    @venasmlega6727 2 หลายเดือนก่อน

    Kama vile mlishawah kufika 😂

  • @Asamtz360
    @Asamtz360 3 หลายเดือนก่อน +10

    Nawaona mbali sana SNS siku za usoni msiache kufanya bidii zaidi graf yenu inapanda kwa 10.5% kila siku moja.MUNGU abariki kazi za mikono yenu

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 3 หลายเดือนก่อน +6

    SubhanAllah huo ni ukubwa wa Allah hakuna jingine

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @edchrisbeatz8976
    @edchrisbeatz8976 3 หลายเดือนก่อน +11

    Mhuku ipo hapa hapa duniani mungu atupe mwisho mwema maana mi navyodhani jehanam ipo hapa hapa

    • @salehkhamis3000
      @salehkhamis3000 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wanavaa vifaa maalum, havishiki moto

    • @jamal-dintz6465
      @jamal-dintz6465 3 หลายเดือนก่อน

      Amin inshaallah

    • @ShedrackShedrack-c2b
      @ShedrackShedrack-c2b 3 หลายเดือนก่อน +1

      Jenamu hipo nyumban kwenu

    • @NELEWARDYMWASILE-dn1ll
      @NELEWARDYMWASILE-dn1ll 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ShedrackShedrack-c2b😂😂😂😂😂😂

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 หลายเดือนก่อน

    I wish nije nipaone napenda sanaa location za kutisha

  • @HansChuma
    @HansChuma 3 หลายเดือนก่อน +3

    Yan hilo shimo linaweza kutumeza watu wote tulio dunian na haliwez kujaa hata maramoja

  • @zaramuneer3257
    @zaramuneer3257 3 หลายเดือนก่อน +2

    ndo tuamini kuwa Mungu yupo na kazi zake zinaonekana

  • @dinosmack
    @dinosmack 3 หลายเดือนก่อน +2

    Fredrick Bundala sauti ya karne

  • @EspiSimai
    @EspiSimai 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mshaanza kukufuru Acheni hizo ndo maana majanga Hayes hayeshi dunian kw sababu ya kumkasirisha mungu

  • @AmmielNzala-fu4xu
    @AmmielNzala-fu4xu 3 หลายเดือนก่อน +2

    Lango la kuzimu ni kuikataa injili, kumkataa roho mtakatifu hilo ndio lango la kuzimu

    • @marthajeremiah
      @marthajeremiah 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kuzimu ni level ya chini ya ufahamu wa kiungu na si mahali yaani low state of your mind .anger, guilt,fear,blame, etc.. ukiwa hapa lazima uone maisha ni kuzimu tosha...level za kiungu ni upendo furaha nà amani.....Kiwango cha kiungu .....diviné consciousness 💜🤍

  • @KhadijaMasoud-d2z
    @KhadijaMasoud-d2z 2 หลายเดือนก่อน

    AllahuAkbar

  • @Bahati47
    @Bahati47 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wale hawaamini jahannam😢 jamani jahannam ipo na nikali sana

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 3 หลายเดือนก่อน +2

    Iyo propaganda za watu wa mangharib.ilo ni shimo kufungua mwenyewe dunia.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 3 หลายเดือนก่อน +2

      😂 kila kitu, watu wa magharibi eb tuache hii mitazamo sometimes

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Umeanza upumbavu wako hujawakuwa naakili tofaut mambo ya magalibi alafu huna elimu wewe

  • @ndiiyolazaro1125
    @ndiiyolazaro1125 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yatisha sana aisee

  • @Gody360
    @Gody360 3 หลายเดือนก่อน +1

    Aseeeeee

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha Fredrick Bundala acha biti.
    Ongea kama unavyoongea kwenye GPS

    • @bensonscott3491
      @bensonscott3491 3 หลายเดือนก่อน

      We ndio mara yako ya kwanza kumsikiliza au

    • @Tanganyika-w5p
      @Tanganyika-w5p 3 หลายเดือนก่อน

      @@bensonscott3491 Nishamsikia sana.. Sns nipo muda sana.

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 3 หลายเดือนก่อน +4

    Labda niwape elim ya bure kuzim ni mahali pa kiroho na hakuna MTU aliewahi kufika , kwahiyo mnataka mseme kule kuzim shetani atakapofungwa miaka elfu ni hapo 😂😂😂 mnachekesha , ni Sawa na watu wanaosema mpinguni mahali pa Mungu ni huko juu kwenye mawingu, Pia peponi ni mahari pa kiroho , huwezi kufika kwa mwili wa kawaida wa kibinadamu,

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu kaumba kila kitu then wa mwisho katika kuumbwa ni binadamu, so kwakuwa ametuahidi kutakuwa na mwisho na huo mwisho utatokea hapahapa Duniani. So yawezkana sehemu ikawa kubwa kuliko unavyoifikiria. So ni mtazamo tu wa watu

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 3 หลายเดือนก่อน

    Hao walio karibu na hilo shimo awasikii joto la moto au?

  • @boscow9380
    @boscow9380 3 หลายเดือนก่อน

    Ameingia ndani ya moto 😮

  • @georgejustine2766
    @georgejustine2766 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaahhhh kiukwel mim huwa na enjoy sana taarifa ambayo inatolewa na Bundala yani mpaka na enjoy tena kazi nzuri kaka.

    • @freenaturetv
      @freenaturetv 2 หลายเดือนก่อน

      hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 3 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 3 หลายเดือนก่อน

    Lango la kuzimu, kamuulizien Wamayo ama Rwanda magere. 😂

    • @rahiyayousaf3093
      @rahiyayousaf3093 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅wamayoo voo😅😅.nimemiss storry zake kwakwelii

  • @patrickmligo9335
    @patrickmligo9335 3 หลายเดือนก่อน +17

    Wa kwanza leo like zangu😅😅

    • @Bittertruth-u4n
      @Bittertruth-u4n 3 หลายเดือนก่อน +2

      Toka hapa😂

    • @titusfaya872
      @titusfaya872 3 หลายเดือนก่อน +1

      Acha ushamba we pimbi zitakusaidia Nini sasa

    • @emmanuelfari8924
      @emmanuelfari8924 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huu ni ujinga na urofa hakika🤯💯 +MUNGU+ atusaidie sana🙌

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 3 หลายเดือนก่อน +2

      Hebu mpeni like mwezenu kawahi 😂😂😂😂

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 3 หลายเดือนก่อน

      Wa Kwanza kwenda wapi

  • @TVT4888
    @TVT4888 3 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😮😮😮😮

  • @FrancisDonald-go9cs
    @FrancisDonald-go9cs 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mpuuzi mmoja Ana soma comment yangu

  • @jerrychiswa2494
    @jerrychiswa2494 3 หลายเดือนก่อน

    We jaman unajua ila vijana wako waache kaunafiki

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 3 หลายเดือนก่อน

    Volcan iyo 😂😂😂😂😊

    • @erickmillanei4346
      @erickmillanei4346 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna Volcano Ya kuwak Miaka 50 bila Kuzima

  • @aloyce_PD
    @aloyce_PD 3 หลายเดือนก่อน

    Skywalker

  • @EmmanuellMunishi
    @EmmanuellMunishi 3 หลายเดือนก่อน

    Hilo ni kwaajili ya kuwasaidia waliokwenye nchi zenye baraf

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 3 หลายเดือนก่อน

    Subhannallah subhannallah subhannallah. Ishara zote nimazingatio tunaomba utuhifadhi na majanga hayya

  • @afromixstudios
    @afromixstudios 3 หลายเดือนก่อน

    Wa kwanza kama kawaidaa 😂😂😂😂