SKY you're the best presenter ever of this century. Much love from D.R.Congo. We’re really getting informed about so many happenings of the whole world thanks to you. May God bless you! All the best for you the CEO of SNS.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
kama chanzo ni uchimbaji wa gas hakuna haja ya kutengeneza mazingira ya kuwa na hofu kias cha kutoa majina kama hata, bali tukiri tu wote kwa pamoja ya kwamba hili nalo ni alama ya uweza wake mungu
Yaani mpaka tufike mbinguni tumechomeka balaa eeee Muumba mbinguni na nchi tusamehe zambi zetu.siwezi kutembelea hata kidogo nikichomeka mifupa yangu no way 🙏🏾🙏🏾
Alishukaje chini kufanya uchunguzi! aliwezaje kuingia kwenye shimo la moto bila kuunguwa? hapo Sky umeniacha njia panda, shimo lenye moto wa kutisha mtu anaingiaje kuingia kufanya uchunguzi na asiweze kuunguwa?
Kuzimu ni level ya chini ya ufahamu wa kiungu na si mahali yaani low state of your mind .anger, guilt,fear,blame, etc.. ukiwa hapa lazima uone maisha ni kuzimu tosha...level za kiungu ni upendo furaha nà amani.....Kiwango cha kiungu .....diviné consciousness 💜🤍
Labda niwape elim ya bure kuzim ni mahali pa kiroho na hakuna MTU aliewahi kufika , kwahiyo mnataka mseme kule kuzim shetani atakapofungwa miaka elfu ni hapo 😂😂😂 mnachekesha , ni Sawa na watu wanaosema mpinguni mahali pa Mungu ni huko juu kwenye mawingu, Pia peponi ni mahari pa kiroho , huwezi kufika kwa mwili wa kawaida wa kibinadamu,
Mungu kaumba kila kitu then wa mwisho katika kuumbwa ni binadamu, so kwakuwa ametuahidi kutakuwa na mwisho na huo mwisho utatokea hapahapa Duniani. So yawezkana sehemu ikawa kubwa kuliko unavyoifikiria. So ni mtazamo tu wa watu
SKY you're the best presenter ever of this century. Much love from D.R.Congo. We’re really getting informed about so many happenings of the whole world thanks to you. May God bless you! All the best for you the CEO of SNS.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
Maaajabu ya mungu hayooooo jamani tumuombe mungu usiku na mchana 🎉🎉🎉🎉
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
ALLAH NI MKUBWA SANA NA ANAISHARA ZILIZOWAZI KWA WAJA WAKE
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
Ninachojua huo moto ndio salama zaidi kuliko hiyo gesi, moto unawaka tu hapo ila gesi athari ingeonekana kwa binadamu
kama chanzo ni uchimbaji wa gas hakuna haja ya kutengeneza mazingira ya kuwa na hofu kias cha kutoa majina kama hata, bali tukiri tu wote kwa pamoja ya kwamba hili nalo ni alama ya uweza wake mungu
hio ni volkano
Tuambie Volcano Gani Inawaka Miaka 50 bila kupumzika
Nakubal sana kka tunakuamini sanaaa pande zote
Makala nsuri sana kaka bundala unatisha una baya kutoka donhom nairobi
Bongo fister ni huntum was Kwanza kuleta Makala Ayo
@@belitomanuel6240sijaelewa
Ni maajabu ya dunia MUNGU ni mkubwa😢
Yaani mpaka tufike mbinguni tumechomeka balaa eeee Muumba mbinguni na nchi tusamehe zambi zetu.siwezi kutembelea hata kidogo nikichomeka mifupa yangu no way 🙏🏾🙏🏾
Watu uwa wanakibilia like sana sijui ninini😂😂😂😂
Unaomba kijanja like 😏😏😏
Mvua amna
Nimekukubali🎉
Dunia hii mh
Dunia ina mambo ya ajabu sn
Watie 2 maji ya kutoshaaa utazima huo au wawape kazi fire kitaeleweka
😂😂😂😂
Noma sana😂
Alishukaje chini kufanya uchunguzi! aliwezaje kuingia kwenye shimo la moto bila kuunguwa? hapo Sky umeniacha njia panda, shimo lenye moto wa kutisha mtu anaingiaje kuingia kufanya uchunguzi na asiweze kuunguwa?
Alikuwa amevaa nguo za kuzuia asiathirike na moto kama ambavyo kwenye picha anaonekana
Ndomana wakasema pa ajabu😂😂😂
Huwa kuna nguo za kuzuia moto kabisa... Hata hapa Tanzania zipo zinatumika pale hospital ya mloganzila
😂😂 jmn huon picha
Wenzetu wako mbal kk
Kuzimu hapawaki moto kuzimu wanaishi watu na majini
Ulijuwaje
Mh
Kama vile mlishawah kufika 😂
Nawaona mbali sana SNS siku za usoni msiache kufanya bidii zaidi graf yenu inapanda kwa 10.5% kila siku moja.MUNGU abariki kazi za mikono yenu
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
SubhanAllah huo ni ukubwa wa Allah hakuna jingine
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
Mhuku ipo hapa hapa duniani mungu atupe mwisho mwema maana mi navyodhani jehanam ipo hapa hapa
Wanavaa vifaa maalum, havishiki moto
Amin inshaallah
Jenamu hipo nyumban kwenu
@@ShedrackShedrack-c2b😂😂😂😂😂😂
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
I wish nije nipaone napenda sanaa location za kutisha
Yan hilo shimo linaweza kutumeza watu wote tulio dunian na haliwez kujaa hata maramoja
ndo tuamini kuwa Mungu yupo na kazi zake zinaonekana
Fredrick Bundala sauti ya karne
Mshaanza kukufuru Acheni hizo ndo maana majanga Hayes hayeshi dunian kw sababu ya kumkasirisha mungu
Lango la kuzimu ni kuikataa injili, kumkataa roho mtakatifu hilo ndio lango la kuzimu
Kuzimu ni level ya chini ya ufahamu wa kiungu na si mahali yaani low state of your mind .anger, guilt,fear,blame, etc.. ukiwa hapa lazima uone maisha ni kuzimu tosha...level za kiungu ni upendo furaha nà amani.....Kiwango cha kiungu .....diviné consciousness 💜🤍
AllahuAkbar
Kuna wale hawaamini jahannam😢 jamani jahannam ipo na nikali sana
Iyo propaganda za watu wa mangharib.ilo ni shimo kufungua mwenyewe dunia.
😂 kila kitu, watu wa magharibi eb tuache hii mitazamo sometimes
Umeanza upumbavu wako hujawakuwa naakili tofaut mambo ya magalibi alafu huna elimu wewe
Yatisha sana aisee
Aseeeeee
Hahaha Fredrick Bundala acha biti.
Ongea kama unavyoongea kwenye GPS
We ndio mara yako ya kwanza kumsikiliza au
@@bensonscott3491 Nishamsikia sana.. Sns nipo muda sana.
Labda niwape elim ya bure kuzim ni mahali pa kiroho na hakuna MTU aliewahi kufika , kwahiyo mnataka mseme kule kuzim shetani atakapofungwa miaka elfu ni hapo 😂😂😂 mnachekesha , ni Sawa na watu wanaosema mpinguni mahali pa Mungu ni huko juu kwenye mawingu, Pia peponi ni mahari pa kiroho , huwezi kufika kwa mwili wa kawaida wa kibinadamu,
Mungu kaumba kila kitu then wa mwisho katika kuumbwa ni binadamu, so kwakuwa ametuahidi kutakuwa na mwisho na huo mwisho utatokea hapahapa Duniani. So yawezkana sehemu ikawa kubwa kuliko unavyoifikiria. So ni mtazamo tu wa watu
Hao walio karibu na hilo shimo awasikii joto la moto au?
Ameingia ndani ya moto 😮
Daaaahhhh kiukwel mim huwa na enjoy sana taarifa ambayo inatolewa na Bundala yani mpaka na enjoy tena kazi nzuri kaka.
hii ndiyo dawa mpya na kinga ya kuzuiya ukimwi
Subhanallah
Lango la kuzimu, kamuulizien Wamayo ama Rwanda magere. 😂
😅😅😅wamayoo voo😅😅.nimemiss storry zake kwakwelii
Wa kwanza leo like zangu😅😅
Toka hapa😂
Acha ushamba we pimbi zitakusaidia Nini sasa
Huu ni ujinga na urofa hakika🤯💯 +MUNGU+ atusaidie sana🙌
Hebu mpeni like mwezenu kawahi 😂😂😂😂
Wa Kwanza kwenda wapi
😢😢😢😢😮😮😮😮
Kuna mpuuzi mmoja Ana soma comment yangu
We jaman unajua ila vijana wako waache kaunafiki
Volcan iyo 😂😂😂😂😊
Hakuna Volcano Ya kuwak Miaka 50 bila Kuzima
Skywalker
Hilo ni kwaajili ya kuwasaidia waliokwenye nchi zenye baraf
Subhannallah subhannallah subhannallah. Ishara zote nimazingatio tunaomba utuhifadhi na majanga hayya
Wa kwanza kama kawaidaa 😂😂😂😂