MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
- MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Halima mdee tangu 2020 hakuwa mwanachama wa CHADEMA kwahiyo msaidizi amechelewa sana kujiunga
Hakika Makala unatia aibu hizo ni siasa za maji taka.
Halima mwenyewe alishanunuliwa tayari bado Tu kumuanika😊
Yuko njian uyo
CCM hakuna la zaidi mimi siyo mwanachama hata mara moja lakini hakuna lo lote bali ni ni uhuni mtupu
Mnajidanganya nyinyi aisee uyo Halima mwenyewe si ccm kitambo bado hajavaa vijezi vyenu tu ila uyo ametamgulia yeye anafuata nyuma
Kwani Halima Mdee si ni CCM sikunyingi ??!! Hakuna jipya
Eeh Mwenyezi Mungu km ni kwa matakwa yako tunashukuru lkn kuna sio kwa matakwa yako au kwa manufaa ya sisi watu wako uschelewe kutujibu! Kwa upanga wako wa Moto-Amen
Jidsnganye njaa imekupeleka umekuja kuiuwa ccm tutaongea Nini wewe
Uzaifu za ccm mkubwa sana makala unatia aibu
Nyie watu wa Bara hebu jifunzeni kiswahili fasaha. Uzaifu ndio nini unaongea mbele ya hadhara uzaifu . Ukisema Udhaifu ulimi utatoboka?
2025 CHADEMA mkombozi wa maisha ya watanzania
@@elvisoscar9912 🤣😂😅ENDELEA KULALA....HIYO NDOTO NI NZURI SANA
@@sskondopoleani9616 ndio chadema ndo chama pendwa
Njaaa zinawasumbua ,,umekuja CCM sababu ya njala zinawasumbua
Sasa za zamani sana.
Safali hii tunawabomoa kabisa ccm oyeee👍👍👍
Muwajali wananchi msiwafanye wananchi waonekane hawana maaana kwasababu tu mna mamlaka
Tena tunauwa wote chadema sasa hivi wanachungulia kaburi
😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂
@@exaverysimon1064 na kweli kabisa
Wasaliti wote hukumu yenu itakuja kwa muda na majira yake. Mnaangalia maslahi yenu badala ya kuangalia shida za wananchi. Mungu atahukumu wanaoangalia manufaa yao.
Yeyote atakae kuja Wallah ni walewale. HAKUNA atakae MALIZA SHIDA ZENU, PAMBANENI na Hali zenu, *POLITICS IS A DIRTY GAME*
Kila mtu apambane sio kutegemea mtu akupambanie
Duh hiii rushwa itaisha lini
Aisee Kuwa upinzani inahitaji ujasiri sana ,sio lelemama
Uchaguzi ukikalibia kuhama vyama ni kawaida sana
Matatzo ya wa tz hayawezi kumalizwa na upinzani kujiunga na ccm. Maigizo
Kwani alikuwa wapi? Baada ya 2020
Hovyo kabisa mbona tunawajua😂😂😂
2024-2025 kabla ya uchaguz tutaone meng
Anyway yetu macho
yaani badala ya kujivunia mmetufikisha wapi nyi mnajigamba kwa huu upuuz
Kwani Halima Mdee siyo CCM? Nyie vipi? Nadhani hapa anachofanya ni kuonyesha kuwa ukiona mbwa ujue mwenyewe yuko nyuma au karibu naye
Mtanunua mifukule tu inayochumia mautumbo yake wenye akili timamu tutapigania haki zetu tumechoka kunyonywa na mambogamboga
CCM nishaichoka
ametumia haki yke ya kikatiba.....
Hii njaa nishida matapeli ktk ubora wenu
Ccm ya Leo ni genge LA watekaji na majambazi
Tatizo viongozi wetu weu😮
😢watakuja wengi sana
ccm oyeeh
Halima ajakusaga kweli
Kwendaaaaa
Ila ccm wapumbavu sanaa mtatiletea mpaka mavi sasa 😂😂 sasa majimbo yapi anayotaka yarudi wakati yote niya ccm 😂😂😂
Kweli majimbo Gani ajitambui huyu matako
Tapeli mkubwa umetangulizwa na halima mdee Malaya ww
Hilo. Ni fyagio la chuma
mbona mmemkamata kama mnampeleka kinguvu
ccm kweli mmeishiwa hata hawa watu wambao wanajulikana na mtaa tu mnajitangazia mpaka kwenye media
Vile vituko uchaguzi ukikaribia sio vigeni kwa watz
Nilidhani Mwanaumme
UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂
Chadema hatuna mtu anaitwa Halima Mdee. Sasa huyo msaidizi wake tutamjulia wapi?
Hongi is tipping
Sema ana nundu
chakula ya boss
Tunajua ccm ndo mlivyo karibu na uchaguzi munasmabratisha upinzani kama mlivyofanya nccr mageuzi nabado mapandikizi yenu bado yapo upinzani
Nimeona kwamba chama cha chadema wana ccm waliojificha tangu awali
Kinachoendelea ni udhalilishaji ,kwann inakua ivi lakin
Wewe malaya tu
Bado shida ipo palepale mtaisoma namba wenyewe sisi tunataka maendeleo tunayotaka
Ameondoka 1 wameingia zaid ya 50
Acheni siasa hizo. Kwenye chama kila mtu muhimu.
Kama ni hivyo POVU la nini??? Kumbe akiondoka mmoja wana kuja 50, basi ombeni 100 watoke waje 500. Hovyoooooo CCM mwendo mdundo tu.
Ndiooooooo@@sskondopoleani9616
Nchi nzima wanasiasa wa ukweli ni MH kikwete/baba wa taifa/na mzee mwinyi tu. Wengine wote ni shida
Mkweli alikuwa jpm
Halima hajatambulishwa tu
Wala hata haitutishii hatuna haja naye.
Hawa ni wafa maji tuu . Mwaka huu tunae shujaaa Baba wa mbinguni . Wao wana hela na dola sisi tunae shujaa wa mashujaa . Safari hii lazima waondoke . Mipango yao ya gizani itabatilizwa
INAHITAJIKA NGUVU KUBWA SANA KUITOA CCM MADARAKAN SAS KWEL HIZO SIASA WANAZO FANYA WAPINZAN ZA MIHEMKO YA OVYO OVYO UNADHAN WANAWEZA KUTOBOA
Umma ukiamua hata leo ccm itakuwa chali… ishu ni moja tu wa🇹🇿 waamuke… ccm ilishakufa… limebakia genge la majambazi na wafuasi wao!
CHADEMA WENYEWE KWA WENYEWE
HAMUELEWANI
Kama mnajiamini msije mkaiba kula
2025
ukiona mijitu inanenepeana hovyo ujue akili ni ndogo mno sijamtaja mtu
hahahaha chama cha majambazi
MBOWE MHUNI TUU ANANGANGANIA UENYEKITI WA CHAMA KARIBU MIAKA 20 AIGE KWA MH ZITTO KWA ACT
Nyerere nae alikuwa muhuni pia. Aling’ang’ania kiti miaka 27. Kidumu chama cha mapinduzi. zidumu fikra za mwenyeketi. Umesahau hayo? nyani haoni kundule
CCM haina mvuto tena
Chadema wasipojiangalia wao watakuwa wanafanya kazi wanazalisha wanakula matunda wengine
Askofu gwajima amkumbatia.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Majimbo yapi wewe wakati yote yako ccm?
Alafu unasema eti una msimamo msimamo upi?
Mbona umeondoka chadema?
Upuuzi mtupu.
Mkagomanoane vyeo
Njaaaa kali sana alishahama kitambo
Huyu ana njaa hivi lowasa nae alikuwa na njaa au Dr Slaa nae alikuwa na njaa
Akuna jambo
Hahaha,hahaha
Wacha uongo
😂😂😂 MKIAMBIWA CCM N CHAMA KIKUBWA MSIWE MNAFANANISHA NA VYAMA VYA USHILIKA HAWA WANAUWEZO WA KUMCHUKUA YEYOTE AT MBOE WAKIAMUA WANAMCHIKUA N SWALA LA MDA TU 😂😂 MMOJA MMOJA MPAKA WAISHE😂😂
Tz ndo ccm hata museme nn hilo linajulikana abadani anayeigia ccm ni katiba inamruhusu sina chama ila ccm ndo mama wataifa na chama katika tz hii ogopa mwanamke aliyejifugua kwa uchugu mengi atayavumilia sana na atafaulu katika kazi zake na mama hata awe kichaa kumbuka hatokumbali ashidwe
𝐃𝐮𝐡 😂 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐨 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐜𝐡𝐚𝐝𝐞𝐦𝐚 😂 𝐣𝐞 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐫𝐚𝐣𝐢𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐩𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐞 𝐚𝐮 🏃♀️
Bado mbowe
Upuuzi
Mwenzak c huyo hapo nyuma mulize anann mpaka leo
Hiyo siyo siasa hata kidogo
Hiyo chakula ya boss chukuweni tu
Chawa mkubwa wewe njaa tu imekupeleka ccm
Maigizo
Nchi ni ngumu wana ccm atamkitafuta watu wakupandisha jukuani lkn safari hii mmegonga mwamba kwa wananchi tunawacheki tu.
Haki yake
Ujinga mtupu
Furahini majuto yanakuja
Naona kumekucha! ccm kimeanza biashara yake ya miaka nenda rudi ya ulanguzi na ununuzi wa wanachama wa vyama vya upinzani hasa chadema kwa nguvu KUBWA.
Yan mnaigopa chadema msipo msema mbowe hampat raha kama mnajiamini mwambieni mama akubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi japo lazma mnyooshwe na tume hiyo hiyo na katiba hiyo hiyo
Chadema mashogaaaaa tu hakuna kitu mnakufa polepole tena mnajiua wenyewe CCM haina shida na watu wenu CCM wameja watu wenye vipaji hatari
Umeona kizuri Gani ccm hata ukamuacha mdee lkn karibu hauja shinikizwa na mtu ni mapenzi Yako na ccm kidumu chama tawala
Chadema chama kubwa