MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • MSAIDIZI wa HALIMA MDEE AHAMIA CCM - ASKOFU GWAJIMA AMKUMBATIA - AMOS MAKALA AMKARIBISHA CCM...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 110

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 วันที่ผ่านมา

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-re3sr7qu2i
    @user-re3sr7qu2i 5 วันที่ผ่านมา +3

    Halima mdee tangu 2020 hakuwa mwanachama wa CHADEMA kwahiyo msaidizi amechelewa sana kujiunga

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 5 วันที่ผ่านมา +5

    Hakika Makala unatia aibu hizo ni siasa za maji taka.

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 5 วันที่ผ่านมา +5

    Halima mwenyewe alishanunuliwa tayari bado Tu kumuanika😊

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 5 วันที่ผ่านมา +3

    CCM hakuna la zaidi mimi siyo mwanachama hata mara moja lakini hakuna lo lote bali ni ni uhuni mtupu

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mnajidanganya nyinyi aisee uyo Halima mwenyewe si ccm kitambo bado hajavaa vijezi vyenu tu ila uyo ametamgulia yeye anafuata nyuma

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 5 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani Halima Mdee si ni CCM sikunyingi ??!! Hakuna jipya

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 5 วันที่ผ่านมา

    Eeh Mwenyezi Mungu km ni kwa matakwa yako tunashukuru lkn kuna sio kwa matakwa yako au kwa manufaa ya sisi watu wako uschelewe kutujibu! Kwa upanga wako wa Moto-Amen

    • @FadhiliMwaitete-ls2li
      @FadhiliMwaitete-ls2li 5 วันที่ผ่านมา

      Jidsnganye njaa imekupeleka umekuja kuiuwa ccm tutaongea Nini wewe

  • @amosmangura
    @amosmangura 5 วันที่ผ่านมา +2

    Uzaifu za ccm mkubwa sana makala unatia aibu

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 5 วันที่ผ่านมา

      Nyie watu wa Bara hebu jifunzeni kiswahili fasaha. Uzaifu ndio nini unaongea mbele ya hadhara uzaifu . Ukisema Udhaifu ulimi utatoboka?

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 5 วันที่ผ่านมา +2

    2025 CHADEMA mkombozi wa maisha ya watanzania

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 5 วันที่ผ่านมา

      @@elvisoscar9912 🤣😂😅ENDELEA KULALA....HIYO NDOTO NI NZURI SANA

    • @elvisoscar9912
      @elvisoscar9912 5 วันที่ผ่านมา

      @@sskondopoleani9616 ndio chadema ndo chama pendwa

  • @patrickJosse-t7h
    @patrickJosse-t7h 4 วันที่ผ่านมา

    Njaaa zinawasumbua ,,umekuja CCM sababu ya njala zinawasumbua

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 4 วันที่ผ่านมา

    Sasa za zamani sana.

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k 5 วันที่ผ่านมา +2

    Safali hii tunawabomoa kabisa ccm oyeee👍👍👍

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 5 วันที่ผ่านมา +1

      Muwajali wananchi msiwafanye wananchi waonekane hawana maaana kwasababu tu mna mamlaka

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา +2

      Tena tunauwa wote chadema sasa hivi wanachungulia kaburi

    • @exaverysimon1064
      @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา +1

      😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

      @@exaverysimon1064 na kweli kabisa

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 5 วันที่ผ่านมา +2

    Wasaliti wote hukumu yenu itakuja kwa muda na majira yake. Mnaangalia maslahi yenu badala ya kuangalia shida za wananchi. Mungu atahukumu wanaoangalia manufaa yao.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 5 วันที่ผ่านมา

      Yeyote atakae kuja Wallah ni walewale. HAKUNA atakae MALIZA SHIDA ZENU, PAMBANENI na Hali zenu, *POLITICS IS A DIRTY GAME*

    • @HajiSimba-mq7tp
      @HajiSimba-mq7tp 5 วันที่ผ่านมา

      Kila mtu apambane sio kutegemea mtu akupambanie

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 5 วันที่ผ่านมา +1

    Duh hiii rushwa itaisha lini

  • @agofranco4766
    @agofranco4766 5 วันที่ผ่านมา

    Aisee Kuwa upinzani inahitaji ujasiri sana ,sio lelemama

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c 4 วันที่ผ่านมา

    Uchaguzi ukikalibia kuhama vyama ni kawaida sana

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 5 วันที่ผ่านมา

    Matatzo ya wa tz hayawezi kumalizwa na upinzani kujiunga na ccm. Maigizo

  • @samuelmakara1475
    @samuelmakara1475 5 วันที่ผ่านมา

    Kwani alikuwa wapi? Baada ya 2020

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 2 วันที่ผ่านมา

    Hovyo kabisa mbona tunawajua😂😂😂

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 5 วันที่ผ่านมา +1

    2024-2025 kabla ya uchaguz tutaone meng
    Anyway yetu macho

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 5 วันที่ผ่านมา

    yaani badala ya kujivunia mmetufikisha wapi nyi mnajigamba kwa huu upuuz

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 5 วันที่ผ่านมา

    Kwani Halima Mdee siyo CCM? Nyie vipi? Nadhani hapa anachofanya ni kuonyesha kuwa ukiona mbwa ujue mwenyewe yuko nyuma au karibu naye

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mtanunua mifukule tu inayochumia mautumbo yake wenye akili timamu tutapigania haki zetu tumechoka kunyonywa na mambogamboga

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 5 วันที่ผ่านมา +1

    CCM nishaichoka

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j 5 วันที่ผ่านมา +1

    ametumia haki yke ya kikatiba.....

  • @user-tx6dh6ii3m
    @user-tx6dh6ii3m 4 วันที่ผ่านมา

    Hii njaa nishida matapeli ktk ubora wenu

  • @marwamagere
    @marwamagere 5 วันที่ผ่านมา

    Ccm ya Leo ni genge LA watekaji na majambazi

  • @user-um7rz2lv3t
    @user-um7rz2lv3t 5 วันที่ผ่านมา

    Tatizo viongozi wetu weu😮

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 5 วันที่ผ่านมา

    😢watakuja wengi sana

  • @zacharianjanga
    @zacharianjanga 2 วันที่ผ่านมา

    ccm oyeeh

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 5 วันที่ผ่านมา

    Halima ajakusaga kweli

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 5 วันที่ผ่านมา

    Kwendaaaaa

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ila ccm wapumbavu sanaa mtatiletea mpaka mavi sasa 😂😂 sasa majimbo yapi anayotaka yarudi wakati yote niya ccm 😂😂😂

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 5 วันที่ผ่านมา

      Kweli majimbo Gani ajitambui huyu matako

  • @marwamagere
    @marwamagere 5 วันที่ผ่านมา

    Tapeli mkubwa umetangulizwa na halima mdee Malaya ww

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 5 วันที่ผ่านมา

    Hilo. Ni fyagio la chuma

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 3 วันที่ผ่านมา

    mbona mmemkamata kama mnampeleka kinguvu

  • @duniamapitosotewamungu3467
    @duniamapitosotewamungu3467 5 วันที่ผ่านมา

    ccm kweli mmeishiwa hata hawa watu wambao wanajulikana na mtaa tu mnajitangazia mpaka kwenye media

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 5 วันที่ผ่านมา

    Vile vituko uchaguzi ukikaribia sio vigeni kwa watz

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 วันที่ผ่านมา

    Nilidhani Mwanaumme

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

    UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂UNAAMBIWA PALE KWENYA CCM 5 TENA UNAWEKA 0 INAKUWA CCM 50 TENA 😂😂😂😂

  • @hildalyatuu2710
    @hildalyatuu2710 5 วันที่ผ่านมา

    Chadema hatuna mtu anaitwa Halima Mdee. Sasa huyo msaidizi wake tutamjulia wapi?

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 5 วันที่ผ่านมา

    Hongi is tipping

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 5 วันที่ผ่านมา

    Sema ana nundu

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l 5 วันที่ผ่านมา

    Tunajua ccm ndo mlivyo karibu na uchaguzi munasmabratisha upinzani kama mlivyofanya nccr mageuzi nabado mapandikizi yenu bado yapo upinzani

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 5 วันที่ผ่านมา

    Nimeona kwamba chama cha chadema wana ccm waliojificha tangu awali

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 5 วันที่ผ่านมา

    Kinachoendelea ni udhalilishaji ,kwann inakua ivi lakin

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 5 วันที่ผ่านมา

    Wewe malaya tu

  • @barakamwasenga2143
    @barakamwasenga2143 5 วันที่ผ่านมา

    Bado shida ipo palepale mtaisoma namba wenyewe sisi tunataka maendeleo tunayotaka

  • @RamadhaniMsagati
    @RamadhaniMsagati 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ameondoka 1 wameingia zaid ya 50

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 5 วันที่ผ่านมา

      Acheni siasa hizo. Kwenye chama kila mtu muhimu.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 5 วันที่ผ่านมา

      Kama ni hivyo POVU la nini??? Kumbe akiondoka mmoja wana kuja 50, basi ombeni 100 watoke waje 500. Hovyoooooo CCM mwendo mdundo tu.

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 5 วันที่ผ่านมา

      Ndiooooooo​@@sskondopoleani9616

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 5 วันที่ผ่านมา

    Nchi nzima wanasiasa wa ukweli ni MH kikwete/baba wa taifa/na mzee mwinyi tu. Wengine wote ni shida

  • @benswai8099
    @benswai8099 5 วันที่ผ่านมา

    Halima hajatambulishwa tu

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 5 วันที่ผ่านมา

    Wala hata haitutishii hatuna haja naye.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 5 วันที่ผ่านมา

    Hawa ni wafa maji tuu . Mwaka huu tunae shujaaa Baba wa mbinguni . Wao wana hela na dola sisi tunae shujaa wa mashujaa . Safari hii lazima waondoke . Mipango yao ya gizani itabatilizwa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

    INAHITAJIKA NGUVU KUBWA SANA KUITOA CCM MADARAKAN SAS KWEL HIZO SIASA WANAZO FANYA WAPINZAN ZA MIHEMKO YA OVYO OVYO UNADHAN WANAWEZA KUTOBOA

    • @JesuinaBabili
      @JesuinaBabili 5 วันที่ผ่านมา

      Umma ukiamua hata leo ccm itakuwa chali… ishu ni moja tu wa🇹🇿 waamuke… ccm ilishakufa… limebakia genge la majambazi na wafuasi wao!

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 5 วันที่ผ่านมา

    CHADEMA WENYEWE KWA WENYEWE
    HAMUELEWANI

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 5 วันที่ผ่านมา

    Kama mnajiamini msije mkaiba kula

  • @RajabuDangi-qv2uo
    @RajabuDangi-qv2uo 4 วันที่ผ่านมา

    2025

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i 5 วันที่ผ่านมา

    ukiona mijitu inanenepeana hovyo ujue akili ni ndogo mno sijamtaja mtu

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 5 วันที่ผ่านมา

    hahahaha chama cha majambazi

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 5 วันที่ผ่านมา

    MBOWE MHUNI TUU ANANGANGANIA UENYEKITI WA CHAMA KARIBU MIAKA 20 AIGE KWA MH ZITTO KWA ACT

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 5 วันที่ผ่านมา +1

      Nyerere nae alikuwa muhuni pia. Aling’ang’ania kiti miaka 27. Kidumu chama cha mapinduzi. zidumu fikra za mwenyeketi. Umesahau hayo? nyani haoni kundule

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 5 วันที่ผ่านมา

    CCM haina mvuto tena

  • @ce-08
    @ce-08 5 วันที่ผ่านมา

    Chadema wasipojiangalia wao watakuwa wanafanya kazi wanazalisha wanakula matunda wengine

  • @chabrumachabruma
    @chabrumachabruma 5 วันที่ผ่านมา

    Askofu gwajima amkumbatia.

  • @mammukaratu2084
    @mammukaratu2084 5 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 5 วันที่ผ่านมา

    Majimbo yapi wewe wakati yote yako ccm?
    Alafu unasema eti una msimamo msimamo upi?
    Mbona umeondoka chadema?
    Upuuzi mtupu.

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo 5 วันที่ผ่านมา

    Mkagomanoane vyeo

  • @goodluckswai7496
    @goodluckswai7496 5 วันที่ผ่านมา

    Njaaaa kali sana alishahama kitambo

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 5 วันที่ผ่านมา

      Huyu ana njaa hivi lowasa nae alikuwa na njaa au Dr Slaa nae alikuwa na njaa

  • @user-um7rz2lv3t
    @user-um7rz2lv3t 5 วันที่ผ่านมา

    Akuna jambo

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 5 วันที่ผ่านมา

    Hahaha,hahaha

  • @user-df9ue7ko3u
    @user-df9ue7ko3u 5 วันที่ผ่านมา

    Wacha uongo

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 5 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 MKIAMBIWA CCM N CHAMA KIKUBWA MSIWE MNAFANANISHA NA VYAMA VYA USHILIKA HAWA WANAUWEZO WA KUMCHUKUA YEYOTE AT MBOE WAKIAMUA WANAMCHIKUA N SWALA LA MDA TU 😂😂 MMOJA MMOJA MPAKA WAISHE😂😂

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq 5 วันที่ผ่านมา

      Tz ndo ccm hata museme nn hilo linajulikana abadani anayeigia ccm ni katiba inamruhusu sina chama ila ccm ndo mama wataifa na chama katika tz hii ogopa mwanamke aliyejifugua kwa uchugu mengi atayavumilia sana na atafaulu katika kazi zake na mama hata awe kichaa kumbuka hatokumbali ashidwe

  • @allyndabe2458
    @allyndabe2458 5 วันที่ผ่านมา

    𝐃𝐮𝐡 😂 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐨 𝐡𝐮𝐤𝐨 𝐜𝐡𝐚𝐝𝐞𝐦𝐚 😂 𝐣𝐞 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐫𝐚𝐣𝐢𝐞 𝐤𝐮𝐦𝐩𝐨𝐤𝐞𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐛𝐨𝐞 𝐚𝐮 🏃‍♀️

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu4335 5 วันที่ผ่านมา

    Bado mbowe

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 5 วันที่ผ่านมา

    Upuuzi

  • @user-lt1nr4tk9r
    @user-lt1nr4tk9r 5 วันที่ผ่านมา

    Mwenzak c huyo hapo nyuma mulize anann mpaka leo

  • @erastomwambeje9920
    @erastomwambeje9920 5 วันที่ผ่านมา

    Hiyo siyo siasa hata kidogo

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 5 วันที่ผ่านมา

    Hiyo chakula ya boss chukuweni tu

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 5 วันที่ผ่านมา +1

    Chawa mkubwa wewe njaa tu imekupeleka ccm

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 5 วันที่ผ่านมา

    Maigizo

  • @RenardMakori
    @RenardMakori 5 วันที่ผ่านมา

    Nchi ni ngumu wana ccm atamkitafuta watu wakupandisha jukuani lkn safari hii mmegonga mwamba kwa wananchi tunawacheki tu.

  • @zully756
    @zully756 5 วันที่ผ่านมา

    Haki yake

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 4 วันที่ผ่านมา

    Ujinga mtupu

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 5 วันที่ผ่านมา

    Furahini majuto yanakuja

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 5 วันที่ผ่านมา

    Naona kumekucha! ccm kimeanza biashara yake ya miaka nenda rudi ya ulanguzi na ununuzi wa wanachama wa vyama vya upinzani hasa chadema kwa nguvu KUBWA.

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 5 วันที่ผ่านมา

    Yan mnaigopa chadema msipo msema mbowe hampat raha kama mnajiamini mwambieni mama akubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi japo lazma mnyooshwe na tume hiyo hiyo na katiba hiyo hiyo

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 5 วันที่ผ่านมา

      Chadema mashogaaaaa tu hakuna kitu mnakufa polepole tena mnajiua wenyewe CCM haina shida na watu wenu CCM wameja watu wenye vipaji hatari

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba 5 วันที่ผ่านมา

    Umeona kizuri Gani ccm hata ukamuacha mdee lkn karibu hauja shinikizwa na mtu ni mapenzi Yako na ccm kidumu chama tawala

  • @user-df9ue7ko3u
    @user-df9ue7ko3u 5 วันที่ผ่านมา

    Chadema chama kubwa