Mtoto ni mtoto awe wa kwako ama sio wa kwako hustahil kumfanyia unyama kama aliofanyiwa Blanka❤❤❤ Watu wanatakiwa wawe makin na waume zao kwaajil ya watoto wao wa kike na wa kiume Nice story Lissa Mwala with a good voice of Ankojay you may feel like life is simple ❤
Usisau bwana Alex na madam babi love wache maneno makali wapunguze wivu wewe ni mume wetu jabali wetu daima sawa kipenzi anko Jay mapesa mungu akubariki zaidi na zaidi ufanikiwe popote uwendapo na lolote ufanyanyo lizidi kubarikiwa maishani mwakwo twakupenda bure tu mpendwa wetu ❤❤❤ too much anko mapesa
Napenda sana kazi zenu anko Jay pamoja na Lisa mwana congratulations 👏 all, tatizo nko mbali na nchi yangu kutuma pesa ni shida huwa yakatwa pesa nyingi wewe wataka 5 dollar na huku niliko huwa wanakata shillingi 7dolo ni sawa na kunitwangisha maji kwenye kinu
😭😭😭😭 wababaz wa aina hii kama wako they should not be in society so sad,, alf mm nashangaa babangu anibake then niendelee kunyamaza aaaah wee nijikute yaani baada ya kumaliza kunibaka naishia kituoni
Ila kwakweli mtoto asie zaliwa na mtu kweli haumi maana yake nikweli siku zote wanaume wengi huwa hawatoi misaada ya bure haswa kwa watoto wakufikia huwa nikama wana laana fulani inayo wasukuma kuwafanyia unyama pale maombi yao yanapo kataliwa
Kupata part 02 kwa haraka wasiliana nami Ankojay kwa namba hii +255684-689-541
Una pesa mbona una sema tuwasiliane na wew😂😂😂
ANKO mapesa fanya kazi
@@zainbzainb9283 😂😂😂
@@ankojay_ nambie
@@Alice-tk8vt Elfu 5 tu... Kisha nakupa na part 3
Anko jey natamani siku nikirudi Tanzania nije nikutembele nataka nikuwone ❤❤❤🎉🎉🎉
Mtoto ni mtoto awe wa kwako ama sio wa kwako hustahil kumfanyia unyama kama aliofanyiwa Blanka❤❤❤
Watu wanatakiwa wawe makin na waume zao kwaajil ya watoto wao wa kike na wa kiume
Nice story Lissa Mwala with a good voice of Ankojay you may feel like life is simple ❤
Usisau bwana Alex na madam babi love wache maneno makali wapunguze wivu wewe ni mume wetu jabali wetu daima sawa kipenzi anko Jay mapesa mungu akubariki zaidi na zaidi ufanikiwe popote uwendapo na lolote ufanyanyo lizidi kubarikiwa maishani mwakwo twakupenda bure tu mpendwa wetu ❤❤❤ too much anko mapesa
Jaman nachelewa sikuhizi twendelee napnd kaz zko anko jay by d
shukrani anko jay kwa elimu unayo tupa kila leo ukishirikiana na kipenzi lissa mwala
Laa usiwatete waume wenzio ank jey ,,,hakika waume hawana shukran
Anko jey wewe tu tunakupenda sana ❤️ ❤️❤️ kwasababu unatufariji sana 🎉🎉🎉
No matter what anko J story zako kalii San😌🥰..alooh Mungu saidia nikuone live usimulie kidogo😂😂
Waah mubaba hiyo Hana adabu, ahsante 🙏 ankojay 🥰
Mhm jamani huyu baba badala ya kumlinda mtoto wake yeye anageuka simba wakurarua na kuua😭😭😭😭
¹p0
L0o
0ĺp
Aaa kumbe lissa asha achia mzigo!, Wow 😲
To be continued Ankoay simulizi ❤👏👌
Wanaume ovyo sana mbaka watoto wao
Am waiting anko jey
Duuuh 😢😢huyu baba 🙌
❤❤❤Ankojay asante Lisa mwalla love 😍
Jamani baba,, gani 😢😢 Ibilisi mchafu alaaniwe kabisaa mpaka kifo chake
Jamani naisubili hapa saa nne sio mbali nishandaa 🍿🍿🍿za kutosha ankojay tupo teyari hapa 🥰🤣
Kwenye kuimba ankojay 😁😁😁😁😁😁😁sina mbavu
❤❤❤❤ npo ndan nasbri ntafurahia najua nirahatu anko unajua nngekua napesa nngekupa gari kbs yn
wakina mam ulinz kwa watot man hayo mamb cyo magen kabisa kweny jamii watot weng wanafanyiw vitend viovu na baba zao
😢😢😢😢
Nko ndani ndani nasubiri kwa hamu ❤❤❤❤
Jmni stry zur ach niendlee kuskiliz ❤❤
Napenda sana kazi zenu anko Jay pamoja na Lisa mwana congratulations 👏 all, tatizo nko mbali na nchi yangu kutuma pesa ni shida huwa yakatwa pesa nyingi wewe wataka 5 dollar na huku niliko huwa wanakata shillingi 7dolo ni sawa na kunitwangisha maji kwenye kinu
Kuna njia nzuri.. naweza kukusaidia..fanya tuwasiliane +255684689541
Anko j dah unakipaji sana sana yani sana unajua kubadili sauti we kaka uwiiii nikuone basi nikirudi jamanii🤣
Tupo pamoja na anko jay mapesa 🥰🥰🥰
Simulizi nzulisan 😘 anko jay❤❤
Hii simulizi jemeni ilifanya niote jana hati Ankojay amekuja mtaa wetu kusimulia simulizi 😅😅😅😅😅😅 jemeni ankojay 😘😘😘😘😘
Mungu awalaani wazee kama hawa😥😥
Yaan uume uwaingie 2mbon 😢😢😢
Asante anko jay na lisa mwala kwa kazi nzuri
Nilipoumizwa zaid ni pale hilo libaba lilipombaka kwa mara ya kwanza na kuendelea had akapata magonjwa niliumizwa sana
😢😢😢😢😢uyu baba huuuuuu .mola amusameee
😂😂😂anko jay kwa kujitetea
Simulizi tamu sana ila Anko jey unajtetea😂😂😂😂❤❤
Hello everyone my Anko Jays family how are youn 💗💗💗🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺💞💞💞🥰🥰🥰💗💗💗 let's go to start to ::::::::::::::::🥂
🔥🔥🔥
Hapo kwa bichwa kubwa ndio nacheka mpaka 😂😂😂
Fantastic ❤❤❤❤
40 minutes to go Anko jay wewee mm pia nakuita mara tatu jey jey jey haya lete kibao
I can't wait this ❤❤❤
😭😭😭😭 wababaz wa aina hii kama wako they should not be in society so sad,, alf mm nashangaa babangu anibake then niendelee kunyamaza aaaah wee nijikute yaani baada ya kumaliza kunibaka naishia kituoni
so sady 😭😭 baba kambaka mwanae uwiiiiii
Duh aiseeee eee
Pole sana manka
❤❤❤❤❤ sins jenginelakusema
Asante sana Ankojay
Ndio ndio wa 100😂😂❤
Waoo tayari
Mimi Niko Kenya napenda Sana simulizi zako zinanipunga Sana mwenyezi mungu atuwezeshe usonge mbele
Hii ni funzo kwa wamama tuchunge watoto wetu wa kike sana kwanza hawa baba za kambo
Asante anko jay
Nimekuwa wakwanza naomben like zangu
Hongera
Asante dear
Hata kama hajakuzaa lkn hafai kufanya unyama kama huo
I'm waiting❤❤❤❤
Thank you Anko Jay ❤❤❤❤❤ 👏🏽👏🏽👏🏽
Ankojay upewe mauwa Yako kwahuyo mwimbo wakaciri nimeceka
Ahsante sana
P😢😢😢😢 jamani huyu mbaba duu kichomi
Anko uyo mwalim mkuu kamwaga mboga mbele yatuca.
Jamani!!!,miaka 11?
😢😢😢😢huyo baba anapaswa kunyogwa huyo😢😢😢😢
Wanaume ni wanyama😂😂😂😂😂
Aaaaaaaahhh..Anko kajisifia utadhani si mwanaume😅😅😅 ama yeye malaika???labda Anko ndio mkali kuliko wote💔💔💔
❤❤❤
Ankooooooh akakuzaba mdomo et 😂😂😂
Ila kwakweli mtoto asie zaliwa na mtu kweli haumi maana yake nikweli siku zote wanaume wengi huwa hawatoi misaada ya bure haswa kwa watoto wakufikia huwa nikama wana laana fulani inayo wasukuma kuwafanyia unyama pale maombi yao yanapo kataliwa
Nipo ndani na waiting card😊
Baba shetani huyu na wa mama tuwemakini na watt
Amazing ❤❤
Pamoja🚶♀️
Kwa kweli Kuna wanaume vichomi San hap dunian walikuja kuumiz watu
Inaumiza sanaa😭😭😭😭😭 shukrani ancle na Lissa❤❤🎉🎉
Asate sana ako j ila baba we ulaniwe
Mmh wa baba wengine wana roho mbaya kikwel
Makubwa hayooo 😂😂😂
Wanaume wengi ni ooooovyooo wengine ni jinaa Tu,
Bb malaya 😢
Anko unaniumiaza niko mbali na mume wangu jamani 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Pole bora Hata wewe una mume wengine tuko
Single 😂
Hahahaha broo bn. Ww
Uwiiiiii nyie watu jmn
Hyu bint Hana ukimwi kwer😂😂😂
😄😄😄😄
unawaza kama mm😅
Huyu baba mungu hamrani
Jmn tamuuuuu
Roho inauma kabisa
❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Mhm mkuu kaniacha hoi😂😂😂 shukran anko J❤
Anko jay mapesa
Love❤❤❤❤❤
Sw Anko asante
Siku zote huwa napenda sms Ila hii ,😭😭😭umri wa binti na anayoyafanya sio,wanaume,nawaita Mara 3😭😭😭😭
Mambo moto Lisa mwala
Very stor so much ❤❤
Nipen like bc
Nakupenda Ako jay
Hii nayo hapana its so painfull
Hili lizee lijinga sana yaani anambaka mtoto wake kweli 😭😭
Kunawatu wanaroho mbaya kaaa mtoto wa 11 years unambaka😢😢
Sana
❤❤❤❤❤❤😊
Enjoy
🎉🎉🎉🎉
Anko j kwa kujisifia una atal😅😅😅😅
Darasa la leo ni komakoma
❤❤ thanks 👍