Jamani kuusu scania hy uwa wanatengeneza kwa kutumia vitu vya kununua used na hy manuka yk engine gear box ceben kwa usishangae sana hicho kitu sisi wengine tunanunua magar ya kuungaunga hatuna uwezo wa kupata mapya
Tanzania utakamata magari yote mtu kanunua mashine ya mtumba wasema magari ya uwizi kwanini musiweke utaratibu huwo tokea mwanzo Kuna magari ya uwizi na Kuna magari ya halali mtu anunue mashine ya mtumba useme kaiba gari
Hongera sana RPC wa Dodoma. Wenye Magari hatulali
Jamani kuusu scania hy uwa wanatengeneza kwa kutumia vitu vya kununua used na hy manuka yk engine gear box ceben kwa usishangae sana hicho kitu sisi wengine tunanunua magar ya kuungaunga hatuna uwezo wa kupata mapya
Kuwe na Sheria kila badda ya miezi 3 magari yote yapekekwe police kuchekiwa
hapakazitu
Weziwatafutekazi
Nyingine
Tanzania utakamata magari yote mtu kanunua mashine ya mtumba wasema magari ya uwizi kwanini musiweke utaratibu huwo tokea mwanzo Kuna magari ya uwizi na Kuna magari ya halali mtu anunue mashine ya mtumba useme kaiba gari