Huwa napata raha sana kwa kazi ufanyazo mheshimiwa Mkuu wa Polisi Dom, hakika wewe ni mfano wa kuigwa ktk nyakati hizi zenye wizi mwingi na ujanja ujanja mwingi. Keep it up to you!!
Hcho kituo kitakacho jengwa kiitwe muroto Maana Ana nyoosha tabia za watu v zuri tangu yupo nyakato mwanza kiukweli alitulza wenye tabia za wiz ........kunarungu yake ilikuwa imeandkwa mama mkanye mwanao ......salute kwake kamanda muroto
Sasa hapo kiki ziko wapi ndugu zangu mtu ameibiwa na polisi wame Fanya kazi yao nzuri big up sana polisi kazi nzuri sana na hongera sana mkulugenzi wa kampuni iliyo ibiwa fedha kwaku toa shukulani hiyo
Yani ndugu yangu ww acha tu sisi watanzania atuna shukran sababu wakikamata waalifu wasipo tuonesha tunasema maaskali waongo tukioneshwa hooo anatafuta kiki mbona mupo ivyo jamani Kamanda fanaya kazi fanya kazi ivyo ndivyo vzr mungu akubariki sana na akulinde kwa maadui
daaa inatia amasa sana kwakwli police dodoma wko imara ase napia tajiri mwenyewe kaamua kutoa kiroho safi kujenga kituo kidogo cha police ase inatia amani Sana ila naww jambawazi utanyoosha maelezo maake kuna mibuyu mikubwa imekaaa pembezoni mwa barabara inaitaji kutolewa sasa lazima mkatoe iyo mibuyu barabara zipanuliwe pumbafu San ww
Hongera sana Kamanda watapata tabu sana wew e ni Mfano wa kuigwa kwa maneno yako na vitendo vyako. Ukiwa mwizi au mjanja mjanja usije Dodoma kwetu utapata tabu sana. Hutatoka utaambulia kipigo cha Mmbwa Koko
Huwa napata raha sana kwa kazi ufanyazo mheshimiwa Mkuu wa Polisi Dom, hakika wewe ni mfano wa kuigwa ktk nyakati hizi zenye wizi mwingi na ujanja ujanja mwingi. Keep it up to you!!
Hayo ndiyo mambo mema ya wito wa kazi yenu Mungu akubariki kamanda.
Aise huyu Kamanda anapiga kazi...Hongera sana Kamanda
Hcho kituo kitakacho jengwa kiitwe muroto Maana Ana nyoosha tabia za watu v zuri tangu yupo nyakato mwanza kiukweli alitulza wenye tabia za wiz ........kunarungu yake ilikuwa imeandkwa mama mkanye mwanao ......salute kwake kamanda muroto
Mungu akulinde Afande!
Mungu akulinde kamanda kwa umahiri wako kiutendaji.
Safiii sana..HAKUNA MAISHA YA MTEREMKO..SHAURI ZENU VIJANA...
Hongerani Jeshi la polisi Dodoma nimewakubali sanaaaaaaa
Hongera muroto kwa kazi nzuri!
Huyo mwizi atapata kipigo cha mbwa koko
nakubali sana utendaj wako wa kazi! watapata baaabu sana
Jamani Mungu ambariki huyu Kamanda na wasaidizi wake wote
Bahati mbaya umri wa muroto umetaradadi angefaa kuwa igp ajaye. Kazi nzuri sana
Hongera kamanda mroto wahalifu watapata tabu sana
Nakukubali saana Mkuu
hongera kamanda mroto
Sir Muroto loved by few,hated by many and respected by all!!!
Kazi ni nzuri.. Mwenye kituo cha Mafuta haukuwa na ulinzi kituoni kwako?
uko vizuri kamanda
Shikamooo murote uko vzr sana
Watapata tabu sana
Sasa hapo kiki ziko wapi ndugu zangu mtu ameibiwa na polisi wame Fanya kazi yao nzuri big up sana polisi kazi nzuri sana na hongera sana mkulugenzi wa kampuni iliyo ibiwa fedha kwaku toa shukulani hiyo
Yani ndugu yangu ww acha tu sisi watanzania atuna shukran sababu wakikamata waalifu wasipo tuonesha tunasema maaskali waongo tukioneshwa hooo anatafuta kiki mbona mupo ivyo jamani
Kamanda fanaya kazi fanya kazi ivyo ndivyo vzr mungu akubariki sana na akulinde kwa maadui
Respect Kamanda Mroto, Sirro ajiangalie😁😁
daah polisi nyinyi mungu awachunge kama jicho nahis tz yangu ishakua kama nchi zile ambazo mwizi hatoki
well done. unastaili kupongezwa and if possible even to be promoted to the higher level
Huyu kamanda ni moto apewe Uwaziri tu
yaani watapata TAABU SANA. Hongera kamanda MUROTO upo juu kama nazi
Mroto ni RPC ambaye anatimiza wajibu wake vizuri sana..
Kwa video Kali na muhimu kimaisha na afya bonyeza hapa th-cam.com/channels/MqCfgzOvP0I25aPnHamnsw.html th-cam.com/channels/HC1E0DBbTvmd03gThKlArw.html
Top Ten Kali watapata tabu sana
Hahahahahahhaaha Safi Sana mze Baba piga kazi kamanda
hongera sana kamanda muroto .
Dah Mheshimiwa Raisi tunakuomba mpandishe Cheo huyu RPC anafanya kazi nzuri sana
Kazi nzuriii afande chapa kazi wezi wata pata tabu sanaa
Ramadhani sakalani najivunia kuwa tz
Unazngw tu kamanda wengin hawan makosa bwana
daaa inatia amasa sana kwakwli police dodoma wko imara ase napia tajiri mwenyewe kaamua kutoa kiroho safi kujenga kituo kidogo cha police ase inatia amani Sana ila naww jambawazi utanyoosha maelezo maake kuna mibuyu mikubwa imekaaa pembezoni mwa barabara inaitaji kutolewa sasa lazima mkatoe iyo mibuyu barabara zipanuliwe pumbafu San ww
RPC Muroto ndio angefaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
Seif Ally weeee tungenyoooka mzee baba
Seif Ally Kweli Kaka
good xana kwa kaz nzur
Hongeren sana police
Hongera sana Kamanda watapata tabu sana wew e ni Mfano wa kuigwa kwa maneno yako na vitendo vyako. Ukiwa mwizi au mjanja mjanja usije Dodoma kwetu utapata tabu sana. Hutatoka utaambulia kipigo cha Mmbwa Koko
safi sanaa
GUD JOB
Saf sana kamanda mungu akuweke saanaaaa
safi sana makamanda chapeni kazi
duuh toka leo kamanda nakupa heshima yako #Watapata tabu sana
I see Muroto, I click.
Magufuli mtazame kwa jicho la Tatu kamanda mloto watu wanamchukulia powa but anapiga kazi na vijana wake na matokeo yanaonekana
dah kamanda ubalikiwe sana hata Mimi sijawahi ona askari akamate pesa halafu mwenyewe uzikute nindoto asante kamanda
Good sana watapata taabu sana
Hilo ndo kazi yajesh lapolice inatakiwa. Himongera rais wangu kwakurejesha nidhamu kwenye jesh lapoloce.
Uko vizuri kamanda
kaz nzr ...
We bos ulieibiwa toa sadaka kwa mungu yeye ndo kakusaidia upate pesa hizo
alitegemea ataambiwa tunakupa million moja
Kama kuna mtu anadhani unatafuta kiki kamanda mroto basi atapata tabu Sanaaaaa......
Jeshinle linafanya kaz nzul ila cjapendezwa kuona mnamwinesha mtu anae wapa ushilikiano wa kuwapata mwaalifu hii ipo sahh kwl jamn
Nakukubal sanaaaaaa murota
Namkubali sana huyu polisi
Safi sana kamanda #muro
magufuri mpandishe Cheo huyo kamanda
muroto unafaa kuwekwa kanda maalum maana wakiingia dom hawatokiiii
Aisee hongera sana afande Muroto😂😂😂 bado naikumbuka sana ile rai yako kwamba "watapata tabu sana"😂😂😂😂 nadhani unaelekea sasa kuukwaa uaijipii😂😂😂
Huyu RPC yuko vizur
Ni kweri kwa dunia fanya kazi kwa kuufwata sheria tu ukisikiliza watu atufiki kabida
huyu jamaa anatufaa hapa bongo
Ili katika kuweka katika mji wetu katika Hali ya ushwari haaaaaaaa nakukubali Sana kamanda Gilles
Hajakutana na police aftet money huyo,,,,,,hizo pesa angezckia kwenye bomba tu! Hahahaaa
Wow mjomba magu mwangalie huyu kamanda yuko vzr sana
Saf Sana kamanda
daah.afroil kampuni kubwa nimefanya nao kazi pale kahama
huyu Kamanda Wa dodoma nimempenda bure aisee anapiga kazi
Akujipanga uyo mchiz alikurupuka ndomana kakamatwa.
See you muroto
Huuwi jamani I wish ungekuwa kamanda wa Afrika
Kamanda mrudishe yule bodyguard wako wa zamani ....tumemkumbuka
Ivi kwann wasiwe wanauliwa hao waarifu??????? Wanaenda jela kumaliza ugali wa serikali mxiiii
Pongezi kamanda wa Dodoma kwaoporesheni sasa tutakua nauhulu wakutembea nahera
nakukubali
Hyu jamaa angefaa kuwa IGP
Annanias Byarugaba usimchonganishe na IGP simon siro....
Wakimpandisha cheo ndio basi tena, kama mnamkumbuka kamanda Siro alipandishwa cheo sasa hivi hasikiki tena na mambo yanarudi taaaaratibu mko wa dar!
Big kamanda muroto
Namshauri Mkuu uwe IGP kwasababu unauwezo wa kusikilizwa na askari wako
tatizo KAMDANDA Muroto umri umemtupa lkn alikuwa nafaa sana kuwa IGP
uyo jombaaa atakufa maskini
Lazima apate kipigo cha mbwa koko
Aisha Chambo Hahahaaaa
Weka tarehe wakati wa ku upload
Safi saana unafanya kaxi yako vixuri
Baba hapo wameyakanyaga muroto ni mwanaume bwana
Atapata tabu Sana'a😁😁😁😁
kiki.....
Mwizi hanaupeo mdogo mno
Dodoma wahalifu wanaiogopa kama ukoma😂😂😂
Huyu kamanda ana sura ya kazi...hataki mchezo na kiswahili chake sichoki kukisikiliza
Watapata tabu sana!
upo vizur kamanda nataman nikupe hata IGP yaani ni hatar
Atapata patatabu Sanaaaa!!! Huyo dada
Rais hamuon RPC Muroto kuwa anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani??? mbona ingekuwa balaa
Atapata tabu sana
Huo ulikuwa mchongo wa wote wawili, mkamateni huyo Mwanamke atawaambia ukweli, huku mtuhumiwa mkiwa mmemweka ndani Kwanza!
Polic wasasa wanaadabu wanakama pesa wanazionesha hatari
Yaaah kuna watu wamedislike... i thnk hao watakuwa miongon mwa waharifu
picha ya mhalifu je
Valentine Mtei picha tena huyo kachezea kichapo mpaka raha
Valentine Mtei ww jambazi Toa pongezihela kapata.wapi kituo ipigoro
tena uyo kijana anyongwe kikatli maana mjinga sana uyo alaanike milele
Huyu mnyang'anyi hana bahati kabsa..... Amepita sipo...
Atapata tabu saaana
Duuuuuuu
Mzee wa kiki huyo mxee, ila hongera sana umekutana na mwiz mtt uyo ndio ukamkamata
Ukikamatwa unaanza kulalamika smart phone ulionayo itumie vizuri.. Unasema jambazi mtoto we unawajua walio sugu?
HATA PATA TABU SANA