VIJANA WAPEWA BAJAJI MPYA NA PESA ZA MTAJI - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มี.ค. 2022
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Mzee nabii mungu akufunike ktk mabawa yake wendelee kutuona na sisi Asante mungu kwa zawadi yaka ya nabii mkuu
Ahsante Yesu Mungu wa baba yetu, baba wewe ni kielelezo kilicho bora sana katika kizazi chetu. Imani na matendo zinaenda pamoja, napenda kufuatilia mafunzo na maubiri yako.Mungu akuhifadhi baba
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki baba Kwa moyo wako uliojaa huruma. Nakufatilia saana toka zamani tokea Zanzibar. Najifunza mengi baba toka huduma Yako.
Nabii mkuu naitwa Fatima salumu nilitolewa kizazi changu Nina mtoto mmoja tu na ninaishi na virusi vya ukimwi ninakuomba baba nitamkie neno tu nipokee uponyaji ameen
Kupitiya hawa hata Mimi nitafungua biashara yangu. Napokea. Ubarikiwe sana Baba
Sijawahi kuona Mt wamungu kamawewe mwenye moyo wahuruma,moyo kimungu kabisa,mungu anajivunia,lakini watanzania piatunajivunia kuwa nanabii mkuu kamawewe,baba namimi nimwimbaji wamiaka mingi Ila maishayangu choka mbaya,naomba unitamkie nataka naamin utakalosema utakuwa,Niko mbeya kyela
Hongera Babà Nabii Mkuu,kwa msaada unasaidia watu Mungu akuzidishie Baraka tele Aaamen
Baba prophet Mungu wambinguni azidi kukubariki sana
Barikiwa sana baba kwa kuwainuwa vijana mungu atazidi kukuinuwa wewe ni nabii wa kweli
Mungu ni mwema sana kila iitwapo leo nabii mkuu , mungu azidi kukuinua ubarikiwe milele
hakika nime kuswa na utumishi wako najikuta natoa machozi na mambo makuu unayo yafanya Baba mungu akuzidishie natamani siku moja nije katika kanisa lako uwezo tu sina Baba ila naamini nita fika katika hekaru lako amina
Naamini siku nikikanyaga katika madhabahu yako na mimi biashara nayo ipenda nitaifungua. Nakufatilia sana baba
Mimi ni muislam, lkn nimekuwa siachi kumuangalia huyu Baba Nabii. Kiukweli naguswa Sana na huduma zake. Nina neno Moja tu siku nikiweza kukutana nae naweza kumwambia. Liko moyoni mwangu.
Barikiwa sana kutoa bajaji
Wow Baba ata Kama niko mbali nakuvuatilia fundishow lako mungu yupo nawe kila Makati watching from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Akika mungu nimwema pasta na mungu azidi kukupa upeo uyo uyo wa kuwasaidiya wasio nacho kiukweli maisha yanaitaji moyo kama wako kwakuwa sina kaz sina chochote chakukupongeza ila naamini mungu yuko pamoja nawe thank you Jesus🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtu wa mungu nabii kweli wewe ni mlezi wa watoto wa kimaskini kanisani kwako
BABA UMEWAFANYIA VIJANA JAMBO KUBWA SANA LA KUWASAPOTI BAJAJI ZA KUFANYIA KAZI WAINGIZE KIPATO CHA KUENDRLEZA MAISHA YAO ASANTE , MHESHIMIWA NABII MKUU DOCTOR GEOR DAVIE
Baba Mungu akubariki sana,hili ni fundisho kubwa sana Kwa watumishi wote,nimepokea
Daaah! Nimehisi kutoa machozi Mungu anakutumia nabii una moyo wa kutoa sana Mungu azidishe Mara nyingi
Shaloom baba, ninafuatilia huduma yako kweli Mungu yupo ulipo. Nitajitahidi kuja kusali na kupokea upako. Ombi ni sala kutoka kwako za kunibadili tabia nilizonazo zisizo mpendeza Mungu. Niombee mtumishi nipone magonjwa niliyonayo mwilini. Pia niombee kipato ninachopata niwwze kupata maarifa kwa nguvu za Mungu ya kukiongeza kwa kuzungusha katika biashara na miradi. Pia nijaliwe kubwa na hekima na busara ya kumtumikia Mungu na kusaidia wenye mahitaji. Baba niombee watoto wangu wafunguliwe vifungo walivyofunhwa wafanikiwe katika maisha yao yote.
Mtume nakupenda sana baba Mimi naomba unisaidie jambo moja niweze kutulia kwenye ndoa yangu niwe na uvumilivu mungu ampe mume wangu kazi naamini katika nguvu iliyoko ndani yako ataniondolea pia mgonjwa yote niliyo nayo
Kenya hapa kwetu huwezi pata mtumishi anapeana wao ndio hutegemea kupewa .........mtumishi wa mungu Anikumbuke kwa maombi nikiwa hapa kenya mombasa .....mama yangu amekuwa mgojwa cuncer since 2019..nimefisirika kabisa njuu ya kumtuza mama .....Niombee sana mtumishi wa mungu.
Mwenyezi mungu akuzidishie mara 1000000 unapotoa akuzidishie sana mzee kuanamoyo huo wenye moyo kama huo nikumi kwa mmoja kabisa
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa ajili ya hao vijana kwa hizo bajaji.
God is really good,I'm from Kenya and God bless you nabii wa mungu
Prophet of God your real Doing Wonderful! And your real Showing us the way to Heaven Spiritual and physical...
God Be with More and may God Suprise you More!!! Great Man of God
Na mimi kuna siku yangu, itafika. Nimefurahi sana kwa ajili ya hao vijana, machozi ya furaha yamenitoka japo siwafahamu. MUNGU AKUBARIKI sana.
Babangu mtumishi wa Mungu nimeguswa sana na vile unavio shugulikia watu wa Mungu ata namimi najua Siku moja nikija niguse ata mukono wako kwakukusalimu tu nitakua nimebarikiwa babangu
Nimependa sana hichi kitendo, vijana ndani ya kanisa ni hazina. Mungu was mbinguni amekutofautisha sana were ni wakipekeee saaana.
Am soo touched by this kind of giving. Daddy you're blessed by God
Baba hakika wewe yupo mungu kwanza hakuna mtu yeyote anaweza kuwapa saport vijana hakika umenigusa sana
Man of god I wish I could see you but I’m from in USA
Ubarikiwe mtumishi wa mungu napendaga sana mafunzo yako yananijenga kiimani
BABA MUNGU akubariki sana kwa moyo mkuu. Naomba mbaraka wako nimekwama kiuchumi.
Ubalikiwe baba unayetambua wahitaji unaetambua nawe weww umetoka nakuombea uishi maisha malefu mungu akujalie akuongoze pale unapotoa
Hii ni miujiza jaman Ee Mungu niguse namimi Bwana Yesu🙏🏾
Wewe ni mungu umeshushwa na mungu uje usaidie mwenye uitaji na wewe ni zaidi ya nabii
Me naitwa mathayo aloyc ni driver. Mungu.akubariki.sana.nabii.mkuu.mungu.ametupa.mungu.katika safari yangu anijarie niludi salama.nije kanisan nipate baraka zako mtumish
Najiunganisha kwa jina la yesu
Mungu akubariki baba, natumaini Mungu alikuleta duniani kwa makusudi, natamani sana siku moja nifike hapo japo uniguse mkono tu naamini yote ninayoyapitia yatatoweka.Mungu akutunze baba
hakika wewe ni mutushi wa mwenyezi mungu anaye kumbuka lisha kondoo zako si kama wale wengine husema muchungaji ananyonya maziwa ya kondoo zake atapata maziwa wapi kama haukulisha kondoo zako ? hongera sana baba nabii mwenyezi mungu aendeleye kukutiya guvu akazidishiye na kile haukuomba piya mimi na patikana drc
ubarikiwe sana baba kwa ulicho kitua kwa moyo wako wa upendo na kushikaa mkona vijana wako mngu akuzidishiye kabisa kama ulivyo tamka kwa kinywachako kusema umezidishiwa mbinguni🙏🙏
Naomba nifike arusha nikuone nakupenda sana baba nabiii mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Am so much touched the way you are giving to people, May God bless you.
Mungu akubariki sana Baba wa ngurumo
nimebarikiwa sana na msaada wa baba nabii kwa vijana wenzangu,
Nimelia sana maana nayajua maisha ya bodaboda ya Mtu na inakuwa mbovu lakini anataka marejesho yake, ajali familia imepata au laa.... Baba nimelia sana ni Kama Mimi ndo naipokea.
That is my Dady we love you!!!!!
May God bless you,,nigepata fedha million 3 niaze maisha ya familia yetu ilio sabaratika, from kenya
You're real the servant of God and anointed one . May almighty father lord Jesus bless the work of your hand
Amen niguse Nami baba usiache baba nigese nami
Mangue alubariki❤❤
Yan nataman huyu baba na mm angeniona dah ana moyo wa huruma sana yangu baba mungu aendlee kukulinda utuokoe sis tusiojiweza baba
Bwana yesu asifiwe nabii mkuu japo nipo congo tunajidai mungu ametupa nabii mungu akubariki sana sana nabii
Baba kama huyu si rahisi kupatikana, hongera nabii wa mungu. Niko kenya
I tap the blessings from you man of God
Baba Mungu akutunze sana Nakupenda sana 🙏
Hakika mungu ni mwema Sana, mungu akubariki Sana nabii mkuu
Nabii mkuu unafanya mambo memea sijaona mfano unajali maisha ya watu sana huna wa kufananishwa hakika yo you have a big heart stay blessed!!!🙏🙏🙏🙏
May the good God bless you Man of God 🙏🙏🙏
Baba mungu akubari sana.naomba vile naeza nikufikie nko kenya nasina hera naeza nikufikie nimetezeka sana baba nizahidie nikufikie
Huu ndio utumishi ambo MUNGU anautaka kusaidia watu sio kilasiku kupokea kutoka kwa shilika tuuu ubarikiwe Sana Baba
Ubarikiwe sana mchungaji ningetamani na mimi siku moja nifike kanisani kwako 🙏🙏
Ninamambo mengi ambayo nikikuelezea natumah mchungaji utanisaidia kwa msaada wa Mungu unaweza
Love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba nglumo ya upako mungu azidi kukuinuwa kwakila jambo kbs ningerikuwa nauwezo ningeweza kufika halusha namimi ili unibariki nauniondoreye mambo mengi yanayo nikaribiya maishani mwangu asante sana ungurumo ya upako nimimi jean Paul kutoka Burundi mwaka mupya nawatakiya nyinyi wote waumini wa ungurumo ya upako
Mungu ni mwema god bless you godev
Nakupenda sana baba nakufuatilia sana mungu akuzidishie hpo ulipo
Mimi niseme ukweli napenda unavyosaidia jamii tofauti na manabii wengine wao ni michango tu kuwachangisha waumini mi nimekupendea hapo kama nilivyokua nampenda tb Joshua ubarikiwe
You touched my life in various way, God keep you Nabii mkuu.Asante sana kwahiyo 🙏🙏💕💕
Amen may good God bless you Dad u are a blessing to this nation of Tanzania and to the world as large...
Mungu wetu hakika mungu akuzidishie baraka,umri mrefu kwa kuwajali Wana wa mungu.hakuna siku uliyomshangaza mungu ulipowapa vijana bajaji
Your are great man of God Asante Sana baba all from ug
Mungu akubariki baba,siku zotee za maisha yako
Mungu azid kukupa afya njema na maisha maref ukamtumikie vema nataman kupata maombi yak baba🙏
Nabarikiwa sana na huduma yako Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Najiunganisha nahao namm siku Moja Mungu anisaidie nipate mtaji Ili niweze kuendesha maisha yangu nakujisimamia ktk changamoto nazo zipitia🙏
Balikiwa sana mucunganji 🙏♥️🇧🇮
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana yesu
Hongera Sana Mbarikiwa na Mtume wa Mungu, Kazi yako NI NJEMA TENA NJEMA MACHONI PA WATU NA PA MUNGU
MTUMISHI WA MUNGU MUNGU WAMBINGUNI AKUBARIKI SANA AKUPENGUVU KATIKA KUIFANYA KAZI YAKE MUNGU KATIKA JINA LA YESU AMINA
Hakika we ni nabii wa kweli uko ju sana Mzee wa ngurumo
Mm Charles marende kutka kenya baba niombe baraka baba 🙏🙏ili nikamileshe my dream
Mungu akubarki paster kwa kugusa maisha ya watanzania, Aman ya kristo iwe nawe.
I love what I watch daily from Nabii Mkuu
Mpaka nimelia baba Mungu atume maraika wake akulinde
Ubarikiwe sana nabii mkuu wa manabii wote
Nabarikiwa sana na maubiri yako mtumishi
Daaah Mungu huleta mtumishi wake ili kuinua wengine na Mungu ajitwalie utukufu wakina lake
Hongera nabii mkuu jodevi mimi nimuislamu lkn nakupenda sana kwamoyo ulionao mm nidereva lkn cnakaziyamaana yakuniingizia kipato niweze lea familia yangu lkn naamini maono yako ktk mazabau yako naamini unaweza nibariki kwamaambiyako nanikafanikiwa baba atafunguliwa yule aniaminie baba mm nakuamni sana bwanayesu awenawe
Be blessed mtumishi wa mungu kwa kazi kubwa unayofanya kuwasaidia watu kiroho na kimwili,hajapatatokea wewe kweli ni nabii. Mkuu
Barikiwa sana baba kwa karma uliyopew na mungu nakuomba uwafungue wanangu godson na dickson kiiucumii
Papa sikamoh Niko Congo nakosa kasi papa mungu akuingiye tu unisaidiye
Mungu akuongezee neema na cku zakuish mtumishi
Great minister, wonderful choir, God bless u and reward you with more. From Kenya
Asante MUTUMISHI Wamungu ,MUNGU
Akuongeze mwahaka zahidi .
Kazi njema nabii mukuu kusaidia wanao onewa,mimi nakufata kutoka RDcongo,mpaka apa n'a uganda luviriha,asante kwakazi,ila namimi nahitaji kazi,majina ni kakule meshack Samuel.
Huyu Nabii aigwe maana vijana tunahitaji support sana tupambane
Ni baba kwelu mungu azidi ku bariki peniewe panatoka
Thanks God
Nimetazama video hii mpaka nimelia Nabii Mkuu naandika haya nikisema wewe Mungu amekuchaguaa uwepo katika muda huu kwa makusudi kabisa unasaidia wengi na wanapokea sawa sawa na imani yao 😭😭😭 Yesu kristo azidi kukutunza Baba Nabii Mkuu, nakupenda sana.
Ameni.
Natamani nifike japo siku moja mahali hapo niabudu pamoja na Familia ya Nabii mkuu. Nawapenda sana.
Naomba namba za uyu nabii
Asifiwe nabbi wa mungu naitwa mary mwakisha toka kenya napenda kukufuatilia sana namini mungu wako unavosaidia watu wengi mungu akubariki sana uishi maisha marefu. Naomba unifungue na mashida mingi, matatizo ya ndoa,vita kwa nyumba,magonjwa kila wakati, ufukara akuna maendeleo kupambana tu na maisha nikomboe nabii wa mungu mume wangu mungu amufungulie milango ya kazi .mungu atuondolee madeni tunateseka
Baba umeteuliwa na mungu kusaidia nakuinua sisi watu wa chini kuinuka baba mie natamani hata siku moja nikijaliwa nifike kanisani kwako pia hata uniwekee mkono wa neema! Pia nafatilia Sana mahubiri yako ya kuponya na kulete matumaini ,,,,Asanter baba napenda Sana mahubiri yako mie nipo Mara musoma
Amina baba
Baba ni ombeye na mimi mungu anijibu maitaji yangu😭 🤲🤲
Ipo siku yangu tuu... na nina amini itafika
Bwana Yesu Asifiwe Sana . Mungu nii Mkuu. Nimeiona Upako huu karibuni , Namshukuru Mungu kwa hilo . Kweli Mungu anajionyesha Hadharani.
Ukweli Mungu atukanwi mimi nilikujua Geodev kupitia mtu aliyekuwa akikutana nllichomwambia usimseme vibaya tulikosana kabisa na ilipelekea mimi kukosa kuendelea na masomo ya theorogy lakni yeye alipewa kituo baadae alipatwa na ugonjwa wa ajabu na kupoteza maisha watu msimeme vibaya uyo Nabii amebeba kusudi la Mungu Nina ushaidi wa kutosha