NIKULIPE NINI MUNGU-Kwaya ya Mt Anyesi (Official Gospel Video-HD)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 พ.ค. 2018
- Huu ni moja ya wimbo uliopo katika Albam ya PILI ya Video, toka Kwaya Kongwe ya Mt.Anyesi iliyopo Parokinia VWAWA-MBOZI, Jimbo katoliki la Mbeya.
Albam hii nzuri ina nyimbo 12, zote zikiwa zimerekodiwa katika studo ya ST.JOSEPHPRODUCTIONS zilizopo Mbeya Mjini.
Na video imetengenezwa na TANGANYIKA PRODUCTIONS Chini ya uongozwaji wa:
Laurent Ludovick, Kelvin Marandu na Fortune Shimanyi. - เพลง
Barikiwa sana watumishi wa Mungu wimbo mzuli sana hakika unatufariji
Yesu niyamamare hose Tv
Ongera wakire ibyiringiro bishya muri wowe.
Itangiriro :28:15
Dore ndi kumwe nawe, nzakurindira aho uzajya hose, kandi nzakugarura muri iki gihugu, kuko ntazagusiga ntarakora ibyo nkubwiye.”
Mukundwa Mwene Data ongera wizere ibyo Imana Uwiteka umuremyi wabyose yavuganye nawe kuko no kubikora izabikora.
Dore umuntu wese wabikijwe isezerano n'Uwiteka ntabwo Uwiteka azabura kumusohoreza ibyo yamusezeranije.
Kereka uwayavuyemo ntampamvu.
Nuko rero tugumemo mumasezerano nimo Uwiteka azadusanga by'ukuri Amen.
Kora share sangiza abandi ubu butumwa bwiza butangwa buri munsi kumbuga nkoranya mbaga nyinshi zitandukanye zacu Ndetse nizabandi
Facebook, Twitter, Instagram, TH-cam channel Yesu niyamamare hose Tv
Naniho mwadanga Ubundi butumwa bunyuranye bwiza cyane bwatambutse mbere yubu
Sura channel usige ukoze SUBSCRIBE +🔔 kugirango unjyuhita ubona ubutumwa bwiza tukibushyiraho.
Niba wifuza ko tugufasha andika kuri whatsapp cyangwa uhamagare +260974550458
Murakoze
Shalom, shalom
Ev.isaie
bwana awabariki waimbaji nasi tupate baraka kwa wimbo huu mzuri, nikulipe nn bwana Wangu hata hii sauti inatosha kukuimbia
Mmbalikiwe Sana nyimbo Kama hizi huwa nafalijika Sana hata Kama ninamawazo huwa nafalijika sana
Nawakubali sana Mungu awainue zaidi
Am proud 2 be a catholic😍😍😍🎉🎉🎉
Munaimba fisuri sana
Nitumie
Kwakweli mnanikumbusha mbali
Mungu aendelee kuwabariki wanakwaya wetu wa anyesi kweli Mungu yupo pamoja na wane vwawa
My God bless this kwaya
Mwalim Choga katika ubora wakeeee
Asanteni wapendwa wa bwana Yesu Christ kwa kazi hii yakutangaza. Injili
MUNGU awatetee wanao mkimbilia kwaimani💒📯🎶🎼🇰🇪
I love to be a Kenyan just from their melody and Catholic songs. I enjoyed listening to their song's though don't understand Swahili. I sometimes believe all Kenyans shall see the king glory. From Cameroon.
Amen Emmanuel
@@wahomezaweriah7682 sah solo
Amina sana watu wamungu
Tunawakaribisha parokiaya Mtwango Jimbo la Njombe hongera sana
Filmé allema'
Mbarikiwe.sanamungu.awalinde
Wako sawa kwakuimnba
Wow lini mtakuja huku jmn muimbe huku wanapenda sana nyimbo za Afrika hasa swahili
Wapi huko uliko?
Ni wapi dada
N
Carolina Mushi hongera kwa kaz nzur
Sina cha kulipa mungu bali kumshukuru...good song be blessed
Mungu aendelea kuwapa neema
Hongera vijana wangu Namuon dalucy mtawa Hongera Sana kwa uimbaji mzurii
Devotha Mchami safisan kwer Burundi tunashukuru kway nzuri kabisa
Kazi nzuri hongereni watumishi
Sina Cha kukulipa mungu wangu pokea sifa na shukurani....
Aisee kwaya ya mt. Anyesi sio ya mchezo mchezo hat kidogo....hongereni sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri.....
Wimbo mzuri umenibariki
Good job, Jésus bless the group Gospel
Nawapenda sana, ! Nahasa sauti ya tatu maana ndo sauti yangu. Mungu awabariki
Amina. You are great O Lord everything written about you is great
mpendeza sana na voko unazoimba nzuri sana
I m so impressed very good choir
Na ipenda sana wimbo huu Mungu awabariki kwutuburudisha,
Jaman Hongeren Sana wana nyasi nawapendaaaaaaa, sanaaa
Vaileth Jamson
Kazi nzuri ya mungu
Nawapenda sana kwaya ya anyes mungu awabarik Kwa uinjilishaj
mage denis hongereni kwa utume
Asante YESU wangu
Mungu azidi kuwasimamia ktk kazi zenu njema,,,,mbarikiwe mt anyes kwaya
Amina
Kazi nzuri sana.Kenya twaikaribisha kwaya hii.
Hongereni kazi nzuri njooni hata Dsm mutuimbie
Yote ni kwa neema ya Mungu pekee
Hongera sana kwaya nyimbo nzur sana
Mungu awabarik kwa utume mzuri
Oh may good
safi sana mungu awazidishie nimependa,tunawasubiri watakatifu wote na bona
Mungu Tuondolee Tama za kuiba pesa za Wanainchi, walipa Kodi? Tama za Viongozi serikalini zimezidi kule Kenya inchini kwenye nilizaliwa, Kila siku yanayo aandikwa Magazetini, Y
Hongera saaana kwaya ya Mt.Anyes kwa uinjilishaji. Mungu awe nanyi. Nakuona Mr.Henry. so good aise
Hongera sana kwaya ya Mt inyasi.
Sina chakukulipa mungu wangu .Bali nakuimbia
1
Mbarikiwe Sana kwa sifa za Mungu
Sina cha kukulipa mungu wangu ,good song be blessed wanachoir
Safi sana yaani huu wimbo naupenda kweli👏
Wimbo ni mzuri nimeupenda
hongeren kwaya ya mtakatifu anyesi kwa uinjilishaji mzurt
God is good your ok
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Safi sana hapa kiukweli Mmeinjilisha kuazia mavazi Step zenu nahata uimbaji, MUNGU apewe Sifa
EDIMUND MMASSY nothing u can pay him
@@rongawest5225 Feliz
Tv ifa fayyinaa
Wacheni nimushukuru Huyu Mungu
well done
Nashukuru kwawema wangu
Pendo somanda nawashukuru sana huu wimbo nimeupenda nimefarijika sana Mungu wa zidishie nguvu
.p l
O
Congratulation gud job done 4 our God. Continue pls doing so
Mmeimba vizuri sana, wapahaya.
hongereni sana watu wa hapa Vwawa , songeni mbele kwaya
God is good 🎤🎺📯🎸🥁🎻🔔✔
😄
God is hiyer than the devil
Mungu awape nguvu as kumtukuza mbarikiwe sana
Waoooo kaz nzuri aiseee mbarikiwe sana
mbarikiwe sana kwa kazi nzuri
Amakwel wanajuwa ndugu zangu
Hongereni sana wana wa Mungu kazi nzuri
Hongereni sana kwa nyimbo nzuri,sio siri nimefarijika sana mmeniwakiriwa vizuri sana mbarikiwe wana wangu wa nguvu mt.Anyesi
Kamera shut umefer ila wimbo mzur
Wow had aman
Nakuona kaka fred choga mungu awabariki kwa kaz nzur
Mko viwango vya juu Sana daah wimbo mzuri Sana 😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘Mungu awabariki
Adela B.Mwambambe mkovzri natamani nijiunge nanyi
Shining ministers nyabisase
Boas nova
Hongereni sana kwa utume huo wa kuinjirisha neno la mungu.
Kwli MUNGU awazidishieani
Awazidishie imani
Barikiwa sana nawapenda sana
Mungu yu mwema sanaa
Mungu awa zidishie nguvu shetani asiweze kuwatenganisha amina wimbo mzuri sana
hongereni sana kwa uinjilishaji
Injili ya bwana ienende kwa amani ya mwenyez mungu
federick siame
grev aihiti a
I like this song
Hongereni Sana kwa kazi nzuriii
Tumtukuze Mwenyezi Mungu Daima.
Our God deserve all praise
Hakika mungu no mwema
Upendo wa mungu uwe kwetu zote
hongera kwa utume wenu kwaya ya mt.anyesi
Mungu awabariki zaidi na zaidi
Wowwwww
Mbarikiwe San my Anyesi
Resishansono Resisha hongelen
Good God song's is being leisen by God people,. Be blessed and add more songs
DUNIA inatufundisha kila siku.
Mungu tupe nguvu tukuimbie daima.
❤❤❤❤❤❤❤❤great work...napenda dance style
Safi sana
NAbarkiwa sana
Mungu akubarik na akutie nguv tuendelee kuifany kaz yak
Hongera kwaya ya mt. Anyesi
God grant all singers lot's of blessing
uinjilishaji uliotukuka
Hongereni kwa kazi nzuri ya uinjilishaji
Wimbo umenibariki. Waimbaji mbarikiwe
mbalikiwe kwa nyimbo nzuri ameen
Spreim
Amina bwana ni mwema
Hongereni sana kwa kazi nzuri ya kumsifu mungu
Mungu aendelee kuwabaliki
Mbarikiwe na bwana mungu anawapenda wote
Amen
Wimbo mzuri
Mungu awabariki
🙏🙏🙏
I pray that God will give more sweet voices to praise his name
Ibrahim Sayi
thanks mukasa and your choir I always enjoy listening to the songs
NASHUKURU MUNGU WANGU
Uganda
Uganda Music Industry
hongereeni Mt. Inyasi kazi nzuri
Tula comedy
samissone
PETRO SINKALA
salut