CHACHU YA FURAHA-THE LOVOS (official Gospel Video-HD)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Wimbo huu umetungwa na Ndg. Fortune Shimanyi, ukiwa na mmoja kati ya Nyimbo 8 zilizounda Album ya ndoa iitwayo PINGU ZA MAISHA.
Toleo hili la nyimbo maalum za ndoa, zimetungwa na watunzi mbalimbali zikiwa ni maalumu kwa harusi ya Ndg. Perfecto Mtuka iliyofanyika August 2017.
Nyimbo zote zimeimbwa na The Lord's Vooce Squad-MBEYA
Audio; Triple J
Video; tanganyika productons
Huu wimbo ni mzurii sana na unaujumbe bomba aya jmn ambao bado wanaungalia na kuupenda 2023 like zenu apa
Hakika nitakua chachu ya furaha ya mume wangu Mungu utakapo nijalia Amina 🙏🙏🙏🙏❤
Hello ulishapata mume au bado. Tafadhari nijulishe.
Hata mm pia dadaangu. Nitakuwa chachu ya furaha ya mume wangu mungu atakapo niajalia. Kwani mume mwema anatoka kwa mungu AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥰
enyewe ntakua chachu y furaha kw mume ambaye ntapewa ,,,wale wanatazama 2024 1st may npeeni likes
My favorite song proud to be Catholic member ❤❤❤❤❤
Proud to be a Catholic wimbo mtamu mbarikiwe sana
Wimbo wangu pendwa niliotumia kwenye harusi yangu
Weweeee nakubali mnaimb vzur sana hakika katoliki tumebarikiwa kwa kila kityu najivunia kuwa mkatoliki
Najivunia kuwa mkenya nikiwa saudi Arabia.Napenda saana ninachotasama hapa na wimbo pia.Barikiweni woooote!!
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Eee mungu baba naomba unipe mume mwema ili niwe chachu yake. Najivunia kuwa R.C wanakwaya mungu a wabariki
Naomba pia Mungu anipee mke mwema nikuwe chachu ya furaha kwake,.tuombeane
Wimbo huu unastahil zaid ya 10M viwers ❤🎉chukuen maua yenuu
Namshukuru mungu kwa kumpata mke bora hakika Wimbo huu utaleta chachu ya furaha katika familia yetu
Amen mungu nami nifanye chachu kwa mume wangu
Wimbo mzuri mno hakika wakati ukifika nitakua chachu Kwa mume wangu eeh Mungu nione
Siku ya ndoa yangu nitaukomesha huu wimbo!!Eeh Mungu nisaidie nifikie hii siku njema Ameen
T
Tupo wengi mungu tulinde ndoto zitimie
Acha niisikilize kila siku huenda Mungu na yeye atanifanya niwe chachu kwa mtu kupitia huu wimbo eeeee Mungu nasubiri wakati wako amen
Magazetl leo
Naomba mungu anisaidie nipate mume bora niwe chachu kwake , wimbo huu utanihusu hatariii , hongereni sana waimbaji
Utapata
Congratulations my brothers and sisters may God grant you more years so as to keep the fire of praise alive.
0752921601
Give time to your dream s
@@nicksonkinyaga9976 veve mwakinyaga inamba utawe yeki? 👀😂😂😂😂😂
Mlijitahidi sanaaa .Mungu Aendelee kuwabariki na Kuwalinda,
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Naupenda sana huu wimbo sijawai kuchoka kuusikia huu wimbo toka nilipo imbiwa kwenye ndoa yangu
Huu wimbo mungu akinipa mme mwema bas siku ya ndoa yangu naomba DJ apige mara tano
Mungu azidi kuwainua ili mwendelee kuinjilisha jamii yake hususan vijana wasiopenda kufunga ndoa kwa hoja kwamba kwanza wayajaribu magari yao ndo wafunge ndoa...!!!!
Upendo hufumu siku zote chachu ya furaha my favorite song indeed
Naangalia leo tarehe 15 October but still I love the dong mbarikiwe sana
Am proud to be a catholic church.well done
Also me I proudly ...... To be a Catholic.....
Mungu Awabariki na Mwanga Wa Roho Mt.uwashukie mzidi kuwa Hodari mzidi kuimalisha Neno la Mungu kupitia Uimbaji
Ongera mnanitia moyo kwa uinjilishanji wenu natamani ningejiunga nami nikate kino na mabenga nalitanji hizo kanda zenu hapa KENYA be blessed
Bwana nijalie upendowetu udumu daima sikuzote zamaisha yetu asante sana Kwamaneno yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwalinda na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Nimerudi tenah 2024🎉❤
Mungu atufanye tuwe chachu kwa wengine
Mungu azidi kuwatunza zaidi katika utume wenu wa uimbaji wimbo mzuri sana yaani napenda kuusikiliza kila wakati
Asante Mungu kwa kunijalia kuwa mkristo wimbo mzuriiiiiiii
Karibuni Kenya hata Siku moja mshiliki nasi.Mungu awabaliki
Ongereni,sana,inapendezapia,kalibuni,mshiriki,nasi,
Merci à Dieu.Merci à la Chorale pour sa contribution à l'évangélisation du monde. Que Dieu bénisse la Tanzanie.
Nakuona dadaangu kipenzi saada maganga unajitahid kucheza kihaya
Laima nitacheza juu wimbo kwa harusi uangu ijapokuwa prospective groom hajui Kiswahili. Ataketi tu aniangalie, acheke.
I just realized today that it's a wedding song. DUH!!! Moto sana
Mungu nisaidie nami cku ikifika nifurahie hiv rahaa balaa
My favorite song!!!😍😍😍 Can't wait to play it at my wedding! God bless you guys!
Me too
Asantee Mungu kwa kunifanya Mkristu Mromani nakupenda Mungu wangu na dini yangu🙏🙏🌹
Like it
Niwape hongera namungu awajalie kwakuimba vizuri Mimi huku najivunia kuwa mkatoliki safi
Nitawaalika katika jubilee YANGU Yandoa miaka25. Mbarikiwesana
@tanganyika productions tunaomba mtuwekee wimbo tangazo kwa ulimwengu.
Sijutii kurudia hii nyimbo inanipa furaha mda wote
Listening, listening, listening. I love the song.Thanks to the singers. You are rich of good voices.
Dah kwakweli Nyimbo zenu zimetulia nachukua album yote. Nikae nayo imenigusa moyo na imenipa hamasa ya kuoa jaman
Ahaaaa mpiga tarumbeta oyeeeeee..uko vizur mbaba
Mungu awaabariki ktk utume wenu hiyo ni hatua nzuri sanaa (quality Video)
Amina huu wimbo unanikumbusha mengi
RC raha sana ambao hawajui kama kuna raha karibu mujionee
Asante mungu kwa kunifanya kuwa mkristu wa romani katoriki
Una bahati sana kuwa Mkatoliki ndugu yangu,hongera
oh god what a nice song. we kenyan catholics would love to sing just like our tanzania catholic neibours(from nyanza kenya).
Yaan wimbo mzr mpk nasikia loho mwili wote wa fulahia ongereni
Aise wameimba vizuri Sana hongerani sana
Well done
Nina siku siendi kanisani sasa naanza kwenda wimbo huu umenibariki sana, mungu awatie nguvu.
Uwe unakwenda kanisani unakoswa baraka za Mungu na mambo mazur Kama haya yanakupita mpendwa
Huu wimbo umenigusha waimbaji na wote mlioshiriki Mungu awambariki.
Bwana awe nanyi daima amen
God
God bless u all, I wish I was born in tanzania
Wimbo mzuri sana hongereni na kazi ya kuinjirisha.
What song, very nice, God bless you abundantly
Hii albamu imenikosha sana nahamasika kumtafuta mwenzangu ili nufunge naye pingu za maisha ila muweke na kinonile basi
Aisee!!! Mtanifanya nipasuke maana ninawamisi kupita maelezo!! Kikubwa ninawapa kongole kwa uinjilishaji wenu, ninawaombea mdumu katika umoja na upendo ktk kumtumikia Mwenyezi Mungu!!
Renatus Matogollo James Amina
Maombi yangu kwenu
1. Inapatikana madukani, na je Morogoro tunaipataje??
2 Mko tayari kuja kuimba kwenye ndoa yangu?? Jamani ninabarikiwa sana nanyi lkn je Aneth (mama Glory) mbona simuoni??
Nimebarikiwa sana na huu wimbo,MUNGU amubariki mtunzi na waimbaji wote
Mungu nijalie na mm ndoa siku 1 huu wimbo umekuwa baraka kwangu
Mungu kweli ni chachu ya furaha yangu
Mungu azidi kuwabariki, nyimbo nzurii sanaaa nimeipenda mpaka basiiii kuanzia sauti, staili za kucheza ni kisasa zaid nikutakieni kila lakheri kwa ajili ya majitoleo yenu.
Thanks for your job.This song is one of my favourite. The presentation is CAPTIVATING.
Kwa wimbo huu, Mungu tangulia na kuongoza ndoa zote.
Bwana awepamoja nanyi daima amen
Wimbo mzuri sana natamani siku ya harusi yangu uchezwe
Wimbo mzr xana mlijtahd aiseeee
Mko vizuri asante kwa kunibariki na wimbo wenu
Nyimbo nzuri sana.
Ujumbe safi.
Mpangilio wa sauti, vyombo, uko kamili.
Hi wimbo ni tamu sana, sijui nifanyaje?
wimbo mtamu sana congratulation kwa mtunzi na waimbaji wote
Aloo nasikia mwili unazizimka mungu awabariki
Thanks sana sana this song really graced my wedding
Mpiga kinanda..nimekukubali kwa pedal ulipigaa..
Big up..!!
huu wimbo naupenda sana jaman,mbarikiwe sana
Asante mungu kwa kunipa uhai ,napenda Sana kwaya
Nice song.. Waouh I fall in love with not only choir, but also with Tanzania girls and the language. Can someone invite me there??? I'm from Cameroon... Lol
That's great...
Welcome if you wont mind contacting me...
@@claverymbede3681 waouh really!! So I'm going to plan my trip
Your so welcome madame
Mungu awabariki sana kwa wimbo wenu mzuri ni wimbo wenye ujumbe uliokamilika
hakika ata mimi nitakua chachu kazi nzuri Mungu awape nguvu tengeneza na hubili tena
Wimbo mtamuuuuuu 🥰🥰🥰😘😘😘💞💞💞💞💞aikua raisi
Nimejifuza sana huu wimbo nategemea kutumia huu tarehe 09/11/2019 MSIMBAZI PAROKIANI HADI UKUMBINI KARIBUNI SANA WOTE
wapi mpiga tarumbeta,, nakubali .....
My favorite song 2018 - 2019. Tutautumia pia kwenye harusi yangu nitakayofunga mwezi Oktoba. Dogo Shimanyi andaa na mwingine zaidi ya ule wa FUTA WASIWASI KABISA....
Naeza pataje huo wimbo
Hii squared Inanibariki sana ....MUNGU mwenye rehema na baraka awasimamie.... amina
Jamani God bless us
Sijajuta kuwa sehemu ya familia ya production yenu.... its amazing, dance nzuri sana mpangilio kila kitu safi.... Kongole!!!!!!!!!
Remigius Kawala asaaaaante sanaaaaaa kaka.
Karibu
Kwaya mt Anna old maswa
Kwaya mt katarina wa Siena mkuu rombo
Remigius Kawala naomba mnitumie nota hizi kwa b.njiru@yahoo.com
Ben Njiru natumai ombi lako limefika mahala sahihi... @Tanganyikaproduction
Mpiga tarumbeta penda sana wew be blessed guys
Amina Mungu awabariki sana mmeimba vixur sana na kucheza
Very smart composition guys,, keep it up
Mbarikiwe nabwana kwa ujumbe uliotiwa upako
Mungu awabariki san namic ndoa huu wimbo utanihusu
Kila nikiangalia na kusikiliza wimbo huu unanikumbusha siku ambayo nimefunga Ndoa na Mke wangu Anna Daima sitaweza kusahau
What a song!!!!!! Lovely. Mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri.
Mbarikiw xan watumish
Beautiful Gospel Love Song ❤️😍
Asanten kwa uijilishaji mnzur mungu awabarikiii
Hongereni sana ila kinanda kimechukua muda mrefu sana
RC Melody na nota zetu, wataipenda kazi Hizi Hazina fujo
Am Catholic in baptism forever ever
Victor Thomas amen
nimependa sidi yenu jamani hongerni xn,pia nomba mtume kopy niwauzie Mwanza.
mungu awabark kutumbusha ss wanandoa
Always you will be our role model, we appreciate what you are doing! May God bless you @Vice chairman of Choir from SAUT-mbeya
Hongereni sana katika utumishi wenu.
Jamani mnaimba vizuri mbarikiwe
Nimemuona rafiki yangu Mwl. George Sekuzi.
By Jonathan Ntale
Zanzibar.
HAYA BANA,NGOJA NIFUNGE NDOA MMENIWEZA HATIMAE;
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji wenu