CHACHU YA FURAHA-THE LOVOS (official Gospel Video-HD)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Wimbo huu umetungwa na Ndg. Fortune Shimanyi, ukiwa na mmoja kati ya Nyimbo 8 zilizounda Album ya ndoa iitwayo PINGU ZA MAISHA.
    Toleo hili la nyimbo maalum za ndoa, zimetungwa na watunzi mbalimbali zikiwa ni maalumu kwa harusi ya Ndg. Perfecto Mtuka iliyofanyika August 2017.
    Nyimbo zote zimeimbwa na The Lord's Vooce Squad-MBEYA
    Audio; Triple J
    Video; tanganyika productons

ความคิดเห็น • 429

  • @AnthonyNdinah9142
    @AnthonyNdinah9142 ปีที่แล้ว +30

    Huu wimbo ni mzurii sana na unaujumbe bomba aya jmn ambao bado wanaungalia na kuupenda 2023 like zenu apa

  • @LucyJailo
    @LucyJailo 9 หลายเดือนก่อน +10

    Hakika nitakua chachu ya furaha ya mume wangu Mungu utakapo nijalia Amina 🙏🙏🙏🙏❤

    • @Ishengoma1
      @Ishengoma1 3 หลายเดือนก่อน

      Hello ulishapata mume au bado. Tafadhari nijulishe.

    • @MariamKarembo
      @MariamKarembo 11 วันที่ผ่านมา

      Hata mm pia dadaangu. Nitakuwa chachu ya furaha ya mume wangu mungu atakapo niajalia. Kwani mume mwema anatoka kwa mungu AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🥰

  • @Nanjiii-jc8ic
    @Nanjiii-jc8ic 5 หลายเดือนก่อน +4

    enyewe ntakua chachu y furaha kw mume ambaye ntapewa ,,,wale wanatazama 2024 1st may npeeni likes

  • @amanilumumba2826
    @amanilumumba2826 ปีที่แล้ว +8

    My favorite song proud to be Catholic member ❤❤❤❤❤

  • @angelasimiyu
    @angelasimiyu ปีที่แล้ว +3

    Proud to be a Catholic wimbo mtamu mbarikiwe sana

  • @magrethlucas5505
    @magrethlucas5505 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wimbo wangu pendwa niliotumia kwenye harusi yangu

  • @scolasulley6103
    @scolasulley6103 4 ปีที่แล้ว +6

    Weweeee nakubali mnaimb vzur sana hakika katoliki tumebarikiwa kwa kila kityu najivunia kuwa mkatoliki

  • @paulineitenyo1170
    @paulineitenyo1170 5 ปีที่แล้ว +3

    Najivunia kuwa mkenya nikiwa saudi Arabia.Napenda saana ninachotasama hapa na wimbo pia.Barikiweni woooote!!

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 3 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 4 ปีที่แล้ว +2

    Eee mungu baba naomba unipe mume mwema ili niwe chachu yake. Najivunia kuwa R.C wanakwaya mungu a wabariki

    • @silvastudiopro
      @silvastudiopro 4 ปีที่แล้ว

      Naomba pia Mungu anipee mke mwema nikuwe chachu ya furaha kwake,.tuombeane

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo huu unastahil zaid ya 10M viwers ❤🎉chukuen maua yenuu

  • @sundaymsusa
    @sundaymsusa 2 วันที่ผ่านมา

    Namshukuru mungu kwa kumpata mke bora hakika Wimbo huu utaleta chachu ya furaha katika familia yetu

  • @sarakambi7948
    @sarakambi7948 4 ปีที่แล้ว +5

    Amen mungu nami nifanye chachu kwa mume wangu

  • @happykinyelo3645
    @happykinyelo3645 5 วันที่ผ่านมา

    Wimbo mzuri mno hakika wakati ukifika nitakua chachu Kwa mume wangu eeh Mungu nione

  • @felisterloya4018
    @felisterloya4018 4 ปีที่แล้ว +9

    Siku ya ndoa yangu nitaukomesha huu wimbo!!Eeh Mungu nisaidie nifikie hii siku njema Ameen

  • @rosesimon4630
    @rosesimon4630 3 ปีที่แล้ว +7

    Acha niisikilize kila siku huenda Mungu na yeye atanifanya niwe chachu kwa mtu kupitia huu wimbo eeeee Mungu nasubiri wakati wako amen

  • @berthamasanja6390
    @berthamasanja6390 5 ปีที่แล้ว +26

    Naomba mungu anisaidie nipate mume bora niwe chachu kwake , wimbo huu utanihusu hatariii , hongereni sana waimbaji

    • @evaristisilayo2868
      @evaristisilayo2868 5 ปีที่แล้ว +1

      Utapata

    • @thomasmjola4736
      @thomasmjola4736 5 ปีที่แล้ว

      Congratulations my brothers and sisters may God grant you more years so as to keep the fire of praise alive.

    • @nicksonkinyaga9976
      @nicksonkinyaga9976 5 ปีที่แล้ว

      0752921601

    • @peterkilanga6075
      @peterkilanga6075 4 ปีที่แล้ว

      Give time to your dream s

    • @suzyjowzey8150
      @suzyjowzey8150 4 ปีที่แล้ว +1

      @@nicksonkinyaga9976 veve mwakinyaga inamba utawe yeki? 👀😂😂😂😂😂

  • @fabianshigela9315
    @fabianshigela9315 ปีที่แล้ว +1

    Mlijitahidi sanaaa .Mungu Aendelee kuwabariki na Kuwalinda,

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 3 ปีที่แล้ว +3

    Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu

  • @ALPHONCEKIHWILI-ku8cg
    @ALPHONCEKIHWILI-ku8cg 3 หลายเดือนก่อน

    Naupenda sana huu wimbo sijawai kuchoka kuusikia huu wimbo toka nilipo imbiwa kwenye ndoa yangu

  • @PHILIPOMSIGWA-l6d
    @PHILIPOMSIGWA-l6d หลายเดือนก่อน

    Huu wimbo mungu akinipa mme mwema bas siku ya ndoa yangu naomba DJ apige mara tano

  • @bonifacemaginga6559
    @bonifacemaginga6559 5 ปีที่แล้ว +1

    Mungu azidi kuwainua ili mwendelee kuinjilisha jamii yake hususan vijana wasiopenda kufunga ndoa kwa hoja kwamba kwanza wayajaribu magari yao ndo wafunge ndoa...!!!!

  • @CORNELIUSRUTOH
    @CORNELIUSRUTOH 8 หลายเดือนก่อน +2

    Upendo hufumu siku zote chachu ya furaha my favorite song indeed

  • @florahkazimoto7246
    @florahkazimoto7246 4 ปีที่แล้ว +1

    Naangalia leo tarehe 15 October but still I love the dong mbarikiwe sana

  • @paulmbosa7540
    @paulmbosa7540 4 ปีที่แล้ว +7

    Am proud to be a catholic church.well done

    • @marcykivuyo9666
      @marcykivuyo9666 4 ปีที่แล้ว

      Also me I proudly ...... To be a Catholic.....

  • @godfreyntibakula5697
    @godfreyntibakula5697 3 ปีที่แล้ว

    Mungu Awabariki na Mwanga Wa Roho Mt.uwashukie mzidi kuwa Hodari mzidi kuimalisha Neno la Mungu kupitia Uimbaji

  • @bensonkavisi4089
    @bensonkavisi4089 6 ปีที่แล้ว +2

    Ongera mnanitia moyo kwa uinjilishanji wenu natamani ningejiunga nami nikate kino na mabenga nalitanji hizo kanda zenu hapa KENYA be blessed

  • @patrickmukambilwa584
    @patrickmukambilwa584 5 ปีที่แล้ว

    Bwana nijalie upendowetu udumu daima sikuzote zamaisha yetu asante sana Kwamaneno yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwalinda na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina

  • @dojaartstza3815
    @dojaartstza3815 หลายเดือนก่อน

    Nimerudi tenah 2024🎉❤

  • @RahelMwakimbo
    @RahelMwakimbo 25 วันที่ผ่านมา

    Mungu atufanye tuwe chachu kwa wengine

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 2 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kuwatunza zaidi katika utume wenu wa uimbaji wimbo mzuri sana yaani napenda kuusikiliza kila wakati

  • @felistamatembo2526
    @felistamatembo2526 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mungu kwa kunijalia kuwa mkristo wimbo mzuriiiiiiii

  • @gilbertmwancha2777
    @gilbertmwancha2777 3 ปีที่แล้ว +1

    Karibuni Kenya hata Siku moja mshiliki nasi.Mungu awabaliki

    • @peterkilian9010
      @peterkilian9010 2 ปีที่แล้ว

      Ongereni,sana,inapendezapia,kalibuni,mshiriki,nasi,

  • @josephkabi8273
    @josephkabi8273 4 ปีที่แล้ว +4

    Merci à Dieu.Merci à la Chorale pour sa contribution à l'évangélisation du monde. Que Dieu bénisse la Tanzanie.

  • @lucyalbert6161
    @lucyalbert6161 6 ปีที่แล้ว +2

    Nakuona dadaangu kipenzi saada maganga unajitahid kucheza kihaya

  • @warriorprincessharmony
    @warriorprincessharmony 3 ปีที่แล้ว

    Laima nitacheza juu wimbo kwa harusi uangu ijapokuwa prospective groom hajui Kiswahili. Ataketi tu aniangalie, acheke.

  • @JaKompyuta
    @JaKompyuta 2 ปีที่แล้ว

    I just realized today that it's a wedding song. DUH!!! Moto sana

  • @alolafweda6107
    @alolafweda6107 4 ปีที่แล้ว

    Mungu nisaidie nami cku ikifika nifurahie hiv rahaa balaa

  • @monicankachia914
    @monicankachia914 5 ปีที่แล้ว +13

    My favorite song!!!😍😍😍 Can't wait to play it at my wedding! God bless you guys!

  • @peterkilanga6075
    @peterkilanga6075 4 ปีที่แล้ว +1

    Asantee Mungu kwa kunifanya Mkristu Mromani nakupenda Mungu wangu na dini yangu🙏🙏🌹

  • @odranslayo3298
    @odranslayo3298 4 ปีที่แล้ว +1

    Niwape hongera namungu awajalie kwakuimba vizuri Mimi huku najivunia kuwa mkatoliki safi

  • @machagodfrey7518
    @machagodfrey7518 3 ปีที่แล้ว

    Nitawaalika katika jubilee YANGU Yandoa miaka25. Mbarikiwesana

  • @ezrashauri414
    @ezrashauri414 11 หลายเดือนก่อน

    @tanganyika productions tunaomba mtuwekee wimbo tangazo kwa ulimwengu.

  • @inoismmdamba8549
    @inoismmdamba8549 4 ปีที่แล้ว +1

    Sijutii kurudia hii nyimbo inanipa furaha mda wote

  • @dominicmayaka7240
    @dominicmayaka7240 3 ปีที่แล้ว +3

    Listening, listening, listening. I love the song.Thanks to the singers. You are rich of good voices.

  • @justusaganyilatvonline1417
    @justusaganyilatvonline1417 4 ปีที่แล้ว

    Dah kwakweli Nyimbo zenu zimetulia nachukua album yote. Nikae nayo imenigusa moyo na imenipa hamasa ya kuoa jaman

  • @vilmahaule949
    @vilmahaule949 3 ปีที่แล้ว

    Ahaaaa mpiga tarumbeta oyeeeeee..uko vizur mbaba

  • @timotheohoza785
    @timotheohoza785 6 ปีที่แล้ว +6

    Mungu awaabariki ktk utume wenu hiyo ni hatua nzuri sanaa (quality Video)

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 2 หลายเดือนก่อน

    Amina huu wimbo unanikumbusha mengi

  • @johnkelvinmwajombe-nv4wc
    @johnkelvinmwajombe-nv4wc 4 หลายเดือนก่อน

    RC raha sana ambao hawajui kama kuna raha karibu mujionee

  • @zachariaissa.morogorotz2974
    @zachariaissa.morogorotz2974 6 ปีที่แล้ว +40

    Asante mungu kwa kunifanya kuwa mkristu wa romani katoriki

    • @NDIJARAYE
      @NDIJARAYE 5 ปีที่แล้ว

      Una bahati sana kuwa Mkatoliki ndugu yangu,hongera

    • @vincentobare8545
      @vincentobare8545 5 ปีที่แล้ว +1

      oh god what a nice song. we kenyan catholics would love to sing just like our tanzania catholic neibours(from nyanza kenya).

    • @modestaabeli3389
      @modestaabeli3389 5 ปีที่แล้ว

      Yaan wimbo mzr mpk nasikia loho mwili wote wa fulahia ongereni

    • @leahkisendi1965
      @leahkisendi1965 5 ปีที่แล้ว

      Aise wameimba vizuri Sana hongerani sana

    • @sweryderas3909
      @sweryderas3909 4 ปีที่แล้ว

      Well done

  • @johnpesambili4806
    @johnpesambili4806 6 ปีที่แล้ว +2

    Nina siku siendi kanisani sasa naanza kwenda wimbo huu umenibariki sana, mungu awatie nguvu.

    • @sopy3055
      @sopy3055 2 ปีที่แล้ว

      Uwe unakwenda kanisani unakoswa baraka za Mungu na mambo mazur Kama haya yanakupita mpendwa

  • @jastinnyatano4049
    @jastinnyatano4049 6 ปีที่แล้ว +17

    Huu wimbo umenigusha waimbaji na wote mlioshiriki Mungu awambariki.

  • @henrymutuva6939
    @henrymutuva6939 3 ปีที่แล้ว +1

    God bless u all, I wish I was born in tanzania

  • @OnesmoMwalwebe
    @OnesmoMwalwebe ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri sana hongereni na kazi ya kuinjirisha.

  • @modtechcybercafe6510
    @modtechcybercafe6510 6 ปีที่แล้ว +8

    What song, very nice, God bless you abundantly

  • @wangestephen9467
    @wangestephen9467 5 ปีที่แล้ว

    Hii albamu imenikosha sana nahamasika kumtafuta mwenzangu ili nufunge naye pingu za maisha ila muweke na kinonile basi

  • @renatusmatogollojames4958
    @renatusmatogollojames4958 6 ปีที่แล้ว +2

    Aisee!!! Mtanifanya nipasuke maana ninawamisi kupita maelezo!! Kikubwa ninawapa kongole kwa uinjilishaji wenu, ninawaombea mdumu katika umoja na upendo ktk kumtumikia Mwenyezi Mungu!!

    • @TanganyikaProductions
      @TanganyikaProductions  6 ปีที่แล้ว

      Renatus Matogollo James Amina

    • @renatusmatogollojames4958
      @renatusmatogollojames4958 6 ปีที่แล้ว

      Maombi yangu kwenu
      1. Inapatikana madukani, na je Morogoro tunaipataje??
      2 Mko tayari kuja kuimba kwenye ndoa yangu?? Jamani ninabarikiwa sana nanyi lkn je Aneth (mama Glory) mbona simuoni??

  • @mosesngwegwe7233
    @mosesngwegwe7233 5 ปีที่แล้ว +5

    Nimebarikiwa sana na huu wimbo,MUNGU amubariki mtunzi na waimbaji wote

  • @beatricealbert1781
    @beatricealbert1781 4 ปีที่แล้ว

    Mungu nijalie na mm ndoa siku 1 huu wimbo umekuwa baraka kwangu

  • @CeciliaOkello
    @CeciliaOkello 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu kweli ni chachu ya furaha yangu

  • @gerodimkulu8062
    @gerodimkulu8062 6 ปีที่แล้ว

    Mungu azidi kuwabariki, nyimbo nzurii sanaaa nimeipenda mpaka basiiii kuanzia sauti, staili za kucheza ni kisasa zaid nikutakieni kila lakheri kwa ajili ya majitoleo yenu.

  • @josephmuriithi6067
    @josephmuriithi6067 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks for your job.This song is one of my favourite. The presentation is CAPTIVATING.

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwa wimbo huu, Mungu tangulia na kuongoza ndoa zote.

  • @shaboigokelo9961
    @shaboigokelo9961 4 ปีที่แล้ว +1

    Bwana awepamoja nanyi daima amen

  • @damiangabriel8721
    @damiangabriel8721 5 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo mzuri sana natamani siku ya harusi yangu uchezwe

  • @evambukwa1765
    @evambukwa1765 2 ปีที่แล้ว

    Mko vizuri asante kwa kunibariki na wimbo wenu

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 4 ปีที่แล้ว +6

    Nyimbo nzuri sana.
    Ujumbe safi.
    Mpangilio wa sauti, vyombo, uko kamili.

    • @muliikadavid4778
      @muliikadavid4778 3 ปีที่แล้ว

      Hi wimbo ni tamu sana, sijui nifanyaje?

  • @thomasmaliga1892
    @thomasmaliga1892 4 ปีที่แล้ว +1

    wimbo mtamu sana congratulation kwa mtunzi na waimbaji wote

  • @rosejoachim
    @rosejoachim หลายเดือนก่อน

    Aloo nasikia mwili unazizimka mungu awabariki

  • @dianalimo532
    @dianalimo532 2 ปีที่แล้ว

    Thanks sana sana this song really graced my wedding

  • @PoliethShayo
    @PoliethShayo 5 ปีที่แล้ว +1

    Mpiga kinanda..nimekukubali kwa pedal ulipigaa..
    Big up..!!

  • @paulseni1829
    @paulseni1829 4 ปีที่แล้ว +1

    huu wimbo naupenda sana jaman,mbarikiwe sana

  • @faridakayombo6579
    @faridakayombo6579 4 ปีที่แล้ว

    Asante mungu kwa kunipa uhai ,napenda Sana kwaya

  • @mervinkenfack1451
    @mervinkenfack1451 5 ปีที่แล้ว +4

    Nice song.. Waouh I fall in love with not only choir, but also with Tanzania girls and the language. Can someone invite me there??? I'm from Cameroon... Lol

    • @claverymbede3681
      @claverymbede3681 5 ปีที่แล้ว

      That's great...
      Welcome if you wont mind contacting me...

    • @mervinkenfack1451
      @mervinkenfack1451 5 ปีที่แล้ว

      @@claverymbede3681 waouh really!! So I'm going to plan my trip

    • @amanilumumba2826
      @amanilumumba2826 ปีที่แล้ว

      Your so welcome madame

  • @anthonywillbrord5188
    @anthonywillbrord5188 6 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana kwa wimbo wenu mzuri ni wimbo wenye ujumbe uliokamilika

  • @rweyongezasadoth6591
    @rweyongezasadoth6591 6 ปีที่แล้ว

    hakika ata mimi nitakua chachu kazi nzuri Mungu awape nguvu tengeneza na hubili tena

  • @غعع-د2ب
    @غعع-د2ب ปีที่แล้ว

    Wimbo mtamuuuuuu 🥰🥰🥰😘😘😘💞💞💞💞💞aikua raisi

  • @josephmwita607
    @josephmwita607 5 ปีที่แล้ว

    Nimejifuza sana huu wimbo nategemea kutumia huu tarehe 09/11/2019 MSIMBAZI PAROKIANI HADI UKUMBINI KARIBUNI SANA WOTE

  • @fredysichinga5465
    @fredysichinga5465 5 ปีที่แล้ว +10

    wapi mpiga tarumbeta,, nakubali .....

  • @francislumeya7020
    @francislumeya7020 5 ปีที่แล้ว

    My favorite song 2018 - 2019. Tutautumia pia kwenye harusi yangu nitakayofunga mwezi Oktoba. Dogo Shimanyi andaa na mwingine zaidi ya ule wa FUTA WASIWASI KABISA....

    • @morriohm213
      @morriohm213 5 ปีที่แล้ว

      Naeza pataje huo wimbo

  • @nicolausnyengo3991
    @nicolausnyengo3991 6 ปีที่แล้ว

    Hii squared Inanibariki sana ....MUNGU mwenye rehema na baraka awasimamie.... amina

  • @remigiuskawala193
    @remigiuskawala193 6 ปีที่แล้ว +11

    Sijajuta kuwa sehemu ya familia ya production yenu.... its amazing, dance nzuri sana mpangilio kila kitu safi.... Kongole!!!!!!!!!

    • @TanganyikaProductions
      @TanganyikaProductions  6 ปีที่แล้ว +1

      Remigius Kawala asaaaaante sanaaaaaa kaka.
      Karibu

    • @kenedyrocky4641
      @kenedyrocky4641 6 ปีที่แล้ว +1

      Kwaya mt Anna old maswa

    • @kenedyrocky4641
      @kenedyrocky4641 6 ปีที่แล้ว +1

      Kwaya mt katarina wa Siena mkuu rombo

    • @bennjiru1121
      @bennjiru1121 6 ปีที่แล้ว

      Remigius Kawala naomba mnitumie nota hizi kwa b.njiru@yahoo.com

    • @remigiuskawala193
      @remigiuskawala193 6 ปีที่แล้ว

      Ben Njiru natumai ombi lako limefika mahala sahihi... @Tanganyikaproduction

  • @seciliachiduo7970
    @seciliachiduo7970 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpiga tarumbeta penda sana wew be blessed guys

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 5 ปีที่แล้ว

    Amina Mungu awabariki sana mmeimba vixur sana na kucheza

  • @bonifacekikombo1182
    @bonifacekikombo1182 2 ปีที่แล้ว +1

    Very smart composition guys,, keep it up

  • @justineyesse9010
    @justineyesse9010 4 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe nabwana kwa ujumbe uliotiwa upako

  • @gudluckmmarry2559
    @gudluckmmarry2559 4 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki san namic ndoa huu wimbo utanihusu

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 3 ปีที่แล้ว

    Kila nikiangalia na kusikiliza wimbo huu unanikumbusha siku ambayo nimefunga Ndoa na Mke wangu Anna Daima sitaweza kusahau

  • @CounselMayabi
    @CounselMayabi 5 ปีที่แล้ว +2

    What a song!!!!!! Lovely. Mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri.

  • @nathannbanda3345
    @nathannbanda3345 ปีที่แล้ว

    Beautiful Gospel Love Song ❤️😍

  • @emmakaristy9279
    @emmakaristy9279 6 ปีที่แล้ว +1

    Asanten kwa uijilishaji mnzur mungu awabarikiii

  • @robertseni8980
    @robertseni8980 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana ila kinanda kimechukua muda mrefu sana

  • @michaelkauzen8004
    @michaelkauzen8004 6 ปีที่แล้ว

    RC Melody na nota zetu, wataipenda kazi Hizi Hazina fujo

  • @victorthomas818
    @victorthomas818 4 ปีที่แล้ว +2

    Am Catholic in baptism forever ever

  • @emmaghati5463
    @emmaghati5463 6 ปีที่แล้ว +1

    nimependa sidi yenu jamani hongerni xn,pia nomba mtume kopy niwauzie Mwanza.

    • @sadocknasibu1226
      @sadocknasibu1226 6 ปีที่แล้ว

      mungu awabark kutumbusha ss wanandoa

  • @zakayoingwagwi8298
    @zakayoingwagwi8298 6 ปีที่แล้ว +4

    Always you will be our role model, we appreciate what you are doing! May God bless you @Vice chairman of Choir from SAUT-mbeya

  • @khatibhaji4139
    @khatibhaji4139 5 ปีที่แล้ว +7

    Nimemuona rafiki yangu Mwl. George Sekuzi.
    By Jonathan Ntale
    Zanzibar.

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 5 ปีที่แล้ว +2

    HAYA BANA,NGOJA NIFUNGE NDOA MMENIWEZA HATIMAE;

  • @fransiscafabian
    @fransiscafabian 5 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji wenu