RAIS SAMIA ATAKA SIMBA AITWE TUNDU LISSU - WATU WOTE WACHEKA -"MMEMPA JINA GANI? AITWE TUNDU LISSU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 186

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 หลายเดือนก่อน +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน +26

    Tundu Antpas Lissu ni shujaa kama Simba💪💪💪👏👏👏❤️

  • @EdgarLema-g6f
    @EdgarLema-g6f 2 หลายเดือนก่อน +20

    Tundu lisu is very strong man..... 🦁 Kwel

  • @Juma-e8l
    @Juma-e8l 2 หลายเดือนก่อน +15

    Mwamba Tundu Antipas Lissua shujaa kama Simba

  • @DavidKagulu
    @DavidKagulu 2 หลายเดือนก่อน +29

    Mama anamkubali lissu, Ila basi tu

    • @mandelasamson8401
      @mandelasamson8401 2 หลายเดือนก่อน +2

      Anajua Lissu ndiye aliyeshinda uchaguzi

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@mandelasamson8401😂😂😂 unaota ukiwa wapi?!

    • @mandelasamson8401
      @mandelasamson8401 2 หลายเดือนก่อน

      @@rayisadesigns2646 Nipo Selian

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 2 หลายเดือนก่อน +3

    Asante Sana mama unazidi kunipa furaha kilanikuonapo na wananchi wako mama kwili kazi iendelee

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 หลายเดือนก่อน +12

    Maneno mengine huja kama utani,lkn jina la kilicho bora hupatikana kutoka , Kilcho bora zaidi.
    Lissu ni hazina kubwa katka Haki na Uhuru, na Mungu wetu,siku zote amemkinga na balaa.
    Na kama ,simba anavyowakinga wana wake .
    Ndivyo Lissu amewapigania watanzania siku zote juu ya Haki na uhuru, bila kujali kifo.
    Hakika Lissu ni jina sahihi.

  • @samsonwilson3762
    @samsonwilson3762 2 หลายเดือนก่อน +20

    Moto wa tundu lisu mama kaukubali

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 2 หลายเดือนก่อน +15

    Leo naendelea kupata furaha, Rais umenifurahisha saaana, hongera sana.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 หลายเดือนก่อน +1

      sasa ww ana kufulaisha uku mitaani watu Wana kufa Kila Leo sasa ww ana kufulaisha nn

    • @fifo262
      @fifo262 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@RomanMwinyi sasa awo wanaokufa kwani anawauwa yy? Na awo walokufa apo kabla ya yy si ungewazuia wewe wasife maana yy hana uwezo wakuzuia mtu asife

    • @fifo262
      @fifo262 2 หลายเดือนก่อน +1

      Broo endelea kufurahi hakuna dunia ya pili

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 2 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana anti pasi

  • @binmussahaji4932
    @binmussahaji4932 2 หลายเดือนก่อน +18

    Nimecheka sana na huu utani w muiteni tundu lissu😂

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 2 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera mama, una roho nzuri kwa kweli, na upendo ila Kuna watu wanakuharibia kwa makusudi, Allah yu pamoja nawewe.

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ukweli maisha yaendelee mama anajua kufurahi na watu utani tu huo ni moja ya upendo Rais yupo pamoja nao wapunguze hasira.bigup Madame Rais.

    • @lusakaone7782
      @lusakaone7782 2 หลายเดือนก่อน

      @@gracemwakibolwa7910 Kweli kabisa ukiona mtu anakuita ama anakufananisha na simba jua anakupenda na Hana kinyongo na wewe, maana Jina la Simba sio jambo dogo

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa roomzulii bila kufuatilia watekaji au watu Wana toza pesa shuleni wakati Eli bulee Sasa apo kitu Gani Cha kupongezaa wakati Kuna mambo muimu Yana tesa Wana nchioi Aya tatuliwi Sasa pongezii ILO la nn

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 2 หลายเดือนก่อน

      Hao ndio watanzania.. Wanaogopa kutumia akili wanadhani zitaisha ati wanategea wengine wafikirie.​@@RomanMwinyi

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 2 หลายเดือนก่อน

      Ukwer wa roho haupingik iko waz mama anaona mazur y lisu

  • @JustinMwakalukila
    @JustinMwakalukila 2 หลายเดือนก่อน

    Hilo Jina Lina maana kubwa Sana kupewa hyo SIMBA,"indomitable lion"(LISU)

  • @PatrickMipawa
    @PatrickMipawa 2 หลายเดือนก่อน +17

    Watanzania tujivunie viongozi wetu, Mh.Samia ni kiongoz mzuri sana kiukwel binafsi navutiwa na kuridhishwa na kazi kubwa anazozifanya, tumpe moyo aendelee hivi na tafadhali tusimkatishe tamaa, na kiongoz wa kike shupavu sana kwa kweli.

  • @salehesimba1233
    @salehesimba1233 2 หลายเดือนก่อน +9

    Wallah mama yangu Samia amenivunja mbavu alivyosema huyo Simba aitwe tundu lissu😂😂😂😂😂

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mama kakusudia, huyo simba keshashiba vizuri lkn mbele za watu anajifanya kuhangaika , ndio alivo Lissu, keshashiba vizuri lkn anadanganya watu tu

  • @am2323Diaspora
    @am2323Diaspora 2 หลายเดือนก่อน +3

    Rais😂hana roho mbaya. Si mchoyo. Tundu lisu akili yake kila wakati anatafuta fursa hachoki. Ni strong.

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa hii kumbe mama anamkubali lisu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 หลายเดือนก่อน +6

    Big up mama kaz iendelee

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 2 หลายเดือนก่อน +10

    mama hajakosea maana yake kweli tundu lisu nikama simba haogopi chote palipo na ukweli lisu anasema

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 หลายเดือนก่อน

      HAOGOPI CHOCHOTE ILA KWA MUDA HUO YUPO KITUNDUNI HAPO 😂😂😂😂😂

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 หลายเดือนก่อน

      Tundu Lissu ni shujaa kama Simba haogopi ​@@R10_Rajab

    • @umsalim6515
      @umsalim6515 2 หลายเดือนก่อน

      Na keshashiba lkn mbele za watu anawadanganya kwa kuhangaika hana ukweli

  • @Dr.Mo1510
    @Dr.Mo1510 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rais Samia ni rais extra extra smart. Sema wasaidizi wake wanamuangusha sana. Wasaidizi wake wangeenda na kasi na maono yake nchi ingeendelea sana.

  • @V24hrs
    @V24hrs 2 หลายเดือนก่อน +1

    mama anampenda sana tundu

  • @eliahmwakasendeka8100
    @eliahmwakasendeka8100 2 หลายเดือนก่อน +7

    Tundu lisu

  • @MALELEMBARIMO
    @MALELEMBARIMO 2 หลายเดือนก่อน

    MANGE IS TYPING.......

  • @mulasaid2959
    @mulasaid2959 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera mama wa taifa

  • @jamesmaths2296
    @jamesmaths2296 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 2 หลายเดือนก่อน

    Lissu Yuko very strong aisee na sio mwigizaji

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 หลายเดือนก่อน

    Huy dada aotangaza tangazo la voda mkwanja mashallah mashallah

  • @JohariMwanda
    @JohariMwanda 2 หลายเดือนก่อน

    Euwiii😂😂😂mama kajua kanichekesha.eti mwiteni tundu lisu

  • @SelinaChares
    @SelinaChares 2 หลายเดือนก่อน

    😀😀😀😀😀nimejua kucheka

  • @EmmanuelSwedi-n2r
    @EmmanuelSwedi-n2r 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kweli mama unawajua ndg zako vyema kabisa

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 หลายเดือนก่อน +1

    YAONEKANA LISU ANAWANYIMA USINGIZI LISU 2025 Fahari ya WATANZANIA

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tundu lisu ndio kiboko Yao hata rais amekubali 2025 Lisu Simba waoooooo,Samia arudi kizimkazi.

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi😂Sana kama lisso.hatulii nakweli 😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wengi Utafasili Lakini Ukweli Raisi Amemuona Simba Anavoangaika Kwenye Banda Lake Utazani Anataka Kutafuna Mtu Ndio Mana Kamfananisha Na Tundu Lisu Jinsi Anavoangaika Kupata Uongozi Ajui Kwamba Kuongoza Ni Mpango Wa Mungu

    • @taylorkasitu3819
      @taylorkasitu3819 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mwenyezi Mungu anapiga kura,au anaiba kura kama ccm msimshirikishe Mwenyezi na uwovu

    • @charlesSomeke
      @charlesSomeke 2 หลายเดือนก่อน +2

      Tafasiri yako tu rais hajawaza kama wewe ulivyo waza

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mmh..! hayo ni maoni yako wewe.

    • @victoriabernard5287
      @victoriabernard5287 2 หลายเดือนก่อน

      We nawe mawazo yako finyu kabisa. Watu kama wewe tunawaita wachonganishi. SHINDWA!!!!!

  • @haroublato6319
    @haroublato6319 2 หลายเดือนก่อน

    Hii ndio TANZANIA siasa utani furaha na Amani

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 2 หลายเดือนก่อน +2

    YAANI RAIS TUNAE WAUKWELI ANAJALI WATU WOTE MITANO TEEEEEENA

  • @laurentmkolea522
    @laurentmkolea522 2 หลายเดือนก่อน +1

    Upuuzi Mtupu ....

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน

    Ndioooo

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 hakia ya munga wazanzibar kwa zihaka eti mwiteni tundu lisu nnaimani hadi tundu kacheka kwa hili😂😂😂 subir tundu apande kwenye kirir tusikilize episode ya pili😂😂😂😂

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic1514 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera Dr mwakyusa

  • @HussainMaula-wr5co
    @HussainMaula-wr5co 2 หลายเดือนก่อน

    Kamwita tundu lisu sio kwa sababu ni shujaa ila kwasabu hatulii anahangaika hangaika tuliosoma Cuba tushaelewa.

  • @MwakasegeShukuru
    @MwakasegeShukuru 2 หลายเดือนก่อน

    Mama kama mama,upo vzr sn ktk uongozi wako,wachache tu wanakuangusha tu

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 2 หลายเดือนก่อน

    Kama Kuna fiisi aitwe cc..

  • @DaudNtare
    @DaudNtare 2 หลายเดือนก่อน +4

    I love that president, she is the best ever

  • @SelemanAlly-lz4sb
    @SelemanAlly-lz4sb 2 หลายเดือนก่อน

    Mama lisu atajidai sana

  • @tanzanianpatriotic3532
    @tanzanianpatriotic3532 2 หลายเดือนก่อน

    Simba wa maonyesho,.... Hana madhara. Najiwazia zangutu

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli mama Samia anafahamu kuwa Tundu lisu ni mkali kama Simba

  • @takrimumakame2271
    @takrimumakame2271 2 หลายเดือนก่อน

    Mama yupo sahihi maan tundulisu anahangaika kama huyu Simba

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 หลายเดือนก่อน

    Lisu anaangaika baada ya kuona watu😂😂😂

  • @ManswetKimario
    @ManswetKimario 2 หลายเดือนก่อน

    "Du kumbe Mh. Lisu ni SIMBA aliyeko kizuizini" Nimekuelewa Mama.

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 หลายเดือนก่อน

    Tundu Lisu, the lion

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 2 หลายเดือนก่อน

    1:23 1:26 1:29

  • @iddyiddy7358
    @iddyiddy7358 2 หลายเดือนก่อน

    Tundu Lissu simba wa Tanzania!! Mama anajua

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ila nimexheka! Eti aitwe Tundu Lissu!

  • @christinainnocent3184
    @christinainnocent3184 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu anamuogopa Tundu Lissu na alivyowatuma askari wafanyie Chadema kule Mbeya

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 2 หลายเดือนก่อน

    Daah anavyo haaaa natamani wamfungulie ata dk 10 tu..

  • @buberwajohn1312
    @buberwajohn1312 2 หลายเดือนก่อน

    Imara kama simba Tundu Lisu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie machawa mmensikia rais wetu alivyo na hekma anamkubali Tundu lissu sana,

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 2 หลายเดือนก่อน

    Samia.leo.ndio.umesema.ukweli.tangu.uingie.ikulu.lisu.akili.kubwa.shujaa.msomi.mzalendo.ndie.anaefaa.kuwa.raisi.wa.nchii.hii.

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 2 หลายเดือนก่อน

    Simba yupo very stressed, ndio maana hatulii anataka kutoka jela. Hawa wanyama wanataka uhuru wa kutembea, msiwaweke mwenge matundu kama ya ndege.

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahahaha Maza anamchokoza tundu lisu aiseeeh

  • @AnjelicaBayyone
    @AnjelicaBayyone 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂
    Ni jina nzuri mh rais umempatia huyo simba

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahaaa mama unamkubali lisu na unamchokowq ajibu subiri jibu lako kwake

  • @Juma-e8l
    @Juma-e8l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona TBC kwenye sakata la Ngorongoro haijib chochote au wanangorongoro hawatoi kodi inayowaendesha niny TBC????

    • @HamisiSamweli
      @HamisiSamweli 2 หลายเดือนก่อน

      TBC ni shirika la serikal ndo maaan ndugu yangu

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 2 หลายเดือนก่อน

    Vip mbona maccm wanmtaja taka lisu au ashasilimishwa kisiri bado kuanika tu

  • @gosppediapinnacle4230
    @gosppediapinnacle4230 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeleweka!
    Huyo Simba anaonesha ni mkali lakini hana madhara kwa kuwa kafungiwa ndani ya banda....atahangaika tu, lakini hana madhara.

  • @scolabwana8252
    @scolabwana8252 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimecheka kwa sauti

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 2 หลายเดือนก่อน

    Nimemuelewa sana Rais kulingana na uyo Simba, na Mimi naunga mkono aitwe tundulisu 😂😂😂

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kwel Tundulisu n kama SIMBA

  • @Mkonatz
    @Mkonatz 2 หลายเดือนก่อน

    Inawezekana mtu kuitwa simba,ukiona mtu kakusifu jijrize nimekosea wap? Najua sifa huwa niza mungu je simba akionekana mjini huyo kafugwa
    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 2 หลายเดือนก่อน

    Watamtaja japo kimya kimya😂

  • @amirinestory
    @amirinestory 2 หลายเดือนก่อน

    hamjaelewa kamaanisha nini mama😂😂
    Kusema aitwe tundu lisu nikwasababu ni kua simba huyo hana akili hatulii anadhani kukimbia humo ndani kutamletea mlango.yaan ni sawa na kuludia kosa na kutegemea matokeo tofauti...
    yaan huyo ni simba wa kwenye carge hana madhala😂😂😂

  • @harrywarren61
    @harrywarren61 2 หลายเดือนก่อน

    Kumbe unamwogopa 😅😅😅

  • @masambullajamessamson2546
    @masambullajamessamson2546 2 หลายเดือนก่อน +1

    Weenimama huwez kuwaacha watoto wafenjaa tunaimani nawewe mungu akulide tunakuombea

  • @thobiasLoti
    @thobiasLoti 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duh watanzania bhana wadanganye hata kwa kipande cha pipi watakuita una roho nzurii😅

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 2 หลายเดือนก่อน

    Mama anamappreciate Tindu Lissu!!😂😂😂

  • @uwezotv
    @uwezotv 2 หลายเดือนก่อน

    SIO TUNDULISU AITWE SIMBA HAPANA ILA SIMBA NDIO AITWE TUNDULISU KUNTOFAUTI HAPO😅😅😅😅

  • @raymond5175
    @raymond5175 2 หลายเดือนก่อน

    Na ndio tabia ya tundu lissu anakuwa strong, anapewa chakula lakini bado hatulii

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 2 หลายเดือนก่อน

    Mama yetu Samia aonekana alikuwa mtani sana enzi zake..Samia jmani😅😅

  • @ladislausriwa7768
    @ladislausriwa7768 2 หลายเดือนก่อน +3

    Akiona wetu wengi Anahangaika lakini hana madhara. Wenye D 2 tumekuelewa Mama

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 2 หลายเดือนก่อน

    Jina Lina mfaa,
    Na nisimba kweli

  • @evasilaa9064
    @evasilaa9064 2 หลายเดือนก่อน

    Tundu lisu yeye anasemaje😅😅😅 siyo kwa kuhangaika huko akiachiwa hapo mmekwisha

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂jamani mpendwa wangu mama tangu leo umenichekesha. Duu mama unautani sana Alllah akulinde na maadui wanaokuchafulia nchi. Ukiwaupovizuri kwaajili ya Allah utalipwa Duniani na.ahlah. ..

  • @HildaMuya
    @HildaMuya 2 หลายเดือนก่อน

    Hilo jina mlilompa huyo Simba Mungu amalipokea hivyo mtapata majibu yake

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kabisa kwasababu tundu lisu haogopi mtu so ni kama simba.😂😂😂😂

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 2 หลายเดือนก่อน

    Hilo ni tongozo la kisiasa kwanza kachangiwa hela ya gari pili ameitwa jina la simba tatu abduli kampelekea hela kazikataa sitashangaa lisu kusikia kahamia CCM 😅😅😅

  • @jacksonmwalimu5181
    @jacksonmwalimu5181 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi nasoma tu comment zenu nacheka😅

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 หลายเดือนก่อน

    Haa mm hapa umemaliza kweli bb yule mkali km simba

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tundulisu ni Simba dume..kweli kweli...

  • @geraldmihimbo1542
    @geraldmihimbo1542 2 หลายเดือนก่อน

    MHESHIMIWA RAIS UMENICHEKESHA SN LEO.😂😂😂

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 2 หลายเดือนก่อน

    Kuanzia leo ni lisu simba

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona alikuwepo faru jon kwann lisu

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo lisu ni simba dume aliyefungwa? Au anamaanisha nn?

  • @mandelasamson8401
    @mandelasamson8401 2 หลายเดือนก่อน

    Hiyo ni amri au pendekezo

  • @EmmanuelSwedi-n2r
    @EmmanuelSwedi-n2r 2 หลายเดือนก่อน

    Yani mama kanifuraisha sana jamani mtu wamana sana

  • @salomeshongola1697
    @salomeshongola1697 2 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka mpaka,Eti mwiteni Tundu lisu.🎉🎉😂😂😂😂😅😅😅😅

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 2 หลายเดือนก่อน

    😢

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hatimae Tanzania tumempa Simba anayeitwa Tundu lisu😂

  • @JustKassim
    @JustKassim 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 ila mama🙌🙌🙌