Kiukweli lissu mtetezi wawatu anafaa kuwa rais anauwezo mkubwa sana anamsimamo wa kutetea haki naamini akichaguliwa atafanya mabadiliko makubwa sana tanganyika na tanzania kwa ujumla
Tundu Lissu hawezi Urais hata apate ruzuku tu ndio anaoutaka yeseme kweli chada sio Ile CCM hakuna mpinzani hivi alimuuwa nani? Unashida ndio inayokupeleka mdomo wako sio kauli njema unazotoa hata ukamshawishi mtu akupgie kura sahau lissu
CCM Mitano tenaaaaaaaa
Hatuna chama kingine labda CUF
Saw baba nimeelewa
Lisu amejibu vizuri Sana ukimsikiliza kwa umakinj hajakataa wala hajakubali tuhuma za msigwa. Ofisi ya Katibu ijibu tuhuma kwa vielelezo.
Uuuuwiiii! Ni ngumu japo mimi sio mkereketwa
Tundulisu were baki kupiga Debe uraisi ni kiatu kikubwa kwako.😂
Kiukweli lissu mtetezi wawatu anafaa kuwa rais anauwezo mkubwa sana anamsimamo wa kutetea haki naamini akichaguliwa atafanya mabadiliko makubwa sana tanganyika na tanzania kwa ujumla
Tundu Lissu hawezi Urais hata apate ruzuku tu ndio anaoutaka yeseme kweli chada sio Ile CCM hakuna mpinzani hivi alimuuwa nani? Unashida ndio inayokupeleka mdomo wako sio kauli njema unazotoa hata ukamshawishi mtu akupgie kura sahau lissu
Mh Lissu ww ni mtu sahihi kwa mstakabari wa tarifa letu
Unaposema Lissu ni mzee hawezi gombea, kwani Magufuli alikuwa kijana?
Halafu huyu Mzee anajiona akili kumbe mpumbavu alafu anajiona atakujakuawa rais wa Tanzania nakwambieni hatakuwa rais mpaka kufa
Tundulisi mimi nakupenda.ila kwasasa waachie vijana wagombee wewe tulia
Hee