Imam Shafi:I never debated with a knowledgeable person except that I won the debate, and I have never debated with an ignorant person except that I lost. Allah akulipe kheir Bachu
MASHAALLAH SHEIKH MOHAMMAD ABUBAKARI ALLAH ALINAWIRISHE KABURI LAKE MOJA Y BETI ZAKE ZIKIWAFUTAHISHA VIJNA WETU "RUDI UKASOME TENA UKASOME SANA DIYADHI AU MADINA TENA UKASOME SANA WEWE BADO UKO NYUMA " M mashaallah
HILI JAMBO MNALOFANYA N DINI NA HIVYO MNATARAJIA KWA KUCHEZA HUKO MNAPATA THAWABU , AU MNAFANYA MCHEZO NA UPUUUUZI KAMA VILE WACHEZA MPIRA WAKISHEREHEKEAAAA JIBU LA KIUCHA MUNGU LITAKUPA MUONGOZO KUA HILO N NN NA HAPO MTAJUA UKWELI WA HAYO MUFANYAYO ALLAH SUBHAANA ATUONGOZE
Kweli hata muambiwe nn hamuelewi nyinyi watu watwarika kweli nimatahira hamna elimu na kitu munashadadio upotevu wakati mumeshidwa kutetea hoja hata moja hayo tuliyaona hata kwa sabas almajazi
Mtu yeyote aliye soma ywajua kuwa hadithi hatakama ni dhaifu bado ni hadith. Haiwezi kutumiwa kuhalalisha au kuharamisha kitu lakini bado ni hadithi si uwongo isnad yake yaishia Kwa mtume.hadith za uwongo au kutungwa hawa zaitwa Maudhui. Mimi sija soma Sana lakini najua Hilo. Sasa Bachu anakuja anasema hadith dhaif ni kama uwongo wa kutungwa. Hapo ana khalifu ilimu za hadith ndio akashindwa kujibu Hilo swali akawa ana zungukazunguka.
Hamna mulichosginda labda muende mkashinde kwenye mpunga, hamuezi kutete uongo uliopo ndani ya barzanji hata ila qiyami saa. Allah awaongoze mujue haki ilipo.
Wewe ulitaka watu wathibitishe vipi. Tumeonyesha kuwa barzanji maneno yake hakuyatoa kichwani mwake Bali ni hadithi ipo. Sasa kamamawahabi mnasema maneno ya hadith hiyo ni yauongo mlitakiwa mtupe msingi wakuelimu unaoonyesha maneno ya hadith munkar ni uongo.watu huwenda kwa hoja zenye misingi na siyo kujirushia maneno na hukumu bila msingi kama mawahabi wanavyopenda kufanya
Wallah naumia kuona dini ya Allah inachezewa kirahisi namna hii Ivi aje omary radhi za Allah ziwe juu yake anaweza kucheza mbele Allah namna hii Hamjui kama Allah anamiona ivyo mukicheza Innshaallah Allah atafanya wepesi mutakuja ijua hakk
Makhurafi msijifaye hamnazo kwa kelele kutaka kuziba upotevu na shirki zenu,vitabu amevijaza juyameza hata kuvitumia kashindwa kweli elimu ina wenyewe bakini kwenye ushirikina wenu.ndio tengemezi kwa masufi.
@@ibrahimlahmar4479 kama haokuwa anaogopa amepewa dalili 10 nkidogo za wasomi vp alive swali lililokuwa na msingi barazaji ni kitabu Kilo na baadhi ya maneno ya ushirikina.hilo lipo wazi.masharifu mumeshindwa tulieni
@@fikafikan8484 kwaivyo kakaa waelewa fika kumpenda mtume ni kwa kupiga madufu? Kuna kheir mtume hakuifanya pamoja na maswahaba zake ? Iwapo maulid mumeifanya kuwa nguzo katika dini ya Allah subhana wa taala basi ina maana kwenu nyie mtume hakukamilishiwa dini wal iyaaudhubillah . Maulid ni uzushi na ni upotofu kitego cha iblisi kuelekea motoni allahumma atuepushie .
@@Alakhyasirabuammar ndugu wacha ushamba mwanzo nani kukwambia maulid ni nguzo hilo lakwanza na hio ayaa uliyoitaja Allah akimwambia mtume nimewakamilishieni dini ndio ayaa ya mwisho hakukushuka tena aya wacha uzuka ww alafu maulid ni mazazi ya mtume s a w sio nguzo usionge kitu kama hukijui kama mwanamume kweli toa dalili ama ayaa ama hadithi maulid hayafai na kam hujui maswahaba walimsifu mtume s a w na sisi twamsifu
@@Alakhyasirabuammar alafu nikulize una ilimu gani yakutia watu motoni kazi ya Allah umeichukua ww wahabi mpotofu sasa kama hujui kazi ya ibilisi munao ifanya ni nyinyi mawahabi utamgawanya vp Allah tawheed tatu umezitoa wapi mtume s a w hajafundisha wala maswahaba wake hawaijui tawheed tatu na ukitoa hadithi ama ayaa mtume s a w kafundisha tawheed tatu ama maswahaba nakuzawadia elfu kumi za kenya 🇰🇪 sawa afadhali wanaosoma maulid kumsifu mtume kumueleza mazazi yake hakuna ubaya elfu kumi hizo toa dalili tawheed tatu umezitoa wapi wambie na mashekhe wenu wa kiwahabi wakusaidie
Innalillahi wainna ilayhi raajioun 😭ndio Wanaume hawa mbon wanafany Tabia za kike. Dufu n kwaajili ya wanawake. Allah awaongze katika Haki. Hakuna mlichokijibu Hoja ni Kitabu sio Mtunzi. N ndio mana mlisem kijadliwe kitab kimoja tuu
@@gademomari7607 yani mawahabi majahili kweli.kwahiyo ulitaka watu waende mbele bila kupata majibu sahihi.saaa bachu alifata nini kama hana anachoelewa
@@abiabi9353sheikh bachu alisema nko chini nifunze mbona said akuchukua fursa yakumfunza ..2ache hayo kama nikweli wanyama waliongea siudhihirishie watu
Mtume na maswahaba na watu walokuja baada ya mtume hawajasherehekea kuzaliwa mtume nyinyi munazuwa kitu hajakifanya mtume wala maswahaba zake na kama wamefanya toeni dalili
@@abdurrahimmohammed4615 si ibada ni uzushi ambao walizuwa miaka kadhaa iliopita hakufanya mtume wala maswahaba kama ni ibada si mtume angesema tufanye لم يحتفل أحد بمولد النبي لا صحابة ولا تابعين ولا سلف الصالح ولا زوجات النبي أي عبادة الذي لم يفعلها نبينا فهي بدعة كما قال رسول الله صلى الله عليه (أما بعد فإن خير الحديث كتاب الله وخير الهدي هدي محمد،وشر الأمور محادثاتها وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار) الراوي جابر بن عبدالله.
@@husseinally5550 abubakar hajafanya uzushi muogope Allah, kuikusanya quraan ilikuwa ni jambo lilihitajika baada ya mahufadhil quraan wengi kuawa vitani, na abubakar ni Khalifa muongofu aliepewa tazkiya na mtume nyinyi ni mtume gani aliewapa tazkya kufanya maulidi????
Mumeulizwa kwenye barzanji imesema mimba ya mtume ilipoingia wanyama waliongea.mukawa hamuna jawabu mukabadilisha mada ili musijibu hili suala mumejulikana kama mumejipanga kubabaisha musijibu hili jawabu .muulize jawabu ambali halimo kwenye vitabu nawala halihusiani na mada.ili mufanye fujo watu wasifaidike tumewajua hata mimi siendi tena maulidi kumbe nyinyi niwatu wafujo hamutuilimishi ilikuwa nangojea jawabu labarzanji ili nifaidike mumebabaisha tu.kwanzia leo bachu nimkweli nanimstaarabu na ni alimul alama.nitaanza kusoma ilmu kwake
Hatukupata faida wala elimu yoyote hapo.mumetuharibia wakati wetu.Ustd Said angefungua vitabu atupe elimu .ila naona ni ushabiki thu kama wa team za mipira.Allah awaongoze.
Haya hayatoshii badoo ... Na mambruhi ina haqi zaidi kumshajiisha .. kwani mcheza kwao Hutunzwa🥳 Allah akuhifadhi ust Said
Imam Shafi:I never debated with a knowledgeable person except that I won the debate, and I have never debated with an ignorant person except that I lost. Allah akulipe kheir Bachu
Very true
Ameen
hahaha not a realistic comparison im sorry
Mmetuheshimisha wallah mola amrahamu al imam jafar al barzanj wameangukia pua mawahabi
Alhamdulillah tuko na sheikh wakuaminika Mola amjaze kheri Muhamad bachu
Allahuma Amiin
kishekhe chenu kimekimbia
kioga hicho
Na ukaja kuskiza 😂😂😂 mahaba ya mtume yamekuingia karibu twarika 😂😂😂🎉🎉🎉❤
Shekhe anaekimbia swali😂😂😂😂
MASHAALLAH
SHEIKH MOHAMMAD ABUBAKARI ALLAH ALINAWIRISHE KABURI LAKE
MOJA Y BETI ZAKE ZIKIWAFUTAHISHA VIJNA WETU
"RUDI UKASOME TENA UKASOME SANA
DIYADHI AU MADINA TENA UKASOME SANA
WEWE BADO UKO NYUMA " M
mashaallah
Mashaa"Allah ustdh saeed na arash ajamiy❤
kweli bwana ijue haqqi uta wajuwa watu wa haqqi mumeacha sunnah mna pigatu ma twari
Kama kupiga twari ni sunnah wakati wa furaha ya nikah .
Kuna furaha gani kubwa kuliko wakati wa kumsifu na kumtaja mtume
Mashaalallah❤ kumsifu mtume c haramu maulid yaendeleeee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂
Mashaallah mashaallah mungu akujazi kila LA kheri mungu akupe umri twawili ❤❤❤
Jibuni hoja wapi wanyama waliongea 😂😂😂😂😂
Wameogopa kujibu kwa maana huko mbele ingelikuwa moto zaidi
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الطريقة الصحيحة. حي فى قلوبنا صل الله عليه وآله وصحبه وسلم تسليما
Mwakani tufanye maulidi ya kuzaliwa nabii Adam
HILI JAMBO MNALOFANYA N DINI NA HIVYO MNATARAJIA KWA KUCHEZA HUKO MNAPATA THAWABU , AU MNAFANYA MCHEZO NA UPUUUUZI KAMA VILE WACHEZA MPIRA WAKISHEREHEKEAAAA
JIBU LA KIUCHA MUNGU LITAKUPA MUONGOZO KUA HILO N NN NA HAPO MTAJUA UKWELI WA HAYO MUFANYAYO
ALLAH SUBHAANA ATUONGOZE
Ust Said mungu akujazi kila LA kheri akupe umri twawili jaza yko utalipwa na mungu
Kweli hata muambiwe nn hamuelewi nyinyi watu watwarika kweli nimatahira hamna elimu na kitu munashadadio upotevu wakati mumeshidwa kutetea hoja hata moja hayo tuliyaona hata kwa sabas almajazi
Mtu yeyote aliye soma ywajua kuwa hadithi hatakama ni dhaifu bado ni hadith. Haiwezi kutumiwa kuhalalisha au kuharamisha kitu lakini bado ni hadithi si uwongo isnad yake yaishia Kwa mtume.hadith za uwongo au kutungwa hawa zaitwa Maudhui. Mimi sija soma Sana lakini najua Hilo. Sasa Bachu anakuja anasema hadith dhaif ni kama uwongo wa kutungwa. Hapo ana khalifu ilimu za hadith ndio akashindwa kujibu Hilo swali akawa ana zungukazunguka.
Hoja yenu imejibiwa lakini mawahabi wameshindwa kuthibitisha hoja zao kielimu Bali walitaka kulazimisha nambo kimazoea
Subhana Allah....😮😮 Allah ndie anajua zaidi
Lkni mafundisho yako wazi katika Uislam , hakuna kitu Maulidi katika Uislam
@@user-rb8ir9co9k😅
Hamna mulichosginda labda muende mkashinde kwenye mpunga, hamuezi kutete uongo uliopo ndani ya barzanji hata ila qiyami saa. Allah awaongoze mujue haki ilipo.
Wewe ulitaka watu wathibitishe vipi. Tumeonyesha kuwa barzanji maneno yake hakuyatoa kichwani mwake Bali ni hadithi ipo. Sasa kamamawahabi mnasema maneno ya hadith hiyo ni yauongo mlitakiwa mtupe msingi wakuelimu unaoonyesha maneno ya hadith munkar ni uongo.watu huwenda kwa hoja zenye misingi na siyo kujirushia maneno na hukumu bila msingi kama mawahabi wanavyopenda kufanya
Subhanallah hawakutoa ushuhuda wowote nabado mwasherehlekea,na mumeshindwa kujibu Allahu akbar
Bachu amelikimbia swali Kwa mda mrefu lkn ahsanta kwa ustadh said hakumruhusu kukwepa swali. Swalu ala Muhammad yassalam
Mahawabi tunawajua ni wazee wakuhukumu lkn masikini hawajui hata msingi wakutolea hukumu kitu.wao hujiropokea tu
Allahumma Swali wasalim Alaih.....❤
Wallah naumia kuona dini ya Allah inachezewa kirahisi namna hii
Ivi aje omary radhi za Allah ziwe juu yake anaweza kucheza mbele Allah namna hii
Hamjui kama Allah anamiona ivyo mukicheza
Innshaallah Allah atafanya wepesi mutakuja ijua hakk
Kuchezea vp wachezea nn hapo kasome
Muislam shika sunna Mtume SAW, tuache huu udhushi .
Jifunze kuandika kwanza udhushi ndiyo nn
@@burhaanmamboleo3551 shukran ukhut
Ahsante..kama umekusudia kuniita ukht hali wajua ni mwanamume ALLAAH akusamehe na km hukujua basi nakujuza mm ni Mwanamume rijali AlhamdulLLAAH
Subhaaana llah...masuf hatar sana. Yan
Mashallahu ❤
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Mashallah mashallah
Makhurafi msijifaye hamnazo kwa kelele kutaka kuziba upotevu na shirki zenu,vitabu amevijaza juyameza hata kuvitumia kashindwa kweli elimu ina wenyewe bakini kwenye ushirikina wenu.ndio tengemezi kwa masufi.
shekhe wetu (SAEED) haogopi
@@ibrahimlahmar4479 kama haokuwa anaogopa amepewa dalili 10 nkidogo za wasomi vp alive swali lililokuwa na msingi barazaji ni kitabu Kilo na baadhi ya maneno ya ushirikina.hilo lipo wazi.masharifu mumeshindwa tulieni
Maashaallah ustadh sayyid mungu amuhifadh...swal moja tu muhammed bichwa chaliii..
Hilo swali halimo bro😂 waulizaje ulama WA Hadith kuhusu mtu ambae sir muhadith
@@ahmedmusa2577 exactly!!
@@ahmedmusa2577wewe kwanza unaelewa unacho uliza
My love for uuu❤❤❤❤❤❤❤
ماشاءالله مشاءالله
Yaani Subhanallah Hata Mtume akiwaona atashangaa na vituko vyenu Ati Hawa ndio Ahlu Sunna Wal jamaa.Allah Yustir
Kashajitangaza eti hao washindi. Heri kuwa jaahil kuliko kusoma kwa masufi.
Awashangae kwa nn na aliwambia maswahaba kuna vipenzi zangu watakuja hawakuniona na watamuamini na kumpenda ndio twasoma maulid
@@fikafikan8484 kwaivyo kakaa waelewa fika kumpenda mtume ni kwa kupiga madufu? Kuna kheir mtume hakuifanya pamoja na maswahaba zake ? Iwapo maulid mumeifanya kuwa nguzo katika dini ya Allah subhana wa taala basi ina maana kwenu nyie mtume hakukamilishiwa dini wal iyaaudhubillah . Maulid ni uzushi na ni upotofu kitego cha iblisi kuelekea motoni allahumma atuepushie .
@@Alakhyasirabuammar ndugu wacha ushamba mwanzo nani kukwambia maulid ni nguzo hilo lakwanza na hio ayaa uliyoitaja Allah akimwambia mtume nimewakamilishieni dini ndio ayaa ya mwisho hakukushuka tena aya wacha uzuka ww alafu maulid ni mazazi ya mtume s a w sio nguzo usionge kitu kama hukijui kama mwanamume kweli toa dalili ama ayaa ama hadithi maulid hayafai na kam hujui maswahaba walimsifu mtume s a w na sisi twamsifu
@@Alakhyasirabuammar alafu nikulize una ilimu gani yakutia watu motoni kazi ya Allah umeichukua ww wahabi mpotofu sasa kama hujui kazi ya ibilisi munao ifanya ni nyinyi mawahabi utamgawanya vp Allah tawheed tatu umezitoa wapi mtume s a w hajafundisha wala maswahaba wake hawaijui tawheed tatu na ukitoa hadithi ama ayaa mtume s a w kafundisha tawheed tatu ama maswahaba nakuzawadia elfu kumi za kenya 🇰🇪 sawa afadhali wanaosoma maulid kumsifu mtume kumueleza mazazi yake hakuna ubaya elfu kumi hizo toa dalili tawheed tatu umezitoa wapi wambie na mashekhe wenu wa kiwahabi wakusaidie
MashaALLAH
Mashallah sisi na mtume mtume na sisi kimeleweka leo 😊
Raha sana
Nyinyi mawahabi kasherekeeni Christmas na new year tuacheni ssi tumsifu na kumswalia mtume SAW ❤❤ swallu Aleyhi ❤
Innalillahi wainna ilayhi raajioun 😭ndio Wanaume hawa mbon wanafany Tabia za kike. Dufu n kwaajili ya wanawake. Allah awaongze katika Haki. Hakuna mlichokijibu Hoja ni Kitabu sio Mtunzi. N ndio mana mlisem kijadliwe kitab kimoja tuu
Kabsa hawa ndio kazi zao hizi kujibu hawa wezi wala kutetea kazi ngoma thu kama taarabu
Mawahabi na ujahili wenu mtaijuaje suna
Amebaki narudi pale pale sema sijui sema sijui masaa matatu said utoto mtupu ....kwa sheikh bachu mmeoga
@@gademomari7607 yani mawahabi majahili kweli.kwahiyo ulitaka watu waende mbele bila kupata majibu sahihi.saaa bachu alifata nini kama hana anachoelewa
@@abiabi9353sheikh bachu alisema nko chini nifunze mbona said akuchukua fursa yakumfunza ..2ache hayo kama nikweli wanyama waliongea siudhihirishie watu
MashaAllah ❤❤❤
ما شاء الله دائما نحتفل بالمولد النبي صلى الله عليه وسلم
دائما حي في قلوبنا ❤
Amin amin YARABI amin 🤲🤲🤲🤲
Mtume na maswahaba na watu walokuja baada ya mtume hawajasherehekea kuzaliwa mtume nyinyi munazuwa kitu hajakifanya mtume wala maswahaba zake na kama wamefanya toeni dalili
عاشت ام المؤمنين عائشة زوجة المصطفي سيدنا محمد بعد وفات حبييبتها محمد ٤٠ سنة لم تحتفل ميلاد زوجها في حياتها هل هي من اتباع الوهابية
هل الاحتفال عبادة ولا لا!؟
@@abdurrahimmohammed4615 si ibada ni uzushi ambao walizuwa miaka kadhaa iliopita hakufanya mtume wala maswahaba kama ni ibada si mtume angesema tufanye
لم يحتفل أحد بمولد النبي لا صحابة ولا تابعين ولا سلف الصالح ولا زوجات النبي أي عبادة الذي لم يفعلها نبينا فهي بدعة كما قال رسول الله صلى الله عليه (أما بعد فإن خير الحديث كتاب الله وخير الهدي هدي محمد،وشر الأمور محادثاتها وكل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار) الراوي جابر بن عبدالله.
Hahaahjaja sheikh said leo tumejua urongo wa barzanjii..
Allahuma swalli wassallim alaa muhamadin wa alaa aali muhammad
Masha Allah
LAU KAMA MTUME MUHAMMAD ANGELIIIMBA NA KUCHEZA KAMA HAWA BASI UJAJAHILI UNGEL......
subhanaallah allah atuhifadhi na bidaa hizi
SubhannAllah hamumuone haya ata Allah
{ ...................... لَا تَغۡلُوا۟ فِی دِینِكُمۡ غَیۡرَ ٱلۡحَقِّ وَلَا تَتَّبِعُوۤا۟ أَهۡوَاۤءَ قَوۡمࣲ قَدۡ ضَلُّوا۟ مِن قَبۡلُ وَأَضَلُّوا۟ كَثِیرࣰا وَضَلُّوا۟ عَن سَوَاۤءِ ٱلسَّبِیلِ }
Alhamdulilahi
Mashallah sheikh Muhammad Bachu umeshinda Allah akuhifadhi
Wapiii ? Ameshindwa huyo
Jipeni moyo ndio muliobaki nayo
Kashinda nini?mwehu huyu?
Huyu ni mwehu..twamjua...ni mwehu haswaaa
@@ummukhalifa5033pole san
Innalillahi wainnailaihi rajiun!!!!
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا محمد صلى الله عليه وآله وصحبه وسلم
Mashallah
Mashaallah ❤
Mwaka ujao tufanye maulidi ya kuzaliwa nabii ISA
@@mohamedturanardan8871 Chuki live 😂😂😂
Mashalla
Maashaallah
Allah mustaaan
Leo UMARA BIN KHATAB ANGEKUA HAI NYINYI NYOTE MUNGELIKUA MUSHAKATWA VICHWAAA
Sub han Allah
subhannaAllah!!!
Ma shaa allah safi sana wenye chuki wafee😂😂❤❤❤❤❤
Hamna ngoma katika uislamu.
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه أجمعين❤
Allahu Akbar Dunia imeisha
Nyinyi mnala imeisha watu tumeona mmeshindwa
اللهم صل وسلم على سيدنا محمد و آله و صحبه أجمعين
Kutuharibia bundles pigeni matwari sheikh bachu mwalimu wenu ako vizuri ...ilo baki nkelele mbona sheikh said hukumfunza mwenzako alipokuambia kubali kuja chini....pia mm ntafurahi kama n kweli viumbe viliongea kwa kuingia mimba [SAW]
Shukran sana Ust. Said.. tumefurahi sana sisi😂😂
Mungu waongoze
Amin lkn zaidi awaongoze mawahabi kwa ufinyu wa fikra zao
Bachu is a scholar
Bachu is a fool
@@khaleedabubakar4403poleni san
A scholar from where my dear just weaked person
Mnaonaje vile tumeigiza wakristo wana christmas nasi tuna maulidi,but wako na pasaka kusherehekea kufa kwa yesu pia nasi tueke pasaka ya mtume😢😢😢
Acha ujinga
Maoni hayo yanathibitisha fikra finyu wal8zo nazo mawahabi
Mahaba yake nabiya moyoni yameniingiaaa
حي فى قلوبنا صل الله عليه وآله وصحبه وسلم تسليما
Allah awaongoze Aamin
Atuongoze soote😊
اللهم صل وسلم عليه
Makhuraaaaaafi Hamuna Akili wala elimu.. ni kula na kucheza
We ni mtoto wa haramu huwezi mfurahikia Mtume
@@husseinally5550ww wamshinda abubakar radhi za Allah zimuendee kumfarahikia mtume? Mbona hakupiga dufu na kucheza kama nyinyi
@@abuuaisha6110 kwani abubakari alimshinda mtume kuikusanya Quran ktk msahafu? Soma kabla ya kuongea
@@abuuaisha6110😂😂😂😂 Mbona wauliza suali la kijinga? Au huelewi
@@husseinally5550 abubakar hajafanya uzushi muogope Allah, kuikusanya quraan ilikuwa ni jambo lilihitajika baada ya mahufadhil quraan wengi kuawa vitani, na abubakar ni Khalifa muongofu aliepewa tazkiya na mtume nyinyi ni mtume gani aliewapa tazkya kufanya maulidi????
Innallillah wainnaillah rajiuon
Ati Ahlul Sunnah_so Maulid Ni Sunnah?please let us know
Subhana llah,, sasa ngoma hizi ndio dini?
Ukipinda aqida umepinda na akili
Mbona hamukutolea points kama hio dhaifu zinatumika??
Mumeulizwa kwenye barzanji imesema mimba ya mtume ilipoingia wanyama waliongea.mukawa hamuna jawabu mukabadilisha mada ili musijibu hili suala mumejulikana kama mumejipanga kubabaisha musijibu hili jawabu .muulize jawabu ambali halimo kwenye vitabu nawala halihusiani na mada.ili mufanye fujo watu wasifaidike tumewajua hata mimi siendi tena maulidi kumbe nyinyi niwatu wafujo hamutuilimishi ilikuwa nangojea jawabu labarzanji ili nifaidike mumebabaisha tu.kwanzia leo bachu nimkweli nanimstaarabu na ni alimul alama.nitaanza kusoma ilmu kwake
Inna lilah wainna ilahi raaajiun Allah subhanahu wataala awaongoze kwenye noor
❤
Hhhhhhhh Masha Allah ust said
Inna lillahi wa inna ilayhi rajioon
Mingombe hyoooooo nendeni mukale pilau ya bureeee mumeshindwa
Tariqa ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Midume inacheza ngoma jaman hii dini gani???😂😂😂
Alafu wanajiita ni meshekh wanacheza ngoma kama watoto
Wacha makasiriko nendeni mkasome
جاء الحق و زهق الباطل
Wallahy hakuna ilmu kwa hawa watu...subhanaAllah yani hawajatoa ayah wala hadith wala maneno ya wanazuoni hata mmoja.
Wapuzi hawa muhimu kwao ni hilo mpunga tu
Aaah wapi sisi tuliotazama ndio tunajua ukweli uko wapi wacheni ubishooo...
Kila mtu ameshuhudia bachu ameshindwa kujibu hoja
❤❤❤❤❤
Masha Allah fanyeni kwawingi maulidi
Ushindi upi??
Abdallah humeid kasema zamani
Bora mzinifu au diamond kuliko masufi
Wallahy mwasikitisha sanaaa Allah atawapa ufahamu muone uzushi. 😢😢😢
Mawahabi na ujahili wenu mnaijuaje haki
Naomba namba ya ust said pls
Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun
wewe ndo umekufa nini
@@ibrahimlahmar4479 inte
Mashallah..
Mumeshinda nini pilau au biriani??
Innalillah wainnaillaih raajeoooun!!
Hatukupata faida wala elimu yoyote hapo.mumetuharibia wakati wetu.Ustd Said angefungua vitabu atupe elimu .ila naona ni ushabiki thu kama wa team za mipira.Allah awaongoze.
Kwni jmn niulze, Mauli bila kusomwa barazanji hayaswih?
Sio mbaya kumswalia mtume ( s.a.w) na kumsifia
Twayyib
Innalillahi wainna ileyhi rajiun 😮