PART 2: JINSI YA KUTENGENEZA GROWER MASH

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Kuku wa mayai kuanzia wiki ya 9-18 wanatakiwa wapewe chakula (grower mash) chenye kiwango cha protini muhimu (Digestible Crude Protein) kuanzia asilimia 16 hadi 18%. Mchanganyiko huu wa chakula husababisha kuku kukua kwa haraka sana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea umri wa kutaga.

ความคิดเห็น • 16

  • @deniscollakayumba7800
    @deniscollakayumba7800 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Asante kwa elimu Dr.

  • @Mrkuku128
    @Mrkuku128 หลายเดือนก่อน

    Nice work

  • @vumiliarwiza
    @vumiliarwiza ปีที่แล้ว

    Asante sana.umenipa maarifa kwa sehemu kubwa MUNGU akuzidishie maarifa zaidi na zaidi.

  • @Mrkuku128
    @Mrkuku128 หลายเดือนก่อน +1

    Fantastic job.But try to add the quality of your video a little more

  • @domcityfarmingcenter7754
    @domcityfarmingcenter7754 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana Dada Frida 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yuzhoshaban5367
    @yuzhoshaban5367 ปีที่แล้ว

    Asante sanaaaa

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj ปีที่แล้ว

    Asante sana mimi mwanafunzi mpya

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 5 หลายเดือนก่อน

    hao ni chotara au?

  • @rizikiramadhani7986
    @rizikiramadhani7986 ปีที่แล้ว

    DADA TUNASHUKULU SANA ILA KAMA INAWEZE KANA TUPE NAMBA ILI TUKIPATWA NA CHANGAMOTO BASI TUWE TUNA KUPIGIA

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel4854 ปีที่แล้ว

    Asante, namba Yako ya mawasiliano tafadhali.

  • @zainabumgonjamgonja3108
    @zainabumgonjamgonja3108 ปีที่แล้ว

    Naomba namba naitaji vifaranga

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 5 หลายเดือนก่อน

    pia hiyo lyisine hicho kipimo chake unapimia nini maana hujusema ni robo au kilo
    pia kuku hao wanakula kilo 52 hapo sijaelewa dada.ni kwa siku au wiki tafadhali

  • @salimothmani651
    @salimothmani651 2 หลายเดือนก่อน

    Habari jambo namba yako sister