Frida Homestead
Frida Homestead
  • 34
  • 90 063
NJIA BORA YA KUTUNZA WATOTO WA MBUZI NA KONDOO ILI KUEPUKA VIFO
Nimuhimu sana kwa mfugaji anayefuga mbuzi kibiashara kuhakikisha watoto wanatuzwa kwa uangalizi wa hali ya juu kuhakikisha kila mtoto ananyonya na anapata maziwa ya utosha. Kadhalika mfugaji anapaswa kuhakikisha kuwa watoto wa mbuzi na kondoo wanalala katika banda safi na lenye hewa ya kutosha
มุมมอง: 1 256

วีดีโอ

PART 3: JINSI YA KUTENGENEZA LAYERS MASH
มุมมอง 2.7Kปีที่แล้ว
Chakula cha kuku wanaoanza kutaga huwa na kiwango muhimu cha Protini (Digestible Crude Protein) kuanzia asilimia 16 . Chakula hicho ni muhimu kikawa na madini ya Calcium (Chakula chenye chokaa) kwa ajili ya utengenezwaji wa magamba ya mayai. Kuku ambao wana kiwango kidogo cha calcium hutumia akiba ya madini haya ya calcium iliyopo kwenye mifupa yao kutengenezea magamba ya mayai. Anza kuwapa kuk...
PART 2: JINSI YA KUTENGENEZA GROWER MASH
มุมมอง 4Kปีที่แล้ว
Kuku wa mayai kuanzia wiki ya 9-18 wanatakiwa wapewe chakula (grower mash) chenye kiwango cha protini muhimu (Digestible Crude Protein) kuanzia asilimia 16 hadi 18%. Mchanganyiko huu wa chakula husababisha kuku kukua kwa haraka sana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea umri wa kutaga.
PART 1: UTENGENEZAJI WA CHAKULA CHA KUKU WA MAYAI (CHICK STARTER)
มุมมอง 10Kปีที่แล้ว
Kuku kama wanyama wengine wanahitaji vyakula vyenye virutubisho vyote muhimu ili kuweza kufanya uzalishaji bora. Video hii imeandaliwa kwa lengo la kuweza kumfanya mkulima aweze kujitengenezea chakula cha kuku wake mwenyewe ili kuweza kupunguza gharama za uzalishaji. Sehemu ya kwanza in jinsi ya kutengeniza chakula cha vifaranga.
KUZA BIASHARA YAKO YA UFUGAJI KWA KUFUNYA HAYA....
มุมมอง 288ปีที่แล้ว
Je unatunza kumbukumbu zako za uzalishaji ?unatunza kumbukumbu za mauzo ya bidhaa yako ? je umeshawahi kufanya tathimini ya kujua maendeleo ya biashara yako kwa kuangalia ukuaji wake ili ikusaidie kupanga malengo kwa ajili ya kesho yako? Unatakiwa kuwa na mfumo wa kutunza rekodi za biashara yako. kama mfugaji ni jukumu lako kujiwekea desturi ya kutunza kumbukumbu zote katika biashara yako kwa f...
UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA BIASHARA YAKO YA MIFUGO
มุมมอง 235ปีที่แล้ว
UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA BIASHARA YAKO YA MIFUGO
NAMNA MBALIMBALI YA KUPATA FAIDA KWENYE UFUGAJI WA MBUZI
มุมมอง 5Kปีที่แล้ว
NAMNA MBALIMBALI YA KUPATA FAIDA KWENYE UFUGAJI WA MBUZI
+
มุมมอง 278ปีที่แล้ว
Mifugo ni kama watoto, wanahitaji kuangaliwa mara kwa mara na kutibiwa pale wanapoonyesha dalili za ugonjwa. Unaweza kutumia muda wako au kuwaajili watu wa kuweza kuangalia mifugo wakati unapokuwa haupo. Maana bila usimamizi madhubuti mfugaji utaishia kupata hasara.
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI
มุมมอง 1.8Kปีที่แล้ว
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI
MBUZI AU KONDOO???
มุมมอง 3.9Kปีที่แล้ว
MBUZI AU KONDOO???
Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Ufugaji wa Kuku
มุมมอง 1.4K2 ปีที่แล้ว
Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kabla ya Kuanza Ufugaji wa Kuku
UFUGAJI WA KUKU KWA KUWAFUNGIA BANDANI (DEEP LITTER SYSTEM). NI NINI FAIDA NA CHANGAMOTO ZAKE?
มุมมอง 7382 ปีที่แล้ว
UFUGAJI WA KUKU KWA KUWAFUNGIA BANDANI (DEEP LITTER SYSTEM). NI NINI FAIDA NA CHANGAMOTO ZAKE?
FAIDA YA KUFUGA KUKU KWA KUWAACHIA WAJITAFUTIE CHAKULA
มุมมอง 7842 ปีที่แล้ว
FAIDA YA KUFUGA KUKU KWA KUWAACHIA WAJITAFUTIE CHAKULA
FAIDA NA CHANGAMOTO ZA UFUGAJI WA KUKU KWENYE CAGES
มุมมอง 2512 ปีที่แล้ว
FAIDA NA CHANGAMOTO ZA UFUGAJI WA KUKU KWENYE CAGES
Fahamu tofauti zilizopo kati ya kuku chotara aina ya Kuroiler na Sasso
มุมมอง 18K2 ปีที่แล้ว
Fahamu tofauti zilizopo kati ya kuku chotara aina ya Kuroiler na Sasso
KWANINI KUKU HUPUNGUZA UTAGAJI WA MAYAI? NA NINI KIFANYIKE ILI KUONGEZA UZALISHAJI?
มุมมอง 6152 ปีที่แล้ว
KWANINI KUKU HUPUNGUZA UTAGAJI WA MAYAI? NA NINI KIFANYIKE ILI KUONGEZA UZALISHAJI?
JIFUNZE MBINU MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA GHARAMA YA CHAKULA CHA KUKU
มุมมอง 4.4K2 ปีที่แล้ว
JIFUNZE MBINU MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA GHARAMA YA CHAKULA CHA KUKU
JIFUNZE JINSI YA KUANDAA MASHIMO KWA AJILI YA UPANDAJI WA MITI YA MATUNDA
มุมมอง 3.9K2 ปีที่แล้ว
JIFUNZE JINSI YA KUANDAA MASHIMO KWA AJILI YA UPANDAJI WA MITI YA MATUNDA
AINA MBALIMBALI ZA MBOLEA NA MATUMIZI YAKE KWA AJILI YA KUOTESHEA MAZAO
มุมมอง 2.1K2 ปีที่แล้ว
AINA MBALIMBALI ZA MBOLEA NA MATUMIZI YAKE KWA AJILI YA KUOTESHEA MAZAO
AINA MBALIMBALI ZA MAEMBE YAFAAYO KWA BIASHARA
มุมมอง 7412 ปีที่แล้ว
AINA MBALIMBALI ZA MAEMBE YAFAAYO KWA BIASHARA
FAHAMU MICHE MBALIMBALI YA MATUNDA IPATIKANAYO FRIDA HOMESTEAD
มุมมอง 7782 ปีที่แล้ว
FAHAMU MICHE MBALIMBALI YA MATUNDA IPATIKANAYO FRIDA HOMESTEAD
FAHAMU AINA MBALIMBALI ZA MITI YA MATUNDA NA FAIDA ZAKE
มุมมอง 5282 ปีที่แล้ว
FAHAMU AINA MBALIMBALI ZA MITI YA MATUNDA NA FAIDA ZAKE
FAHAMU UMUHIMU WA KUPANDA MITI NA FAIDA ZAKE
มุมมอง 1.8K2 ปีที่แล้ว
FAHAMU UMUHIMU WA KUPANDA MITI NA FAIDA ZAKE
JINSI YA KUTUMIA ALOE VERA (SHUBIRI MWITU) KUTIBU MAGOJWA YA KUKU
มุมมอง 3.1K2 ปีที่แล้ว
JINSI YA KUTUMIA ALOE VERA (SHUBIRI MWITU) KUTIBU MAGOJWA YA KUKU
MAMBO MUHIMU YAKUZINGATIA WAKATI WA KUJENGA BANDA LA KUKU
มุมมอง 1.3K2 ปีที่แล้ว
MAMBO MUHIMU YAKUZINGATIA WAKATI WA KUJENGA BANDA LA KUKU
NIKIWANGO GANI UNAPASWA UTUMIE ILI KUPATA VIRUTUBISHO VYOTE NA FAIDA ZITOKANAZO NA MLONGE???
มุมมอง 2052 ปีที่แล้ว
NIKIWANGO GANI UNAPASWA UTUMIE ILI KUPATA VIRUTUBISHO VYOTE NA FAIDA ZITOKANAZO NA MLONGE???
FAHAMU FAIDA ZA MAJANI YA MLONGE KWA AFYA YA BINADAMU
มุมมอง 11K2 ปีที่แล้ว
FAHAMU FAIDA ZA MAJANI YA MLONGE KWA AFYA YA BINADAMU
FAHAMU MAGONJWA HATARISHI YA VIRUSI VYA KUKU, DALILI ZAKE NA MATUMIZI SAHIHI YA CHANJO
มุมมอง 3592 ปีที่แล้ว
FAHAMU MAGONJWA HATARISHI YA VIRUSI VYA KUKU, DALILI ZAKE NA MATUMIZI SAHIHI YA CHANJO
MBINU BORA ZA UTUNZAJI WA VIFARANGA VYA KUKU
มุมมอง 3342 ปีที่แล้ว
MBINU BORA ZA UTUNZAJI WA VIFARANGA VYA KUKU
ADVANTAGES OF RAISING KROILER CHICKEN
มุมมอง 6K2 ปีที่แล้ว
ADVANTAGES OF RAISING KROILER CHICKEN

ความคิดเห็น

  • @deniscollakayumba7800
    @deniscollakayumba7800 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Asante kwa elimu Dr.

  • @humphreymasoud1725
    @humphreymasoud1725 21 วันที่ผ่านมา

    🙌🙌🙌 dada una madim adimu sana?

  • @JosephatChacha-b8j
    @JosephatChacha-b8j 24 วันที่ผ่านมา

    Good education

  • @christopherlucas-jq7hu
    @christopherlucas-jq7hu 29 วันที่ผ่านมา

    Mpo wap

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 29 วันที่ผ่านมา

    Unafugia wapi ndugu tuje kujifunza huko

  • @Mrkuku128
    @Mrkuku128 หลายเดือนก่อน

    Fantastic job.But try to add the quality of your video a little more

  • @Mrkuku128
    @Mrkuku128 หลายเดือนก่อน

    Nice work

  • @zakariaadam5474
    @zakariaadam5474 หลายเดือนก่อน

    Why not nisi subscribe kwa elimu yako..❤

  • @zakariaadam5474
    @zakariaadam5474 หลายเดือนก่อน

    Elimu yako ni nzuri sana,shukrani Mungu akubariki

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 2 หลายเดือนก่อน

    Je nitapata uliyo kwisha kutengeneza? Nitapataje?

  • @germanakimati6973
    @germanakimati6973 2 หลายเดือนก่อน

    Asante dada

  • @salimothmani651
    @salimothmani651 2 หลายเดือนก่อน

    Habari jambo namba yako sister

  • @VumiliaMsuya
    @VumiliaMsuya 2 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba kufanya biashara na wewe ya kukuuzia mlonge majani

  • @ElizabethWambui-u1c
    @ElizabethWambui-u1c 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba picha ya kuku wa renmbo.

  • @saidmussongo1527
    @saidmussongo1527 3 หลายเดือนก่อน

    kwani huwezi kukausha na kutwanga kisha ukatumia kwenye juice

  • @saidmussongo1527
    @saidmussongo1527 3 หลายเดือนก่อน

    jinsi ya kukaanga mbegu za mlonge kwa ajili ya nguvu za kiume

  • @saidmussongo1527
    @saidmussongo1527 3 หลายเดือนก่อน

    kwani huwezi kutengeneza juice ya mlonge pekee?

  • @AzizaNgonda
    @AzizaNgonda 3 หลายเดือนก่อน

    Dada uko mkoa gani

  • @ZaretuNtangeki
    @ZaretuNtangeki 4 หลายเดือนก่อน

    Mbegu ya sasso inapatikana wapi?Nahitaji

  • @RWATOMIXEDFARM-pd4lj
    @RWATOMIXEDFARM-pd4lj 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana dada, Kuna watu wanauza elimu kama hii youtube lkn wewe umeitoa free kabisa. Mungu akubariki sana

  • @asheryobeid2459
    @asheryobeid2459 4 หลายเดือนก่อน

    Dada farida umbuzi unauzaje,beberu na jike, hongera sana

  • @MakoyeJames-f9g
    @MakoyeJames-f9g 5 หลายเดือนก่อน

    Naam, ni mawazo tundufu na fikra mkruro na hakika nitakuwa na wewe sako kwa bako kila mdaharo!"

  • @AnyangolilianKefa
    @AnyangolilianKefa 5 หลายเดือนก่อน

    Unapatikana wapi?

  • @shedracktanu207
    @shedracktanu207 5 หลายเดือนก่อน

    Idadi ya vifaranga waheshimiwa.

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 5 หลายเดือนก่อน

    tunaombs no yako ya cm

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 5 หลายเดือนก่อน

    pia hiyo lyisine hicho kipimo chake unapimia nini maana hujusema ni robo au kilo pia kuku hao wanakula kilo 52 hapo sijaelewa dada.ni kwa siku au wiki tafadhali

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 5 หลายเดือนก่อน

    hao ni chotara au?

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana naomba uweke namba yako

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye 5 หลายเดือนก่อน

    Je ni dawa ya kutibu huu ukimwi?

    • @RoseJulius-rb9lv
      @RoseJulius-rb9lv 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @AtulehemuMtivike
    @AtulehemuMtivike 5 หลายเดือนก่อน

    Kuku wenu tunawatamani lakini tunajiuliza tunawapataje

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 6 หลายเดือนก่อน

    NAOMBA FORMULA YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA KUKU 100 CHOTARA WANAOTAGS

  • @rasmomsabaha6571
    @rasmomsabaha6571 6 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa mafundisho mazuri, naomba namba yako ili nikiwa na swali iwe rahisi kupata msaada.

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 6 หลายเดือนก่อน

    Asante naomba no yako

  • @Joylandfarms254
    @Joylandfarms254 6 หลายเดือนก่อน

    Hello I am from Kenya and i love chickens, where can i get F1 Kuroiler breed that is reliable.

  • @Joylandfarms254
    @Joylandfarms254 6 หลายเดือนก่อน

    Good Teaching indeed.

  • @stevensamwel4854
    @stevensamwel4854 7 หลายเดือนก่อน

    Mazingira gani bora kufuga kuku kwa kuwaachia? Mjini au vijijini.

  • @jefftabar7212
    @jefftabar7212 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana nataka kufuga kuko za mayayi kivyashara Nifundishe kutengeneza chakula cha vifaranga

  • @michaelkatabila4461
    @michaelkatabila4461 7 หลายเดือนก่อน

    Thx madam

  • @michaelkatabila4461
    @michaelkatabila4461 7 หลายเดือนก่อน

    Dr. Thx more kwa elimu unayo tupa by Katabila michael

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana,

  • @maxmillianmarwa5943
    @maxmillianmarwa5943 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @ahmedsoudathman5088
    @ahmedsoudathman5088 7 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @lupakisyomwambungu347
    @lupakisyomwambungu347 8 หลายเดือนก่อน

    Je ni milonge mibichii

  • @nickson3473
    @nickson3473 9 หลายเดือนก่อน

    sasa wewe ndo mbuzi au kuna mbuzi wengine?tunataka kuona mbuzi sio wewe clip yote😂😂

  • @DanielManyangu-sq9bt
    @DanielManyangu-sq9bt 9 หลายเดือนก่อน

    Unaruhusiwa kutia sukar kweny iyo. chai ya mlonge ?

  • @martinamasagasi3213
    @martinamasagasi3213 9 หลายเดือนก่อน

    Asante sn dada umenisaidia sn

  • @bosimanigoja.-jb2wl
    @bosimanigoja.-jb2wl 10 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @hmedm8093
    @hmedm8093 10 หลายเดือนก่อน

    Habari yako Dada, hii formula inawezatumika kwa broiler!?

  • @kokusimamtumbi3442
    @kokusimamtumbi3442 10 หลายเดือนก่อน

    Na kuhusu magonjwa dr

  • @evakomba2389
    @evakomba2389 11 หลายเดือนก่อน

    Kama sina asali naweza kutumia sukari?