Kuna Mashekhe na Mashekhe njaa, Mashekhe nja kwa ulimwengu wetu wa sasa wapo % kubwa mnoo na kamwe hawawezi zuia njaa zao sababu wameshindwa kuzisemea nafsi zao kutokana na njaa zao.
Yaan wazungu walitugawa vibaya,muislamu anajiona ni bora kuliko mkristo na mkristo anajiona mzuri kuliko muislamu,hapo hakuna umoja na mzungu akitaka kuiba anaiba kirahisi tu.Sisi tunafarakana kwa dini mzungu anachukua mali zetu
Mbona wewe mwenyewe umevaa kan u made in makafiri unavyotuita huo ni u nyanya paa ukitaka hivyo nenda Saudiarabien ukawe kafiri wa kiislamu katika nchi ya Dini ilikotoka ukiheshimiwa na kuitwa nyani hapo ndo utata bua kuheshimu binadamu mwenzio bila haijalishi anatoka Dini gani ni bora imani zote za kumuheshimu mwenyezi mungu kwa kutumia mitume wote tuu wewe sio mcha mungu ni mcha waarabu na ubaguzi na bado ni mwafrika mweusi
Tunaomba masheikh kabla hujatamka neno mrudi ktk hadith za mtume muhakiki aliwakaribisha walokua si waislaam ktk masjid itafuteni hii hadith na mfanye maamuzi sahiih
Mbona Alska Msikiti ule uliokoJerusarem mbona kunawakati Waislamhuingia na Kunawakati Wakristo huingia,Nyie ni wabaguzi tu,Kama kusikiliza Mahubiri ya Kiislamu mbona huwa tunasikiliza tu,mara nyingi Redioni Mtandaoni,Vilevile kuna Baadhi ya waislamu wanasikiliza Ukristo,,kama linawaathiri upo sawa.
Dini ni za Mungu sio za watu,Sasa,mtu unakuta anajitapa Dini yake anaipigania,ni,ujinga,Viongozi wa dini huwakilisha habari za Mungu,mwenye Dini sisi nikusikiliza uamini usiamini,Mungu ndie atakae hukumu,sio mtu,na Usimchukie Mtanzania Mwenzako kisa dini,dini sio yako.
Shekh ALLAH akulinde na Sisi nimashahidi kwamba umefikisha.
Kabisa. Mashallah Allah akupe umri mref sheikh wetu utuelimishe vizuri zaidi
Umesema kweli sheikh. Allah akulipe kheri duniani, akhera na akuepushe na moto wa jahannam
Allah akupe kheri sheikhe wetu.
Kweli nivizur kushirikiana kwa maslahi yataifa lakin, jambo linalohusu dini tafadhali waachiwe wenyedini.
Dah wallahi shekhe umefikisha ujumbe mkhsusi
Allah akuhifadh shekhe letu. Yaan hii kitu ilikua inaniuma sanaaa sanaa
Kwa hakika umegusa penyewe
Kuna Mashekhe na Mashekhe njaa, Mashekhe nja kwa ulimwengu wetu wa sasa wapo % kubwa mnoo na kamwe hawawezi zuia njaa zao sababu wameshindwa kuzisemea nafsi zao kutokana na njaa zao.
Namimi nakuunga mkono Kwa ajili ya Allah. Maana hata suratul Kafirun
Ninachoshukuru Mungu hano hao waislamu na wakristo wa wakati huu kwa maana wote wamepoteza ladha kwa Mola.
Sindio kazi yao halafu kwenye kuandamisha mwezi wao ndio kimbele mbele
Mashallah sheikh ume ongea ukweli wa ambie awo wakina mzinge na kundi lake
Sawa. Ahsante Shekhe.
shukran shekhe
Yaan wazungu walitugawa vibaya,muislamu anajiona ni bora kuliko mkristo na mkristo anajiona mzuri kuliko muislamu,hapo hakuna umoja na mzungu akitaka kuiba anaiba kirahisi tu.Sisi tunafarakana kwa dini mzungu anachukua mali zetu
Hakuna mzungu kutugawa,ni mafunzo sahih ya dini ya kiisalm, hakuna kushirikiana ktk ibada
Allah akulipe
innalillah
Kweli wallah labda wana njaaa kali mashekhe wengne wapo kimaslahi
Sheikh wa mkoa wa dare salaam ujumbe una kuhusu huo
Wazungu waliweza sana kutugawa waafrika
Ni kweli .......
Acha hayo Mzee, tafuta lingine
Shekhe nime kuelewa
Kunasiku nawo watasema waje msikitini KUFANYA mahubiri kwani nyinyi Simna kwenda kwao! hapo sijui mta wazuiya?
Uko sahihi kabisa dah mtihani mzito
Mbona wewe mwenyewe umevaa kan u made in makafiri unavyotuita huo ni u nyanya paa ukitaka hivyo nenda Saudiarabien ukawe kafiri wa kiislamu katika nchi ya Dini ilikotoka ukiheshimiwa na kuitwa nyani hapo ndo utata bua kuheshimu binadamu mwenzio bila haijalishi anatoka Dini gani ni bora imani zote za kumuheshimu mwenyezi mungu kwa kutumia mitume wote tuu wewe sio mcha mungu ni mcha waarabu na ubaguzi na bado ni mwafrika mweusi
Upendo unatakiwa uwepo.nadhani awaendi kuswali Kule kwaiyo sidhani kama dhambi
sawasawa
Hao ni wanaafiik
Tunaomba masheikh kabla hujatamka neno mrudi ktk hadith za mtume muhakiki aliwakaribisha walokua si waislaam ktk masjid itafuteni hii hadith na mfanye maamuzi sahiih
Hizi imani za kigeni ni shida... elimu dunia ni muhimu katika maisha
Hujaelewa nini hapo?
Duuuh njaa mbaya wanauza dini kwa kutaka sifa wapate cheo cha mkuu wa mk.... ?
Semakwelikwajili yamola wako famanshar falyumin wamansha falyakfur lakinizalim mwoshoe nimoto
Shehe hao wanaofanya hivyo si wenzetu,,wnachunga mchuzi wao mwekundu hao
Duuuh mchuzi mwekundu
Alikua nani plz alokaa kwenye salaa ya maiti nambieni plz
Alikuwa Henrison Mwakiembe katika sala ya jeneza ya Marini Hassan
Wewe Shekh Shaharan Allah akujalie uwe Salafy...Amiin.
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun kwani salafi ndio dini au uislamu
Au mtume alikua salafi
Salafy ndio nini?
Eti salafu? Nyie ndio makundi ya upotoshaji mliotabiliwa
@@selemankishema5780 الحمد لله رب العلمين....
Swaa Allah akulipe kila la kheri na akusamehe na mimi nishakusamehe hayo matusi yako.
Hivi kwa nini mnaniandama!!? au mnataka niwaachie huu usheikh wa mkoa wa dar.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao ni wanaafik
Kwani mtume alikuwa dhehebu gani? Acheni kujipa ukubwa kama hivyo, Tufuate Quran ya ALLAH na Sunna ya Mtume SAW.
Unakusudia nn
@@kassimali2273 We umefikiria nini?
@@kassimali2273 mbona hueleweki
Mbona Alska Msikiti ule uliokoJerusarem mbona kunawakati Waislamhuingia na Kunawakati Wakristo huingia,Nyie ni wabaguzi tu,Kama kusikiliza Mahubiri ya Kiislamu mbona huwa tunasikiliza tu,mara nyingi Redioni Mtandaoni,Vilevile kuna Baadhi ya waislamu wanasikiliza Ukristo,,kama linawaathiri upo sawa.
Dini ya kikristo inaruhusu ila uislamu hauruhusu
Na Jerusalema mayahudi na wakristo wanaingia kinguvu
She umeongey pwenti hawo siy mashehe no wanafik tu wakifa wote moton hawo
Wazungu walitugawa kwa dini zetu ili watuibie kirahisi, wewe fuatilia taratibu utaamini ninachokwambia
@@greysonmheni5176 nikweli broo kwasababu waislamu wanajiona ndo dini bora kuliko sote na kuwasarau watu na dini zao
Dini ni za Mungu sio za watu,Sasa,mtu unakuta anajitapa Dini yake anaipigania,ni,ujinga,Viongozi wa dini huwakilisha habari za Mungu,mwenye Dini sisi nikusikiliza uamini usiamini,Mungu ndie atakae hukumu,sio mtu,na Usimchukie Mtanzania Mwenzako kisa dini,dini sio yako.
Ila na wewe una yoko ya kuzuwa vitu ambovio mtume muhammad aja tufundisha kama maulidi