Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
Mashallah Allha akuongoze kwenye haki, Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote. Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
Nafurahi kuwa muislamu ALHAMDULILLAH huyu ndacha hata mm namshinda🤣🤣🤣 hata hajui anaongea nn maskini karibu kwenye dini ya haki tunafurahi sana kuwa waislam tunafurahi sana wenzio washasilimu tunakusubiri ww tu unawaponza wenzio ndacha 🤣🤣🤣 UISLAM ndo dini ya haki wallah tunafurahi kuwa waislam DR.Sule ALLAHUMMA BAARIK INSHALLAH
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@@Nim68182 Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂 Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani, Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani. Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah. Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake. N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu. Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu. Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu, Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili 🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu
Uislamu ndio dini ya ukweli inawezekanaje huyo yesu ni mungu kisha ni binaadamu kama ww na kama ni mungu hao wazamani waliumbwa na nani kabla yake kizaliwa
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
Maraika toka lini akaandika. Malaika kazi yake nikuleta ujumbe kwa mtu alie teuliwa na mungu. Ndyo hao huandika. Vitabu. Sasa huyo maraika wakuandika. Qraani cvituko hivyo. Halafu shetani naye. Mmoja wenu😮 kituko
Subhaanallah we Muslims believe and trust in the Quran and every Quran is written and understood in Arabic with addition of unique translation based on the readers language but a Quran is original and has the same surahs regardless of geography but Bible is modified and every church has its own and they all different. That’s why there’s difference in Christianity. Either way, may Allah save us all including those who worship many gods and animals. At the end of the day we are all humans and didn’t ask to be here lol poleni Kiswahili kimenikimbia 😂😂 Ramadan Mubarak
Mara corowani kateremushwa Mbinguni Leo mwakubali ya kuwa kiliandikwa kwa mikono ya wamalaika watakatifu je huo Mtakatifu waandishi WA Muhamadi wakautosha wapi!
Waislam taq taq taqbiiiiirrrr!!!! Dr. Sule maashaallah!
Allahu Akbar
Mashaallah Allah akulinde Dr sule amkupe umri mrefu kwa kuulinda uislam . Waislam takbir.🤲🤲🤲🤲
Wislam gan anaulinda bal anatia haibu
Dr sule JazakaAllah Kheir Mungu akuzidishie elimu
Msomaji wakiislam nampenda maashaallah anasoma vizuri❤
Dkt sule mashallah mashallah Allah akubariki sana
Hongera Dacha ,
Dr sule hajajibu hoja ata moja ameagaika bure hadi akachoka bila point
Alhamdulillah Dr sule ww ni hatari sana,Allah SW akuzidishie
Unashabikia mganga??
Mashaallah Dr.sule m/mungu akuzidishie ghelimu na ufahamu zaidi
Yesu si mungu bali ni mtume ❤❤❤❤❤❤❤
Dr sule umepigaje apo😂😂 msomaji ubarikiwe uko vizuri sana
Ndacha unajielewa sana ubarikiwe ❤❤❤❤
Ndacha kweli ww ni innalilahi wanna ilaih rajiu unapotosha wenzio kwa Kur Ani yauongo.
😂😂😂😂😂 dr. Sule umepigaje hapo
Jazzakallahu khair Dr Sule 🙏
Dini ya mungu Iko wazi ktk vtabu vya mungu ,soma,3,19
Mashaallah by dr sule that is totally knockout
Nilichokisoma na Nilichokiona ni tofauti... Mungu akurehemu sanaa
Ma sheikh wetu nyie.ALLAH.awaweke myaka miya pasina maradhi ao uze
Mashaallah shekhe wetu❤
Mashaallah Allah awabariki masheikh wetu
MashaALLAH hawa wakristo hawana muelekeo juu mapaster wao wanawadanganya juu ukiulizwa maana ukristo nini?..
Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
Mungu akusamehe ww tubuu mapema maana umisha dini hiyo hako sahihi
Mash Allah sh sulee mabruk alek
Mashallah ushindi wetu waislamu innadina idallah al,islam
INNA DIIN GHINDA ALLAH AL ISLAAM
Uislamu ni raha sana ukweli wote umeelezew ndacha kama hautaki kusilimu jiandae na Moto wa jianam
Waislamu wana maneno lakini si neno la mungu
Dr sule takbiriiiiii
😂😂😂😂 haki najifunza vitu ving kupitia hii midaharo asee 😂😂
Yesu sio mungu
yesu mwana wa mungu
Endeleeni kuabudu jiwe jeusi la Makka
Huwa mnanifurahisha 😂😂😂 mungu azidi kuwajalia uzima na afya wote waislamu na wakristo coz tunaelimishana kimpango
Ndacha ni mpuuzi tu mim mwenyewe kutokana na huo mdaharo nimeamua kusilimu (MaashaaAlla)
Mashallah
Allha akuongoze kwenye haki,
Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua
Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote.
Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
Allah Akbar
Mashallah ❤❤❤
Huna akili
Mashallah
Tume mushukuru Allah kupitiya Dr SULE
Wewe, Mnafik, Allah HANA Broker, kama Sule, wala MTU yeyote!
@@molee2339hii inaweza kuwa shirki
Past. Ndacha ubarikiwe
Astaghafrullah mungu akusamehe ndacha...... Alhamdhulillah kwa mafunzo ya Dr. Sule Allah akuzidishie Insha'Allah 🙏
Sijui jina lake, Lakini kiukweli Mkristo kashinda debating fosho!! Mungu ni Mkristo
Maryam ALLAH Hasemehe makafiri kamwe
@@h.alshidhani8971
Mpaka asilimu
Knowledge and power of God be with you Ndacha.Jesus is Lord.continual revealing Jesus to Them.
wew acha upumbavu,kwahy had leo unaamin yesu ni mungu?mungu gan wa kumxhika nyie mukamuua mxalabak😂😂😂,hovyo mumetawaliwa na wazungu
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
OH POOR ON YOU THE BLIND OR HEART AND SOUL
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
Ndacha👋👋👋🤝🙏🔥📖
❤❤❤ Masha allah
Msomaji wa Kiislamu iko vizuri sana❤
MashaAllah
Allahu Akbar❤❤❤❤
Naam Manshaallah
ALLAH AKBAR
Jazakallahu kheir
Ndacha wafundishe neno waache maneno
Moto umewashwa kwa ajil ya majeuri allah aepushie mbali akuongoe na miongon mwa waliokufuata ndacha😭😭😭
Ndacha ww ni kipuuzi sana 😢😢😢😢. Dt sule mungu. Akupe maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Unalana pa kumtukana mwalimu ndacha
Mwalimu dacha Ako juu sana ,pia Ako na hoja zenye mzingi
Merci pasta wa chane
Safi ndacha kiboko yao waislamu hamuuwezi mziki wa yesu yesu Yuko kazini msipookoka basi Tena mnaenda kuhuukimiwa
Mafundisho Mazuri mubarikiwe
Hi
Mkusanyiko wa vtabu?hamjiuliz tuu Allah Waongoze
Swali gani?
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
Nafurahi kuwa muislamu ALHAMDULILLAH huyu ndacha hata mm namshinda🤣🤣🤣 hata hajui anaongea nn maskini karibu kwenye dini ya haki tunafurahi sana kuwa waislam tunafurahi sana wenzio washasilimu tunakusubiri ww tu unawaponza wenzio ndacha 🤣🤣🤣 UISLAM ndo dini ya haki wallah tunafurahi kuwa waislam DR.Sule ALLAHUMMA BAARIK INSHALLAH
Ndachaaaa mwalimu anae garagaza waislam
Mkristo wa kwanza ni Ibilisi pinga na hilo
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia
Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@@Nim68182
Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂
Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani,
Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani.
Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah.
Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake.
N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu.
Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu.
Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
Hahaaaa,,pole na Quran Yako ya kichawi
@@HappyMunisi-ig6he mkristo wa ni ibilisi ndacha mwenyewe amekubali andiko Hilo we nani ,makao makuu ya shetani kanisani we unasoma biblia Gani
Ubarikiwe saana mchungaji ,unachanganua vzr saana sielewi hata wanaposhindwa kuelewa ni wapi?
Ushawai sikia musilamu amemuelewa mcristo akiongia
Pongezi ndacha we love your❤
Pole msifuate mikusanyiko y a vitabu funguken Allah awaongoze
Niulize ,kwani taurati alopew nabii Moses katika Quran imo au
Mungu atu vushe
Ndacha fundisha hawa waokoke na moto wa jehanamu hawaijui hawa maana njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu. NI YESU KRISTO NDIYO NJIA KWELI NA UZIMA
Wewe una matatizo ki Akili. Huyu ndacha wako Kisha laanika utamwona baadae atakavyokuwa
Yesu katahiriwa
Wislam wezangu ndacha mwache awe mbishi lakin ubishi wake ndo chanzo cha kusilimu Allah amfanyie mwepesi dokta sule ishaallah
InshaALLAH mungu ampe nia ndacha na atasilimu juu wengi wao hao wakristo walikua wabishani mwisho wakasilimu wote kwa hvo imebaki ndacha
Tunakupa hizi haya Saba! Kwani mungu ni wangapi hao wanapea mtume Mohammed hizo haya?
@@onesmusmathitu8313
Hiyo ni lugha tu inatumika, kwenue lugha y kiarabu inatumika hivyo kwa wingi km ni kujitukuza
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu,
Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili
🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
Unaabudu mungu unampigia instrument na makelele zote
Ndacha amekuja kutafuta pesa kwnye ukristo lkn ukwl anaujua ulipo
Unashk bibilia na umetoka chooni kujipangusa na tissue,,dini gani hyo inaruhusu jina kitabu cha.mungu ukishike ukiwa mchafu
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
Thak bir
Waislamu takbir...tubatizwe wazeee ndacha zamisha kwa maji wote hao
Waislam takbirrrri
❤❤great
Ndacha hata ujikambe dini sahihi ni moja tu uisilim unapotea bure tu ila ww unajua vizur sana ila unapo tosha mwenzako
Ndacha we kiboko umefanya nianze kufuatilia chanel hii una mafundisho mazuri zaidi
True
Ndacha hana hoja hajuwi kujitetea masiiiiikiiini weeeee😅
Mungu akupe maisha malefu mtumish wa mungu ndacha wafundish wajue njia ya kweli ya mungu muumbaji wa vitu vyote
Mimi nilisema kuwa sule hana imani na Mungu
Mimi nimewapenda wote kwa kunipa ufahamu lakini napenda uyu ndacha anavyochambua vitabu vyote viwili nmekuwa mkristo toka utotoni na sioni pa kwenda.
safi
Akuna mwalimu wa kislamu anae weza ndacha kwa uchambuzi 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Dr sulle ndio dawa yake umejionea Wacha uwongo
Tumekupa hizi haya Saba! Kwani walimpea wakiwa naa nani na mungu ni mmoja?
😂😂😂 Keisha habari yak
Sasa kwa jina lk lilivyo unadhani utamkubali dk sule
Ndacha kapigwa ambush
Ndacha win %100 mungu atazami kama tunavyo tazama sisi ukiwa mkristo upo sehem sahihi
Issipo kupendelea sisi atumuwezi ndasha, ana upeo wa kuchambuwa vizuri maandiko ya Allah tena ampe nema ya kuwa mwisilamu ili tuongezewe na walimo
yupo kwenye dini ya kweri maelezo ya menyooka
Huyu ndacha hajui wala haelewi anacho ongea zaidi ya kupiga makelele
Inshaallah nimeujua ukweli najiunga na wakristo
Umepotea kabisa
karibu kwa dini ya ukweli,,,
Toka na mwanzo tu ww ni kafiri kwa lipi kubwa alilolisema ndacha kuacha dini yako yahaki na kuufuata ukiristo we huna akili kama ndacha
Huyu kafiri zaman
Ni kafiri tangia mwanzo,
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
Ameeeeeen ndacha Yes the lord Jesus Christ of Nazareth is the winner
Ny'oo atawakata siku ya mwisho hyo yesu manake mmemzushia uongo😢 sio mungu bhana acheni
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
Ukihamia ukiristo kumbe tunamuabudu Yesu sio MUNGU,hasara tupu.
Ndacha Ana utafauti na abujahar
Ndacha ni kiboko.🎉
Mwandishi acha ushabiki! Aliyechanganyikiwa ni Sule sio Ndacha! Hoja za Ndacha haziwezi kujibiwa na muislamu yeyote hapa duniani!
😂😂😂 kula chuma
Wewe ukilicto nn
Wambie
Nyie wapakwa mafuta
Kweli kabisa huyu ndacha ni moto
Ndacha utamueza wapi dokt sulee
Ndacha wewe umetumwa na mungu kuwaelimisha dini saf dini aliyoileta mungu duniani
Ya Allah muoneshe nuru ya uislamu kabla aujampata umaiti
Amin
Wape vidonge..yesu ni mashindi milele watake au wasitake
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu
Wa islamu ni wapinga kristo wapinga kristo ni watumwa wa shetani 😢
DR SULE MASWALI YAKO YANA PASWA KULIZWA NA MTOT WA MIAKA 10 UKO NAUWELEWA MDOGO
Woi!! Kumbe kila kanisa ina bibilia yake😂😂😂😂
Wanajitoa fahamu tuu
Uislamu ndio dini ya ukweli inawezekanaje huyo yesu ni mungu kisha ni binaadamu kama ww na kama ni mungu hao wazamani waliumbwa na nani kabla yake kizaliwa
Uyo ndacha angoje kuchomwa moto 2 jmn innalillah wainna ilaigh rajjiun
Ndacha hachomwi moto bali wewe utachomwa moto pamoja na mtume wenu. Maana anasema hajui atakachofanywa nae anangojea adhabu kama wewe una
@@peteremanuel8022ndomaan wanasem eti tumswalie mtume kmb hajui atakach fanywa😂😂
Na wewe Mungu akusamehe mana ujui unachoongea
Unapoteza wakristo wenzako na ilhali ukweli unajua uko wapi Allah akuongoze
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
Maraika toka lini akaandika. Malaika kazi yake nikuleta ujumbe kwa mtu alie teuliwa na mungu. Ndyo hao huandika. Vitabu. Sasa huyo maraika wakuandika. Qraani cvituko hivyo. Halafu shetani naye. Mmoja wenu😮 kituko
Kuanzia leo nabatizwa natoka uisilamu kumbe uisilamu sio dini
Ndacha ubarikiwe sana Mungu akutunze unaeleweka sana
Abarikiwe na mungu amueke....
Yaani we ndacha kweli chenga unakataa biblia ya kiafrika alafu unaitumia hiyohiyo kujengea hoja
Subhaanallah we Muslims believe and trust in the Quran and every Quran is written and understood in Arabic with addition of unique translation based on the readers language but a Quran is original and has the same surahs regardless of geography but Bible is modified and every church has its own and they all different. That’s why there’s difference in Christianity. Either way, may Allah save us all including those who worship many gods and animals. At the end of the day we are all humans and didn’t ask to be here lol poleni Kiswahili kimenikimbia 😂😂 Ramadan Mubarak
Ndacha Wacha MUNGU haitwe MUNGU nauwache kibishana nawatu hawaelewi wanataka kukuchamganya ndacha kua makini na hao watu wanafiki sana
It's part of teaching more to many .
Mara corowani kateremushwa Mbinguni Leo mwakubali ya kuwa kiliandikwa kwa mikono ya wamalaika watakatifu je huo Mtakatifu waandishi WA Muhamadi wakautosha wapi!
Hakuna vya subuhana huo ndooo ukweliii mwamini Yesu upate uzima wa milele achana na hadisi za watu ndugu walizo tunga wakiwa kwenye mapango
May Allah bless you our shks to open up the minds of the people,be careful dear muslems
Aha anawazong wasojua2