ZANZIBAR SASA NI ZAIDI YA DAMPO LA VIFAA VYA “USED” VILIVYOTUMIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 มี.ค. 2019
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga
Tatizo kubwa la Z'bar na la msingi halizungumziwi bali, yanayozungumzwa ni matokeo ya msingi wa tatizo lenyewe. Shida ya wananchi wengi wanapotoshwa mantiki halisi na kuzungumzia athari ya msingi wa tatizo lenyewe-Poleni sana shida ni yenu na wasimamizi wa visiwa vyenyewe ni wapishi wa hizo shida.
Tv ambayo inauzwa hapa unguja ukienda tanganyika huinunui lakin ss wafanyabiashara hapa unguja tunajitahidi kuuza rahisi Ila watanganyika wamepandisha ushuru ili kutengeneza mazingira wazanzibar tusiuze Ila tuwambie tu ndugu zetu sisi hatuanguki Kwa sababu yenu nyinyi we still fight
Mie nataka 📺 Tv ndugu yang, ntapata kwa kiasi gani huko?
KTV nyinyi noma mungu awalipe kheir kufichukua maovu na machafu 😎
Wanalipishwa ushur Mara mbili hvyo wabongo hawawez kja kvhkuwa tv
Vitu vya used ni vizuri ila vikiamua kuharibika Hodi kwa haziishi.
KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
Chembelepo ukisafiri kwa ndege kwenda dar husachiwi wanasema hiyo internal flight, lakini kwa boti utakoma kamasi za pua zitakutoka
maana nyengine
maelezo ni mengine.
kwani musiweke maana "Tanganyika inawalipisha ushuhuru mara mbili biashara inakufa znz"
ukisikiliza malalamiko wanunuzi ni kutoka bara sasa kule hukamuliwa ushuhuru
TATIZO NI SHETANI LILELILE MUUNGANO
Bara ulaya wew punda wee,mnadai zanzibar nchi mji mkuu upo wapi?
Nyie mbona mnafirana nawakati ile ile njia yakutolea mavi.alafu mnasema zanzibar nchi.hii siyo nchi huu mkoa.kama hii nchi nendeni mkawatoe wasenge wenzenu uamsho.
@Hamed Amour tulia wew mpumbavu wèwe unajifanya unajua kumbe taflani tuu.zanzibar siyo nchi narudia tena zanzibar siyo nchi...............huu mkoa ukitaka kuamini muulize mizengo pinda wazir mkuu mstaafu atakwambia
Bara si ulaya ustaarabu hamna kazi matusi na umbea tu ndo mnalolijua nyooni mxiuuu
tulia ww kiazi unajua kila kitu mmekopi zanzibar. soccer, siasa biashara, music ila ustarabu tu mnajaribu kuiga lkn hamuwezi cos nyy mishenzi mikabaji wauwaji watekaji umalaya mwingi yaan du!
Mbona mada na mahojiano ni vitu viwili tofauti,hamna welding waandishi
Zanzibar will not develop at all if the people don’t fight for their rights,😪
Nikweli
watanganyika salimin alivyofanya kuifanya Dubai ya zabibu
wanafiki na watanganyika wakatufanyia Dubai ya makorokoro
Abdul, naomba nitumie No
Uwii machogooo oyeee Tanganyika ulaya lkn tunakunya kweny mifuko kukoga hatujui ila tunawzarau wazanzibar why
Tnz bara wamezidi sana kitu umenunuwa unatakiwa ulipe pesa nyingi sana
Ipo haja Sasa Zanzibar na sisi kila anekuja c mzungu c Africa km c from zenji Kodi y kila kichwa buku tano lzm
Used things sio mbaya ikiwa inabei nafuu pia vitu vyenyewe vinadumu mda mrefu
Vinadumu lakini kwamwaka mmoja hodi kwa fundi haziishi.
@@josej9888 Ahhh basi hazifai. Mwaka sio kitu. Yafaa miaka 3 hadi 5
J JOSE hawa Bila ya used mungejua tv nyinyi mungejua maoveni mungetumia katel nyinyi chuki tu na uhasidi mitanganyika
@@princeganji2779 We umezoea kutusi wenzio ehh? Halafu unawadharau binaadam wenzako? Mbona used things zipo Ulimwengu nzima. Hussein Juma sina la ziada ila aliye juu msubirie chini 😜
Sham Moha hahahhahah shah ww umeona message zangu tu soma na zao acha shobo
Mm nina shida ya pirate 657 B simu smart 5 Infinx
Poleni ndio biashara musichoke kutafu riziki kila mtu na ridhiki yake
Watu wabahir sijui maana wanashindwa kusikiliza video ndo watoe comment ,ona Sasa wanatukana bila kujua
Una draya za salon
Ila ukitak kua mbaya dai chako
Pesa hatuna tutawezaje vipya
Mbona munapata tabu sana kodi ikipandishwa bila huruma na wewe pandisha bidhaa zako bila huruma
Nipo daslam maduka ya dar yapo wapi
nilivyosikiliza maelezo na maada ya ktv ni tofauti
SHETANI ndio LILELILE MUUNGANO
Vitu vishakua vya used lkn bado wanauza km vipya y.
Njoo ufanye ww biashara ili ujue biashara sio unapayuka tu
Ko ni nchi mbili? Sasa ushuru mkubwa unatoka wap? Wakati yote ni Tanzania?
C ndio dubai yenu hiyo
watanganyika salimin alivyofanya kuifanya Dubai ya zabibu
wanafiki na watanganyika wakatufanyia Dubai ya makorokoro balaa
da kwahili wacha nipite tu leo nimechoka sitochangia kitu
Dubwana limebana kila pahala lol
Bara Co wanabana ushuru mmezidi kuleta taka taka za warabu kwani cc uko Dubai atwendi tunaenda kila ck lakini atutaki kubeba uo uchafu maana dola elf 4 tu unajaza contena uza vitu vizuri kama kutoka uturuki India bei rahis na imara usichukue bora bidhaa chukua bidhaa bora
@Hamed Amour labda nikujuze tu mm sijawahi kufanya Kaz kwa mtu na wala cto fanya Kaz kwa mtu ao warabu mm nawaona kama takataka tu mm namfagilia mzungu mwenye akili zake kila kitu ktk hii dunia katengeneza mzungu, ww Leo hii unaangalia TV ya mzungu unapanda gr la mzungu ndege ya mzungu tren bus zahabu anachimba mzungu mafuta mzungu ao warabu labda kula tende tu
@Hamed Amour waarabu walikua awasikii mafirauni ndo maana wakashushiwe mitume ata kipindi iki c unawaona kuna mtu firauni duniani kushinda mwarabu iyo dini yenyewe uislam Jina tu awana habari nayo dini inapiganiwa na wahindi na wasomari wao bata tu
@Hamed Amour mm Co mkristo mm ni muislam Safi kabisa uo uislam unaendelezwa na wahindi ndugu yangu ktk Imani ao warabu wameuacha uislam ila kama unabisha bisha tu uo ndo ukweli halis
@Hamed Amour kumbuka mada ilivyo aanza mm sijambagua mtu ila ulizungumzia uislam na warabu ni kakwambia warabu uo uislam wameutupa kabisa na uo ndio ukweli yaani ni wa mm na kama wasingekuwa wa mm uislam ungeenea kwa Kas sana mm ndugu yangu natembea naona wahindi wanavyo jitahid ktk dini ww fiisabil laahi umemuona mwarabu gn? Iyo Co chuki ni uhalisia
@Hamed Amour uko sahihi kabisa ila warabu Co waislam ni Muslim maana ndo wabaguz wa kwanza duniani angalia wanavyo watendea waislam wenzao kama vile waindonesia wahindi wafilipino wanawatesa wanawachoma na pas wanawarusha magolofani vitendo viovu vingi tu ww mwenyewe unavijua je uo uislam ndo unasema ivyo ayo ndo mafundisho ya mtume wetu
Bandarini wanaudhi sana sana
Mungano oyyyeeeeee tutaisoma number bandari huru wameiyondoa tutaisoma number
Chakuweni tu ccm yenu
hapo hakuna muungano
Tatizo nyote biashara moja .inafanana
Pole sana Kwa uchizi
Wazanzibari Ndio Wanaosambaza Uchafu Kwasababu Badala Ya Kujituma Wajenge Viwanda Matokeo Yake Wananunua Vitu Vilivooza Na Kureta Uchafu Uku Bala Kuchafua Ali Ya Ewa Bola Wabanwe Tu Uchafu Wanaleta
kiswahili kinakupa tabu kidg
du jamaa amekuotea
@Hamed Amour Mzanzibari nimsafi nje ila ndani nimchafu kuliko mhindi.
@Hamed Amour Naona unatumia NGUVU nyingi sana kucomment humu upuuzi, halafu hilo unalosema sikuwahi kuliona nakama lilikuwepo bac nizamani sio karne hii tena, halafu Kwakuwa wazanzibari nimaskini nawakija bara wanapanga nakukaa nyumba zakimaskini/wapangaji, yale yawatu wachache mnayoyaona kwa watu maskini mnadhani wabara wote wapo hivo, jaribu kukua kiakili nasio kukalili jambo moja kila pahali unaongea hilohilo tu.
@Hamed Amour Huna hoja yamaana halafu inaonekana wewe nimbinafsi sana, hapa bara kuna wapemba wangapi nawaunguja wangapi wamejenga wakaoa nawanafanya biashara zao bila buguza? Halafu inaonekana hujitambui na hujui wazanzibari wafanyabiashara wanategemea sana wanunuzi wa biashara zao kutoka Tanganyika? Ukiendelea nawivu wako na ubinafsi wako utakufa maskini na hutakuwa namchango wowote kwenye family yenu.
Ushuru lazima kokote kule
Ndani kwa ndani au sio?
Hujui unachokiongea kaa kimya
@@princeganji2779 Ehh, we ndio unaejua kila kitu. Ndio maana watu kun'gan'gania ulaya na kushindwa endeleza nchini mwao. Ulaya imejengwa kwa kodi za wafanya kazi. Jua hilo mjuaji 😉
Sham Moha pole sana Kwa uchizi