MashaAllah shkh Othman tunakupenda kw ajili ya Allah..Allah atuongoze tuwe wasikivu na tuyatie ktk matendo yetu haya unayotuwaaidh akatukutanishe jannat firdaus In shaa Allah
Mashallah uzuri wa sheikh Othman anafundisha na anafurahisha leo kaniachia furaha ya kusikia "uso wangu kama mbuz bwanaa hauna haya na mtu"lakin ni ukwel ambao upo katika jamii zetu
Shukran sheikh Othuman kwa khutuba Allah akustili na kifo kibaya akujalie umri mrefu akujalie shahada pepo ikawe makao yako afya njema nakuombea.Shukran
MashaAllah Sheikh Sadaka yangu ni kukuombea wewe pamoja na wa Islam wote,waliotangulia, na walioko,na watakaokuweko hadi kiama, na kiwemo na mimi, naomba kila la kheiri,na kutukinga na kila la shari, utujaliye pepo yaa Allah ameen.
MashaAllah shkh Othman tunakupenda kw ajili ya Allah..Allah atuongoze tuwe wasikivu na tuyatie ktk matendo yetu haya unayotuwaaidh akatukutanishe jannat firdaus In shaa Allah
Shukran kwa Daawa shekhe Osman Maalim Allah akujaalie umri mrefu wa ibada Insha Allah 🇴🇲
KWELI KABISA SHEIKH ALLAH AATUONGOZE SOTE NA KILA MWENYE UPUNGUFU HUO AMEEN.
YAA KAREEM TUPE NURU WAISLAM WOTE DUNIANI UMPE KHER NA BARKA KAKA YETU SHEIKH OTHMAN MAALIM NA WENZAKE WANAOTUFIKISHIA KHER
Mashaallah Allah akuhafidh Maalim Othman Maalim🙏
Mashallah uzuri wa sheikh Othman anafundisha na anafurahisha leo kaniachia furaha ya kusikia "uso wangu kama mbuz bwanaa hauna haya na mtu"lakin ni ukwel ambao upo katika jamii zetu
Shukran sheikh Othuman kwa khutuba Allah akustili na kifo kibaya akujalie umri mrefu akujalie shahada pepo ikawe makao yako afya njema nakuombea.Shukran
Allah akuweke hai hata baada ya kuondoka duniani kwa elimu unayotuachia. amin.
Mashaallah, Allah nijaalie niwe na kauli njema daima na wala nisimuuzi Allah katika kauli zangu
MaashaAllah Othman Maalim..Baada ya Allah na mtume wake (S.A.W), na sababu ni wewe kwa mawaidha yako yamenipa muelekeo mzuri sana..JadzakaAllahu
Mashallah mungu akuhifadhi kwa mawaidha
nakusapot
Faulata Fahmi mashllh
Shukran jazakallahu khair ya maalim,mola akuzidishie uzidi kutufunza dini yake Allah
Bahati Jabri Saha KUMBUKA KU-SHARE
Insha Allah
Shukran sana sheikh wetu barraka allahu feek yaarab
MaaashaAllah .. Allah akuzidishie umri na afya uzidi kutufuta giza katika nyoyo zetu na mboni zetu Shukran jazillah kwa ukumbusho w
Ma shaa Allah maneno mazuri ya mazingatio shukran sheikh uthman maalim m,mungu akupe afya uzidi kutunufaisha
Masha Allah
Shukran Sheikh Allah akujazi kila la kheri akupe umri mrefu uzidi kutunaswihi
ALLAHU AKBAR mungu akupe kheri na akutiye peponi
Shukurn jazakllahu khery sheikh Mola atawalipa khery mashery wetu
Mashallah jazzakallah kheir mwenyezi mungu atajalia wepesi katika kila jambo la kheri Amin
Ma shaa Allah jazakallah kheri kul amatubul kher.
Mashaallah huyu mwalimu mawaidha yake napenda kuyasikiliza na Imani inapanda Allah akulipe
shukran shegh allah akuweke inshaallah
Asalam aleykum shekh Othman maalim Mola akuzidishie elmu tupate kunufaika
Subhanallah,mwenyeezi mungu akudhidishie kwa kutupa dawah.
Aslaam Alaykum Mwenyez Mungu akupe umr mrefu udumu ktk Dini sahh c nyengne icpokua ya kiislam il usambaze daawa inshaallah
Ma sha Allah ya rabbiy jalia tuwe miongon
Barakallahu sheikh Othman
Jadhakallahu kheri Allah atakulipa kwa hesani zako inshallah
Mashallah hakika yanenozur niswadaqa
Allahuakbar
Mashallah tutashiba na haya Alhamdulilah Allah awahifadhi mzidi kutuelimisha
MashaAllah Sheikh Sadaka yangu ni kukuombea wewe pamoja na wa Islam wote,waliotangulia, na walioko,na watakaokuweko hadi kiama, na kiwemo na mimi, naomba kila la kheiri,na kutukinga na kila la shari, utujaliye pepo yaa Allah ameen.
shukran sheikh Allah akuzidishie ilimu na umri, Amiin
Mashaallah shukran maalim
Jazzakallahu kheir
Allah akupe umri mrefu
Maashaallah ❤
MashaALLAH jazakALLAH kheir
Ahsant sheikh jazaka llahul kheir
Mashaallah allha akulipe imamu
Masha Allah Barak Allahu ma
mashaallha allha kareem
Mashallah
Mashaallah tabaraka llahu
Jazakallahulkher
Mashaallah
Mashaallah MMungu akupe afya..na ujuzi zaidi
jazakallahu kher shk othman
Mashallah mungu akujaliye kila lakheriy
shukran
Mungu akulipe kila khery by all means
Mashalah jazaka Allah kher
Fatma 12┬─┬ノ( º _ ºノ) ┬─┬ノ( º _ ºノ)
mashaallah tabarrakahu fiih
mashallaah mungu akuzidishie mema zaid
Mashaallah jazaka llah
bora ungekua sheikh wadunia
Mashallah kwa ukumbosho Mzuri Yah Allah tujalie mwisho ulikuwa mwema....
Ma shaa Allah Allah akujazie
Allah akujaalie kila la khair
Nakutakia life is good
Allah akulipe pepo
Inshallah mungu akuongezee
mashaallah
Mashaallah... Rabana fata bab aal kher, inch Allah.
Allahu akibr shukran shekhe
Masha Allah
Allah Akbar
MashaAllah.. Mmungu akulipe kheri kwa ukumbusho
Rahma Ali USISAHAU KU-SHARE
mungu awazidishie muzidi kutuelimisha tunaomba mututumie nyengine
Rahma Ali
Rahma Ali hujambo
Rahma Ali Aamin yaarab
MashaAllaah
Mashaallaah
Mashaaallah
Allah akupa daraja siku ya kiyama
Ameen
Ilahay ha ku siiyo khayr badan
maxhallah ukumbuxho n mzur ila 2ufnyie kaz
Wallwahi siokufundisha tu wallwahi anatubadilisha keauwezo wsallwah tueemiongoni mwahao
Sa.hashim
Shukran Maalim
mashallah
Maashallah, Allah (sw) akuzidishie nguvu na afya ya Kupendekeza da'wa.
Halymah Mwozar
Zuwena Abdallah و
Allah ayadumishe maneno mazri ktt mioyo ya waumini inshalah
swaddackta
swadakta ya shaikh
A
Inapendeza zaidi mkaandaa hivyo vipaza sauti kabla ya imam kuanza khutbah. Natanguliza samahani kama kuna nitarwakwaza ktk wazohili
Ma'sha'allah
Mashaallah mawatha mazuri kuyajua tena sana Allah akupe nguvu na afia na umri mrefu tuzidi kuyajua mengi
Masha Allah
Ya Allah tupe mafanikio
Jazakallahulkheir
Mashallah
shukran
Mashaallah
Masha Allah
mashaallah