TOT Y2K [Kwa Raha Zangu Taarab] [Kwa Raha Zangu Taarab] Taarab za zamani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2017
  • Usisahau ku subscribe kwenye link hii th-cam.com/users/BURUDANIAFR...
    Taarab za zamani
    TOT Y2K

ความคิดเห็น • 68

  • @BURUDANIAFRICA
    @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว +4

    Subscribe for more taarab music th-cam.com/users/BURUDANIAFRICA

    • @mercycarlos7397
      @mercycarlos7397 4 ปีที่แล้ว

      Mkuu naenda pata ule wimbo wa nipe nipe raha mtoto wakitanzania

  • @hamisimkongo1543
    @hamisimkongo1543 4 ปีที่แล้ว +8

    Back in 1999 au 98, nice memories from my mom

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 5 ปีที่แล้ว +5

    Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur

  • @kinnamaina7548
    @kinnamaina7548 5 ปีที่แล้ว +6

    Naipenda sana y2k enzi hizo nipo mdogo mwenyew, kwetu hata TV hakuna tunaenda kuangalia mtaa wa saba duuh.

  • @zuberimkala8273
    @zuberimkala8273 6 ปีที่แล้ว +7

    Those dayz nkiwa class 2 Kenya nlikua nimeikram yote hii nyimbo pamoja na paka mapepe

  • @jafaripaje5366
    @jafaripaje5366 4 ปีที่แล้ว +6

    Hiyo ulikuwa ni romours kuwa mwaka 2000 mwisho wa dunia kila kitu kitasimama including computer. Inakumnusha Marehemu Amina Chifupa akitanga Clouds

  • @rosepeter415
    @rosepeter415 5 ปีที่แล้ว +4

    Huu wimbo nakumbuka Morogoro nyumbani tulikuwa tunaimba hatariii Khadija wewe ni Mama yao

  • @nyangunyangu8679
    @nyangunyangu8679 5 ปีที่แล้ว +7

    Y2k.Namkumbuka mama kiboko. Ligula"b"Mtwara.

  • @faizmusaabdallah6430
    @faizmusaabdallah6430 5 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka hapo Khadija kopa anatoka na kuanza kujulikana Kenya niko shule ya msingi

  • @kitiarajabu5010
    @kitiarajabu5010 5 ปีที่แล้ว +13

    nimeomba sana muiweke kinyang'unya jamani hizi mm ndio nyimbo zangu nazipenda sana zinanikumbusha kipindi hicho nikiwa tanga

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 4 ปีที่แล้ว +2

    Y2k na hangaisha wasomi ,doctors na engineers😘😘😘😘😘

  • @mavumbamavumba1927
    @mavumbamavumba1927 5 ปีที่แล้ว +3

    Wakati huu Khadija kopa ndipo alipokua anaimba, asahivi amekwisha hana lake jipya, hakuna wa kushindana nae.

  • @sahirjuma2266
    @sahirjuma2266 2 ปีที่แล้ว

    Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia

  • @victormkongewa5229
    @victormkongewa5229 6 ปีที่แล้ว +6

    Aa lovely song remember me tanga chumbageni mallet.2000 wapi br Flavian christopher

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @zakiadaudi2401
    @zakiadaudi2401 5 ปีที่แล้ว +3

    Y2k haichuji 💞💞🔥💝😘😍cyo mitaarabu ya sasa!

  • @zaitunadila5688
    @zaitunadila5688 ปีที่แล้ว

    Jamani kwa raha zangu

  • @himaryamhaidar5612
    @himaryamhaidar5612 5 ปีที่แล้ว +1

    Kibokoo kweeli mammmaaaahhh...penda saana huna mbaya...

  • @issahasan1299
    @issahasan1299 ปีที่แล้ว

    Zamani gani ngoma ilitikisa sana hiyo mwenyezi atupe umri mrefu

  • @nyangunyangu8679
    @nyangunyangu8679 5 ปีที่แล้ว +4

    Mambo ya pwani. Yaliyopita yanafuraisha.

  • @ayshaaysha9650
    @ayshaaysha9650 5 ปีที่แล้ว +5

    YAKALE DHAHABU HADIJA HAP BIG UP BUT NOW NOT NISE

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 5 ปีที่แล้ว +5

    1995 henzi hizo taraabu taraabu kweli,sio sasa mugokaa mtupu tu.

    • @maimunaathman4664
      @maimunaathman4664 4 ปีที่แล้ว

      😁😁😁 ety mugokaa

    • @switnush5885
      @switnush5885 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂 Dah! Mbona unasema ukweli sana?

  • @richbird.123
    @richbird.123 5 ปีที่แล้ว +4

    Yanikumbusha mbali sana yaani hapo bado mdogo na harusi nyumbani zikiwa kwa wingi naomba uniekee ila zoba zoba ilooo

  • @safiababu9266
    @safiababu9266 5 ปีที่แล้ว +1

    Khadija Kopa zamani sio sasa balaa

  • @princetevee8663
    @princetevee8663 3 ปีที่แล้ว +1

    Tunaosikiliza 2021 gonga like tuonane

  • @mwanaharusiabdallah7054
    @mwanaharusiabdallah7054 5 ปีที่แล้ว +2

    Jamani enzi hizo niko kama wote vilee bado sijaitwa mama

  • @aminaabubakar4784
    @aminaabubakar4784 5 ปีที่แล้ว +3

    ujana ni moshi jamani

  • @farajimtima9331
    @farajimtima9331 6 ปีที่แล้ว +7

    Hizi ndio taarabu

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Asante. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @nganzirashidi1463
    @nganzirashidi1463 5 ปีที่แล้ว +2

    Enzi za 97 nakumbuka mengi sana

  • @asmaally1621
    @asmaally1621 3 ปีที่แล้ว

    Naipenda sana hii taarabu

  • @halimarajabkenya9413
    @halimarajabkenya9413 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapa raha tuuuu, hizi ndo taarab za kuskiza yaani moto

  • @gideonmsangi3844
    @gideonmsangi3844 6 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana enz hzooooo

  • @yegedegede5722
    @yegedegede5722 2 ปีที่แล้ว

    Mungejua ninavyo jimwayamwaya saa nane hii na nyimbo hii nimekosa usingizi basi burudani tupu

  • @frankfranklyn376
    @frankfranklyn376 3 ปีที่แล้ว

    Nikisika hii nyimbo najiona bikra vile.. enzi hizo sijui madem n nn.. enzi hizo nategemea kuletewa sio leo naenda mbio ndio nile.

  • @kacimonpoint4598
    @kacimonpoint4598 2 ปีที่แล้ว

    Just great

  • @farajimtima9331
    @farajimtima9331 3 ปีที่แล้ว

    Marekani na Japan walikaa kunifikiria

  • @maximobonga9617
    @maximobonga9617 5 ปีที่แล้ว +3

    safii

  • @naimabwinga8572
    @naimabwinga8572 6 ปีที่แล้ว +2

    y2k 2000 hii.when i was young

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @salumally926
      @salumally926 5 ปีที่แล้ว

      Y2K inanikumbusha nipo form three ilikuwa c mchezo

  • @njokasamwel5226
    @njokasamwel5226 6 ปีที่แล้ว +3

    cool songs

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends

  • @aishaally8062
    @aishaally8062 3 ปีที่แล้ว

    Pambe tuuuuuuuuuuuuiuuuuu.

  • @lizzygold2484
    @lizzygold2484 6 ปีที่แล้ว +3

    ezi zetu temeke kata kumi na mne lrikuwa sio powa

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @jafaripaje5366
      @jafaripaje5366 4 ปีที่แล้ว

      Hahahahaha!! Kulikuwa na vibaka sana akina Kadasi, Jumanne n.k. Nilikuwa naishi Vertinary kituo Cha magari ya Mwenge Tazara.

  • @mohammedmtinangi846
    @mohammedmtinangi846 6 ปีที่แล้ว +1

    Laa hee hapa ndo pake

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @mwanahindusheha3303
      @mwanahindusheha3303 5 ปีที่แล้ว

      Raha tupu

  • @jumadea6899
    @jumadea6899 4 ปีที่แล้ว

    hatariiii

  • @jumadea7957
    @jumadea7957 6 ปีที่แล้ว +3

    kipindi hicho wanachuana na Nasma kidogo

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @azizaharuna6508
      @azizaharuna6508 3 ปีที่แล้ว

      Mama tupia homa la jiji humu

  • @williammatayo2811
    @williammatayo2811 3 ปีที่แล้ว

    TH-cam

  • @zainabujafari4542
    @zainabujafari4542 5 ปีที่แล้ว +2

    Nilikua bado mdogonikiisiliza kama imeimbwa leo