Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur
Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia
Subscribe for more taarab music th-cam.com/users/BURUDANIAFRICA
Mkuu naenda pata ule wimbo wa nipe nipe raha mtoto wakitanzania
Back in 1999 au 98, nice memories from my mom
Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur
Naipenda sana y2k enzi hizo nipo mdogo mwenyew, kwetu hata TV hakuna tunaenda kuangalia mtaa wa saba duuh.
Those dayz nkiwa class 2 Kenya nlikua nimeikram yote hii nyimbo pamoja na paka mapepe
Hiyo ulikuwa ni romours kuwa mwaka 2000 mwisho wa dunia kila kitu kitasimama including computer. Inakumnusha Marehemu Amina Chifupa akitanga Clouds
Huu wimbo nakumbuka Morogoro nyumbani tulikuwa tunaimba hatariii Khadija wewe ni Mama yao
Y2k.Namkumbuka mama kiboko. Ligula"b"Mtwara.
Nakumbuka hapo Khadija kopa anatoka na kuanza kujulikana Kenya niko shule ya msingi
nimeomba sana muiweke kinyang'unya jamani hizi mm ndio nyimbo zangu nazipenda sana zinanikumbusha kipindi hicho nikiwa tanga
kweli wimbo wa kinyang`unya ….
Andika jinalake vzr itatoka
Naupenda
Pia mm naipenda kinyangunya sn... naomba muilete humu
Y2k na hangaisha wasomi ,doctors na engineers😘😘😘😘😘
Wakati huu Khadija kopa ndipo alipokua anaimba, asahivi amekwisha hana lake jipya, hakuna wa kushindana nae.
Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia
Aa lovely song remember me tanga chumbageni mallet.2000 wapi br Flavian christopher
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Y2k haichuji 💞💞🔥💝😘😍cyo mitaarabu ya sasa!
Jamani kwa raha zangu
Kibokoo kweeli mammmaaaahhh...penda saana huna mbaya...
Zamani gani ngoma ilitikisa sana hiyo mwenyezi atupe umri mrefu
Mambo ya pwani. Yaliyopita yanafuraisha.
YAKALE DHAHABU HADIJA HAP BIG UP BUT NOW NOT NISE
1995 henzi hizo taraabu taraabu kweli,sio sasa mugokaa mtupu tu.
😁😁😁 ety mugokaa
😂😂😂 Dah! Mbona unasema ukweli sana?
Yanikumbusha mbali sana yaani hapo bado mdogo na harusi nyumbani zikiwa kwa wingi naomba uniekee ila zoba zoba ilooo
Khadija Kopa zamani sio sasa balaa
Tunaosikiliza 2021 gonga like tuonane
Jamani enzi hizo niko kama wote vilee bado sijaitwa mama
ujana ni moshi jamani
Hizi ndio taarabu
Asante. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Enzi za 97 nakumbuka mengi sana
Namaliza shule
Naipenda sana hii taarabu
Hapa raha tuuuu, hizi ndo taarab za kuskiza yaani moto
Safi sana enz hzooooo
+Gideon Msangi kabisa. Na usisahau Ku share na marafiki
Y2k yaniku mbusha mbali sana
Salaam Ktambo
Mungejua ninavyo jimwayamwaya saa nane hii na nyimbo hii nimekosa usingizi basi burudani tupu
Nikisika hii nyimbo najiona bikra vile.. enzi hizo sijui madem n nn.. enzi hizo nategemea kuletewa sio leo naenda mbio ndio nile.
Just great
Marekani na Japan walikaa kunifikiria
safii
y2k 2000 hii.when i was young
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Y2K inanikumbusha nipo form three ilikuwa c mchezo
cool songs
Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends
Pambe tuuuuuuuuuuuuiuuuuu.
ezi zetu temeke kata kumi na mne lrikuwa sio powa
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Hahahahaha!! Kulikuwa na vibaka sana akina Kadasi, Jumanne n.k. Nilikuwa naishi Vertinary kituo Cha magari ya Mwenge Tazara.
Laa hee hapa ndo pake
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Raha tupu
hatariiii
kipindi hicho wanachuana na Nasma kidogo
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Mama tupia homa la jiji humu
TH-cam
Nilikua bado mdogonikiisiliza kama imeimbwa leo