Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa Nicheki kwenye namba hizi 0679930776 na whatsup 0752341449
Nilidhani mimi chanda na wewe ni pete yangu, ikawa ninakupenda kukuona umwenzangu, kumbe nimefuga donda 'lilowashinda wenzangu, ikawa wagawa tender hata kwa rafiki zangu, toka bibi fanya nenda bora niishi kivyangu, mimi sili vya kuvunda hilo ni sindiko langu, Wewe si mtu ni sanda, nahofu uhai wangu, Ama kweli mlezi wako anokulea---ana hasara Ama kweli Mwalimu wako anokufundisha---ana hasara Ama kweli mzito wako anokulea--Ana hasara Ama kweli mchumba wako ulompata---ana hasara mdogo wa kimo una mambo wewe, unamambo wewe, una mambo, nimeshaamini chochote kizuri hakikosi kasoro
Ukiisikiliza ule mstari anasema ..mdogo wa kimo unamambo wewe .. Ahaha nakumbuka hii kanda iliuzika saana kuanzia 2000 ilisumbua vbaya mnoo wale wahenga wenzangu tukumbukane unaikumbuka hii ulikuwa wapi!?
Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa
'Duka lako la asali sasa linanuka shombo'...wah!!reminds me wen in Form 2 matuga gals,Mr Mangi,Sanga (RIP)and Sawa loves the song.big up 2019.miss those days
daah c semi kitu najikutatu nina raha kupindukia natoa stress za warabu: na jiona tu nikitingika hata cna habari hahahaaaaa hapo cha cha watu wa warabuni mko wapi jamani?
Subscribe for more taarab music th-cam.com/users/BURUDANIAFRICA
Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa
Nicheki kwenye namba hizi 0679930776 na whatsup 0752341449
@@mbesherejoh4219 and
@@mbesherejoh4219 and
@@mbesherejoh4219 instagram.com/explore/tags/sreee/?hl=en
#sreee hashtag on Instagram • Photos and Videos
@@mbesherejoh4219 hhhhhhhh
Twende twende foo (2024) bado tupo na Ally Star
Kama bado unaisikiliza hii 2018 na inakukumbusha mahali Fulani hapo zamani gonga like please
Godfrey Jwangi nice art the for the upload ninzuri inmafunzo
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Godfrey Jwangi nitaftie wimbo unaoimba NATANGA NA NJIA , WASAP 0765360946
Godfrey Jwangi nakumbuka enzi za TvT
From 2000 till 2023 still rocking!!!!! 🥳🥳🥳🥳🥳🥳❤❤❤❤💖
Wow! napenda sana huu wimbo tangu 2000 hadi wa leo hauzeeki
Wewe ujumbe mzuri sana Africa Kila ausikilizae wimbo huu lazima ukumbuke miaka 25 iliyopita utajua ulikuwa wapi
Yaani haya maneno Bora mama yake angemzaa mbuzi angewauzia wapika supu angekua na faida
Kitambo Sana dah miaka ya 2000 nikiwa darasa la nne,,dah nimekumbuka Sana home mtwara
Nilidhani mimi chanda na wewe ni pete yangu, ikawa ninakupenda kukuona umwenzangu,
kumbe nimefuga donda 'lilowashinda wenzangu, ikawa wagawa tender hata kwa rafiki zangu,
toka bibi fanya nenda bora niishi kivyangu, mimi sili vya kuvunda hilo ni sindiko langu,
Wewe si mtu ni sanda, nahofu uhai wangu,
Ama kweli mlezi wako anokulea---ana hasara
Ama kweli Mwalimu wako anokufundisha---ana hasara
Ama kweli mzito wako anokulea--Ana hasara
Ama kweli mchumba wako ulompata---ana hasara
mdogo wa kimo una mambo wewe, unamambo wewe, una mambo,
nimeshaamini chochote kizuri hakikosi kasoro
Malizia wimbo kaka
Good!
Na upenda Sana uno wimbo toka nko class3 mpka ss bado ua napenda Sana👌👌💕 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Asante home sweet home kumbuku zinarudi nyuma
Dah kitambo sana nymbo hii. Umegeuka gobore kubeba kila mgambo....hua nikiumizwa na mwanamk naskilza nymbo hii
Back in da days nikiwaq kijana mdogomdogo tu 1999 school isevya form three. maishs yanaenda kasi sana
Kwel nyimbo bado ipo vzur imenkumbush mbal san miak ya 2004 bdo nskiliz mpk leo 2020
Weuweeeeeee hadi raha 2020 ngoma haijazeeka
Nimeitafuta muda mrefu sana hatimae
niko hapa 2020 (dwendi dwendi)
Nadhani niliusikia wimbo mara ya kwanza mwaka 2001. Nilicheka sana ile sentensi inyohusu "kugombiniwa kama mpira wa kona!"
+Majura Selekwa he he. Enjoy kabisa and share with friends
Wimbo huu ni mtamu
Moira.wa.kona
🤣🤣🤣
Alosikiliza wimbo huu 2020 tujuane 🔥🔥
Nipo hapa😀😀😀😀
nairobi 2020🔥
Nipo hapa nlisikiliza sana
Enzi hizoooooooooooooooooo.....nakumbuk sana hii track.
Nakumbuka Musoma Mjini kwetu aah Jaman Raha sana
Oyooo hadi raha jamani enzi hizo nikiwa bado mdogo
Muziki unaishi jamani nyimbo ziliimbwa zamani kma huu wimbo unakukumbusha kitu tia like hapo haijalishi ni majonzi au furaha ❤❤
Hapo nakumbuka kaka yangu kaja na radio kaset kutoka moro dah ilikua shida kijijini huko uparen
My mom would play this all morning on repeat … good old times
Duh nyumba zilo nakumbuka mombasa Nairobi na Kampala coach FULL HANDAZ NAMA YONDA
Ukiisikiliza ule mstari anasema ..mdogo wa kimo unamambo wewe .. Ahaha nakumbuka hii kanda iliuzika saana kuanzia 2000 ilisumbua vbaya mnoo wale wahenga wenzangu tukumbukane unaikumbuka hii ulikuwa wapi!?
Nasoma kipindi hicho jamani wahenga raha sana
Tuliosikiliza huu wimbo 2023 tujuane
Tupooo mi ndo ngoma zangu hzo 😅😅❤
Aaah utamuuu sio🎉🎉❤ ngoma haijazeeka
Wow ad raha ndani ya Qatar wapi wenzangu stress za waarabu zipite na kuleeeee
Weye 😂😂
Doha ndaniii
Tupoo atuvumi
Nakumbuka huu wimbo dadangu akiolewa 2000 wanikumbusha mbali
nov 2020 twende sawa
Amakweli mleziwako alokulea Kala asala amakweri mwalim wako alokufundisha Kala hasala walaufanani navyako vitendo unamambo wewe😁😀😁😀👏👏👏👍👍👍💗💝❤💓💕Kama unasikiliza ngoma him 2018 gonga like twendesawa
Mtoto wa kilosa ally hemedi stat
Daaah 2019 na wimbo bado unanikumbusha miaka ya mwanzoni mwa 2000
unakumbuku wapi?
Napoteza stress kutika Lebanon loving it nakumbuka Enzi hizi
Taarabu imenipeleka mbaliiiiiii
Haya wote wa 2022 vidole juuuu❤
Nani tupo huku 2023??
Leo nimekumbuka mbali mitaara Kama hii hatwariiiiiii sana
Duh nakumbuka nipo hoi kitandani
Kicking stress out this corona period najipa rahaaaa
Gonga like kama leo hii unatimiza myaka 20 unasikilza hiii kitu kwa mara nyingine
Naupenda sana huu wimbo
doooh enzi hazirudi nyuma.... nakumbuka mbali Sana aisee
Jamani ntafuta nyimbo za huyu ally star za zamani aliekua nazo antumie 0712576523. Na nnatoa na pesa kwa aliekua nazo
Hasa natanga na njia jmn kwa yoyote antumie nalipa na pesa 0712576523
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Misambano
Tunaombeni Ndugu nyimbo za ABDUL MISAMBANO akiwa T.O.T
sawa. zipo njiani
Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa
Mbeshere Joh nipe nipe raha mtoto wa kitanzania nipe nipe raha nakupenda ile mbaya
Nyimbo iliimbwa na Othman Soud akiwa TOT sio Khadija kopa..
kk unaweza sana ludi kwenye game mziki wa taarabu haupo Tena kk ludi nakumbuka mwaka 2001 nyimbo ilitamba sana by Konga times baby
Nzuri mda dah2000
@@issaally7928 and
Dah nakumbuka maisha fulan kilosa mama yng bado yu hai. Rip Mama I love yu
Mdogo wa kimo ha haaaa 😂
Esther Chamhene 😂😂😂😂😂
Esther Chamhene mpe tekeee
Tuliozaliwa 2000 hapa sijui tunaelewa kweli
Umesahau we si MTU ni sanda
Hata wangetoa ngapi mtunzi anajua kuchana sio mchezo naipenda sana imetulia za kale dhahabu!!
mmhhh enzi zile vya nivizuri sana nakumbuka 2000 ama kweli jaman
Miaka hiyo ndiyo tunazaliwa nyie mushaanza kuzijua nyimbo
TOT those days Safi Sana...
mpira wa kona,mama huruma...true story hiyo
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Wapi Aly star enzi hizo mala ya mwisho nimekuona moi kwenye mazoezi
'Duka lako la asali sasa linanuka shombo'...wah!!reminds me wen in Form 2 matuga gals,Mr Mangi,Sanga (RIP)and Sawa loves the song.big up 2019.miss those days
RIP....hatuvumi ila tumo!!
Naomba nyimbo ya shalila imetungwa na aliy hemedi star na kuimbwa na malkia nasma khamisi kidogo
Sang alifariki😭😭😭
Makubwa hayoo lo!!! Wewe si mtu ni sandals wooiiii
nyimbo inanikumbusha mbali sana toka 2001 nikiwa na marafiki zangu
Endelea ku enjoy taarb music. Na usisahau ku share na marafiki
MIMI NAKUMBUKA NIKIWA TABORAA FORM THREE 1999
Niliishi kumsikia mama anauskiza taarabu hii...leo nimeitafuta...maneno dah!!
Nimeshaamin chochote kizuri hakkos kasoro 2020
Good song old is good
Duh unanikumbusha mbaali saana hadi nalia,yani ulipotoka wimbo huu mwaka 2000 ndo mwaka aliokufa mama yng,
Pole sana Aisha. Nafurahi una enjoy
Aisha Khamis Allah amsamehe madhambi yakeeee
Iñnalilah wainnailaihi rajiun...zidi kumuombea duah..! Tuwe pole sote
@@katore1982 Amin🤲
Old is gold
JUISI YA MUWA TUPE BURUDAN
Nimekumbukuka mbali sana
Mara kwanza kuskiza ilikua April 2001
Tam sna hii taarabu uwiii
Welaaaaaaa hatar Sana👌👌👌👌👌
Mwimbo umenikumbusha zamani duuuu 2000 enzi ye Y2K
Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends
Hatariiiiii hili song
Maskini moyo Wangu nilidhani Mimi chanda na wewe no Pete yangu ooo nahofu uhai Wangu 1998
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
This is my favorite song. I listen to it everyday
Nimesha amini chochote kizuri hakikosi kasoro
+Ba Fazul kabisa
Hahahahaaaa yani nikisikilizaga huo unanikumbusha mwaka 2000 nikiwa nzega
Old is gold as we rock 2021...🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊
2021☝
Tutumie nyimbo ya shalila tot taarabu mwimbaji nasma khamis mtunzi aliy hemedi star
2021 nasikiliza hili goma bora la muda wote
Nikiwa mmama wa mtt mmoja Bado
Asante sanaa Burudani Endelea kutuekea hizi taarab za zamani ni Poa sana.Mama huruma huyooo
Tunaombeni nyimbo ya kisonoko, kitanda,
Nilitafuta hu wimbo kwa miaka 10 leo nikaupata nikaona raha mpaka nilikumbuka Africa kwetu jamani ...i miss you Africa.muahh
karibu sana mwanahalima mwachili. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
subscribe for more. nita upload nyimbo hivi karibuni
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
uwi nainjoy 2019 hatar xana
Daaah bado inaishi hii taarabu mujarabu kabisa
Nyimbo ya ukikerekwa, natanga nanjia ,kidege zipost nazenyewe jmn
my childhood star..mko wapi jamani mbona mlinoga
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Zamani raha sana jmn
when Taarab was real ..#DemDaiz really enjoyed
Yeeeeeeera 2019 bado ni moto
Yaan uyu mZee na Misambano ndio walifanya nianze kusikiliza taarabu
Daah 2020 nasikilza
My first time to lestin to this wonderful song, a'v been replaying since morning very nice lyrics.
Nice song and very nice lyrics and melodies. Please dont forget to share na marafiki, facebook, whatsapp and twiter. Mungu akubariki
Inanikumbusha mbali Sana
daah c semi kitu najikutatu nina raha kupindukia natoa stress za warabu: na jiona tu nikitingika hata cna habari hahahaaaaa hapo cha cha watu wa warabuni mko wapi jamani?
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
tupo sote dadaa
Mariam K Fondo uko,wee?
Inanikumbusha mbalisana
good
Napenda,sana
acha kabisa hii kitu
Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends
Mie niko 💃💃💃💃🌹🌹🌹
2021 bado havumi na kumbe yumo
Wapi SANAMU la michelini
2024 steal watching
hapo kwa kugombaniwa kama mpira wa Kona duuuu noma
Hahaha
Hizo ndizo zenyewe
2000 💪💪🇹🇿🇹🇿🔥🔥
2020
2020 still rocking 🔥 🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃👌👌👌
duka la asali linanuka shombooo hahahaaaaaaaa
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Kama unakumbuka ilivotesa kisumu social centre hall miaka ya 2001-4 jitambulishe
Natafuta na ‘cyborg una nini wewe’.... unaitwaje uo wimbo