Ally Stars TOT Hauvumi lakini umo [Kwa Raha Zangu Taarab] [Kwa Raha Zangu Taarab] Taarab za zamani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2017
  • Usisahau ku subscribe kwenye link hii th-cam.com/users/BURUDANIAFR...
    Taarab za zamani
    Hauvumi lakini umo -Ally Stars

ความคิดเห็น • 281

  • @BURUDANIAFRICA
    @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว +16

    Subscribe for more taarab music th-cam.com/users/BURUDANIAFRICA

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 6 ปีที่แล้ว +2

      Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa
      Nicheki kwenye namba hizi 0679930776 na whatsup 0752341449

    • @willi.kagoroba.5393
      @willi.kagoroba.5393 3 ปีที่แล้ว +2

      @@mbesherejoh4219 and

    • @willi.kagoroba.5393
      @willi.kagoroba.5393 3 ปีที่แล้ว +2

      @@mbesherejoh4219 and

    • @willi.kagoroba.5393
      @willi.kagoroba.5393 3 ปีที่แล้ว +2

      @@mbesherejoh4219 instagram.com/explore/tags/sreee/?hl=en
      #sreee hashtag on Instagram • Photos and Videos

    • @mwasitisaidy3632
      @mwasitisaidy3632 ปีที่แล้ว

      @@mbesherejoh4219 hhhhhhhh

  • @wazirbashir7626
    @wazirbashir7626 5 หลายเดือนก่อน +2

    Twende twende foo (2024) bado tupo na Ally Star

  • @techfreenolqdp
    @techfreenolqdp 6 ปีที่แล้ว +84

    Kama bado unaisikiliza hii 2018 na inakukumbusha mahali Fulani hapo zamani gonga like please

    • @halmakinty962
      @halmakinty962 6 ปีที่แล้ว +2

      Godfrey Jwangi nice art the for the upload ninzuri inmafunzo

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว +1

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @japhetkabogo1610
      @japhetkabogo1610 6 ปีที่แล้ว

      Godfrey Jwangi nitaftie wimbo unaoimba NATANGA NA NJIA , WASAP 0765360946

    • @hadijashabani6233
      @hadijashabani6233 6 ปีที่แล้ว

      Godfrey Jwangi nakumbuka enzi za TvT

  • @ceciliahobuyah1582
    @ceciliahobuyah1582 11 หลายเดือนก่อน +5

    From 2000 till 2023 still rocking!!!!! 🥳🥳🥳🥳🥳🥳❤❤❤❤💖

  • @t7zkc5tpxgim28
    @t7zkc5tpxgim28 4 ปีที่แล้ว +9

    Wow! napenda sana huu wimbo tangu 2000 hadi wa leo hauzeeki

  • @mwisyopatrick7203
    @mwisyopatrick7203 ปีที่แล้ว +3

    Wewe ujumbe mzuri sana Africa Kila ausikilizae wimbo huu lazima ukumbuke miaka 25 iliyopita utajua ulikuwa wapi

  • @williamelias3094
    @williamelias3094 4 ปีที่แล้ว +4

    Yaani haya maneno Bora mama yake angemzaa mbuzi angewauzia wapika supu angekua na faida

  • @kuruthumuomary8398
    @kuruthumuomary8398 4 ปีที่แล้ว +6

    Kitambo Sana dah miaka ya 2000 nikiwa darasa la nne,,dah nimekumbuka Sana home mtwara

  • @suleimanimran3424
    @suleimanimran3424 5 ปีที่แล้ว +24

    Nilidhani mimi chanda na wewe ni pete yangu, ikawa ninakupenda kukuona umwenzangu,
    kumbe nimefuga donda 'lilowashinda wenzangu, ikawa wagawa tender hata kwa rafiki zangu,
    toka bibi fanya nenda bora niishi kivyangu, mimi sili vya kuvunda hilo ni sindiko langu,
    Wewe si mtu ni sanda, nahofu uhai wangu,
    Ama kweli mlezi wako anokulea---ana hasara
    Ama kweli Mwalimu wako anokufundisha---ana hasara
    Ama kweli mzito wako anokulea--Ana hasara
    Ama kweli mchumba wako ulompata---ana hasara
    mdogo wa kimo una mambo wewe, unamambo wewe, una mambo,
    nimeshaamini chochote kizuri hakikosi kasoro

  • @fatimambarak9474
    @fatimambarak9474 3 ปีที่แล้ว +3

    Na upenda Sana uno wimbo toka nko class3 mpka ss bado ua napenda Sana👌👌💕 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @sangomamourice6331
    @sangomamourice6331 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante home sweet home kumbuku zinarudi nyuma

  • @aishaomari1025
    @aishaomari1025 4 ปีที่แล้ว +4

    Dah kitambo sana nymbo hii. Umegeuka gobore kubeba kila mgambo....hua nikiumizwa na mwanamk naskilza nymbo hii

  • @jumanzige9644
    @jumanzige9644 2 ปีที่แล้ว +2

    Back in da days nikiwaq kijana mdogomdogo tu 1999 school isevya form three. maishs yanaenda kasi sana

  • @ibrahimramadhan8228
    @ibrahimramadhan8228 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwel nyimbo bado ipo vzur imenkumbush mbal san miak ya 2004 bdo nskiliz mpk leo 2020

  • @mwatumudogo3948
    @mwatumudogo3948 3 ปีที่แล้ว +8

    Weuweeeeeee hadi raha 2020 ngoma haijazeeka

  • @josephabel7654
    @josephabel7654 4 ปีที่แล้ว +4

    Nimeitafuta muda mrefu sana hatimae

  • @kimutaiboit8516
    @kimutaiboit8516 4 ปีที่แล้ว +7

    niko hapa 2020 (dwendi dwendi)

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 6 ปีที่แล้ว +28

    Nadhani niliusikia wimbo mara ya kwanza mwaka 2001. Nilicheka sana ile sentensi inyohusu "kugombiniwa kama mpira wa kona!"

  • @maryambailakhunani3360
    @maryambailakhunani3360 4 ปีที่แล้ว +17

    Alosikiliza wimbo huu 2020 tujuane 🔥🔥

  • @emmanuelikomba3190
    @emmanuelikomba3190 4 ปีที่แล้ว +4

    Enzi hizoooooooooooooooooo.....nakumbuk sana hii track.

  • @zulphakajala8141
    @zulphakajala8141 3 ปีที่แล้ว +4

    Nakumbuka Musoma Mjini kwetu aah Jaman Raha sana

  • @zawadimnyazi4866
    @zawadimnyazi4866 5 ปีที่แล้ว +4

    Oyooo hadi raha jamani enzi hizo nikiwa bado mdogo

  • @user-xx3ym4hl7y
    @user-xx3ym4hl7y 5 หลายเดือนก่อน +2

    Muziki unaishi jamani nyimbo ziliimbwa zamani kma huu wimbo unakukumbusha kitu tia like hapo haijalishi ni majonzi au furaha ❤❤

  • @subirakibona5161
    @subirakibona5161 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo nakumbuka kaka yangu kaja na radio kaset kutoka moro dah ilikua shida kijijini huko uparen

  • @noahkhalifa1462
    @noahkhalifa1462 2 ปีที่แล้ว +2

    My mom would play this all morning on repeat … good old times

  • @muktabsumra4119
    @muktabsumra4119 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh nyumba zilo nakumbuka mombasa Nairobi na Kampala coach FULL HANDAZ NAMA YONDA

  • @rhodagama6664
    @rhodagama6664 3 ปีที่แล้ว +6

    Ukiisikiliza ule mstari anasema ..mdogo wa kimo unamambo wewe .. Ahaha nakumbuka hii kanda iliuzika saana kuanzia 2000 ilisumbua vbaya mnoo wale wahenga wenzangu tukumbukane unaikumbuka hii ulikuwa wapi!?

    • @edwinajoseph5086
      @edwinajoseph5086 3 ปีที่แล้ว

      Nasoma kipindi hicho jamani wahenga raha sana

  • @annielsabayamollel7854
    @annielsabayamollel7854 ปีที่แล้ว +3

    Tuliosikiliza huu wimbo 2023 tujuane

    • @user-xx3ym4hl7y
      @user-xx3ym4hl7y 5 หลายเดือนก่อน

      Tupooo mi ndo ngoma zangu hzo 😅😅❤

  • @raewambia33
    @raewambia33 ปีที่แล้ว +1

    Aaah utamuuu sio🎉🎉❤ ngoma haijazeeka

  • @mmaahsayyid1858
    @mmaahsayyid1858 5 ปีที่แล้ว +12

    Wow ad raha ndani ya Qatar wapi wenzangu stress za waarabu zipite na kuleeeee

  • @AliAli-wo4rq
    @AliAli-wo4rq 2 ปีที่แล้ว +3

    Nakumbuka huu wimbo dadangu akiolewa 2000 wanikumbusha mbali

  • @salymkapala6973
    @salymkapala6973 3 ปีที่แล้ว +5

    nov 2020 twende sawa

  • @nyekingobwire7993
    @nyekingobwire7993 5 ปีที่แล้ว +14

    Amakweli mleziwako alokulea Kala asala amakweri mwalim wako alokufundisha Kala hasala walaufanani navyako vitendo unamambo wewe😁😀😁😀👏👏👏👍👍👍💗💝❤💓💕Kama unasikiliza ngoma him 2018 gonga like twendesawa

  • @jonikisomo_19969
    @jonikisomo_19969 5 ปีที่แล้ว +19

    Daaah 2019 na wimbo bado unanikumbusha miaka ya mwanzoni mwa 2000

  • @melodynerido2286
    @melodynerido2286 6 ปีที่แล้ว +5

    Napoteza stress kutika Lebanon loving it nakumbuka Enzi hizi

  • @couragetv3314
    @couragetv3314 ปีที่แล้ว +2

    Taarabu imenipeleka mbaliiiiiii
    Haya wote wa 2022 vidole juuuu❤

  • @mariamgedi2694
    @mariamgedi2694 ปีที่แล้ว +3

    Nani tupo huku 2023??

  • @khadijachembela5946
    @khadijachembela5946 4 ปีที่แล้ว +3

    Leo nimekumbuka mbali mitaara Kama hii hatwariiiiiii sana

  • @selemanfunditumepotezadhah7039
    @selemanfunditumepotezadhah7039 2 ปีที่แล้ว +1

    Duh nakumbuka nipo hoi kitandani

  • @madinaabdalla2576
    @madinaabdalla2576 4 ปีที่แล้ว +4

    Kicking stress out this corona period najipa rahaaaa

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 4 ปีที่แล้ว +12

    Gonga like kama leo hii unatimiza myaka 20 unasikilza hiii kitu kwa mara nyingine

    • @mimaally49
      @mimaally49 3 ปีที่แล้ว

      Naupenda sana huu wimbo

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 6 ปีที่แล้ว +3

    doooh enzi hazirudi nyuma.... nakumbuka mbali Sana aisee

    • @mrashiauctionmart5352
      @mrashiauctionmart5352 6 ปีที่แล้ว

      Jamani ntafuta nyimbo za huyu ally star za zamani aliekua nazo antumie 0712576523. Na nnatoa na pesa kwa aliekua nazo

    • @mrashiauctionmart5352
      @mrashiauctionmart5352 6 ปีที่แล้ว

      Hasa natanga na njia jmn kwa yoyote antumie nalipa na pesa 0712576523

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @geofreygidion925
      @geofreygidion925 5 ปีที่แล้ว

      Misambano

  • @jumanzungu5925
    @jumanzungu5925 6 ปีที่แล้ว +6

    Tunaombeni Ndugu nyimbo za ABDUL MISAMBANO akiwa T.O.T

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      sawa. zipo njiani

    • @mbesherejoh4219
      @mbesherejoh4219 6 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu mimi nina shida na wimbo nadhani uliimbwa na khadija kopa akiwa TOT 'nipe nipe raha mtoto wakitanzaniaaa nipe nipe raha mtoto niweke kwenye himayaa ni wimbo mwaka 1992/3 plz nitakupa hata elfu 10 kaka @burudani africa

    • @aysherkabby5937
      @aysherkabby5937 5 ปีที่แล้ว +1

      Mbeshere Joh nipe nipe raha mtoto wa kitanzania nipe nipe raha nakupenda ile mbaya
      Nyimbo iliimbwa na Othman Soud akiwa TOT sio Khadija kopa..

  • @rosemarryoccd7799
    @rosemarryoccd7799 5 ปีที่แล้ว +11

    kk unaweza sana ludi kwenye game mziki wa taarabu haupo Tena kk ludi nakumbuka mwaka 2001 nyimbo ilitamba sana by Konga times baby

  • @francishoza7979
    @francishoza7979 5 ปีที่แล้ว +4

    Dah nakumbuka maisha fulan kilosa mama yng bado yu hai. Rip Mama I love yu

  • @estherchamhene212
    @estherchamhene212 6 ปีที่แล้ว +21

    Mdogo wa kimo ha haaaa 😂

  • @juliusmtei8909
    @juliusmtei8909 2 ปีที่แล้ว

    Hata wangetoa ngapi mtunzi anajua kuchana sio mchezo naipenda sana imetulia za kale dhahabu!!

  • @rosemarryoccd7799
    @rosemarryoccd7799 5 ปีที่แล้ว +5

    mmhhh enzi zile vya nivizuri sana nakumbuka 2000 ama kweli jaman

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 ปีที่แล้ว

      Miaka hiyo ndiyo tunazaliwa nyie mushaanza kuzijua nyimbo

  • @msiyakwedele828
    @msiyakwedele828 2 ปีที่แล้ว +2

    TOT those days Safi Sana...

  • @oscarobura3686
    @oscarobura3686 6 ปีที่แล้ว +5

    mpira wa kona,mama huruma...true story hiyo

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @rehemamkanda5652
      @rehemamkanda5652 3 ปีที่แล้ว

      Wapi Aly star enzi hizo mala ya mwisho nimekuona moi kwenye mazoezi

  • @carologunyo9675
    @carologunyo9675 5 ปีที่แล้ว +5

    'Duka lako la asali sasa linanuka shombo'...wah!!reminds me wen in Form 2 matuga gals,Mr Mangi,Sanga (RIP)and Sawa loves the song.big up 2019.miss those days

    • @iddzimbu8964
      @iddzimbu8964 4 ปีที่แล้ว

      RIP....hatuvumi ila tumo!!

    • @mgobosamgobo4916
      @mgobosamgobo4916 2 ปีที่แล้ว

      Naomba nyimbo ya shalila imetungwa na aliy hemedi star na kuimbwa na malkia nasma khamisi kidogo

    • @mwakaribukhamisi7036
      @mwakaribukhamisi7036 2 ปีที่แล้ว

      Sang alifariki😭😭😭

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 6 ปีที่แล้ว +3

    Makubwa hayoo lo!!! Wewe si mtu ni sandals wooiiii

  • @sallasmartine5497
    @sallasmartine5497 6 ปีที่แล้ว +8

    nyimbo inanikumbusha mbali sana toka 2001 nikiwa na marafiki zangu

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Endelea ku enjoy taarb music. Na usisahau ku share na marafiki

    • @jumanzige9644
      @jumanzige9644 2 ปีที่แล้ว

      MIMI NAKUMBUKA NIKIWA TABORAA FORM THREE 1999

  • @erickiriinya834
    @erickiriinya834 5 ปีที่แล้ว +2

    Niliishi kumsikia mama anauskiza taarabu hii...leo nimeitafuta...maneno dah!!

  • @benyjoh6543
    @benyjoh6543 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimeshaamin chochote kizuri hakkos kasoro 2020

  • @husseinkatuga414
    @husseinkatuga414 4 ปีที่แล้ว +4

    Good song old is good

  • @aishakhamis714
    @aishakhamis714 5 ปีที่แล้ว +9

    Duh unanikumbusha mbaali saana hadi nalia,yani ulipotoka wimbo huu mwaka 2000 ndo mwaka aliokufa mama yng,

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  5 ปีที่แล้ว +1

      Pole sana Aisha. Nafurahi una enjoy

    • @ismailmjesh6550
      @ismailmjesh6550 5 ปีที่แล้ว +1

      Aisha Khamis Allah amsamehe madhambi yakeeee

    • @katore1982
      @katore1982 3 ปีที่แล้ว

      Iñnalilah wainnailaihi rajiun...zidi kumuombea duah..! Tuwe pole sote

    • @aishakhamis714
      @aishakhamis714 3 ปีที่แล้ว +1

      @@katore1982 Amin🤲

  • @eddyeddy2907
    @eddyeddy2907 3 ปีที่แล้ว +4

    Old is gold

  • @karimhashil6721
    @karimhashil6721 3 ปีที่แล้ว +1

    JUISI YA MUWA TUPE BURUDAN

  • @jamalahmed3366
    @jamalahmed3366 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimekumbukuka mbali sana

  • @kefaonamu953
    @kefaonamu953 3 ปีที่แล้ว +3

    Mara kwanza kuskiza ilikua April 2001

  • @bettyalto1117
    @bettyalto1117 ปีที่แล้ว

    Tam sna hii taarabu uwiii

  • @marmarim3816
    @marmarim3816 4 ปีที่แล้ว +2

    Welaaaaaaa hatar Sana👌👌👌👌👌

  • @jamilabaraka8449
    @jamilabaraka8449 6 ปีที่แล้ว +7

    Mwimbo umenikumbusha zamani duuuu 2000 enzi ye Y2K

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends

  • @jumadea7957
    @jumadea7957 5 ปีที่แล้ว +3

    Hatariiiiii hili song

  • @halmakinty962
    @halmakinty962 6 ปีที่แล้ว +4

    Maskini moyo Wangu nilidhani Mimi chanda na wewe no Pete yangu ooo nahofu uhai Wangu 1998

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @kin20180
    @kin20180 4 ปีที่แล้ว +5

    This is my favorite song. I listen to it everyday

  • @TomBowwow
    @TomBowwow 6 ปีที่แล้ว +6

    Nimesha amini chochote kizuri hakikosi kasoro

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      +Ba Fazul kabisa

    • @adamahmady6852
      @adamahmady6852 4 ปีที่แล้ว

      Hahahahaaaa yani nikisikilizaga huo unanikumbusha mwaka 2000 nikiwa nzega

  • @haifayunus7729
    @haifayunus7729 3 ปีที่แล้ว +4

    Old is gold as we rock 2021...🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊

    • @moshiraelqady9513
      @moshiraelqady9513 2 ปีที่แล้ว +1

      2021☝

    • @mgobosamgobo4916
      @mgobosamgobo4916 2 ปีที่แล้ว

      Tutumie nyimbo ya shalila tot taarabu mwimbaji nasma khamis mtunzi aliy hemedi star

  • @emmanuelafrica
    @emmanuelafrica 2 ปีที่แล้ว +2

    2021 nasikiliza hili goma bora la muda wote

  • @sojinkuba4746
    @sojinkuba4746 5 ปีที่แล้ว +1

    Nikiwa mmama wa mtt mmoja Bado

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 6 ปีที่แล้ว +4

    Asante sanaa Burudani Endelea kutuekea hizi taarab za zamani ni Poa sana.Mama huruma huyooo

    • @mrashiauctionmart5352
      @mrashiauctionmart5352 6 ปีที่แล้ว +1

      Tunaombeni nyimbo ya kisonoko, kitanda,

    • @husseinmuya3974
      @husseinmuya3974 6 ปีที่แล้ว

      Nilitafuta hu wimbo kwa miaka 10 leo nikaupata nikaona raha mpaka nilikumbuka Africa kwetu jamani ...i miss you Africa.muahh

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      karibu sana mwanahalima mwachili. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      subscribe for more. nita upload nyimbo hivi karibuni

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @wardatsaid1721
    @wardatsaid1721 4 ปีที่แล้ว +4

    uwi nainjoy 2019 hatar xana

  • @tambweshabani8926
    @tambweshabani8926 ปีที่แล้ว

    Daaah bado inaishi hii taarabu mujarabu kabisa

  • @sapzuuramadhan2983
    @sapzuuramadhan2983 4 ปีที่แล้ว +2

    Nyimbo ya ukikerekwa, natanga nanjia ,kidege zipost nazenyewe jmn

  • @mbozder2748
    @mbozder2748 6 ปีที่แล้ว +3

    my childhood star..mko wapi jamani mbona mlinoga

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @marcusraina3682
    @marcusraina3682 5 ปีที่แล้ว +3

    Zamani raha sana jmn

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 6 ปีที่แล้ว +7

    when Taarab was real ..#DemDaiz really enjoyed

  • @aboubackhrkassangullah8380
    @aboubackhrkassangullah8380 4 ปีที่แล้ว +8

    Yeeeeeeera 2019 bado ni moto

  • @ramadal2390
    @ramadal2390 ปีที่แล้ว

    Yaan uyu mZee na Misambano ndio walifanya nianze kusikiliza taarabu

  • @auntykaira8677
    @auntykaira8677 4 ปีที่แล้ว +6

    Daah 2020 nasikilza

  • @Quilant749
    @Quilant749 6 ปีที่แล้ว +4

    My first time to lestin to this wonderful song, a'v been replaying since morning very nice lyrics.

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว +1

      Nice song and very nice lyrics and melodies. Please dont forget to share na marafiki, facebook, whatsapp and twiter. Mungu akubariki

  • @mkumbasonic8280
    @mkumbasonic8280 ปีที่แล้ว +1

    Inanikumbusha mbali Sana

  • @mariamkfondo7092
    @mariamkfondo7092 6 ปีที่แล้ว +14

    daah c semi kitu najikutatu nina raha kupindukia natoa stress za warabu: na jiona tu nikitingika hata cna habari hahahaaaaa hapo cha cha watu wa warabuni mko wapi jamani?

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

    • @mimahsaid2326
      @mimahsaid2326 5 ปีที่แล้ว

      tupo sote dadaa

    • @awaziisaidiawazisaidi8
      @awaziisaidiawazisaidi8 5 ปีที่แล้ว

      Mariam K Fondo uko,wee?

  • @tibasimamariseli887
    @tibasimamariseli887 ปีที่แล้ว

    Inanikumbusha mbalisana

  • @saumusaumu2248
    @saumusaumu2248 5 ปีที่แล้ว +4

    good

  • @jannetgrey6940
    @jannetgrey6940 ปีที่แล้ว

    Napenda,sana

  • @shamtekavinga3620
    @shamtekavinga3620 6 ปีที่แล้ว +4

    acha kabisa hii kitu

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends

  • @mumdecutymariammariammunga7501
    @mumdecutymariammariammunga7501 5 ปีที่แล้ว +1

    Mie niko 💃💃💃💃🌹🌹🌹

  • @adamchigamba2862
    @adamchigamba2862 3 ปีที่แล้ว +1

    2021 bado havumi na kumbe yumo

  • @mohamedimintanga
    @mohamedimintanga 8 หลายเดือนก่อน

    Wapi SANAMU la michelini

  • @zachariahanderson677
    @zachariahanderson677 4 หลายเดือนก่อน

    2024 steal watching

  • @josephkahindi7242
    @josephkahindi7242 4 ปีที่แล้ว +1

    hapo kwa kugombaniwa kama mpira wa Kona duuuu noma

  • @abdallahkapama9981
    @abdallahkapama9981 3 ปีที่แล้ว +2

    Hizo ndizo zenyewe

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 9 หลายเดือนก่อน

    2000 💪💪🇹🇿🇹🇿🔥🔥

  • @sayatvsandiego6485
    @sayatvsandiego6485 3 ปีที่แล้ว +3

    2020

  • @naomiakoth2958
    @naomiakoth2958 3 ปีที่แล้ว +3

    2020 still rocking 🔥 🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃👌👌👌

  • @simonmajigop5890
    @simonmajigop5890 6 ปีที่แล้ว +2

    duka la asali linanuka shombooo hahahaaaaaaaa

    • @BURUDANIAFRICA
      @BURUDANIAFRICA  6 ปีที่แล้ว

      Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap

  • @dustyroad678
    @dustyroad678 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama unakumbuka ilivotesa kisumu social centre hall miaka ya 2001-4 jitambulishe

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 3 ปีที่แล้ว +1

    Natafuta na ‘cyborg una nini wewe’.... unaitwaje uo wimbo