Niliota mtoto wangu ameumwa na nyoka nkamuua yule nyoka. Nkaanza kupiga kelele msaada lkn nilimsihi sana mungu Kwa uchungu Ile sumu imtoke mwanangu baada ya mda nkaona mtoto amerudi kwenye Hali ya kawaida kabisa
Mtumishi nimepewa likizo kazini mwezi mzima basi zinanitokea ndoto za ajabu ikiwa jana tu nimeota nazini na mtu simjui iyo ilikua nimepumzka mchana usiku naota nimeuziwa gari bovu yani kama nimetapeliwa yani nafsi inatamani sana kuokoka ila nafika pahala naacha kukufuatilia
Amen mtumishi Mungu akubariki kwa ulichokitoa, maana pia mm niliwai kuota nafunga ndoa bt Pete ilikuwa ndogo kwangu so haikuniingia naniliota nafunga iyo harusi kanisani na pia watu walikuwa wengi sana, na pia izi ndo zakufanya mapenzi nilikuwa nikizuota sana bt nashukuru maana Mungu ni mwema nilimuomba na hatimae akaniondolea mara nafanya na kakangu mara ni mtu ambae kwa ss tukonamahusiano na sijawai fanya na yeye chochot lkn nashukuru kwa mafundisho yko yananisaidia San Mungu wa mbinguni akuzidishie na akupemaarifa zaidi, nakutafuta kwa WhatsApp lkn sikupati bt najua iko siku nitakupata tu
Asante mtumishi WA mungu ,mm Huwa naota ndoto za kujirudia rudia kwamba Niko shule ya msingi ila kwa Sasa ni mtu mzima kabisa na Nina watoto wakubwa tu ,naomba masaada
Amen. Naomba ufunuliwe ndoto zaidi. Niliota tajiri wangu na mtoto wake mdogo wanafagia kwa nyumba na kutoka uchafu mwingi sana. Maana ya uchafu nini? Be blessed.
Roho Mtakatifu hutusaidia kuzitambua na kutafsiri ndoto, ikimpendeza kutujuza tutakufahamisha, lakini pia hata wewe unayo nafasi ya kumuomba ili akufunulie kile alichotaka ukielewe katika ndoto hiyo
Niliota mtoto wangu ameumwa na nyoka nkamuua yule nyoka. Nkaanza kupiga kelele msaada lkn nilimsihi sana mungu Kwa uchungu Ile sumu imtoke mwanangu baada ya mda nkaona mtoto amerudi kwenye Hali ya kawaida kabisa
Ameen
Amen Asante Sana kwamafundisho. Me cjaokak nahitaj kuokoka 😢🤲
Amen asante
Mungu nisaidie
Amina.mtumishi. mungu Akubariki.hakika.Akubariki.sana.sana.san🙋♀️
Amina
God bless you mtumishi unaelimu nzuri napenda kukuskiza sana
Amen amen
yaan Mimi huwa naota sana nyoka
Barikiwa mtumishi wa mungu 🙏
amen
mimi mtumishi kunasiku niriota na okota BIBLIA njiyani kiraniripokuwa nazidi kutembeya nirikuwa nakuta BIBLIA imejifunuwa niriokota BlBLIA njiyazima niriokota BlBLIA. nyingisana badayahapo nikaota nipochmbani nimerara juyakitanda nikafumbuwa macho nirivyo fumbuwa macho nikaona kiramahari kurikuwa naBIBLIA ndaniyachumba nirichokuwa nimerara BIBLIA zote zirizo kuwa ndani yachumba nirichokuwa nimerara zirikuwa zimefunuriwa niriposhituka kwenyendoto sikuerewa manayakenini
Asante mutumishi wa mungu God bless you a'm from burundi
Asante kwasomo hili
Bwana asifiwe pastor
Amen, naomba nifunuliwe naota mti mkubwa una matunda lakine kila chuna na nishike imebondeka
Duuuh unatisha duuuh
Mungu akubariki Mtumishi na ainue zaidi huduma yako....ila kama itawezekana naomba nisaidie jina la huo wimbo nimeupenda
Mungu yupo by Jessicah honore
Be blessed
jaana nikaota babu na alikufa inamaana gani
Mtumishi nimepewa likizo kazini mwezi mzima basi zinanitokea ndoto za ajabu ikiwa jana tu nimeota nazini na mtu simjui iyo ilikua nimepumzka mchana usiku naota nimeuziwa gari bovu yani kama nimetapeliwa yani nafsi inatamani sana kuokoka ila nafika pahala naacha kukufuatilia
Asante mtumishi Mungu akukumbuke daima
Jina Martha
Niliota nazini kny ndoto naomba msaada wa maombi yk mtumishi
🙏 Amen
Asate
Amen Mtumishi wa bwana mungu azidi kukubariki sasa hv naishi kwamani Sana nikisikia neno la bwana nitazidi kuomba🙏
Amen mtumishi Mungu akubariki kwa ulichokitoa, maana pia mm niliwai kuota nafunga ndoa bt Pete ilikuwa ndogo kwangu so haikuniingia naniliota nafunga iyo harusi kanisani na pia watu walikuwa wengi sana, na pia izi ndo zakufanya mapenzi nilikuwa nikizuota sana bt nashukuru maana Mungu ni mwema nilimuomba na hatimae akaniondolea mara nafanya na kakangu mara ni mtu ambae kwa ss tukonamahusiano na sijawai fanya na yeye chochot lkn nashukuru kwa mafundisho yko yananisaidia San Mungu wa mbinguni akuzidishie na akupemaarifa zaidi, nakutafuta kwa WhatsApp lkn sikupati bt najua iko siku nitakupata tu
This is more than powerful.....my life has been uplifted from the time i begun listening to this great words of God in Jesus Christ name
Jmn me niliota nafunga ndoa kanisani, Ila mwanaume sikumuona? Inamaana gani?
Amen nimejifunza mambo asantekwa maarfa hayaa
Haki wewe ndio nabii wa mungu amen
Amina
Amen Ameeeen
Amna mtumishi
Laiti ningejua haya mafundisho mapema ningepona mapema,asante nimejifunza umenigusa mtumishi.
Hujachelewa kabisa,ni wakati sahihi kwako kupona
Nahisi fahari kuwa sehemu ya madhabahu hii ya Siri za biblia mungu akubariki sana baba
Amen amen,Yesu ni mwema kwetu sote
Asante Mashauri.
Asante mtumishi WA mungu ,mm Huwa naota ndoto za kujirudia rudia kwamba Niko shule ya msingi ila kwa Sasa ni mtu mzima kabisa na Nina watoto wakubwa tu ,naomba masaada
unakwamishwa mahali katika ulimwengu wa roho. hupaswi kuwa hatua hiyo kimaendeleo ila kuota mazingira ya zamani na umeshapita. ndoto hiyo sio nzuri
@@sirizabiblia5276 Mungu akubariki Sana napenda mafundisho haya maana yananitoa mahal
Ameen
Amen amen god
Amina.mtumishi.nikweli.mungu.
yupo🙋♀️🙋♀️
Ameen mtumishi mungu akubariki ila ninaswali nimekua nikiota nikiwa nimelala naota nanyanyuliwa afu nikitaka kuongea nashindwa nkijalibu kutafuta msaada sauti haitoki mpaka ndoto iishee
Ameen
Amen amen 🙏🙏
nataka kuokoka kwajina layesu kirsito Amin
0758 708804
Ameeeeeeeen
Amen mtumishi
AMEN 👏
Ukiota siafu wameingia ndani wengi wanatembea sakafuni...lkn hawang'ati nn maana yake. Msaada tafadhali
🙏💥💥
Amen 🙏
Amen
Bwana Yeah asifiwe naomba number yako mtumishi
Amen mtumishi
Nilimuota aliyeaga kuwa ameaga tena....ina maana gani
Amen
Asante nami ninayo nia ya kuoka ninaomba usaidizi.
tutumie ujumbe whattsap +255 758 708804
Ng'ombe yuamaanisha nn katika ndoto
Je ukiota nyota ime anguka uka imeza
Naomba namba zako mtumshi
+255 758 708804
Yani nimekuelewa saana
amen
BWANA awenawe....
amen
Ataka kutumikia Mungu
Amen 🙏❤
Amen
Ameeen ameeeen 🙏🙏🙏
Amen. Naomba ufunuliwe ndoto zaidi. Niliota tajiri wangu na mtoto wake mdogo wanafagia kwa nyumba na kutoka uchafu mwingi sana. Maana ya uchafu nini? Be blessed.
Roho Mtakatifu hutusaidia kuzitambua na kutafsiri ndoto, ikimpendeza kutujuza tutakufahamisha, lakini pia hata wewe unayo nafasi ya kumuomba ili akufunulie kile alichotaka ukielewe katika ndoto hiyo
Kuota unakula sacrament kanisani yaani ule mwili wa Yesu je ni agano
Yes ni Agano
@@sirizabiblia5276 ni agano gani na tafsiri yake ni nini mtumishi🙏
Mimi ningependa kuokoka
Nitumie meseji hapa +255 758708804