KWANINI WAKATI MWINGINE INAKULAZIM KUFANYA MAOMBI YA KUFUNGA? SEH. 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Yapo mambo katika maisha yetu itabidi kufunga ndipo yatokee!!
    Ni wakati gani itakulazimu Kufunga?

ความคิดเห็น • 146

  • @violetjoseph8649
    @violetjoseph8649 4 ปีที่แล้ว +7

    Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr

  • @BeatriceSosipeterWagara
    @BeatriceSosipeterWagara 4 ปีที่แล้ว +6

    Nimeona Mungu akifungua milango ya kiuchumi baada ya kusikiliza na kufuatilia Mahubiri TV.
    Kipindi hiki cha Corona kazi ningumu kupara, ila nimeshangaa sijawahi kuishiwa pesa. Mara nyingi ktk maisha yangu, huwa siwezi kukaa na mshahara mpaka mwisho wa mwezi, nikaanza kusikiliza mahubiri yaliyo rushwa humu kuhusu UCHUMI, nikaomba Mungu aondoe chuma ulete ktk financial yangu, ilichukuwa mda, ila kuanzia 2020 kipindi cha Corona, nimeuona mkono wa Mungu. Mungu awabariki Mahubiri TV.

    • @namsifumaduhumwita2495
      @namsifumaduhumwita2495 ปีที่แล้ว +1

      Mungu ana makusudi sana nisikie somo hili. Basi Mungu anisikie.Asante Pr David

  • @fatumachagudadui7369
    @fatumachagudadui7369 4 ปีที่แล้ว +9

    Hakika nimeamini mwanangu ana vidonda vya tumbo alipimwa nikaambiwa hivyo ninaimani nikienda hospital Leo hakika nikimpima kwa imani niloamini kupitia somo hili atakuwa salama ahsante Mungu sifa kwa yesu

    • @odettemaman
      @odettemaman ปีที่แล้ว

      Naomba musaanda wa maombi kwaajili ya magogwa ya tumbo zima.

    • @adamkisapi9381
      @adamkisapi9381 5 หลายเดือนก่อน

      🎉

  • @sophyjones7190
    @sophyjones7190 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki sana PR kwa mahubiri mzuri yanayonibariki

  • @warningvoiceoflastdays5823
    @warningvoiceoflastdays5823 4 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu,injili hiyede bele,Kenya tu nakupata loud and clear.

  • @mn9484
    @mn9484 4 ปีที่แล้ว +2

    Kila siku najifunza. Kumbe ninapofunga niwaombee watu wengine zaidi. Mungu anatupenda sana, tumuendee kwa ujasiri. Tuwe na Imani. Naamini nimepona kwa jina la Yesu.

  • @mariamuatukuzwe7504
    @mariamuatukuzwe7504 4 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa saana mtumishi hapa nimefunguka ki akili na kiroho kuhusu kufunga

  • @angel-y
    @angel-y 4 ปีที่แล้ว +4

    Amen, nimebarikiwa sana na hili somo. Nimeelewa kufunga sahihi na mambo ya kufunga na sala. Mungu akubariki Pastor.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 4 ปีที่แล้ว +4

    Amen,I have known the way for fasting,be blessed pastor Mmbaga

  • @fatumachagudadui7369
    @fatumachagudadui7369 4 ปีที่แล้ว +2

    Amina hakika maombi yangu yatajimbiwa family yangu itakuwa sawa Mungu nitie nguvu

  • @linetymmboga7271
    @linetymmboga7271 ปีที่แล้ว

    Wow mafudisho muzuri mungu akupariki sana Amen

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 ปีที่แล้ว

    Amina asante ubarikiwe zaidi nimejifunza sana mchungaji acha Roho Wa BWANA aniongoze katika kufunga inayostahili mbele za Mungu

  • @queenjohn4692
    @queenjohn4692 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu naomba uniponye naomba kwa Imani kwa jina LA Yesu Amina

  • @SermonsRoom
    @SermonsRoom 4 ปีที่แล้ว +2

    WAOOH NAPENDA HIZI SHUHUDA HAKIKA NEEMA YA MUNGU YATOSHA, JINA LA BWANA LIBARIKIWE

  • @shimwekagwiza3731
    @shimwekagwiza3731 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu kwa kumtumia pr Mmbaga, mpe umri mrefu ili tuzidi kupona

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว +1

      Shimwe Kagwiza Amen

    • @Gratefulheart3188
      @Gratefulheart3188 4 ปีที่แล้ว

      Na tumepona wengi yani namshukuru Mungu maombi yangu yanajibiwa mpaka natetemekaa kwa kuogopa

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว

      mary nyaki Tuambie tafadhali zaidi

    • @Gratefulheart3188
      @Gratefulheart3188 4 ปีที่แล้ว

      @@habaritv6364 Nina ushuhuda mrefu sana wa mahubiri tv tokea nimeanza kuyasikiliza yamenibadilishaa mtazamo na miujiza mingi ndani yake

    • @shimwekagwiza3731
      @shimwekagwiza3731 4 ปีที่แล้ว

      @@Gratefulheart3188 Amina Mungu ni mwema sana

  • @janethmichael3885
    @janethmichael3885 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze mchungaji, maana nilikuwa siku y a kwanza ya maombi ya toba , lakin baada ya mafundisho haya, nmeskia ndani yangu kuanza maombi y a shukrani.

  • @sirgwemalach9323
    @sirgwemalach9323 2 ปีที่แล้ว

    What a sermon! God grant you more power to preach to His people

  • @everinekabakilwa9875
    @everinekabakilwa9875 4 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na Ile somo ya utofahuti wa mwanamke na mwanamme Amen hinanifariji Sana mtumishi wa Bwana wetu yusu Kristo ubarikiwe Zaidi Amen

  • @ndalomasalu2661
    @ndalomasalu2661 2 ปีที่แล้ว

    Hakika mwenyezi Mungu akubari unaendelea kutufafanulia neno la Mungu

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 ปีที่แล้ว +1

    ii Clip nimerudia almost 3times ili nipate Kwelewa ,nimekupata Poa pastor God bless you long live upate kuokoa mioyo ilifunjika nikiwemo Ndani❤❤

  • @justinedaudiachieng416
    @justinedaudiachieng416 2 ปีที่แล้ว

    Pr. Mungu akubariki Sana kwa mafundisho yako mazuri yanatujenga kiroho

  • @jeremiahoumaonditi8285
    @jeremiahoumaonditi8285 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimebarikiwa na somo be blessed mchungaji

  • @lightnessshayo1783
    @lightnessshayo1783 4 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi wa mungu M MUNGU akuinue kwa viwango vingne

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 4 ปีที่แล้ว

    Kweli Mungu wetu ni wamaajabu sana. Mchungaji Barikiwa sana na huduma yako izindi kuinuliwa ili iokoe wengi kwa jina la Yesu kristo

  • @violetauma1001
    @violetauma1001 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa neno la mungu barikiwa sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa

  • @eliabamayi4344
    @eliabamayi4344 4 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mtumishi ubarikiwe sana unafundisha vizuri Sana hadi unachoma ngome za wafugaji majini,, waganga na wachawi,,, hadi wanagonga dislike apo juu 😂😂😂😂😂😂

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว

      eliab amayi Nilikuwa najiuliza anaeweka dislike ana maaana gani????

    • @atinaminzani1372
      @atinaminzani1372 4 ปีที่แล้ว

      AFYA Tv Hata mimi nilikuwa najiuliza ila kipitia ujumbe wa Eliab nimeelewa, tufunge na kuwaombea

  • @angelkimaro5388
    @angelkimaro5388 4 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa Sana na mafundisho yako mch mbaga,nasikiliza toka moshi

  • @janethhenrick1778
    @janethhenrick1778 4 ปีที่แล้ว

    Amen pastor ubarikiwe na BWANA naamin kupitia somo hili nimejifunza mengi na nnaamini maombi yangu yatajibu 🙏

  • @joshuaemmanuel59
    @joshuaemmanuel59 4 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na mahubiri haya na nimeelewa namna ya kufunga Pastor. MUNGU akubariki sana.

  • @adklose
    @adklose 4 ปีที่แล้ว +4

    Habari! Niliishi Iringa miaka 2007-2009, nilipata malaria Malawi 2009 nafikiri ilisababishwa kansa ya bongo nilipata 2017. Sasa madaktari wanafikiri ilirudi tena - naomba mniombeeni! Mungu ni mwema!

  • @sophynyabosh4386
    @sophynyabosh4386 2 ปีที่แล้ว

    Amina b blessed pastor

  • @susannganganganga4729
    @susannganganganga4729 3 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli, pastor huwa unanibariki sana kwa mahubiri yako,Mungu aendelee kukutumia ili utufikishie habari njema ya Yesu

  • @saramss7262
    @saramss7262 2 ปีที่แล้ว

    Daaaa Barikiwaa sanaaa mtumishi WA BWANA

  • @neemajulius8790
    @neemajulius8790 4 ปีที่แล้ว +1

    Santee sana kwa Mahuri mazur ya kutufundisha

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina kwa mafundisho pastor

  • @izzylyrics2240
    @izzylyrics2240 4 ปีที่แล้ว +2

    Nafuu umeweka someone jipya leo! kwakweli namiss ubarikiwe mtumishi

  • @ruthmwangi3785
    @ruthmwangi3785 2 ปีที่แล้ว

    Amen nimebarikiwa na mafunzo yako

  • @dinahisaboke9671
    @dinahisaboke9671 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana mchungaji. I have learned alot

  • @gombanirombalejames8958
    @gombanirombalejames8958 ปีที่แล้ว

    Kwakweli Mungu alijifanyiya zabihu

  • @maryaoko5027
    @maryaoko5027 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 ปีที่แล้ว

    Ameeen Mchungaji wangu, Mungu tuokoe.

  • @gombanirombalejames8958
    @gombanirombalejames8958 ปีที่แล้ว

    MUNGU akupe mwisho mzuri

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 4 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi ninakuelew sana ubarikiwe

  • @fatumachagudadui7369
    @fatumachagudadui7369 4 ปีที่แล้ว +1

    Hakika Mungu naomba anisaidie maombi yangu ayaskie na kuyajibu siihitaji mambo ya 2019_ yaingie had 2020

  • @aronmsyangi9202
    @aronmsyangi9202 4 ปีที่แล้ว +1

    God bless your ministry

  • @BeatriceSosipeterWagara
    @BeatriceSosipeterWagara 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo hili zuri,

  • @harrisonmutembei6280
    @harrisonmutembei6280 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Kwa neno zuri 👏

  • @zachariamwihechi7884
    @zachariamwihechi7884 4 ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu kwa maana video za siku hizi ni ckear hazi kwami kwami kama zamani, lakini pia napataje hicho kitabu cha maombi yaliyojibiwa

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว

      ZACHARIA MWIHECHI Piga +255 759 612 430

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 4 ปีที่แล้ว

    Àmen Àmen Àmen nime jifunza barikiwa sana

  • @user-hd8zy3eg2v
    @user-hd8zy3eg2v 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana pastor

  • @sophiadenis2730
    @sophiadenis2730 4 ปีที่แล้ว

    Mungu azid kukupa mafunuo tuzid kukua kiroho zaidi

  • @alfapinieli2160
    @alfapinieli2160 4 ปีที่แล้ว

    Amina kwa mafundisho

  • @wewehehe6405
    @wewehehe6405 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mchungaji

  • @christinasenga4412
    @christinasenga4412 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi

  • @nikizaviolette2723
    @nikizaviolette2723 4 หลายเดือนก่อน

    Asanthe sana

  • @davidginono625
    @davidginono625 4 ปีที่แล้ว

    Asante maana umenigusa mchungaji maana nilikua nimepotoka .

  • @tinclassic421
    @tinclassic421 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubaliki

  • @josephndunguru3163
    @josephndunguru3163 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana

  • @mbukesimuli4646
    @mbukesimuli4646 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana pastor

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 4 ปีที่แล้ว

    Amen,ubarikiwe

  • @isaschtv8577
    @isaschtv8577 4 ปีที่แล้ว

    Nimekuekewa PR Mungu akubariki

  • @jacquesmwangu1541
    @jacquesmwangu1541 2 ปีที่แล้ว

    napenda hubiri hii

  • @SermonsRoom
    @SermonsRoom 4 ปีที่แล้ว

    NZURI SANA HII

  • @angeloelia8224
    @angeloelia8224 2 ปีที่แล้ว

    Aminaaaaa 🙏🙏🙏🙏

  • @user-kn3lh1co6u
    @user-kn3lh1co6u 2 ปีที่แล้ว

    Mimi nmejifunza kitu hapo ubarikiwe mtu wa mungu naamin nkiyafuata haya ntafunguka

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 ปีที่แล้ว

    Nnabarikiwa sanaa

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 4 ปีที่แล้ว +2

    kuna aina nyingi ya wahubiri mimi kwangu ww ni no 1 no 2 wakasege nafatilia sana mafundisho yenu sana

  • @eddasamwely820
    @eddasamwely820 3 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa kutoka Dar es Salaam

  • @florabenard8542
    @florabenard8542 4 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi tunabarikiwa na mahuhiri yako, naomba msaada pia wa kukutana na wew ili unifanyie maombi binafsi naamin kupitia wew MUNGU atatenda,nna iman hata Sasa MUNGU anafanya Kaz kwa ajili yangu,maombi ya mtu mwenye iman yanamtoa mtu gzan so ntakuonaje?

  • @maxmillianmturi1370
    @maxmillianmturi1370 4 ปีที่แล้ว +3

    Lord bless your ministry

  • @joharijohn7005
    @joharijohn7005 3 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣 mchungaji tafadhari naomba mawasiliano

  • @jacksonongera9169
    @jacksonongera9169 2 ปีที่แล้ว

    AMEN

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 4 ปีที่แล้ว

    Amen amen, nashukuru kwa mafunzo mazuri. Ubarikiwa. Sehemu ya pili?

  • @عاشقالسحاب-ظ8ق
    @عاشقالسحاب-ظ8ق 4 ปีที่แล้ว

    Hakika umenifungua macho

  • @gracekisunge8358
    @gracekisunge8358 2 ปีที่แล้ว

    Mchungaji naitaji kufunga ila nanyonyesha nawezaje ??

  • @gwiterrichard7352
    @gwiterrichard7352 4 ปีที่แล้ว

    asante pastor

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏🙏🙏

  • @PrincessSally777
    @PrincessSally777 4 ปีที่แล้ว

    Amen! It's always a blessing listening to your sermon. Kindly how can I get the three books, Mambo yaliyojibiwa,Jinsi ya kusikia sauti ya Mungu na kitabu juu ya maombi?.Niko Nairobi

    • @epicnamekingsmanmwnorge6200
      @epicnamekingsmanmwnorge6200 2 ปีที่แล้ว

      Amen pasta Mungu akubariki pamoja nasi EBU naomba namba kwaajili ya mahusiyano ya maombi tafazali

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 4 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭bona ukatukatisha maombi jameni

  • @sisterdivvana8770
    @sisterdivvana8770 3 ปีที่แล้ว

    Maombi ya kufunga yanasaidia sana jamani

  • @thomasbishar7807
    @thomasbishar7807 4 ปีที่แล้ว +1

    Kwaakika wewe nimwarimu Wangu nabarikiwa sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @anetivicent6176
    @anetivicent6176 4 ปีที่แล้ว

    Bwana akutie nguvu,,,,maana unatutia nguvu pia,,,naomba msaada kitabu hiki kipya namna ya kuisikia sauti ya Mungu,,,tafadhali,,,nakipataje??

  • @damianlugendo9161
    @damianlugendo9161 4 ปีที่แล้ว +1

    Jina la Mungu litukuzwe

    • @felysytersonduso8064
      @felysytersonduso8064 4 ปีที่แล้ว

      Amina Mungu atukuzwe

    • @pastorsdcgom6634
      @pastorsdcgom6634 4 ปีที่แล้ว

      Kuna maswali ambayo hayeeleweki, kwani nimesikia kiini cha Muchungaji huu anamasilahi ya kupiga marufuku waombaji,
      1 Mwanzo amesema kama yeye Gahungu, pia Kwa kulala haombi,,
      Nimaajabu anayo yafanya anashituka mwenyewe.
      Ila habari y'a pili kuhusu Somo la historia hii yaki mutu Kifafa, Yesu anasema kitaondolewa, kwanjia y'a mafungo, sasa hili, swali Muchungaj huo kwanini haliwezi kumupa, final ? Asante jibu.

    • @pastorsdcgom6634
      @pastorsdcgom6634 4 ปีที่แล้ว

      Kwani yeye Hafungi na halali tongo macho akiomba, sasa kwanini akubari tena kufunga ?

    • @damianlugendo9161
      @damianlugendo9161 4 ปีที่แล้ว

      @@pastorsdcgom6634 kwan hayupo sawa au

    • @annasteven376
      @annasteven376 3 ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe mtumishi upo vizuri kwa mafundindo ya kiroho nafunguliwa

  • @rhodakemunto210
    @rhodakemunto210 4 ปีที่แล้ว

    Amen but naomba unikumbushe Yale mahubiri ya kuwa kijana apata pesa atoa kanisa but wazazi hawapi plz?

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +1

      th-cam.com/video/EQAMn010hFw/w-d-xo.html

    • @rhodakemunto210
      @rhodakemunto210 4 ปีที่แล้ว

      But not that one can u gave yr nos nikutumie uione niko na nusu plz

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  4 ปีที่แล้ว +1

      +255 755 932 283

  • @davidginono625
    @davidginono625 3 ปีที่แล้ว

    Lakini .....mbona inasema kuomba sio kusali kwenye biblia ya kingereza..yani "proseuchē"in greek means prayer .maybe iam a bit confused sometimes it means the same thing or..?

  • @melissateddybearcossan9506
    @melissateddybearcossan9506 4 ปีที่แล้ว

    Hii ni sabato kweli?

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว

      Cossan Wambura Kwanini?

  • @henryoppi2506
    @henryoppi2506 4 ปีที่แล้ว

    Nahitaji hicho kitabu cha mambo yaliyojibiwa

  • @davidmgabo3783
    @davidmgabo3783 4 ปีที่แล้ว

    Baba shikamoo nimetafuta namba yako kwa muda sasa naomba unitumie kwa namba hii0759437236 nashida baba nipo sirari /tarime nahitaji msaanda wa kiroho

    • @habaritv6364
      @habaritv6364 4 ปีที่แล้ว

      david mgabo +255 755 932 283

  • @violetjoseph8649
    @violetjoseph8649 4 ปีที่แล้ว +3

    Aiseee nimeota Pr ukiniambia nifunge na kuomba nashangaa kuona somo hilihil hapa nmejfunza kitu nafikiri Mungu anasema nam kwa njia ya ajabu na ya pekee🙏barikiwa Pr

  • @roselineombati670
    @roselineombati670 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @claradamas8710
    @claradamas8710 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @catherinekihengu354
    @catherinekihengu354 4 ปีที่แล้ว

    Amen