MUONEKANO MPYA WA SANAMU YA NYERERE BAADA YA KUJENGWA UPYA, UNAIPA MAKSI NGAPI?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- Siku chache baada ya watu wasiofahamika kuvunja sanamu ya Nyerere manispaa ya Tabora hatimaye manispaa hiyo imekamilisha ujenzi wa sanamu hilo.
Mwananchi imefanya mahojiano na Fundi aliyefanya ukarabati wa sanamu hilo ambapo ameeleza namna alivyofanya .
Amesema sanamu hilo kutokana na malighafi zizotumika linaweza kugharimu zaidi ya milioni 100.
Video na Johnson James
Jamani hiyo sanamu sio sahihi
Huyo sio nyerere liludiwe
Uyu Jamaal amejitengeneza mwenyewe
Haifanani kabisaaa
Nyerere hayupo hivyo, hiyo sura hapana
Zero
Huyo nyerere au mandela?
Huyu nyerere wa wapi tena
Hannah huyo uliyemtengeneza Simon baba yetu. Mbona uso wake siyo mchangamfu kama wa mwanzo?
Sanamu hii haifanani na sura ya MWALIMU JULIUS K NYERERE hata kidogo na hasa uso haufanani kabisa .
Negative