MZEE wa KANISA KATOLIKI AULIZA MASWALI 7 MAZITO KUHUSU WATU KUPOTEA - RUSHWA MBELE ya KAMANDA MULIRO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- MZEE wa KANISA KATOLIKI AULIZA MASWALI 7 MAZITO KUHUSU WATU KUPOTEA - RUSHWA MBELE ya KAMANDA MULIRO
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hii nchi inawatu mwenye elimu zao tuache kuchukulia poa Mf huyu mzee safi sana
Hongera sana mzee uwezo wako ni mkubwa kuliko hata viongozi wetu
Hongera sana Mungu akujaalie baraka tele
Hawa watu mungu awatunze.
UBERIKIWE WEWE NA UZAO WAKO.KUSIWEPO LAANA YOYOTE ITAKAYOGUSA UZAO WAKO.
Kwakweli kimi nionavo sidhani km huu utekaji utashindikana kukomeshwa ,iwapo wanaujua wakalitendea kazi ,kw nia yakuiokoa Tanzania nahasira za wa Tanzania , nakm Askari mmetajwa sana ktk hili namnahakika hamuhusiki kwnn msijivue gamba lauovu mnaotajwa nao ,inashindikana kivipi ,ukimya wenu lazima mtahusishwa ,mimi ni Mtanzania tu sio lolot ila napenda Amani yetu
Mbona sioni unapoonyesha
Hizo takwimu zako za uongo kwenda huko
Hivyo hawa wazee wa kanisa miaka 5 kabla ya uongozi wa Samia walikuwa sayari gani? Lakini pia watu waliokufa kibiti mamia kabla ya Rais Samia hawana thamani kama hawa mbona mlinyamaza acheni kelele ng'ombe nyie.
acha matusi..jenga hoja.
Ww ndio uwaufuatilii siasa, uenda ni chawa tu coz kama nimfuatiliaji 2019 ulitoka ujumbe wa kwaresma enzi za magufuli, hvy unadata na sio mfuatiliaji you better shut your fuckn ass
Ujumbe wa kwaresma 2019 uliufuatilia au ata siasa aufuatili, umekalia uchawa bila kuwa na takwimu?
Kuwa mwelewa Kati ya waliotekwa na Kupotea angekuwepo mwanao ungekoment matusi hayo??