#LIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
- Ujumbe: Kutubu
Andiko: Matendo 3:19-21
Pastor: Innocent Mashauri
Matendo 3:19-21
Tubuni basi, mrejee, ili dhambi zenu zifutwe, zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwako kwake Bwana; apate kumtuma Kristo Yesu mliyewekewa tangu zamani; ambaye ilimpasa kupokewa mbinguni hata zije zamani za kufanywa upya vitu vyote, zilizonenwa na Mungu kwa kinywa cha manabii wake watakatifu tokea mwanzo wa ulimwengu.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Amen!! Kupitia Mungu Baba matatizo yote yataisha na nitakutafuta kama maandiko yako yasemavyo tutakutafuta nakukuona tutakapo kutafuta kwa moyo wote..🙏🙏
Eee bwana kumbuka familia yangu naomba amani kazini na fungua milango za baraka kwa maisha yangu fungua familia yangu bwana
Amulu kitu chochote kilichofungwa katika maisha yangu kikafunguliwe chochote kilichokufa kika fufuke nahitaji uwepo wako katika maisha yangu ukawe kiongozi katika Kila hatua ukanilinde na yule muovu damu yako uliyo mwagika msalabani ikanitakase naomba hayo kwa njia ya kristu bwana wetu🙏 AMEN
Anza nami bwana yesu siwezi peke yangu siwezi bila wewe yesu anza na Mimi baba
Asante Yesu unekana kwenye maisha yetu
Eeh mungu nimimi mwanao nakuomba unifanyie wepesi wa safari yangu ya maisha iwe njema na nyepesi na ya amani
Ñaomba chote kilichokufa katika maisha yangu na familia yangu kikafufuliwe Kwa jina la yesu,kilichoibiwa na ibilisi kikarudishwe Kwa jina la yesu Amina.
God make me strong enough to fight my enemies without you I'm worthless Amen 🙏
Mungu wangu nisamehe Zambi zangu zote Ninazozijua na nisizozijua Anza na mm Bwana, Damu ya Yesu niokoe kwenye hatari yoyote Ile,ameni Ameni Ameni
Asante Mungu Baba mwezi Jana nilikuona ukitendea hata sasa baba nakuitaji Ni wewe tu tengemee langu na omba baba usinyamaze Kwa maisha yangu
Asante MUNGU kwa NEEMA yaleo nikumbuke Léo n'a kesho ❤
mungu wangu aza nami baba huu mwezi onekana kwa maisha yangu sina mwengine moyo wangu una haja nawe nina kiu nawe bwana
Mungu Anza na maisha yangu mwezi huu maana ndio mwezi ulionileta dunian
Amin
anza namimi bwana kwa mwezi huu na siku zote
Ee mungu aza NAMI ee nmungu wangu mwezi huu nakutegemea tu ee mungu wangu ananijuwa vema kwa maisha yangu
Anza na Mimi yesu mwezi huu wa Saba naomba unifungulie. Milango ya baraka kwenye familia yangu
Tanda miujiza bwana Niko mbele zako naomba niaze na ww bwana
Asante Yesu Kwa mwanzo mzuri
Baba naomba unifungulie baraka sangu lolote lililo nifunga mungu fungua katika jina lako Mimi cna uwezi vita SI viangu vita ni viakwako nipe nyota yangu mungu ni mengi nimepitia lkn mkono wako unikomboe.
Signal Iko sawa,Pengine ni Net work Yako Mwenyewe🙏
Signal imekata Ee Yesu ingilia kati
Amen Mungu naomba unitie nguvu ktka maomba haya sababu bila wwe sitaweza 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shetani ashindwe kwa jina la Yesu
Asante yesu Ee.mungu nipe kibari yesu
Mungu nisaidie nivuke
Yesu kristo wa Nazareth aliye Hai Hanza na mimi
Ahsante Yesu 🙏 Ombi Langu ,Uanze Nami Huu Mwezi wa Jualai,Uwepo Uwenende Nami Katika Jina La Yesu Kristo,Najisalimisha Chini ya Mamlaka Ya Damu Ya Yesu.Siwezi Bila Wewe Mungu Wangu , Nakuamini Unaenda-Kunitendea Na Kujibua Mahitaji yangu.🙏🙏
asante yeu
Namimi usinipite bwna wa majeshi ulietumbaaa yu hai akika mungu si mwanadamu onekana jehova
EeMungu nikomboe mimi na wanangu nifunguliy mlango ya Baraka
Ndio Bwana
Amen ,Amen 🙏
Amen Ahsante Mungu kwa Neema yako
Amen
Amen 🙏 🙏
amen
Amen 🙏
Mungu kupitia maombi haya naomba nikombolewe mmi na watoto wangu mungu wangu,wazazi wangu ndugu zangu,ndoa yangu ,uchumi wangu
Ameen
Eee Mungu Naomba usikie sala zangu
Ameeen
usiniacha
Amen amen
Anina
Ameeeen
Nahitaji ajira
Amina
Network jamani😢😢
Mimi nimechoka na kuota ndoto nikiwa nyumbani shuleni mambo za kurundishwa nyuma naomba tu unishikilie na maombi
ndio mimi hapa naota hivyo hovyo😢
Imekatika?
Shetani ashindwe katika jina la yesu kristo
😞😞
Signal is not good
Amen
Ameen
Amen
Amen
Amen
Amen