ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Magari 10 bora ya Marais Afrika, hiki ndicho hutokea Msafara wa Rais ukishambuliwa, ni noma tupu!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2022
  • Dj Sma anakuletea orodha ya Magari 10 bora ya Marais wa Afrika. Fahamu msafara wa Rais hujumuisha nini na kitu gani hutokea pale unaposhambuliwa

ความคิดเห็น • 75

  • @iringadreadlock4000
    @iringadreadlock4000 ปีที่แล้ว +3

    Nakubali sana uchambuzi wako kaka endelea Kuchana a GA 💥🔥🔥🔥🔥

  • @idrissansereko6403
    @idrissansereko6403 ปีที่แล้ว +2

    Mimi ni Myarwanda umenijuza mengi ambayo nilikua sifaham hongera sana kaka

  • @mwishobeatz4794
    @mwishobeatz4794 ปีที่แล้ว +8

    Man We ni creativity Hatukatai But Unaruka ruka sana story haieleweki Embu try kuzipanga Vizuri we here for you Man

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe ปีที่แล้ว +1

    Upo vzr lkn jitahidi uwe unatuelewesha vzr usiruke ruke na kuhisi tumeelewa dont assume

  • @muhammedsuleyman6501
    @muhammedsuleyman6501 ปีที่แล้ว +3

    Nilikuwa natamani mtu kuongelea hii v8 ya raisi ipo tofauti na nyengine, safi sana kaka

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Hadi raha Yani

  • @ericklazaro9103
    @ericklazaro9103 ปีที่แล้ว +3

    Hujui kitu alafu unasema una akili nyingi hebu niambie hapo una akili gani? Au hujui maana ya genius, kuleza penyewe hujui acha kujisifia vitu vya kutafuta mtandao wewe unasema genius uliota hayo magari kumi bora ya marais bila kusoma kwenye mitandao huna u genius wowote.

  • @frankdominic664
    @frankdominic664 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja sana kaka

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 11 หลายเดือนก่อน

    ❤ djsma sikujua Kama huwa unachambua mambo haya

  • @Markhomestz
    @Markhomestz ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajua sanaa

  • @thisboyisgreat
    @thisboyisgreat ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenyo nguo zaki jeshi hapa tz wame bana sana

  • @josephbegi
    @josephbegi ปีที่แล้ว +2

    Nice revelation

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 ปีที่แล้ว +1

    Woooow nice

  • @vensatemu7483
    @vensatemu7483 ปีที่แล้ว +3

    The show was amazing

  • @nilufaallyhussein7678
    @nilufaallyhussein7678 ปีที่แล้ว +1

    Multi talented genius heeey

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 11 หลายเดือนก่อน

    Hatari baba unatisha

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 ปีที่แล้ว

    Mbna ujatuambia ya rais wetu tz

  • @bigirimanadaudi9797
    @bigirimanadaudi9797 ปีที่แล้ว

    Mbona mastar marekani wanaendesha gari za bei kubwa kuliko izo bajaji zamarais waafrika

  • @itNeza
    @itNeza ปีที่แล้ว +2

    Upo Vizuri kaka

  • @mohdmnemo9281
    @mohdmnemo9281 11 หลายเดือนก่อน

    Mimi nakukubale sanaa timu urus mwezangu

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 ปีที่แล้ว +1

    wow wow

  • @plusabracadabra5166
    @plusabracadabra5166 ปีที่แล้ว

    Dj uko vizuri bt uwe unastick kwenye Main Topic zaidi

  • @modrizii
    @modrizii ปีที่แล้ว +1

    Elezea simu ya xiomi 12s ultra

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว

      tutaifanyia kazi

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 ปีที่แล้ว

    Ulianza vizuri lakini umemalizia kuuelezea msafara wa Joe Biden

  • @masterkeystz
    @masterkeystz ปีที่แล้ว +3

    Sijapenda unavyosema vitu vingine ni Siri ya kambi huwezi kushare, Sasa Ina haja gani kutuambia ingali sisi tunatarajia utuambie kila kitu? Haina haja ya kusema hivyo kama huna mpango wa kutuambia. BY THE WAY, THE SHOW IS DOPE🔥

    • @thisboyisgreat
      @thisboyisgreat ปีที่แล้ว +1

      Mim sijaona kosa hapo naona tu anatuelimisha tu vitu ambavyo hatujui

    • @jacktonmakau3397
      @jacktonmakau3397 ปีที่แล้ว

      Wacha ufala wewe hizo gari tunasiona kila siku ila hatujua model sasa tumeambiwa

    • @jacktonmakau3397
      @jacktonmakau3397 ปีที่แล้ว

      Ongera Sana kaka sns is growing every day.congrats bro... USA tuko turned ....mkenya hapa

    • @godblessmushi9336
      @godblessmushi9336 ปีที่แล้ว

      Utamuingiza kwenye matatizo kwanzia yeye Binafsi hadi Channel yenyewe. Siyo vitu vyote vya kiusalama vinakuwa wazi vi vizuri viendelee kuwa Dhana

  • @masanjamasunga4019
    @masanjamasunga4019 ปีที่แล้ว +1

    Wanaoelewa wanaelewa wasiolewa shit

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 ปีที่แล้ว +1

    Nimeelewa sana

  • @khamismuhammed2382
    @khamismuhammed2382 ปีที่แล้ว

    Umezingua

  • @niyonkurufadhoulillah4916
    @niyonkurufadhoulillah4916 ปีที่แล้ว +2

    Sasa ivi amebadili wa rwanda anatembelea kadilac

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว

      will chek that out

  • @nairaidid4936
    @nairaidid4936 ปีที่แล้ว

    💪💪💪🙌🙌🙌

  • @gwamakampeli3576
    @gwamakampeli3576 ปีที่แล้ว +3

    Very weak research. Umeongelea mada karibu 3 tofauti. 1. Huwezi kutaja magari 10 bora ya maraisi Africa, ukaacha kutaja gari ya raisi watanzania. Ambayo ni 200 seris landcruser ya kampuni ya Carat
    2. Review ya kampuni ya CARAT, ipo youtube toka 2020 na tulisha iona, so usifanye hio review kama wewe ndio umeigundua
    3. Umechambua msafara wa Raisi wa Marecani, ambapo uchambuzi huo upo youtube. Tumia muda wakutosha kufanya research yako kabla huja fanya video brother. USIDANJANYE UMA.

  • @aishaswab2413
    @aishaswab2413 ปีที่แล้ว

    Proud to be a kenyan

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 ปีที่แล้ว

    Nimependa ❤

  • @mkingaempire3616
    @mkingaempire3616 ปีที่แล้ว +2

    Tatizo umeweka mbele kujisifia kuliko kutuelezea fanya kazi acha kujisifia bro

    • @mrjohn68
      @mrjohn68 ปีที่แล้ว

      Ndo tatizo la watanzania

  • @celifpower4993
    @celifpower4993 ปีที่แล้ว

    Apo kwa Raisi wa Rwanda umetudangany cs alishabalisha gari

  • @seamlesshunt3869
    @seamlesshunt3869 ปีที่แล้ว +3

    information zote ulitoa zinapatikana online boy, acha kujisifia sana fanya kazi usichukulie watazamaji wote ni maree

    • @pujimontanapachino4958
      @pujimontanapachino4958 ปีที่แล้ว +6

      Acha wivu kwani unachokisoma shule sikinapatikana kwenyekitabu tatizo sio online tatizo kuzichukua na kuzichambua mpaka watu wote wakaelewa

    • @seamlesshunt3869
      @seamlesshunt3869 ปีที่แล้ว

      @@pujimontanapachino4958 sijakataa asichambue mambo, ila atumie hizo dakika zote kwenye main point na co kijisifia

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว +2

      sasa kama zipo hukohapa umekujamkufata nini!

    • @seamlesshunt3869
      @seamlesshunt3869 ปีที่แล้ว

      @@djsma255 baadhi nazijua na nyingine najua namna ya kuzipata, so asijikute genius kwa vitu rahisi tu

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว +1

      @@seamlesshunt3869 sawa kazifate huko,kwani nimesema hayo magari nimeyabunini mimi, au internet nimeitengeneza mimi, we nenda tu hukoo,kama vip we siunavijua na unajuwa pakuvipat, kanzishe kipindi chako, very simple

  • @skrshaku7207
    @skrshaku7207 ปีที่แล้ว +2

    🙌🙌🙌🇹🇿

  • @dottoamos2902
    @dottoamos2902 ปีที่แล้ว

    Diamond aitel nipe bezi

  • @Marjeby
    @Marjeby ปีที่แล้ว

    Presenter wetu Molinyoo sana

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿♥️

  • @mesharkctz2374
    @mesharkctz2374 ปีที่แล้ว

    Ongeza ufanis kupata watazamaj zaid dola wengne atujui kuzi cheng kuja Tsh ko utusaidii chochote

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 ปีที่แล้ว

    Kenya 🇰🇪 mbona amjataja bei?

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 ปีที่แล้ว

    Ueleweki pili una mbwembwe sana tatu si kama una akili sana but hivyo vitu vyote vipo mtandaoni nawewe unacopy na kupaste kwa kusoma so ni uvivu wetu tu wakusoma kwakua hua tunapenda sana kusikia kuliko kusoma so unaposimulia dili na jambo lieleweke unaruka ruka sana

  • @maila561
    @maila561 ปีที่แล้ว

    labda. kifo bado lkn ikifika mbona unakufa kirahisiiiiiiiii

  • @mwalimunyerere
    @mwalimunyerere ปีที่แล้ว +1

    Lazy reporting. You picked an article, never did fact checking or use multiple sources.

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe ปีที่แล้ว

    Nimekukumbuka ulikuwa na ule sancha

  • @timobrownfighter
    @timobrownfighter ปีที่แล้ว

    Dunia tunapita

  • @asaa3219
    @asaa3219 ปีที่แล้ว

    Vitu kama hivi havifai kusemwa jamani

  • @yusufudongote6440
    @yusufudongote6440 ปีที่แล้ว

    Acha ujinga weee usione watu wote weupe

  • @aboudhussein902
    @aboudhussein902 ปีที่แล้ว +1

    ni vizuri kama unafanya video ya vitu unavyovipenda lakini hii kidogo umeteleza. Unacover misafara ya ma raisi wa nchii za africa ambacho ni kichwa cha habari alafu unaingia deep zaidi kwenye details za misafara ya raisi wa marekani. Mwisho unahamia kwenye wanajeshi na kutaka kuvaa sare. Je Umechukua muda gani kufikiria,kupanga na kutengeneza hii video?

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว

      tatizo hausikilizi kuelewa ,nmesema nachambua misafara ya maraisi in general, iwe raisi wa africa au ulaya,picha zimetumika za misafara wa africa ,ulaya na marekani...

  • @youngbreezy6615
    @youngbreezy6615 ปีที่แล้ว

    Kwaiyo Tanzania Rais wetu ni gari gani!?

    • @khalfanmohd5807
      @khalfanmohd5807 ปีที่แล้ว +2

      Toyota ist mwaka 1999 mafuta lita moja unasafiri Tanzania mpka Kenya

    • @djsma255
      @djsma255 ปีที่แล้ว

      land cruiser 200 series

    • @methuselamisana4115
      @methuselamisana4115 ปีที่แล้ว

      Toyota

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.

  • @muzikiprofile
    @muzikiprofile ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥 uliona na hii 👇
    th-cam.com/video/VzZFSs4qqi4/w-d-xo.html