Kabla ya soko hilo kujengwa yupo mmoja katika mfanya biashara ktk soko moja ya hapa dar nilimuuliza kwann masoko hakijengwa mara nyingi biashara zinazorota kabla ya hapo awali akanambia sababu mara nyingi huwa wenye kumiliki baada ya hapo ni wale maboss wananunua sehem za masoko na wao wanawapangisha watu kwa bei ya juu hivyo ndivyo inavyokuwa.
kumanina mpaka kieleweke hakuna usenge asante kenyaaa bora kujipaka mavi kichwani ,kuliko kuvaa kofia ya ccm
Ooooooo MUNGU Mwema Tusaidie liishe salama
Soko lilikuwa na wafanyabiashara 1,600+ likiwa dogo, sasa limekuwa kubwa zaidi lkn walioorodheshwa ni 800???????? 10:23
WATAJIWE VIGEZO ILI WAJIENGUE WENYEWE.. ALAFU WAWASAIDIE WALAU WAPATE MAENEO YA KUENDELEZA BIASHARA ZAO😢
Hiv kwanini watanzania hawana akili shida nini wanateswa kama mbwa tu alafu hawataki kudai haki yao
Huyu samia kwanini asije kwanza kariako anawatuma watu ana delay sana
Pesa walizo jengea soko ni pesa za wananchi na ni ushuru wetu kwanini Deni???
HARUFU YA RUSWA TUU😢
Hii noma Kwakweli hata mimi nilikuwepo jaman nilisha rudishwa nyuma saana cjui kama ntapata hata kasehem nilikuwepo mkunguni na nyamwez
Wale ambao majina yao wanajisikia furaha na kujiona wao ni bora kuliko wengine ambao majina yamekatwa, hii ni kwakua ni Tanzania
CCM NI NANII AISEEE
Yaani kuongoza watu wakizaz hizi nishida sana Tunakaribia nyumbani Yesu anarudi amini ninachokuambia Yesu anarudi Jesus is coming soon.
Siku hizi MTU anayenga'ang'ana na uongozi namuona huruma😂😂
Huyo yesu anahusika nini na maandamano ya wana soko la kariakoo
acheni uchoko serikali sikivu ndo nini mbona hamjasikilizwa kama serikali sikivu
Mi naona ni sahihi kabisaaaa
Lipeni kodi zote acheni kuliqlia
wafanya biashara kwanini msiseme mnahamia chadema wote ili wajitafakari hivi mna mtekenya kambare
Magufuli tunakuomba hata ufufuke dk moja tu ili uwone wananchi wako wanavyo lia
kwanini msiitishiee ccm mnaipiga chini ili wajipangee
Hii upumbavu kipind cha magufuli havikuepo kbs
Hakikuwepo kitu gani?
𝗛𝘂𝘆𝗼 𝗺𝗻𝗮𝘆𝗲𝗺𝘂𝗼𝗺𝗯𝗮 𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝗻𝗮 𝗻𝗶𝗻𝘆𝗶
Wala hawezi kufanya chochote Kwa mgogoro WA kariakoo
Ila kwel rushwa bongo aiwez kuisha@@israelkisaila8401
POROJO TUUU😅
@@spendjulius-qz9mt Kwanza anavyowasikiliza tu,ukimuangalia usoni,ni kama Hana hata muda wa kuwasikiliza
CHURA KASHA WAMBIA KAWEKA PAMBA
Nakunga mkono san kamanda
Kuna tajiri kachukua maduka 10 alafu anapangisha nae
🇹🇿💪
Kweli yako
@@caesar7745 amepewa vipi? 🤑🤑
Kabla ya soko hilo kujengwa yupo mmoja katika mfanya biashara ktk soko moja ya hapa dar nilimuuliza kwann masoko hakijengwa mara nyingi biashara zinazorota kabla ya hapo awali akanambia sababu mara nyingi huwa wenye kumiliki baada ya hapo ni wale maboss wananunua sehem za masoko na wao wanawapangisha watu kwa bei ya juu hivyo ndivyo inavyokuwa.