WALIOKATWA MAJINA SOKO LA KARIAKOO WATINGA LUMUMBA CCM, DC MPOGOLO ATOA KAULI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 33

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 21 วันที่ผ่านมา +3

    kumanina mpaka kieleweke hakuna usenge asante kenyaaa bora kujipaka mavi kichwani ,kuliko kuvaa kofia ya ccm

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 21 วันที่ผ่านมา +3

    Ooooooo MUNGU Mwema Tusaidie liishe salama

  • @Worldunite
    @Worldunite 21 วันที่ผ่านมา +3

    Soko lilikuwa na wafanyabiashara 1,600+ likiwa dogo, sasa limekuwa kubwa zaidi lkn walioorodheshwa ni 800???????? 10:23

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 21 วันที่ผ่านมา +2

    WATAJIWE VIGEZO ILI WAJIENGUE WENYEWE.. ALAFU WAWASAIDIE WALAU WAPATE MAENEO YA KUENDELEZA BIASHARA ZAO😢

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hiv kwanini watanzania hawana akili shida nini wanateswa kama mbwa tu alafu hawataki kudai haki yao

  • @XxhamxyyxShha
    @XxhamxyyxShha 21 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu samia kwanini asije kwanza kariako anawatuma watu ana delay sana

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 21 วันที่ผ่านมา +1

    Pesa walizo jengea soko ni pesa za wananchi na ni ushuru wetu kwanini Deni???
    HARUFU YA RUSWA TUU😢

  • @amossamson8955
    @amossamson8955 21 วันที่ผ่านมา +1

    Hii noma Kwakweli hata mimi nilikuwepo jaman nilisha rudishwa nyuma saana cjui kama ntapata hata kasehem nilikuwepo mkunguni na nyamwez

  • @faustinedeogratias4337
    @faustinedeogratias4337 21 วันที่ผ่านมา +1

    Wale ambao majina yao wanajisikia furaha na kujiona wao ni bora kuliko wengine ambao majina yamekatwa, hii ni kwakua ni Tanzania

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 21 วันที่ผ่านมา +1

    CCM NI NANII AISEEE

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu 21 วันที่ผ่านมา +2

    Yaani kuongoza watu wakizaz hizi nishida sana Tunakaribia nyumbani Yesu anarudi amini ninachokuambia Yesu anarudi Jesus is coming soon.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 21 วันที่ผ่านมา +1

      Siku hizi MTU anayenga'ang'ana na uongozi namuona huruma😂😂

    • @ashamkesa979
      @ashamkesa979 21 วันที่ผ่านมา

      Huyo yesu anahusika nini na maandamano ya wana soko la kariakoo

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 21 วันที่ผ่านมา

    acheni uchoko serikali sikivu ndo nini mbona hamjasikilizwa kama serikali sikivu

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mi naona ni sahihi kabisaaaa

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 21 วันที่ผ่านมา

    Lipeni kodi zote acheni kuliqlia

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 21 วันที่ผ่านมา

    wafanya biashara kwanini msiseme mnahamia chadema wote ili wajitafakari hivi mna mtekenya kambare

  • @swaibushemdoe2143
    @swaibushemdoe2143 21 วันที่ผ่านมา

    Magufuli tunakuomba hata ufufuke dk moja tu ili uwone wananchi wako wanavyo lia

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 21 วันที่ผ่านมา

    kwanini msiitishiee ccm mnaipiga chini ili wajipangee

  • @EricaFrancis-kb5el
    @EricaFrancis-kb5el 21 วันที่ผ่านมา

    Hii upumbavu kipind cha magufuli havikuepo kbs

  • @MRASISKA
    @MRASISKA 21 วันที่ผ่านมา +1

    𝗛𝘂𝘆𝗼 𝗺𝗻𝗮𝘆𝗲𝗺𝘂𝗼𝗺𝗯𝗮 𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝗻𝗮 𝗻𝗶𝗻𝘆𝗶

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 21 วันที่ผ่านมา

      Wala hawezi kufanya chochote Kwa mgogoro WA kariakoo

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 21 วันที่ผ่านมา

      Ila kwel rushwa bongo aiwez kuisha​@@israelkisaila8401

    • @spendjulius-qz9mt
      @spendjulius-qz9mt 21 วันที่ผ่านมา

      POROJO TUUU😅

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 21 วันที่ผ่านมา

      @@spendjulius-qz9mt Kwanza anavyowasikiliza tu,ukimuangalia usoni,ni kama Hana hata muda wa kuwasikiliza

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 21 วันที่ผ่านมา

    CHURA KASHA WAMBIA KAWEKA PAMBA

    • @user-jx5ze9wz8e
      @user-jx5ze9wz8e 21 วันที่ผ่านมา

      Nakunga mkono san kamanda

  • @caesar7745
    @caesar7745 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna tajiri kachukua maduka 10 alafu anapangisha nae

    • @knight6757
      @knight6757 21 วันที่ผ่านมา

      🇹🇿💪

    • @spendjulius-qz9mt
      @spendjulius-qz9mt 21 วันที่ผ่านมา

      Kweli yako

    • @knight6757
      @knight6757 21 วันที่ผ่านมา

      @@caesar7745 amepewa vipi? 🤑🤑

    • @tibaasiligreatmoment8850
      @tibaasiligreatmoment8850 21 วันที่ผ่านมา

      Kabla ya soko hilo kujengwa yupo mmoja katika mfanya biashara ktk soko moja ya hapa dar nilimuuliza kwann masoko hakijengwa mara nyingi biashara zinazorota kabla ya hapo awali akanambia sababu mara nyingi huwa wenye kumiliki baada ya hapo ni wale maboss wananunua sehem za masoko na wao wanawapangisha watu kwa bei ya juu hivyo ndivyo inavyokuwa.